Barikiwa dada,Mungu mwenyeenzi akuzidishe akupe afaya na uzima.Aminaa.
@elizabethobege1789 Жыл бұрын
Mashaa-Alaah Dada, mimi ni shabiki wako katika vipindi vyako vya Mapishi mbalimbali
@googluckmboye545 жыл бұрын
Huyu mutu aliegundua utube abarikiwe sanaa, humu tunajifunza mengi mema na yenye faida, hongera mamy na ahsante kwa somo
@asmahtamla4749 Жыл бұрын
Umeonaee
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
@@asmahtamla4749 kabisaaa inatusaidia mno kwakweli, japo hii ipo huko ITV
@scholasticssimoni19546 жыл бұрын
uko vizuri sana dada unamuelekeza mtu hadi anaelewa ukotofauti sana na wapichi wengine sehemu nyingine wanaficha unabaki ukiona wakimalizia lakini wewe nitofauti sana mungu akuzidishie mara dufu
@rosemaryngowo23274 жыл бұрын
Mno aisee
@khadijasalehe13562 жыл бұрын
Kwan bagia hauwekii Amiraa jmn naomba kufaham
@yusufYusuf-di6wl6 жыл бұрын
Asant kwa upishi wa bajia pia shukran kwa advice I really love u mom # long live to benefit more from u
@user-hd2bh7qf7wАй бұрын
I like your recipe 🥰🥰🥰
@jacksonmkuye77396 жыл бұрын
Duuuuu Kochi mili siifaham, uwe unafafanua vizur basi viungo ambavyo sio maarufu sana kwene jamii zetu za mtaani uku ili tujue jinsi ya kuvipata ama mbadala wake. Asante kwa somo zuri
@irisanderson95936 жыл бұрын
Jackson MKUYE ni majani ya giligilani
@evabikabhai18612 жыл бұрын
Fantastic recipe. God bless you
@FatmaFatma-xs1vy Жыл бұрын
Asant san ❤️.mungu akubarik bwamafuzo
@safiaothman10983 жыл бұрын
Maa Shaa Allah. Naomba upishi wa sambusa za nyama.
@hafsahcletty59685 жыл бұрын
Mashaallah Shukran sana kwa maelezo mazuri.
@lauryjerry15663 жыл бұрын
Hello dear..love your recipe..i careless about the language!! Love from US
@claudiasekwa63895 жыл бұрын
Nice napenda sana bagia za dengu😋😋😋
@binwaelle11382 жыл бұрын
Thanks for the shearing 👍
@joycemwasote2959 Жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri nitafanya kwa biashara pia kwa familia yangu
@florerkombe95733 жыл бұрын
Anafundisha vzr sanaa she's de best
@fatimadalrymple6692 ай бұрын
If you cook them quikly do potatoes get soft - message from UK enjoying your cooking
@kajogusafarisltd.33885 жыл бұрын
Thanks you sooo much Dada!I have been longing to know how to cook Bajia.Mungu abariki mkono wako.keep up amaizing People.
@rhinaregina58066 жыл бұрын
Beautiful mom I love you from United States 👏 that true women wake up 😏😉
@rajabsuleiman48594 жыл бұрын
Mashaallah
@bijumakassim36975 жыл бұрын
Mashaallah nimeapenda mapishi yko dada shukran
@nyanzalakaporo25046 жыл бұрын
Safi sana nime jaribu zimekuwa tamu kweli, Asante sana Aunt.
@mwanaidinusra42484 жыл бұрын
So nc jamani napika kwa sauti💕💕💕💕💕💕💕
@zenazuku55572 жыл бұрын
Bagia nzuri sana hizi ! Nakushukuru sana
@mussajames88594 жыл бұрын
Asante dada umenifanya niwe mjasiriamali now natumia kama chanzo cha mapato.
@mwanahamis54873 жыл бұрын
Ahsante saan dada Sasa Hivi Napika bagia Nzuri saan
@dawillygene5 жыл бұрын
waooooooo, ninavyozioenda , leo nitapika zangu .
