The year is 2024 and I'm still listening to this timeless classical song. Marjani oozing wisdom 🙌
@edwardpeter85695 ай бұрын
we're together now
@benjaminsanare-ug6ge Жыл бұрын
Tunaomsikiliza Marijani rajabu 2023 gonga like apa
@wangaable14 жыл бұрын
tized boy wewe ni wetu tena sana for posting this song. In the 70'sand 80's we were spoilt for choice as we had real good stuff from Tz, Zaire and of course soul, r 'n'b.We assumed we had a divine right to access great music and we probably didn't appreciate it as much as we should have. With the benefit of hindsight though, we now know better as what passes today as music is just intolerable noise. Lovers of real music like me know the world is suffering from an acute dearth of quality music.
@juliusotucho44366 ай бұрын
Wenye mtakua hapa 2090 jua kuna wakati we had real music composers!!!
@clivemuseveni77863 жыл бұрын
Karibu niyapitie hayo hayo masaibu ya Musa, ni mungu tu aliingilia ndoa yangu. Nilikata shauri maneno ya wanawake wa nje sitaki tena. (True story)😱😱😱
@aminarashid39162 жыл бұрын
Huu wimbo ulitutoa jasho kwenye wa mtihani wa kiswahili wa IV.Sijuhi rekodi hii ya kuingia kwenye mtihani wa Taifa IV Itavunjwa na wimbo gani kwa wasanii hawa wa leo
@faisalyasin65348 жыл бұрын
Namkumbuka Marijani, akiwa na Morani Jazz..... alikuwa akiishi Hoteleni, karibu sana na nyumbani kwetu.........namkumbuka sana na Kaunda suti........RIP....mungu akuweke mahala pepa peponi.
@bismassshilla20256 жыл бұрын
hatariiiii!!
@nickosimchimba81765 жыл бұрын
Mim ni kijana wa miaka 25 lakin napenda sana hiz nyimbo zina maadili na heshima!!!!sio kama za kihuni za sasa
@HabibuThabiti6 ай бұрын
Sio WW ata mimi nazipenda Sana
@edwardpeter85695 ай бұрын
wewe ni wa pekeee
@HabibuThabiti5 күн бұрын
Sio ww adi mimi
@nikompemba36555 күн бұрын
Karibu
@flowila829 жыл бұрын
safi sana, mashairi yaliyokamilika mpaka balaza la mitihani tz iliamua kutumia bahadhi ya maneno ya hizi tungo kwenye mitihani ya shule, pumzika kwa amani jabal la muziki
@antonia76ful14 жыл бұрын
walai nakushukuru sana sana kwa huu wimbo,i takes me back in time na inanikumbusha wazazi wangu.i cant explain wat memories this song brings,oh it rocks.thanks once again
@beatriceomukuti44792 жыл бұрын
Wasema polepole!
@emmanueljoseph61717 жыл бұрын
Nyimbo zenye maudhui na ujumbe ulioshiba,mashairi yenye mpangilio hadi raha,
@stephenndagalla81836 ай бұрын
Mashairi bora na tunzi yenye mafunzo, hadi moja ya ushairi wake kuingizwa kuwa moja ya maswali ktk mtihani wa kidato cha 4 mwaka 1974. Somo la Kiswahili (fasihi).
@ahmedmhekela92972 жыл бұрын
Noma sana hivi visa vipo na ni mambo ya kujifunza Mussa aliumwa na nyoka bonge la Fasihi.
@aggreychoreh9937 Жыл бұрын
Mambo haya kawaida, wimbo huu naupenda Sana, wanikumbusha radio vok Kenya,
@kachme67199 жыл бұрын
Nilisikia nyimbo za Marijani nikiwa shule ya upili miaka hiyo ya themanini. Wimbo huu Mwanameka ulinigusa sana hadi leo hiI.Nikiusikia tuu, katika fikra nikiwaona wahusika wakuu na msimulizi.
@OmaraDuke12 жыл бұрын
Every time nikisikia hi song, mi ukumbuka niki stray nitakuwa kama Musa. Mwana Meta umeleta maneno. Just keep your maneno from me.
