Nape Nnauye atishiwa bastola kwenye mkutano na waandishi wa habari

  Рет қаралды 217,181

Bongo5

Bongo5

Күн бұрын

Пікірлер: 221
@aronmwambipile2363
@aronmwambipile2363 7 жыл бұрын
Well said by Nape, umezidi kuniaminisha kua umekomaa kisiasa,nimeipenda sana speech yako
@deogratiusmnanka6030
@deogratiusmnanka6030 7 жыл бұрын
Aron Mwambipile kweli brother nimemuelewa
@sudisepti6826
@sudisepti6826 7 жыл бұрын
Deogratiouc Mnanka ✌
@davidfred2592
@davidfred2592 7 жыл бұрын
Pole sana Nape, ni kweli maisha lazima yaendelee..nitakukumbuka kwa uzalendo wako wa kukipigania Chama cha Mapinduzi. Umefanya kazi nzuri kama Waziri wa Habari,Sanaa, utamaduni na Michezo. Big up
@josephinejoachim3135
@josephinejoachim3135 7 жыл бұрын
eeeeeeh mwenyez mungu tusaidie
@felixalbert7420
@felixalbert7420 6 жыл бұрын
David Fred bao la mkono hilo,, dhambi hsijawah muacha mtu salama
@nassorcholo2990
@nassorcholo2990 7 жыл бұрын
U are our hero. Nape hama CCM uende Chadema.
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
wala asihame ili waelewe mabadiliko yapo hata ndani ya ccm,shime watakuelewa tu hao abiria wa lushanga bus.
@robertadolf562
@robertadolf562 6 ай бұрын
wanafki..ugali unawaponzaga hawahamii hawa
@husseinally7052
@husseinally7052 7 жыл бұрын
mujeshimiwa nakukubali sana wish u all the best tunaijua kazi uliofanya kuifikisha ccm hapo ilipo,mungu yupo pamoja nawe.
@piusbaruhuwundi8987
@piusbaruhuwundi8987 7 жыл бұрын
Just loved the speech
@aloysevodius7761
@aloysevodius7761 7 жыл бұрын
Nape wewe ni soldier Mungu akuongezee akili na ujuzi wa kujituma nakupendaga sana mimi
@chachamagesa4384
@chachamagesa4384 7 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa Nape ,umeongea vizuri sana nakupongeza.
@elisantegabriel5064
@elisantegabriel5064 7 жыл бұрын
inaudhi sana alichokifanya mheshimiwa sio kizuri hata kidogo unamfukuza mtu kisa kasema kweli
@adamdamas8352
@adamdamas8352 7 жыл бұрын
Nape ni kamanda kama makamanda wa chadema chadema hoyeeeeeeeeeeee mungu ni mwema najua hayayote yanayotendeka iposiku itafikamwisho
@elisantegabriel5064
@elisantegabriel5064 7 жыл бұрын
alichofanyiwa Nape ni uonevu , haiwezekani kumvua Nape kisa alitaka RC Awajibishwe RC anafanya makosa ya kipuuzi wazi wazi alafu anatetewa
@bennymgaya2277
@bennymgaya2277 7 жыл бұрын
Goli la mkono liko wapi?
@a.a.7029
@a.a.7029 7 жыл бұрын
Naomba watanzania ni wakati wa kuungana na shikamana bila kujali udini wala ukabila ili kuwatoa hao watu wawili hawafai kabisa Hongera sana Nape wewe ndio shujaaa👍
@emmanuelluiso4872
@emmanuelluiso4872 7 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana mh.nape Mungu akusimamie kwa hili
@mussampalo9454
@mussampalo9454 3 жыл бұрын
Pole kamanda ila mambo yanachange Now your leader again.. God is Good.
@umranim5854
@umranim5854 7 жыл бұрын
kwakweli si haki kabisa ina sikitisha sana pole sana muheshimiwa nape haijawahi kutokea serekali ya awamu zote zilizo pita kutokea vitu kama hivi vitu vya kusikitisha sana mnako kwenda pabaya hakuna amani tena mungu ibariki tanzania
@issaasajenie4394
@issaasajenie4394 7 жыл бұрын
Pole sana mh..nape ipo siku tutajikomboa na hii hari..i love my tanzania
@dengerengisaruni1859
@dengerengisaruni1859 6 жыл бұрын
Pole sana lakn sic ulimkataa mh lowassa bac ndoo malipo yako nape
@barakaboniphace4067
@barakaboniphace4067 2 жыл бұрын
Good 😊
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 3 жыл бұрын
Pole sana nape ila pia ulifanya utovu wa Nidhamu kukaa kimya pia niheshima
@sudisepti6826
@sudisepti6826 7 жыл бұрын
nashkuru kwa matus yako mungu atakulipa oky
@mosesjackson_tz
@mosesjackson_tz 3 жыл бұрын
Legendary speech.
