MAPIGANO ULYANKULU SIKU YA KUTAABIKA OFFICIAL VIDEO

  Рет қаралды 796,675

Tunes Of Africa

Tunes Of Africa

6 жыл бұрын

The Best Of African Music: Kikuyu Music: Kikuyu Gospel Music: Kenyan New Music 2016: Kamba Music: kalenjin Music: Luyha Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Пікірлер: 371
@noelbryson7840
@noelbryson7840 11 күн бұрын
Wapendwa nani tuko pamoja 2024 kusikiliza hij injili? Mbarikiwe sana..
@trilionea_online_TV
@trilionea_online_TV 5 жыл бұрын
Bado tunabarikiwa na kwaya zetu, ya kale ni dhahabu, je? Waimbaji wa sasaivi watafikia tunzi hizi??? Like kama tuko pamoja
@shadrakajefta71
@shadrakajefta71 5 жыл бұрын
Jefta Trilion
@trilionea_online_TV
@trilionea_online_TV 5 жыл бұрын
Shadraka Jefta ndio mwanangu
@PastorsTz
@PastorsTz 5 жыл бұрын
Iko nauwepo mkubwa
@elizabethelizabethngajiro8755
@elizabethelizabethngajiro8755 4 жыл бұрын
Mim nazipend sana kazi za kitambo
@graysekulu9224
@graysekulu9224 4 жыл бұрын
Mwaka 1997 nikiwa bado mdogo ndio nyimbo tulikuwa tukitizama kupitia VHS
@hilderrichard885
@hilderrichard885 5 ай бұрын
Napenda Sana huu wimbo mpaka mwaka 2024 namshukuru Mungu kwa uzima
@ogugusamwel3663
@ogugusamwel3663 2 ай бұрын
Mungu azidi kuwaonekania watumishi wake. Ata June 2024 nazidi kusikiza nyimbo zenu tamu mno
@fellybenard5459
@fellybenard5459 Жыл бұрын
2023 mbarikiwe Sana Watumishi , Mungu Asiwaache🙏
@daudimdaki5920
@daudimdaki5920 Ай бұрын
Tanzania Best choir ever! Utukufu ni kwa Mungu ,barikiwa sana!
@gaspalkabambi9727
@gaspalkabambi9727 Жыл бұрын
Emungu uibaliki Tanzania kwamazuli yote iliyowa tendea watuhawa hakika enzizao utukufuwamungu ulikuwa juu yawatuhawa nasisi wazaliwa watanzania tubaliki katika kazizetu tunaostahili kulipa kodi tulipe ilitanzania izidi kuneemeka hatimae nasisi tujaliwe navipawa Kama vyahawanduguzetu amahakika tuki.tumainia yy aliyeumbambingu nanchi kupitia Tanzania yet tutapata balaka na amani asanteni ulyankulu ama hakika mnanikumbusha mbali wakati nilipokuwa kijana mdogo nilikuwana ziskiliza nyimbo zenu mubalikiwe sana huko mliko nawaliobaki wabalikiwe pia natanzania ya amani asanteni sana
@chachamagige8095
@chachamagige8095 4 жыл бұрын
Siku hizi kuna mastedishow kama nyimbo za kidunia jmn, Shetani ameharibu gospel jmn
@fadhilidisanula840
@fadhilidisanula840 3 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@davidimmael1300
@davidimmael1300 2 жыл бұрын
Tulikua tunasikiliza kama masihara tuuh utotoni Kumbe Mungu ndio anatuokoa hivyo .....raha sana God is so amaising
@lucyjohn7904
@lucyjohn7904 3 жыл бұрын
Mungu nisaidie nihurumie makosa yang
@Princerobian
@Princerobian Ай бұрын
Wimbo huu unanikumbusha nikiwa mtoto, Wimbo nzuri sana wenye ujumbe.