@wafulab8 жыл бұрын
This was the best of them all. Packed with wisdom, carefully crafted, you can't pass this one over. Made my teenage years memorable. I will still appreciate a better quality sound-wise. It used to play better on KBC/VOK na sauti zote zilitoka, mdomo wa bata, senyenge....
@beatriceomukuti44792 жыл бұрын
I had to look for the original cd. I play it almost everyday.
@fredrickkassilly3142 Жыл бұрын
Wonderful Music. It Educates. It Entertains. It Informs. Full Of Wisdom. Vielen Danke Marijani Raajab!!!
@majolasaid15298 жыл бұрын
Mwanameka ni wimbo safi sana unanikumbusha miaka mingi ilyopita niko shule tukaimbiwa na mwalimu wetu katika mada ya Fasihi simulizi kipengele cha sanaa uko poa sana kuliko nyimbo za kileo ila tunaba muurushe ktk mitandao mengine ili yupate ku download
@kapituomary23446 жыл бұрын
Majola Said kweli kaka halafu hapa wameweka haujakamilika
@milphatmasoud53173 жыл бұрын
Hii wimbo wawezakushiba hatakamaunanjaaa
@SuperDeogratius11 жыл бұрын
hizi ndio nyimbo ndugu zangu na sio nyimbo za mipasho now days
@jessicandabey4217 жыл бұрын
form four nilikumbana na wimbo huo, ilkuwa kazi kubwa.
@kelvinwilliam77543 жыл бұрын
DAAA NI KWELI
@mammukaratu2084 Жыл бұрын
Nlichua A YA KISWAHIL KIDADAVUA HUU WIMBO NECTA 1991
@wachiramoses93882 жыл бұрын
Reminds me of a guy we used to call Rurigi back in 1977-1979, this guy left his aging Grandparents and went his own ways,never looked back. His grandmother died in 1980 and was interred at Nanyuki Cemetery while his Grandfather died later in July,1984 and was buried at my neighbour's farm,this man has never come even to see his grandfather's grave,Rurigi wewe!!!
@mswahili7512 жыл бұрын
mungu wangu. tuliokuwa marekani tukisikia hii we freeze
@stephenmokaya Жыл бұрын
How can download it
@kingcool7713 жыл бұрын
wangu hizi ndio za kutukumbusha wapi tunapotoka km uko nayo ya mama maria sio mbaya yaanani naipenda sana nyimbo hiii woooooooooooooooooooooooh
@nemestemba87648 жыл бұрын
A Good Song with teachings for married couples
@kapituomary23446 жыл бұрын
Ulivyogungua nimlembo ukazidisha na mapambo mwanamekaaeee
@livancenjau73323 жыл бұрын
Baada ya kisa eehe mwanameka umefanya mkasa,kweli wani sikitisha,mara musa humtakieee hata kumuona upendi,sasa musa ame umbuka kakosa mwana na maji ya moto,
@bakarihassan90722 жыл бұрын
this song make me crying cause is my grandmother favorite now she's passed away
@hamphreyhlyatuu52154 жыл бұрын
Nyimbo za Marijani raha na ujumbe mzito
@deekeyish13 жыл бұрын
mshanaeli ....umegonga ndipo,wapo wengi sana kina mwanameka...chunga sana kaka brother usije ukatumbukia kwenye mzinga wenye nyuki,uwanja mdogo bwana.Wimbo una mafunzo tele .
@newtonsimba7930 Жыл бұрын
Awesome. Mawaidha mufti❤️🇰🇪.
@eustusmunene93972 жыл бұрын
My all time favorite, the story is so good to listen, the swahili words well arranged and narrated.