@elliudyayubu
@elliudyayubu 7 жыл бұрын
Kaka umekomaa kisiasa.....hongeraa
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 3 жыл бұрын
Fimbo ya mungu ni kali Liko linashitakiwa kwa mauwaji Lililo kushikia bastora mh Nape
@gracialm879
@gracialm879 7 жыл бұрын
Daaaah aisee tz nchi yangu......
@JerubaalXerxes
@JerubaalXerxes 7 жыл бұрын
Thank God Nape anavuna alichopanda....bado CCM mtavuna msipozimia moyo endeleeni kuipanda CCM...CCM itawatumia ikichoka inawatema na ndani mtalala. Aluta continua
@mussabinford9872
@mussabinford9872 3 жыл бұрын
Nmejifunz kityu mheshimw nape 🙏
@festodangote1458
@festodangote1458 7 жыл бұрын
Nape pole San
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
😢😢😢kaz IPO EEE Mungu magu wew kunkoelekea utaarb nchi
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
wapi Lema mbeba maono????"haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu kwa watu wote"pole Nnape brother
@jacksonmpumpa2262
@jacksonmpumpa2262 7 жыл бұрын
kwakweli mungu tulinde naanza kuona mpasuko kwa mbali ......... ivi kwanin jambazi bashite asiondolewe.......... nasubiri skendo kubwa sana zaidi ya hii kwa maana sasa kitatafutwa kiini cha kwann jambazi bashite asichukuliwe hatua,,,,,,,,,,,,,,, 1.kafoji vyeti 2,kavamia clouds 3.kutishia kwa kutumia bunduki mbona kitwanga alilewa tu akaondolewa kwann c huyu jambaazi bashite,................ tunakoelekea anajua mungu
@latifaayoub5750
@latifaayoub5750 7 жыл бұрын
Cjui kwanini nalia hapa, pole sana nape Mungu yu nawe
@happyyohana9164
@happyyohana9164 7 жыл бұрын
tukipat viongoz wengi kama nape,,,wanaosimama kwenye u kwelii,,hakik nchi yetu itafk mbali
@yusufalmamari4236
@yusufalmamari4236 7 жыл бұрын
pole nape
@khalidvova6601
@khalidvova6601 7 жыл бұрын
huu ni wkt sasa wa kumpa sapot zote nnape
@andrewkilave3532
@andrewkilave3532 3 жыл бұрын
ila haya maisha daaah yanafumbo kubwa sana
@hashimabdalah3161
@hashimabdalah3161 6 жыл бұрын
Daah bao la mkono leo limegeuka kweli lema alisema wakimalizwa wapinzani wataludi kwa ccm wenyewe ni kweli leo yametokea
@saidipunzi1780
@saidipunzi1780 7 жыл бұрын
Words are pain ver pain
@ramambongo4069
@ramambongo4069 7 жыл бұрын
Nape hongera sana ila rizik ikiisha imeisha pambana tu sana kaka
@josephjosephat7826
@josephjosephat7826 7 жыл бұрын
dah yan huyu mtu kaja tu anaonyeshwa bastola arudi kwenye gari haondoke . hayo n madhara ya kuweka chama madarakani mda mrefu kikawa beberu na maamuzi ya kibeberu maama wanajua hakuna wa kuwakosoa na pnd wa kuwakosoa wanapotokea hapo khal huwa tete kama hivi
@mwajumashabani438
@mwajumashabani438 7 жыл бұрын
sio vizuri kabixaa
@piliyusuph1485
@piliyusuph1485 7 жыл бұрын
daaaah! moyo unanium xan pole baba
@joshuajlemey5839
@joshuajlemey5839 7 жыл бұрын
Dah aisee patamu
@chilamboxhila2716
@chilamboxhila2716 7 жыл бұрын
kuenguliwa kwa mh.nape ni uonevu mkubwa sana,ccm inaanza keteketea .