@christinamwangi6213
@christinamwangi6213 Жыл бұрын
Yaan Huwa nafurahishwa sanaaa ninapo sikiliza hizi nyimbo Huwa naona roho mtakatifu anashuka pia Huwa zinanipa faraja nakuona mungu Yuko hapa napata Raha ndani ya roho yangu yaan nikiwa nasikiliza hizi nyimbo kiujumla Huwa nasahau Kila kitu cha dunian
@raphaelkioko7188
@raphaelkioko7188 5 жыл бұрын
Sauti, unyenyekevu, mavazi, uchezaji wa vyombo na maneno ya wimbo zinabariki mioyo yetu kweli kweli. Ni nyimbo zilizotungwa katika uongozi wa Roho Mtakatifu. Mungu awabariki sana Mapigano Ulyankulu kwaya.
@lameckmlyangaa6589
@lameckmlyangaa6589 Жыл бұрын
Mimi pia nawaombea baraka za bwana
@irenenicesngkwayu3919
@irenenicesngkwayu3919 Жыл бұрын
sanaaaa
@nelsonzakayo496
@nelsonzakayo496 4 жыл бұрын
Ni roho mtakatifu aliwaongoza kuimba hizi nyimbo
@mulangalirojosue405
@mulangalirojosue405 Ай бұрын
Hawa waimbaji wali kuwa waki muimbiya Mungu kutoka Rohoni kbs, kutoka myaka yawao hadi sasa hizi nyimbo zina hit tu. SiJuwi kama kuki ngali hata umoja wao ambaye yuko haii
@deogratiusmgute5983
@deogratiusmgute5983 10 ай бұрын
Leo 17/09/2023 nimebarikiwa sana kusikiliza wimbo huu . Good memories 1990-1995 Mungu angaza mapito yangu AHMEN
@wankobadan3030
@wankobadan3030 3 жыл бұрын
Dah! Kiukwel nabarikiwa sana na hii kwaya ulyankulu, sijui wako wapi. Those were the days when choirs praised God in spirit and truth. Mungu awabariki sana na na Mungu awatunze wasipotee hata mmoja
@estherkamuzelya6217
@estherkamuzelya6217 3 жыл бұрын
Leo 01/01/2021 nasikiliza wimbo huu siku ya kutaabika. Jina la YESU lipewe sifa. Nabarikiwa.
@francissava5244
@francissava5244 2 жыл бұрын
Amen Amen
@josephkiteleja5102
@josephkiteleja5102 7 ай бұрын
MUNGU tangulia mapito yetu ....nyimbo inanikumbusha miaka iyo mzee na mama nawapenda sana mmenikuza kidink
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 5 жыл бұрын
Eeh Mungu nihurumie mimi mwanadamu maana siku hiyo hakuna atakayekuwa na jeuri.
@jeremiatito6806
@jeremiatito6806 4 жыл бұрын
gabriella isack Miaka hiyo waimbaji walikua wanaimba kwa moyo walicho jua wamuimbia Mungu na malupo watapata kwa Mungu
@pendondossy2158
@pendondossy2158 4 жыл бұрын
Kabisa
@nahumjohn6835
@nahumjohn6835 Жыл бұрын
I haven't heard of the same voices in songs till now...these ppl were so blessed 🙏
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 Жыл бұрын
Hawa watu sijui wako wapi saa hii? Si muungane tena jamani muendelee kumtumikia Mungu kwa uimbaji ❤
@hemedimatanda7888
@hemedimatanda7888 2 жыл бұрын
Those days when gospel songs message was clear and understanding
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
Nimeangalia hii nyimbo mpak machozi yananilenga maana nikiangalia kizaz chetu tunaboimba,hatuna ustaarabu tumejaa udunia,angalia Hawa watu walivokua jaman mpaka raha,kwakweli hiz n nyakat za mwisho nataman watu wote tuige mfano wawatu waliopita nasio kuiga kizazi kipya hiki kilichojaa zinaa na uchiuchi,eeee Mungu tusaidie
@ibrahimmsangi8161
@ibrahimmsangi8161 3 жыл бұрын
Sasa hivi wanasema Mungu haangalii mavazi bali moyo wanasahau kuwa kama kweli umempokea Bwana Yesu na kumfata kweli matendo yako pia yatabadilika na kuwa tofauti na dunia!