@sangomamourice353911 ай бұрын
Asante mungu kwa maisha ya jabar msamehe mazambi yake yote mlaze pema peponi
@shajjaraimmu71225 жыл бұрын
"Mwanameka umesababisha maneno mtaani, kila mmoja ameshachoshwa na matendo yako" Haya maneno nimeyaona
@FranklinMtei10 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kutuwekea hizi mavitu. Nakushauri uziweke kwenye Podcast ili tuweze kuzistream na kusikiliza
@renathamukinga92822 жыл бұрын
Ibilisi wa MTU ni MTU, kweli kabisa SHUJAA MARIJANI
@HabibuThabiti5 күн бұрын
Khakhakha umeonaee
@mbwanakivava4616 жыл бұрын
Ya Allah muweke mahali pema Marijani Rajab
@binrashid86712 жыл бұрын
Nenda kwenye amali zake njema bila shaka hakosi, huko ukamuombee dua hizo
@zeitunsalim24508 жыл бұрын
Mwanameka mziki tamu ajaaaab tutafutie original yake
@happymasanja79496 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hzo namskia mama anaimba mida ya saa nne asubuh jpil radio one
@lameckisaya11 жыл бұрын
It is my favourite song, Nahc Kama nami nilikuwepo, lakini niliweza Kuuckiliza miaka Ya 94/5,
@JJ-fb9jp2 жыл бұрын
Mwaka 86 dadaangu alikuwa anauweka tunasikiliza sebuleni, dada alifariki Sasa nikiusikiliza namkumbuka dada nashtukua chozi linanitoka. Mwanameka unanifanya nammiss my sister 😭😭😭
@godwinmlay91788 жыл бұрын
nimefanyia mtihani wa Kiswahili huu wimbo 1991
@sharifuissa52837 жыл бұрын
yeah bro, that was the best decision by the ministry of education
@piltermediaafrica72542 жыл бұрын
Kumbukumbu nzuritu miaka ya jana katika shirika la utangazaji la KBC hususan mziki wa adhuhuri. Zilizopendwa hoyee, Mwanameka hoyee, Rajab safi sana. Salamu za dhati kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪
@babmushe15 жыл бұрын
Fantastic beats...great blending sounds. Mwanameka uvunja unyumba kwa Musa. Wow. Some one to put the lyrics in Swahili. Merci mingi merci mingi.
@rawlinsmk14 жыл бұрын
kazi nzuri baba...sambaza Moreno Batamba kama unazo!!!
@Tomo-vn8cc7 жыл бұрын
nyumbo nikama hizi sikamaka za leo watu wakipanda jukwaani mpaka Washoe hapo mbele,nashangaa!
@ongusomasoka8 жыл бұрын
Record nzuri mno... ujumbe na usemi teletele
@ramadhanimostoni82736 жыл бұрын
Katika harakati za binadamu hakuna ambacho hajakiimba,yaani huyu jamaa ni kama Robert Nesta Marley kwenye reggae,hakuna mwanamuziki Tanzania mwenye kipaji cha kuimba na sauti yenye mvuto,mtetemo na hisia kali,pumzika baba nyimbo zako mpaka leo bado zina mafundisho,utakumbukwa daima,mimi namuita Jiwe Jeusi Gumu(Hard black stone).
@maimunakassim28403 жыл бұрын
2021 mpo mnao sikiliza
@ambakisyemwakatumbula39523 жыл бұрын
Wote tumepitia hapa siku moja 💪💪💪💪
@hellenjoseph383 жыл бұрын
🔥
@sasaamercy12 жыл бұрын
thanks for posting this song
@makumbele16 жыл бұрын
Kweli Sheik. zitandae.
@bhonatesha23907 жыл бұрын
jamani form iv 1991. wimbo ulitoka kwenye paper.
@iddaadams73513 жыл бұрын
😘😘
@rademm89242 жыл бұрын
Yeah kumbe we Mkubwa mwenzangu eeh
@alexwangila2192 жыл бұрын
Good song with ideal teachings to married couples..." Musa ameonja hasali anataka kuchonga mzinga"
@juvenalalexander25112 жыл бұрын
rest in peace king Marijan. we can't forget yo'r strong messages. ulizaliwa kuimba, hilo halipingiki. juvenal mwoshezi.