@estherwangare9759
@estherwangare9759 7 жыл бұрын
aliyetoa bastola na aliye mtuma wanafaa washikwe coz it's a free country and everyone has right to speak as long as si hate speach ...but kutoa bastola kwa umati ni vibaya
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 6 жыл бұрын
watu wasio julikana wana kamatwa vp sasa 😀😀😀
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Makonda apelekwe kotini hio aliofanya ni jinai haina tofauti na Ole Sabaya na uovu wake.
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
hali hii yani hata kizazi changu siombi wawe waongozo hatarii afadhali kizazi changu kiwe wana biashara ama muuza maji hii ni hatari roho mkononi
@adambago
@adambago 7 жыл бұрын
Unajua Magufuli watu wanakupenda sana, angalia watu wachache wasikuharibie. Hivi ubabe wa kuvamia vyombo vya habari una maanisha nini? Kwa nini sheria zisifuatwe? 'Power corrupts, and absolute power corrupts absolutely' Matatizo yote haya yanatokana na Makonda na Mchungaji Gwajima. Wameshindwa kuombana msamaha, kila mmoja anajifanya mbabe, mwishowe watu wanashindwa kufahamu kati yao ni nani mjinga. Tuachieni nchi yetu Bwana. Bastola hata siku moja haijawahi kuleta maendeleo...
@robertwanda6743
@robertwanda6743 7 жыл бұрын
mimi naona raisi anaongeza maadui kwenye nchi sasa tusubili 2020 kazi ipo asipo jitangaza mwewe ajuwe hana chake yafaaaaa
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 7 жыл бұрын
Nape big up
@sudisepti6826
@sudisepti6826 7 жыл бұрын
ni ivi jamani mbona tunapenda kushangaa mambo ambayo c ya kushangaa kwani tujiulize wameshapita wangapi kama hao akina napeeeeeee
@arafabakari4168
@arafabakari4168 7 жыл бұрын
Nchi huru uhuru uwapi sio sawa kabsa
@mimifulani948
@mimifulani948 7 жыл бұрын
sasa JPM mbona anavofanya sio ishu uonevu kabisa yan
@gervasmlowe916
@gervasmlowe916 7 жыл бұрын
Inatosha
@stevenurio1932
@stevenurio1932 7 жыл бұрын
This is Unfair....
@martharobert44
@martharobert44 7 жыл бұрын
yan xio poa kbxa juz alikua anahexhimika leo anadharirixhw kiajabu ajabu yan
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 3 жыл бұрын
Aliyemtuma huyo kashapoteaga Mungu fundi
@hemediphdvevo5338
@hemediphdvevo5338 7 жыл бұрын
huyu laisi sijui limbukeni ya ulaisi au yani anasifa kweli
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 6 ай бұрын
Nape anakuja juu maana wenzake walimgeuka kwenye ulaji
@buthainaalhabsi1171
@buthainaalhabsi1171 7 жыл бұрын
jamaniii mhhh muvi bado kalii
@charznyamaresa5571
@charznyamaresa5571 6 жыл бұрын
waliopigwa risasi mnawanyamazisha ungetwangwa 2 mmetufikishapabaya nawewe umehusika hufaikutwambia chochote sasa wqtuwanapotezamaisha damu yao ijuuyenu mnafikri hamtafikamwisho
@charznyamaresa5571
@charznyamaresa5571 6 жыл бұрын
malipo hapa hapa duniani hukumbuki ulichowatendea wenzako mhhh
@ahmedkhamis9470
@ahmedkhamis9470 6 жыл бұрын
Mh. Nape hili tukio mimi nilikua naliskia tu kwenye bunge likizungumzwa watu wanapokua wanatolea mifano baadhi ya matukio yanayotokea ktk taifa letu. kumbe hili tukio mh lilikua sirio kabisa
@ozilozil5929
@ozilozil5929 7 жыл бұрын
kwani jamani tundu lisu alipo sema tuna dikteta uchwara mlikua wap
@abdallahchota9175
@abdallahchota9175 6 жыл бұрын
Druuuuu
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 жыл бұрын
Huyo asiye pangiwa ni vile kujua kwingi...mbele giza! Na kuchamba (kunawa) sana mwishowe hutoka na mavi! Hana nadhari kwenye ubabe wake. Nape alisimama kumkingia kifua Rais ili serikali ionekane ime chukua hatua. Asiye pangiwa kakurupuka kuonesha kamaanisha kudharau si tu waandishi bali hata walio mpigia kura!