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
@@ibrahimmsangi8161 yaan Ila naamn wanaoitaka mbingu kweli watalifuata neno LA Mungu nasio maneno ya watu
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 жыл бұрын
Kama wapo hawa watu mungu awaongezee miaka ya kuishi wanabariki Sana hakika nakama kunawaliokufa mungu awapokee na waishimahali pema peponi maana nondo ambazo zimesukwa ndani ya nyimbo hi sidhani Kama kunawakuzibomoa shetani mwenyewetu anaogopa
@oscargwalasa
@oscargwalasa 3 жыл бұрын
Daaaaah passed like a shadow, kweli kizuri hakidumu nyimbo nzuri zenye maadili kuanzia maneno mavazi Mungu atubalishie kizazi kije kama hiki
@ndabagezesecond6296
@ndabagezesecond6296 5 жыл бұрын
Wimbo wa zamani, 1984,zilizovuma saana
@haningtonkabuta9387
@haningtonkabuta9387 2 жыл бұрын
2021 still here, watching! Very powerful indeed
@francissava5244
@francissava5244 2 жыл бұрын
Amen Amen love this songs, God bless this churches.
@eliudenock5517
@eliudenock5517 5 жыл бұрын
Kweli yakale ni dhahabu,bado tunazid kubarikiwa.
@thomasongayl5901
@thomasongayl5901 5 жыл бұрын
Sana
@igiiwamapendo4454
@igiiwamapendo4454 4 жыл бұрын
Eliud Enock wimbo ni wa mwaka ngani?, ningependa nijibiwe.
@emilyrose3507
@emilyrose3507 4 жыл бұрын
.loydCguoplknnm bnvbxz
@reginatarimo9142
@reginatarimo9142 4 жыл бұрын
Miaka hiyo 88 nilikuwa Form One, Ya kale dhahabu
@yulithalugaba9552
@yulithalugaba9552 4 жыл бұрын
Miaka ya 1994 huu wimbo, nakumbuka nilikuwa sijaanza hata shule tena ulikuwa kwa audio, video yake miaka ya 2000
@samuelmwangi9780
@samuelmwangi9780 5 жыл бұрын
Anyone still watching and listening in 2019.
@janemvula1783
@janemvula1783 4 жыл бұрын
Safi sana
@yulithalugaba9552
@yulithalugaba9552 4 жыл бұрын
Together watching the same comrade
@pkngeny
@pkngeny 4 жыл бұрын
Actually 2020
@samwelelisha8044
@samwelelisha8044 3 жыл бұрын
Leo ni 2021
@captainkenya401
@captainkenya401 2 жыл бұрын
August 2021
@wisegel1766
@wisegel1766 4 жыл бұрын
Aliyepo nami kwa hii kwaya 2019 gonga like
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 Жыл бұрын
Hizi ndo nyimbo zinagonga myoyo yetu ni nyimbo za hekima za kumtukuza mungu
@pastorytitus5189
@pastorytitus5189 4 жыл бұрын
Niseme haipashwi kuwa laumu waimbaji wetu wa sasa jinsi wanaovyoimba bali tunatakiwa sisi wachungaji tujilaumu au tulaumiwe kwani wanaimba hivo makanisani na sisi tupo na tunawapongeza na kuwapigia makofi na vigelegele badala ya kuwa kemea na kuwa rudisha kwenye uimbaji wa kumwimbia Mungu na si wanadamu.
@greysonmheni4053
@greysonmheni4053 4 жыл бұрын
Nahisi nyakati za nyimbo hz shetani alikuwa hajaitembelea dunia hii.