@AhmedAli-gh1lm Жыл бұрын
Mwanameka - Dar International (Marijani) Lyrics [Wote] Kweli penzi eee, penzi lavunja udugu Watu wakakorofishana, wakakosa kusikilizana Penzi lavunja unyumba eee, nimeyaona kwa Musa Mwanameka umeleta maneno, umeuvunja unyumba kwa Musa Mwanameka eeee, Mwanameka jirani yangu Mimi naona vibaya....... Umemponza mamaye , umemponza mwenzio Mwanameka umeleta maneno, umeuvunja unyumba kwa Musa Uliposikia eee, kwamba Musa ameoa Kaoa mke wa ndoa....... Musa sasa katulia eee, uhuni kaweka kando Ukatumia kila uwezo, kuyabadili mawazo ya Musa Watambua eee,ukifusa(?) urembo Ukazidisha na mapambo, vipini wanja kwa poda eee Na mwendo wako maringo... Musa macho yake yameona, na moyo ukaanza sononeka Ukabadili na njia eee. lazima upite kwa Musa Ukenda sokoni kwa Musa.... Musa amevumilia eee, mwisho kapotea njia Kakusimamisha bila kutambua, akazungumza neno la mapenzi Ulipopata kauli yake, ukakubali bila kusita Uliyotaka yamekuwa...... Kazi ikawa ni moja, ni mapenzi motomoto Umempa pendo lenye huba, maneno matamu kama asali Ukichanganya na urembo wako, Musa kanasa kwenye ulimbo Akili zake zimemruka... Kwako wala habanduki, kwa mkewe hakumbuki Amekwisha ionja asali, anataka kuchonga mzinga Penzi nalo eee, penzi nalo halina siri Na siri si ya watu wawili... Mkewe Musa katambua, naye kadai talaka Hakuliki wala hakulaliki, mpaka Musa katoa talaka Baada ya kisa eeee, Mwanameka umefanya mkasa Kweli wanisikitisha.... Mara Musa humtaki, hata kumuona hupendi Jama Musa ameumbuka, kakosa mwana na maji ya moto Kweli penzi eee, penzi lavunja udugu Watu wakakorofishana, wakakosa kusikilizana Penzi lavunja unyumba eee, nimeyaona kwa Musa Mimi sasa nimeshaamini, Ibilisi ya mtu ni mtu (Chorus) [Wote] Kweli Mwanameka umefanya madhambi makubwa Mambo ulomfanyia Musa yanasikitisha Eee Mwanameka mkasa uliofanya ni wa mwaka Ooo bwana Musa hatokushau mpaka kufa Tena amekwisha apa mambo ya upuuzi hataki tena Keshaumwa na nyoka akiona unyasi anashituka Eee Mwanameka hebu punguza matata [Marijani] Mwanameka umetuachia hadithi mitaani Kila mmoja anashangazwa na vitendo vyako Kila mtu anasimulia mambo yako Ati watu mama wanasema....... [Wote] Mgombanishi.... [Marijani] Kweli watu mama wanasema.... [Wote] Muhuni [Marijani] Ati watu mama wanasema....... [Wote] Mdanganyifu [Marijani] Kweli kweli kweli Mwanameka.... [Wote] Umezidi [Marijani] Oooooooo Mwanameka [Wote] Umezidi [Marijani] Mwanameka umetuachia hadithi mitaani mama aaa [Wote] Kweli mwnameka umefanya madhambi makubwa.........
Mwaka 1982,nilihamishiwa shule ya Msingi Chanzige Kisarawe. Ni huu wimbo uliokuwa kumbukumbu yangu...
@HabibuThabiti10 күн бұрын
Ilikuaje eb nambie kdg
@otienoombok824612 жыл бұрын
moto sana... strong social message
@davidkipkore3024 Жыл бұрын
Mwanameka give boyshoud a break please😂😂
@shillingiomar69022 жыл бұрын
Aah ata Mimi nimeamini Eblis wamtu ni mtu wimbo huu unanikumbusha mwaka(1985) wakati wazee wakutuambia tuusikilize kwa maakini
@jaotenoah197612 жыл бұрын
Godfrey huo muziki ninao ngoja tu nitaiconvert kutoka audio hadi flv kisha nitaiupload. umechezwa na marijani rajab unaitwa mpenzi aisha
@hamphreyhlyatuu52157 жыл бұрын
Wanawake acha Tania kama za Mwanameka. Ndoa za watu ziacheni
@hamphreyhlyatuu52157 жыл бұрын
........acha TABIA
@zuhuranjeri16636 жыл бұрын
Ingawa bado mi mdogo ila sasa naelewa mbona ma star wa bongo wanaimba nyimbo zilizo na ujumbe wa ki elimu kumbe imetokana na foundation waliocha mababu zao. Sauti nzuri
@shabanibumbolikassike.80855 жыл бұрын
Kweli sio uongo yani we acha tu yani hapo machozi yananitoka!