@Alpha-Tv09
@Alpha-Tv09 7 жыл бұрын
Tanzagiza....
@jonasjonas9062
@jonasjonas9062 7 жыл бұрын
msema kweli mpenzi wa mungu.ww ndiye mpenzi wa n mungu wa ukweli.ulipo tupo tupo pamoja na ww popote uendako
@idayagangs124
@idayagangs124 7 жыл бұрын
wametumwa nauyo malaya wao
@lupetamhagama2145
@lupetamhagama2145 7 жыл бұрын
😢😢😢😢 i feel crying
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 жыл бұрын
lupeta mhagama yaan nimeumia kwl ani
@hemediphdvevo5338
@hemediphdvevo5338 7 жыл бұрын
katika maisha yangu haito kuja tokea mm kupiga kula kumchagua mbulula wowote
@adamamani2073
@adamamani2073 7 жыл бұрын
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha malipo ni humu hum
@kingdulle1987
@kingdulle1987 7 жыл бұрын
Alisema usifanye sherehe unapochaguliwa ila ufanye sherehe utakapotenguliwa duh! kweli kazi tu na tutaisoma namba.
@nzomukundafatuma5364
@nzomukundafatuma5364 7 жыл бұрын
nape mungu atakulinda nilele
@jumamuhozi9267
@jumamuhozi9267 7 жыл бұрын
wamekuonea sana tena
@ezekielgaja9767
@ezekielgaja9767 7 жыл бұрын
ya muheshimiwa tundu yanatimiaaaaaaa! Mungu aturehemu
@nichorousmwakanyika7932
@nichorousmwakanyika7932 6 жыл бұрын
akome kwani wanatuletea mijitu ya bulundi kuja kutukomesha sisi wapinzani yeye yamemkuta inamuuma pumbavu
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 3 жыл бұрын
Hakuna watu wabaya kama waandixhi wa habari, xaxa mtu yuko na prexha za baxtolo kixha unamuhoji unafkiri ataongea nn?
@tedikipesile7532
@tedikipesile7532 7 жыл бұрын
pole bb ww bado ni mbungewe2
@liberatusmanase686
@liberatusmanase686 7 жыл бұрын
wamekupiga goli la mkono, goooooo!!!!!
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 6 жыл бұрын
Kuna Siri nzito kati ya kufuli Na konda ktk nchi hii
@ramadhaniligoneko1221
@ramadhaniligoneko1221 6 жыл бұрын
Police tuchenge matumizi sahihi ya bunduki kazi njema
@shabanijuma9478
@shabanijuma9478 7 жыл бұрын
Mtu kama.nape ananyooshewa bastola je mimi na wewe kajambe nan si tutauwawa.......allah atuongoze kwa hili
@sudisepti6826
@sudisepti6826 7 жыл бұрын
kama mulikuwa hamuijuwi ccm bas ndo hiyoooooo wanasema kwamba ccm ina wenyewe ila kwangu mimi nasema ccm haina mwenyewe
@leylamarey7955
@leylamarey7955 7 жыл бұрын
"mm ni mtetezi wa wanyonge" says Raisi, nape bora kutolewa kwa kupigania haki kuliko kukaa madarakani kwa kukandamiza watu
@sudisepti6826
@sudisepti6826 7 жыл бұрын
mi kwangu naona ni sawa tu kwani mtu huvuna alicho kipanda ccm oyeeeeeee
@loserianmelita6332
@loserianmelita6332 7 жыл бұрын
you just think before you talk fakasess
@loserianmelita6332
@loserianmelita6332 7 жыл бұрын
you just think before you talk fakasess
@sudisepti6826
@sudisepti6826 7 жыл бұрын
David Mageta 😷
@sudisepti6826
@sudisepti6826 7 жыл бұрын
Ivi we ni muungwana au ni mbwaa kuma la mamaako
@evelinamatonya4975
@evelinamatonya4975 7 жыл бұрын
Stupid
@deogratiusmnanka6030
@deogratiusmnanka6030 7 жыл бұрын
Kweli Yanga ni timu nzuri sanaaa
@shamimoally4679
@shamimoally4679 7 жыл бұрын
hahahhaa tunaendelea kuisoma tumefika 6 na ndio kwanza 2017.......zimebak 7 8 9 nahis tutamaliza kuzisoma
@samuelkayinga7109
@samuelkayinga7109 7 жыл бұрын
hatuna cha kuogopa isipokua uoga wenyewe
@lusekosanga1635
@lusekosanga1635 7 жыл бұрын
kweli malipo ni hapa hapa,bao la mkono
@gracerosi6179
@gracerosi6179 6 жыл бұрын
Kisa ulipiga kampeini ndo upelike watu kifojar kapempen acha vorugu
@elliudyayubu
@elliudyayubu 7 жыл бұрын
Daaah
@petermahoiga7882
@petermahoiga7882 7 жыл бұрын
KW akili yangu ndogo, NAPE najua mpaka anafanya mkutano na waandishi alipaswa kufanyia ofsin kwake sio barabarani, na sio NDA huo angevuta NDA kwanza hasira na huzuni zikaisha. ALICHOKIFANYA KWA HARAKA VILE NI KUKOSWA NANHII.
