Nape mi nakupendaga sana....ukanyage usikanyage mi sijui...habari ya Mila yako haini husu I real appreciate you.
@justusowenda10467 жыл бұрын
Mke wangu akanyakue hivo out of my dear body!!! Cwezi kuoa Lindi p1 na mke wa CCM
@salimmalaatu36637 жыл бұрын
congregation sanaaa kiongoz shupavu wa watu wote Nape Nnauye
@jullipusoe78384 жыл бұрын
For the love of CCM .... Asante sana Mwalimu Nyerere
@ZainabZainab-ok8tm7 жыл бұрын
hongera saana mh nape pia hongeren saana wana kilwa kwa upendo wenu kwa mh NAPE
@missmuunasharifu23237 жыл бұрын
duuuh nimeipenda hiyo sijawah ona tangu nizaliwe duuuuh sikwamapenz hayo.Ama kweli mtu wa mtu
@missmuunasharifu23237 жыл бұрын
mtu wa watu
@blaymbilinyi7067 жыл бұрын
kwakeli nimeamini huyu ni Mutu wa watu maana so kwa mapokezi hayo .......
@gastormichael76777 жыл бұрын
Hongera nape mungu akupe nguvu...!!!!!
@getrudmmm7 жыл бұрын
hzi ni mila za watu wakusini wamakonde na makabila ya yanayowazunguka na pia ukiolewa na wamakonde unafanyiwa kama alivyofanyiwa nape tena hadi wanaume wanalalaga chini mtu anapita juu ila hata ukimmisi ukalala chini akapita ni heshima ya kimila mbona wachina na wakorea wanainamisha vichwa na migongo wakimsalimia mtu nahamsemi wajinga kila mtu anamila zao na pia zinahitajika zieshimiwe
@fatumadjumbe25517 жыл бұрын
nape oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee upo juu
@josayathegreat49477 жыл бұрын
kama n Mke wanguu akikanyagwa kiuno atatafta pakwenda
@sayrahussein90245 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hamzakahangwa90437 жыл бұрын
Hii ya kukanyaga viuno vya mama zetu Mungu aepushie mbali! sijui ni mila za huko!?
@fatmaalrshdii76154 жыл бұрын
Ndio mila zetu wakusini
@drex817 жыл бұрын
Huku hatuitaji red carpet miili yetu inatosha hahahahahaaaa
@elizabethmakunzo24997 жыл бұрын
sjaelewa hapa mbona kama majungu ya ccm kwa ccm hahahaaa salamu zimfikie mccm Bashite hahahaaa
@richardmbok92467 жыл бұрын
upon vzr nape huna shida
@salimhadija23697 жыл бұрын
mimi atakam sielewi naona ni heshima ya mama abeba mtoto wake sioni ubaya ni raha ya mama kwa mtoto hong era watanzania
@dottoabdallah43537 жыл бұрын
nampenda sana Kaka Nape
@fafi90927 жыл бұрын
Ccm oyeee
@mpewashiyawi99427 жыл бұрын
kwa mini wanaume wasikanyagwe viuno,nape anapaswa kuelimisha tamaduni mbaya za uzalilishaji! fikiria make wako anafanyiwa ivo.
@sylvestermsafiri43727 жыл бұрын
Mhm!
@mako3317 жыл бұрын
sasa hawa wamama wakivunjika migongo Nape atawatibu, Africans bado tuko na upuzi mwingi, hata kama ni upendo not this far, mtu anaweza kuumia
@edwardmagembe90117 жыл бұрын
hakika wapiga kura wako wanakupenda mh Nape
@emmanuelaggery68777 жыл бұрын
congrats napee
@mkude7 жыл бұрын
nyinyi wengine comment zenu mnaongea hamuelewi eti mnapinga nape kupita juu yao mtajuaje labda ndo mila za maeneo yao kama kupewa heshima.jee mngemuona rais zuma wanawake wanavyomchezea uchi mngesemaje
@anthonykusita71027 жыл бұрын
mke wangu angekuwepo napiga chini siku hiyohiyo.ccm mbelembele
@dicksonmusiba97282 жыл бұрын
Mara paa kavunja uti wa mgongo unapata kazi ya kufua mikojo na mavi.🥲
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Majitu yasiyo na akili yamelala ili mtesi wao apite..
@swaburyrwamlaza14797 жыл бұрын
mtu wa watu kweli
@ezekielmwadomba46757 жыл бұрын
NIKIFIKIRIA,NAONA NAPE HANA KOSA,HUENDA HUO NI UTAMADUNI WAO WAHUKO KWAO.TUKIANGALIA JACOB ZUMA NAE ALIPOKWENDA KWAO ,NAKWAMILA ZA KWAO,WALIANDAA WASICHANA WAKUMPOKEA, NAWAKUTOA BURUDANI, WALIKUWA HAWANA NGUO ASILIMIA 99%.ILA NAMPONGEZA NAPE SANA SANA!
@allyomar46517 жыл бұрын
uyooooo mdogowake makonda
@lucyhadwiger31647 жыл бұрын
mila na desturi lazima zifuatwe..wamakonde ni watani zangu nalijua hilo..
@Chris-cb2dj7 жыл бұрын
kwann hao wanawake wanalala chini?plz jibu
@kingcobra92387 жыл бұрын
hii ni dalili nzuri kwa nape uongozi mkuu unakuja
@hamisikumwalu74957 жыл бұрын
hiyo siomila ni ujinga wa watu wachache ambao wanaipenda sana cmm, bila kujua utuwao ,example kama amekua mkeo apo utachukua hatua gani akirudi nyumbani kamakweli ni mwanaume ambae unajitambua pia nakujua nini dhamani ya mkeo,
@susannesusie32177 жыл бұрын
siku ccm wakiachaunafki watakua huru hata mwl Julius J Nyerere alisema ccm si baba yake wala si mama yake
@hashimmusa94857 жыл бұрын
nape nnauye ni kipenzi cha watu
@hamisikumwalu74957 жыл бұрын
salim mlaze mkeo akanyagwe kiononi na mtu ambae sio mumewe utajiskiaje
@hamisikumwalu74957 жыл бұрын
Gertrude, hiyo mila ya wajinga wa ccm wasio na haya
ntamwishimiro venas Sio upumbavu, ni kuonesha hisia zetu
@James-y3j2v7 жыл бұрын
Sincom huo uhuni wa wananchi
@anthonymsemakweli92507 жыл бұрын
ntamwishimiro venas upumbufu upi huo?
@nefertitibelinda1146 Жыл бұрын
Utopolo mtupu.😅
@petromtakati29757 жыл бұрын
Mama yangu angefanya ujinga huo tungepambana walai
@tanzaniakwanza95647 жыл бұрын
sijapenda ulivyo kanyaga watu juu tena kwenye matanda zao eti unapita , kwa kisingizio cha cha upendo,ata kama wamelala kwa mapenzi yao wenyewe ila ww kama kiongozi mwenye busara hukupaswa kufanya hivo huu ni udharirishaji wa hali ya juu sana, si jambo zuri kwa kiongozi kama ww.