@johnstonekhamisi35193 жыл бұрын
Would Men be more carefully as go engagement ! Love is suitable , only it's in roam romantic ! No contentiousness formulated. . .
@calvinogembo18203 жыл бұрын
Since 1992 imagine
@Mwarimbo7 ай бұрын
Penzi ni kali
@antonia76ful14 жыл бұрын
please tell me where i can get this CD
@calvinogembo18203 жыл бұрын
There is a song which says...sainaa oh sainaa ya maama...although this may not be the spelling I wish whoever knows the proper title and artist to tell me
@godfreyjoachim709212 жыл бұрын
huu wimbo ni mzuri wadau ila kuna wimbo mmoja nautafuta sijui aliuimba nani unaimbwa "mpenzi aisha nakwita mamaa...mpenzi ulisema tutaonana dar es salaam" kama kuna mtu ameufahamu au upload ntashukuru sana
Godfrey Joachim ,ulie uimba ndo huyohuyo marjani huo wimbo godfrey
@chachamadini93726 жыл бұрын
Godfrey Joachim muimbaji Wa wimbo huo nihuyuhuyu mrjan
@leonardkipondya42166 жыл бұрын
Ya kale dhahabu
@mutisomweu92932 жыл бұрын
Pure genius.
@ericernest8455 жыл бұрын
Reminder NECTA 1990
@iddaadams73513 жыл бұрын
1991
@mammukaratu2084 Жыл бұрын
91 ha ha haaa
@davidmulama9333 Жыл бұрын
Yanikumbusha kipindi cha redio KBC, siku hizo ikiitwa sauti ya Kenya, kilicho itwa chaguo lako barua, nakika andaliwa na mtangazaji Eddy Fondo. Miaka ya thamanini.
@halima382115 жыл бұрын
tizedboy asanteni kwakazi bubwa raha tupu
@bensonmangenge8436 Жыл бұрын
Wacha wivu Musa ameoa kipenzi Cha roho
@fatmasalim82934 жыл бұрын
Nice song
@mugendimwega19685 ай бұрын
Nani yupo hapa katika wimbo huu2024?
@johnstonekhamisi35193 жыл бұрын
For those in love , it's now a mild framework's .
@munakassim35216 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 1991
@rademm89242 жыл бұрын
Form four paper la Kiswahili
@mwanahamkoba61488 жыл бұрын
enzi zangu nilikua nazunguka na karedia ka wawe mawili nimeipenda paka sasa wacha manyimbo za cku kadukadu hata huelewi lolote ni fujo tu
@zuhuranjeri16635 жыл бұрын
2019 October
@samtokarubandika3875 жыл бұрын
October 2019
@sangomaamourice89786 жыл бұрын
Sina chA kusem kwa jabar hili
@ruthykaysruthkarashani308511 жыл бұрын
The real thing happening in my life now as my husband s. colleague has been flashing her eyes at him and driving to our road to pick him up! And now he hates his family coz of her!
@sakumunalakamanqanqax3 жыл бұрын
Nami pia nimeshaamini ibilisi wa mtu ni mtu 😈
@martinkapchanga97467 жыл бұрын
Penzi lavunja udugu
@victormkongewa26807 жыл бұрын
sisemi kitu asante sana "jabali la music"
@joshuamaviti283610 жыл бұрын
can you get better quality of Mwana Meka?
@joshuamaviti283610 жыл бұрын
Nope, am looking for it. Was my favourite song. Asante kwa wema wako
@charlesnyamu37538 жыл бұрын
+Joshua maviti For years Ive listened this same quality, I think it is the original work.....vyombo vya kisasa vimebadlisha mipigo lakini daima ujumbe ni dhahiri kwa majabali.
@joshuamaviti28368 жыл бұрын
OK. Nakumbuka quality ya KBC huko 90s. Wimbo wa maarifa kweli.