@wanzueni5 жыл бұрын
thanks for empowering women
@evaadam21462 жыл бұрын
Uko vizuri dada asante
@saumsiraji98704 жыл бұрын
Manshaa Allah shukran momy
@marryclemence58204 жыл бұрын
Khongeran sana kwan mko vzr sanaa
@fatmajezan68127 жыл бұрын
Very nice for sharing greeting for Yemen
@joycemagambo94144 жыл бұрын
Nzur umeeleweka asnte sana
@christinewilkerson13064 жыл бұрын
Napenda sana mapishi yako, you’re good,I’m always trying out your wonderful recipes😊
@marrykyabwazi26226 жыл бұрын
mama asante mm nakuunga mkono natengeza tens wikii hii nabizaa zingine nishaandaa, asante MUNGU akubarki
@nancysimoni22026 жыл бұрын
Napenda mapishi yako hongera mama
@azamtvahmed54963 жыл бұрын
Woooow ubarikiwe dada
@aureliana569 Жыл бұрын
Mashallah anafinfisha vizur mtu unaelewa hata kama kichwa yako ni ngumu😂😂😂😂
@moslim892 жыл бұрын
Masha Allah shaida zinaonekana tamu sana
@maryjoseph6973 Жыл бұрын
It v mapishi ni zuri inatufunza👍
@roselaurence10936 жыл бұрын
I just love the recipe
@ashabanza2963 жыл бұрын
Mashallah badia za kunde pia
@Iyoboofficial7 жыл бұрын
nice nimependa
@khadijahassan35046 жыл бұрын
shukran my love nimefurah sana leo
@maryamsalim3233 Жыл бұрын
Napenda mapishi yako rahisi sana
@kazumiharada39126 жыл бұрын
Oooh! Kumbe Chick pea kwa kiswahili ni dengu!! sitasahau...
@angelamoshi356 жыл бұрын
Kazumi Harada garbanzo bean Jina lingine
@kassimmanaramalika85924 жыл бұрын
Maishaallah najuwa kuzipika lakini unaelekeza vizuri nimekupenda kweli Maishaallah ,natamani kweli nione jinsi unavyopika biriani
@rhodakulwa17744 жыл бұрын
Nimezipenda sana bahia dada
@jullyregy30575 жыл бұрын
Nimekupenda bure dada na nimefurahi kwa kuwapa fursa wasio na kazi mana wanawake wengne wamezoea kuomba hela kila siku kwa wanaume ndo vile inafika mahala mwanaume anakuchoka changamken kina dada achen usister du! Uzeni bajia mpate hela ya mawigi hahahahahaa
@nassrapatrickpatrick55455 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂we jamn
@giftclassic81764 жыл бұрын
Et apo kweny mchanganyo wa kijani sjaelew jmn
@murependo1634 жыл бұрын
Asant kwa somo.mm natengeneza za biashara ila kipmo cjapatia za sh mia nafanyj
@MlzS-qq4ys Жыл бұрын
Shania thanks for sharing.
@jamilashemndolwa6251 Жыл бұрын
So nice,I like it
@mwanakherymgaya63234 жыл бұрын
hata mimi nimependa sana asante mumy
@lavieestbelle32635 жыл бұрын
Mtangazaji unaongea mno
@davidmdoe99673 жыл бұрын
kwa kweli
@TeamKRX5 жыл бұрын
Mbona ujunga jamani kasema kwa upana hamufahamu si mkate ka mimi SiO hamira 🤣🥶
@yusranizar52695 жыл бұрын
Allah akujazi kheri
@TeamKRX5 жыл бұрын
Uyo anamaliza😭😭😭😭mkaka mjeshi 🤣
@janethjustin52565 жыл бұрын
asante mama kwa kututia moyo thank you Darling😘😘👏👏👏
@ixhasaidy46446 жыл бұрын
Mashallah asante
@laurenciamushi87276 жыл бұрын
Santee mamii kwa somo lako nmefaid saaaana
@gracejulius50005 жыл бұрын
Ahsante mama akee
@annacharles53955 жыл бұрын
Ahsante sana kwa mapishi mazuri,nimejaribu ni tamu sana Mungu akubariki
@latifaathumani11294 жыл бұрын
Ukty wetu we love you 👌
@joycemhagama954 Жыл бұрын
Mama upo vizuri
@valentinanduku87182 жыл бұрын
Thanks for the sharing
@mariamsaidy66234 жыл бұрын
Asant sana dada
@akidasalim38594 жыл бұрын
Nimependa
@ramamshana65326 жыл бұрын
na sisi tunaotumia dengu kama mbegu na sio unga wake tunaanzaje?