@georgemisatinyaribo1366
@georgemisatinyaribo1366 4 жыл бұрын
What a songs! Well organized, instruments plus a great message. Be blessed mpaka mshangae
@sabaskabonee1092
@sabaskabonee1092 3 жыл бұрын
Hahaha kabisa
@patricesekanyambo284
@patricesekanyambo284 4 жыл бұрын
Honestly, I cannot understand how a normal person can despise this song and gives it a dislike. Some human beings are something else
@judithwaitara1890
@judithwaitara1890 2 жыл бұрын
Hahaha....the world is full of wonders my dear
@lucyjohn7904
@lucyjohn7904 3 жыл бұрын
Bado leo 2020 nabarikiwa na Hawa wapendwa
@mosesmhina9980
@mosesmhina9980 5 жыл бұрын
Very nice dressing codes...no miniskirts, no make up...no models ...no skin tight ...and the message is delivered
@marymuchiri676
@marymuchiri676 4 жыл бұрын
Sure very natural
@edmundkapondo4042
@edmundkapondo4042 4 жыл бұрын
That true
@yulithalugaba9552
@yulithalugaba9552 4 жыл бұрын
Very talented people!!! Jesus within them
@eregaejoseph2083
@eregaejoseph2083 2 жыл бұрын
😘
@josephmuturimwamba728
@josephmuturimwamba728 2 жыл бұрын
True
@lukusam8990
@lukusam8990 Жыл бұрын
Mile age, Mungu awabariki sana waimbaji hawa popote walipo nakumbuka mengi sana
@emilykareha6387
@emilykareha6387 4 жыл бұрын
Heri wenye moyo safi maana hao watamuona Mungu,.
@paskojkirway2790
@paskojkirway2790 3 жыл бұрын
Ndiyooo
@annemoureen6676
@annemoureen6676 7 ай бұрын
In 2024 am listening my wonderful songs I ever listen in my life a song like this one 😍
@sadikimsumba5335
@sadikimsumba5335 5 жыл бұрын
Nimeumiss sana uimbaji wa namna hii kwenye miaka ya sasa. Na tunakoelekea utapotea kabisa
@davidimmael1300
@davidimmael1300 2 жыл бұрын
Tulio sikiliza hiz ngoma utotoni jaman tuna raha .... Kwanza Mungu anatupenda sana wale wazazi wetu walio kuwa wanatuwekea hiz ngoma Mungu awabariki sana ....hahaha raha mnooo
@nassarymax2720
@nassarymax2720 5 жыл бұрын
This song remind me of my late daddy, he used to listen this song using his wooden radio those days.... For sure I can not tell it all how awesome this choir was..till now I am enjoying. All de way from Arusha Tanzania. Nassary Max
@hilderkaaya2974
@hilderkaaya2974 3 жыл бұрын
My dad Kaaya also loved it so much❤
@christinaalexander1213
@christinaalexander1213 3 жыл бұрын
My daddy too,is late now.
@placideamini1160
@placideamini1160 3 жыл бұрын
This song reminds me of myself young.It must be my fav hit ever.
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 2 жыл бұрын
My late dad also had this album USA's in Moshi line police how awesome those days was
@christinaalexander1213
@christinaalexander1213 3 жыл бұрын
Nyimbo zilizonikuza hizi.Nakumbuka miaka ya 90.. ,old is gold.
@sabaskabonee1092
@sabaskabonee1092 3 жыл бұрын
Hii kwaya inanikumbusha mbali sana mungu awabari udyankuru kwaya
@nehemiashekiondo7287
@nehemiashekiondo7287 3 жыл бұрын
Mungu awabarika sana watumishi mliimba zamani lakin bado zinagusa miyoyo ya watu
@rayjay7017
@rayjay7017 5 жыл бұрын
Moyo Wangu unapata faraja halisi hapaaa
@TunesofAfrica
@TunesofAfrica 5 жыл бұрын
Burudika
@shalomizrael667
@shalomizrael667 4 жыл бұрын
Hallelujah,, kheri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu
@yulithalugaba9552
@yulithalugaba9552 4 жыл бұрын
Tazama Bwana anakujaa, kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu wakaao Duniani
@igiiwamapendo4454
@igiiwamapendo4454 4 жыл бұрын
Nduku ambae umeongoza wimbo uko na kipaji.