@masseanadir2904
@masseanadir2904 7 жыл бұрын
2020 tusaidie kupga goli la mkono tuitoe ccm madarakani
@adelardkanje7516
@adelardkanje7516 7 жыл бұрын
😨😨😨😭😭😭😭😪😥😩😫😱😱😱😱😱Rais acha ukabila ongoza nchi kwa haki utaitwa Rais sababu ya kura zetu usifanye tujutie kukuchagua pia uctufanye wajinga we ni mtu gani usietaka kushauriwa tafadhali uctupeleke kidikteta
@ericksadala177
@ericksadala177 7 жыл бұрын
tutafika kweli kwa khali hiii mbona inchi inaenda kubaya jamani
@JUMATHINEYABEIDThnei
@JUMATHINEYABEIDThnei 7 жыл бұрын
Adelard Kanje makosa afanye mwengine ajibike mwengi toka ccm hawana maana hawo2 vibaraka
@mwanalegaamin4445
@mwanalegaamin4445 7 жыл бұрын
✌njo
@samuelkayinga7109
@samuelkayinga7109 7 жыл бұрын
kama hii nchi ingekuwa kama group la whatsapp ningekuwa nime left
@ayubujackson5782
@ayubujackson5782 6 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais kiukweli ulimukosea Nape unapashwa umuombe radhi haijalishi kuwa wewe n mkuu Wa nchi
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 3 жыл бұрын
Serekalini haitokexea tena Kumpa mxukuma
@willbroadcyprian2909
@willbroadcyprian2909 7 жыл бұрын
.naiombea Tanzania amani yetu hisitetereke
@mwajumakombo6709
@mwajumakombo6709 7 жыл бұрын
walichomfanyia nape ni uonevu daaaah ...rais aaliangalie hiliii kwa makini
@davido8089
@davido8089 7 жыл бұрын
Yule askari alitoa bastola akumbuke kuna kufaaa yeye anaulizwa kitambulisho yeye anatoa bastola
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
mgemuacha aseme yakwake jamani hapo ss nimeona kuwa ni wonevu kbs yn
@abdulissa3371
@abdulissa3371 7 жыл бұрын
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania
@abdulissa3371
@abdulissa3371 7 жыл бұрын
pole saana
@justinemgomi9561
@justinemgomi9561 7 жыл бұрын
haya yote yatapita Mungu tuongoze 2020 ifike kesho
@barakashedrack3727
@barakashedrack3727 7 жыл бұрын
bahati mbaya wewe sio msukuma unge bebwa na hilo ni onyo kwa wengine msijaribu kugusa kiziwanda cha Muheshimiwa
FULL VIDEO: Nape alivyozuiwa na Polisi "alietoa Bastola aje hapa'
23:39
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
Ukweli wa Nape Nnauye kuhusu kutenguliwa uwaziri
20:21
Millard Ayo
Рет қаралды 55 М.
Maamuzi ya Nape Nnauye baada ya Clouds kuvamiwa
10:34
Millard Ayo
Рет қаралды 232 М.
LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA
2:27
Junior Syaary
Рет қаралды 784 М.
KAULI YA NAPE
3:23
Mwananchi Digital
Рет қаралды 12 М.
SINDIKIZA ZIGOOOO
5:16
Joti TV
Рет қаралды 386 М.
Mapokezi ya Nape Nnauye baada ya kufika jimboni kwake Mtama
15:35
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.