Maskini wee! Pole Marijani , umelalamika Sana. Asante kwa burudani na R.I.P
@zonko04885 жыл бұрын
Kwa jina Salama nakuomba Salama nakwita Mwanamama, umenipata majonzi majonzi yasiyokwisha nifanye Mwanamama, tangu utoto tulikuwa wote tulipendana kama watoto mapacha…...Ahsante sana Doza!!! Mwana Tambaza Original
@isaachayes97835 жыл бұрын
Hakuna na hapajatokea hadi leo mwanamuziki wa kiume mwenye sauti kama marehemu marijan rajabu! Rest In Peace king of kings
@sunyareh3 жыл бұрын
Kabisa hapo umenena ya kweli. Mungu amlaze pema penye amani.
@raphaelnambombi37098 ай бұрын
Kwa mbaali labda Niko zengekala
@therootoflife52907 жыл бұрын
Great song that brings precious memory, unanitoa machozi hapa, nakumbuka kaka zangu, Dada zangu, baba zetu, mama zetu nk nk, ambao wametangulia mbele za haki.... Music is stronger than knife..
@khalfanshahabakar74393 жыл бұрын
Nilizaliwa 1971 these are the great songs. Marjan manet nico.
@ramadhanimostoni82736 жыл бұрын
Nyimbo zenye ujumbe,busara,mapenzi,maisha,masikitiko na majuto,hakika ni jiwe gumu,maana siyo jabali tena;duuuuuh hatari sana.
Sad to hear of Gordon`s plight,and wish him well. See,he should be thanked as the man who gave Jabali la Muziki his break. Anything else that Marijani achieved in music;fame,legendary status and being warmly taken in peoples heart,was solely due to his unique talent,which was god-given,and which only one other Tanzanian musician could claim to have. That was Mbaraka Mwinshehe. These two,were the only genieus in music,that the country has ever produced. I rest my case.
@abdallahmohammed19975 жыл бұрын
Alistahili kuitwa jabali la muziki, kupata mwanamuziki wa ubora wake itachukuwa dahari kadha.
@hasacustomsclearance58497 жыл бұрын
hakukuwa na producer kipindi hicho, simama mbele piga gita au piga ngoma na kuimba. RIP legendry
@nkongemwakatage17748 жыл бұрын
Inawezekana kila jambo na wakati,lakini kila nikipima Miziki ya enzi hizo na sasa,ya enzi hizo ilikuwa MOTO
@moshyjanga51818 жыл бұрын
Sikikza,salama,mayasa,Vicky,Margret,masudi ndoa ya mateso,nk Leo nani kama marijani,achilia mbali mwajuma,mwanameka,dunia imani imekwisha,e bwanae ya kale in dhahabu
@sunyareh3 жыл бұрын
Huu wimbo na zuwena ndo zilikua zangu.
@Kapunyu16 жыл бұрын
ASANTE SANA TIZEDBOY,Zitafute kwa wingi za marehemu Marijani na hata zile za wakati akiwa na bendi ya Safari Trippers coz sikumbuki kama kuna wimbo wowote wa Marehemu Marijan haukuwa mtamu.endelea tizedboy kwa kazi yako nzuri.
@gilbertmasaki29656 жыл бұрын
Zote sawa za mawaida
@shabanibumbolikassike.80855 жыл бұрын
Duuu! We acha tu machozi kibao!
@mayamba6515 жыл бұрын
Tizedboy, nimeona unayajua mambo. Umeyavulia nguo sasa yaoge kaka!!! Naomba kama waweza kupata wimbo wake mwingine uliokuwa ukiitwa UKE WENZA. Pamoja na mwingine ukiitwa MUME WANGU. Jaribu kakangu turudishe siku za zamani japo kwa kujipumbaza tu.
@abduliharuna64594 жыл бұрын
Dahaa huyu marijani fundi hatariiiiiiiii
@chachamadini93726 жыл бұрын
Hizi ndizo zilikua nyimbo na sihaya madudu yasasa
@mawazochanya20814 жыл бұрын
Duh Marijani hapa alipanda sana ktk pitch ya juu.Nimejaribu kuifuata sauti yake koo likaniuma.Wimbo mzuri sana una hisia kali
@365lau8 Жыл бұрын
Vijana wa Sasa wajifunze miziki hii
@365lau8 Жыл бұрын
Labda kuwe na shule ya miziki ya zamani tutafanikiwa
@godstevenmaro97202 жыл бұрын
Kazi nzuri Tizedboy. Naomba wimbo wake wenye maneno "Ohh usichezee moto. Usichezee moto utalungula."
@khalidmakumulo82947 жыл бұрын
That why he was called Jabali la Music it will never come to happen again, old is gold.
@catherinemsoffe87877 жыл бұрын
sauti mpk vinyweleo vinasimama, sikumkuta Bali nyinbo zake nimetokea kuzipenda sana.