@TeamKRX5 жыл бұрын
Mi naja kula nilipe mana jiko mmm sinaga sahau nilizonazo mara bada ya unga wadengu nikaweka ngano
@niyomwungereadiella64745 жыл бұрын
Asante sana kutufundisha
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
Na wengine huwa wanaweka hamira, sijui utofauti unakuwaaje hapo
@HusnaSimba-ml5ov7 ай бұрын
Nimekupenda bure, tengeneza na chatney tuijue dear.
@neemaa.mollel64865 жыл бұрын
Woow asante sana hapa nimetoka kupika zimenyonya mafuta balaa sitakosea tena shukrani
@evodiamhumba47646 жыл бұрын
asante Dada.
@pelagiashiyo54933 жыл бұрын
Iko vizuri mama
@loycemukali21952 жыл бұрын
Nimefurahi sana kwa hili pish
@TeamKRX5 жыл бұрын
Wengine wachoyo mi ata sijasikiliza wabaya mmm udenda shost unanitoka
@abudebinabri12877 жыл бұрын
shukran mungu akuhifadhi shaida
@user-mq2fh8jv7v6 ай бұрын
Naimani mzima mama tamani kujifunza vinzuri bangia
@halimamukhandi49163 жыл бұрын
Nice
@elminakalunga40305 жыл бұрын
Well done Shaida and Sunday.
@mozaali9413 жыл бұрын
ĺ I nipo v9v
@mozaali9413 жыл бұрын
vv
@mozaali9413 жыл бұрын
v high v v
@salmasaidi28756 жыл бұрын
Mashaa Allah
@naturelle1097 Жыл бұрын
Asante kwa mapishi mazuri. Ila zingatia mavazi ya mikono mirefu jikoni ni hatari..ikishika moto?
@jennjaja15867 жыл бұрын
Thanks. nitajaribu kupika.
@felisterphilemon92867 жыл бұрын
so deliriously ,and I'm great to know that
@masharamadhanmashaka65716 жыл бұрын
Felister Philemon asante mamy
@zuwenahoseni62764 жыл бұрын
Ma shaa Allah nimejifunza namie napika jazakallah khery
@khadijahaji78796 жыл бұрын
Mashaallah
@rithatwipa-oy6ne Жыл бұрын
Zikilala zinafaa dada yangu
@pilimashausi9305 жыл бұрын
Asante kwa mapishi rahisi
@leahmwangonda8057 жыл бұрын
nashukuru nimepata ujuzi.Lakini naomba maelekezo ya jinsi ya kupika tambi za dengu tafadhali.
@user-xu1mh6bk3b6 ай бұрын
Asalam aleykum dada mininaswali unanweka bekinipoda2 au na amila
@flomaje1J4 жыл бұрын
Asanteni sana kwa kutufundisha kidogo punguza mazungumzo maana cha maana ni kujua jinsi ya kupika
@fjhgfshh85142 жыл бұрын
🤣🤣🤗
@pamelakamenge26526 жыл бұрын
nashukuru nimeelewa
@RuthEma-hm1yv2 ай бұрын
Asante sana
@mauayusufumauayusufu78624 жыл бұрын
Mashallah
@ellyyona99884 жыл бұрын
Naomba no yako mama MPISHI nimependa bagia zako
@munirahassan22204 жыл бұрын
Mashaalah
@janelaflin51305 жыл бұрын
Safi sana napenda unavofundisha,je siwezi kuweka nyama ya kusaga ?
@jamirakawawa80715 жыл бұрын
mashallah nimepataaa kuelewa uzuri mungu akuweke nasi tusiojua kupika tujifunze kupitia kwako Inshallah
@kiddymaggy29183 жыл бұрын
Waoooo,,thank you
@teddyoscar43736 жыл бұрын
Woow nice
@lailakibalu592 Жыл бұрын
Maashaallah
@subiramrisho68824 жыл бұрын
mashaallah pia naomba number yake ya sim
@husnashariff45427 жыл бұрын
Salaam please show dal ki bhaji when u say bsji ya dengu we thought dal whole dal not ata