@pendondossy2158
@pendondossy2158 4 жыл бұрын
Papa Igii wamapendo kabisa
@rahabujohn2691
@rahabujohn2691 5 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo za kusikiliza acha hao wanaoimba ns kuruka ruka hawaeleweki na nyimbo zao za biashara
@edwardmichael8074
@edwardmichael8074 5 жыл бұрын
Rahabu John hiz nyimbo c mchezo nabalikiwa sana kuliko za sas kweli wazee wetu walifaid vingi duuh
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 3 жыл бұрын
Rahabu umesema Kweli...Hizi Ndo nyimbo Mkuu.....
@avierastevens5141
@avierastevens5141 4 жыл бұрын
YESU bado anatupenda. Still 2020 bado tunawatch hizi nyimbo.nimekumbuka mbali sana
@happymlawa5698
@happymlawa5698 Жыл бұрын
my best song ever🙏na best kwaya yangu,God keep blessing me through this song na unikumbushe you are coming back soon.Amen
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 4 жыл бұрын
Ni n’a wa pendant sana wana wa Mungu Amen
@glorynnko5800
@glorynnko5800 2 жыл бұрын
Nawapenda jamn,Elphazi Habona ulikuwa unaujua sana muziki,may almighty god bless you
@shidambwile276
@shidambwile276 3 жыл бұрын
I remember those days. Life was so good. Mwanjelwa Mbeya Town
@meshackkwigize9848
@meshackkwigize9848 4 жыл бұрын
Kumjua Bwana kutokea kwake no yakiniii.....,penda sana
@mmuruericka3702
@mmuruericka3702 3 жыл бұрын
2021 Mbarkiwe sn, utumishi uliotukuka
@adrianacruz8039
@adrianacruz8039 6 жыл бұрын
Wimbo wa baraka kweli naiskiza kila sikuu it blesses me alot....God bless you
@user-do8qw8jr9u
@user-do8qw8jr9u 11 ай бұрын
Ndiyo nyimbo hizi huwez kuzipata maana hawa wliimba kuptia roho mtakatifu
@davidimmael1300
@davidimmael1300 2 жыл бұрын
Enzi hizo tulikua kama tunapapasa kwenye giza sahiv tumekuwa wakubwa tunaelewa na tunaendelea kujitakasa tukimsubiri Bwana Yesu mambo ni matamu Bwana
@georgebenard2114
@georgebenard2114 Жыл бұрын
Indeed 2020 covid 19 was siku za kutabika for humanity
@francissava5244
@francissava5244 2 жыл бұрын
And where are this singer's nowadays?? We love Brothers and sisters in christ. Amen
@karisandone7683
@karisandone7683 3 жыл бұрын
Listening from Kenya 🇰🇪 in 2021
@davidnyangales3798
@davidnyangales3798 Жыл бұрын
mbarikiwe Sana mungu awe juu yenu
@lucybilly6683
@lucybilly6683 2 жыл бұрын
Mungu awabariki waimbaji sana waimbaji kwa kweli nyimbo inasikika rohon kabisa
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 5 жыл бұрын
Napenda na ninabarikiwa sana na nyimbo zilizoimbwa na watu wa zamani.
