🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Пікірлер: 9
@JumaSaid-v2c2 ай бұрын
Kumbe manaleta migogoro kwaajiri yamatumboyenu kwahali hiyo Tanzania bd sana
@marcokaroje89802 ай бұрын
Ina maana Magoma alichelewa kushtaki/kulalamika basi akojoe akalale
@fidelfidel-jz4iw2 ай бұрын
Wewe ongea mambo muhimu mzee magoma upo fiti ana akili timamu kila mtu anamuelewa uzee unatoka wapi umri ni namba tu kitu muhimu ni points
@matiankomola23912 ай бұрын
Nyie ndiyo Wachochezi! Kama wewe humwoni mzee, Wapo wanaomwona ni mzee! Ahsante!
@KasukuluMwenbungu2 ай бұрын
Magoma ana akilitimamu
@rehemamkumba92332 ай бұрын
Magoma kawashika pabaya😂 yanga haina bodi
@Robust782 ай бұрын
Inamaana kwa maelezo yooote hayo bado hujaelewa? Ndiyo maana mzungumzaji ametamka kwamba wasomi tuu ndiyo wanaweza kuzungumzia jambo hili. Wasiokuwa wasomi wakae kimya wasubiri tu matokeo.
@juliusmsangi68492 ай бұрын
Tanu ni tofauti na CCM! Huna hoja! @@Robust78
@ramadhanimrungu58062 ай бұрын
Nyinyi umeni kichwa uyo magima wenu mtamkimbia ana lolote njaa inamsumbua