@johnkweka1647
@johnkweka1647 5 жыл бұрын
Ni kwaya ambayo nilikuwa sichoki kusikiliza nyimbo zake 1990's mpaka leo 2019 huwa nabarikiwa sana hadi machozi Mungu azidi kutubariki🙏
@moraaontiri4082
@moraaontiri4082 4 жыл бұрын
Hawa ndio waimbaji kamili wachana na hizo burukenge Siku hizi ziko kwa baishara sio wokovu
@emmanuelmichael3012
@emmanuelmichael3012 2 жыл бұрын
Ninamshukuru MUNGU sana kwa wimbo lakini waimbaji MUNGU anawaona mkiona wimbo mzuri Mara nyingi mnabrock hakuna kudownlod
@sandrandai6180
@sandrandai6180 3 жыл бұрын
I miss my family.... aisee shetani what u did to our family 👪 😢 😪
@josephmuna2015
@josephmuna2015 2 жыл бұрын
Wako tabora, watafute, you will glorify God
@fridahmongare9471
@fridahmongare9471 2 жыл бұрын
The voices are super nice,,, music that's meets you at the right spot,,hongera
@samsonstephano6747
@samsonstephano6747 5 жыл бұрын
Mungu alikuwa ndani yenu ndomana hazichuji mpka kristo atakaporudi
@lucyswila856
@lucyswila856 2 жыл бұрын
Leo 25/4/2022 bado nasikiliza nabarikiwa Sana na huu uimbaji mavaz yao yananibariki Yesu aendelee kuwa tunza
@mercywaithera460
@mercywaithera460 4 жыл бұрын
2020 blessed
@juliusmaresi5517
@juliusmaresi5517 4 жыл бұрын
Sauti za asili kabisaaaaa.
@godykombw7959
@godykombw7959 4 жыл бұрын
Ukopowa
@ombeninnko1501
@ombeninnko1501 4 жыл бұрын
Barikiweni sana babu na bibi zetu sijui bado mpo nasi kimwi??nakumbuka zamani
@ombeninnko1501
@ombeninnko1501 4 жыл бұрын
Hakika Hawa watu walibarikiwa sauti
@shedrackmmary9724
@shedrackmmary9724 Жыл бұрын
Daah!!! Naenjoy sana nyimbo hii!!!! Jamani Bwana Yesu anakuja
@charlesgatunzi
@charlesgatunzi 3 жыл бұрын
Siku hizi ni umaarufu tu hakuna nyimbo kama hizi mungu awabariki
@merrypeter5909
@merrypeter5909 5 жыл бұрын
Ulyankuru hakika mliimba mkiwa rohoni mavazi yenu mazuri MUNGU awabarki mkaingie mbinguni mkapate thawabu yenu
@juliusmoshi3172
@juliusmoshi3172 4 жыл бұрын
Maisha yanakimbia sana. 2020
@fredmkude8181
@fredmkude8181 2 жыл бұрын
Mpaka leo naskiza hii nyimbo dj fred fred wakali wa sherehe
@maimujosephat148
@maimujosephat148 2 жыл бұрын
Hakuna kwaya utakuja kutokea kama hii kiukweli, na hii ingekuaga wametoa hii album miaka hii ya plat form hii kwaya ingekuaga tajir mno tz, dah, hainiishag hamu kuisikiliza
@barakankubile2329
@barakankubile2329 4 жыл бұрын
Mwanikumbusha mbali ! Kwenye harusi yangu 1995
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 4 жыл бұрын
Tanzania is a blessed country many gosiple singer and choirs still are not comping seculer music code and wearing styl.this song remaind me 90s
@childofgod4412
@childofgod4412 4 жыл бұрын
Hii ndio kwaya sasa waimbaji wanaojielewa sijui bado wapo jamani ningependa kujua
@ngabovicentpamba2918
@ngabovicentpamba2918 3 жыл бұрын
Wapo ndg...Tabora. Tuwaombee waendelee kuimba na kutoa album zao zitufikie.
@hezronmanjegeka2978
@hezronmanjegeka2978 3 жыл бұрын
Zitakuja zitapita emungu idumishe
@fredlaizer9189
@fredlaizer9189 Жыл бұрын
Back to my younger Days...was so blessing Then, Now and Forever
@daudjohn752
@daudjohn752 3 жыл бұрын
20/07/2021 im still listening this beautiful song, god is good.
@merthuswenga671
@merthuswenga671 4 жыл бұрын
2020 August tuko pamoja hapa❓❓
@benitoilulatvpilla144
@benitoilulatvpilla144 3 жыл бұрын
Huyujamaa sijui bado nimzima mnijuze wapendwa
@johncyprian1748
@johncyprian1748 Жыл бұрын
Waimbaji wa sasa hawawezi fikia tunzi kama hizi
@stellamakoko6058
@stellamakoko6058 2 жыл бұрын
06/09/2021 Yesu ni mwema sana , bado nasisimkwa na ujumbe kupitia kipawa walichopewa watumishi hawa kupitia sauti zao ujumbe umefika....Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu
@kalundekasiga5096
@kalundekasiga5096 3 жыл бұрын
Best Song that I love Most, barikiwa watu wa Mungu
@vicentmushi9906
@vicentmushi9906 5 жыл бұрын
nyimbo hizi za zamani hunivuta sana kihisia hadi machozi Kwa jinsi zilivyopangiliwa lkn zikipigwa hizi za Sasa mmmh
@Vetbwm
@Vetbwm 3 жыл бұрын
Nilisikia huu wimbo kadri miaka 16 iliyopita. Nimeungukia tu leo! Barka tele!
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 3 жыл бұрын
Siku zileee.. Lakini siku hizi siyo kwaya tena ni nyimbo za Disco
@zaburikalemieofficiel6780
@zaburikalemieofficiel6780 Жыл бұрын
Vraiment avec cette chanson je suis toujours dans la présence de Dieu
@winnie-rosejeremiah4322
@winnie-rosejeremiah4322 2 жыл бұрын
Who is watching in 2022? Am here because i read Isaiah 22:5
@watwegopnina6480
@watwegopnina6480 5 жыл бұрын
HONGERA sana MUNGU awabariki.
@alexisseka5987
@alexisseka5987 5 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwabaliki sana
@peterkifyoga6638
@peterkifyoga6638 4 жыл бұрын
Hivo hivo MUNGU atusaidie
Kwa Viumbe Vyote   Barabara 13  Ulyankulu   Yesu alipokuwa ameketi
6:53
KWAVIUMBE VYOTE KWAYA Rd13 ULYANKULU
Рет қаралды 367 М.
Mapigano Ulyankulu Kwaya Safari Yao Waisrael Official Video
3:47
Africha Entertainment
Рет қаралды 229 М.
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 4,6 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 20 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 29 МЛН
Utanitambuaje
7:36
Bony Mwaitege Official
Рет қаралды 138 М.
KWAYA YA MT KIZITO   NGOJA NICHEZE
7:06
Tunes Of Africa
Рет қаралды 46 М.
TRACK : Namlilia Malebo - By Pastor Faustin Munishi
6:32
Munishi TV
Рет қаралды 6 МЛН
MAPIGANO ULYANKULU KWAYA YESU AKAWAAMBIA OFFICIAL VIDEO
5:18
Tunes Of Africa
Рет қаралды 2,8 М.
Taarab: Viumbe Wazito
17:01
Swahili Taarab
Рет қаралды 1,2 МЛН
Jane Muthoni - Ndoiga Ni Wega (Official Video)
5:47
JANE MUTHONI OFFICIAL
Рет қаралды 2,2 МЛН
Tuyasome Maandiko  -  Mapigano Ulyankulu Choir (Official Music).
4:36
Mapigano Ulyankulu Choir
Рет қаралды 15 М.
Mapigano Ulyankulu Kwaya Sisi Ni Barua Official Video
6:15
Africha Entertainment
Рет қаралды 491 М.
Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali
15:13
SANDUKU LA DHAHABU
Рет қаралды 625 М.
Nurmuhammed Jaqyp  - Nasini el donya (cover)
2:57
Nurmuhammed Jaqyp
Рет қаралды 675 М.
Munisa Rizayeva - Aka makasi (Official Music Video)
6:18
Munisa Rizayeva
Рет қаралды 14 МЛН
akimmmich (feat. Turar) - UMYTTYŃ BA?| official lyric video
2:54
Aq Koilek
2:51
Algyt - Topic
Рет қаралды 149 М.
Duman - мен болмасам кім? (Mood Video)
2:35
Duman Marat
Рет қаралды 187 М.
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
3:26
JYP Entertainment
Рет қаралды 65 МЛН