@mawazochanya20817 жыл бұрын
Haswaaaa...Marijan alikuwa mahiri sana
@yasinoo19796 жыл бұрын
Acha tuuu
@fetysalum42855 жыл бұрын
Marijani cmjui ila nyimbo zake nzuri sana nazipenda
@jafaripaje53664 жыл бұрын
@@fetysalum4285 Alifariki mwezi Machi 1995. May his soul rest in perfect peace ameen.
@aloycetemba86523 жыл бұрын
I acknowledge you professor De La Chance Kassim Mponda kwenye hili solo. Limeenda shule
@mtengwa13 жыл бұрын
asante sana, je naweza kuzipata wimbo hizi Pendo si kulazimishana
@subiracatering67518 жыл бұрын
We won't get musician like him. songs like oh Olila, Salama, Gogina, and many it was my time
@simaisilima75486 жыл бұрын
Raaaha kabisa burudani sana hizi ndio nyimbo
@Faridagongo5 ай бұрын
Wajina wa baba yangu nilikua namkuli sana sana hata nyimbo iwe mbaya kwake itakua nzuri allah awapunguzie adhabu ya kaburi
@benjaminbarnabas43626 жыл бұрын
sikufanikiwa kumkuta apa duniani ila nitabakia kuwa shabiki wake mpaka na mimi umauti utakaponifika
@yussuphmoto99656 жыл бұрын
Rest in peace Baba. Good music forever.
@khamiskhamis864 Жыл бұрын
Hakika sauti tamu, mziki mzuri, burudani ya aina yake na raha ndani ya roho inayoleta hisia ya faraja na kuridhika na kuona dunia njema kuisha na kuwepoa zaidi. Raaaha ilioje hiii
@MissDGordon12 жыл бұрын
Mr Msomali, MR David Gordon had two strokes and one minor stroke, he wasnt walking,talking properly and his memory wasnt really good,but he started gaining his strength again slowly by slowly.Not many people can survive with three strokes hitting the same side?paralysis in both a hand and aleg.Mr Gordon taugh music Marijani and so many other people,he used to play many music instruments,he was composing songs and he was the band owner of Safari Trippers.thanx
@mawazochanya20817 жыл бұрын
I wish to know more this Mr.Gordon who supported Marijani and others.Where can I learn more? Any link please.Or can I come for an interview? Just to keep memories alive
@avax57174 жыл бұрын
Hii historia sikuwahi kuisikia. Very interesting
@mwasakafyukasamson14 жыл бұрын
+ marijani ni kiboko ya njia, Muziki wake unagusa moyo wangu kwa zaidi ya miaka 30, pUMZIKA KWA AMANI MARIJANI.
@stevejoh3284 Жыл бұрын
Sana
@jeffnanume24046 жыл бұрын
Nasikia ni kisa cha kweli kilimtokea mwenyewe Marijan kwa huyo Salama. alimuimbia huu wimbo na baadae akamuoa
@khalidvova66017 жыл бұрын
yaah kati ya wanamuziki waliokuwa na uwezo wa hali ya juu mno " marijani rajab tungo zenye kuleta simanzi na liwazo lkn mfumo mbov wa kiutawala uliwafanya mashujaa hawa wa dansi wafe wakiwa madhalili hatuna cha kuwalipa zaidi ya kuwaenz kwa kusikiliza tungo zao"
@allymdaki96307 жыл бұрын
Khalid Vova ni kweli
@DrMangiMfunga5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ndugu ya Khalid,matatizo ya mfumo wa utawala wa wakati huo haukuwapa nafasi au Uhuru wa kutanua wigo wa maendeleo ya fani na taaluma yao ya muziki zaidi ya kuwa ni chombo Cha kutoa burudani tu basi!
@moshyjanga51818 жыл бұрын
Marijani ulizikonga nyoyo,lala baba tutakukuta
@dianambaga9029 Жыл бұрын
I like this song it remind me all those old good days
@allymdaki96307 жыл бұрын
Hapa jabali kalalalimika kweli kweli yaani maneno yanaendana na njia na hisia ya kile anacho imba
@joelfrancis42618 жыл бұрын
A wonderful and amazing man-made music from Marijani Rajab. For sure, this man was real talented,gifted and skillful.I can hear his hearty feelings in his compositions!.It's a lesson to young musicians who depend on computer made musics!.
@saidbomba23187 жыл бұрын
za kale ni dhahabu nakumbuka nilipokuwa mdogo aaaah!!!
@Dotto1912 жыл бұрын
Thank you Tizedboy. Umenikumbusha mabali sana sana !!... Kama ukiweza please weka wimbo wa Vijana Jazz wenye lyrics za "Tafadhali eeh bwana usinisumbue,na kama ni watoto wako chukua, ulinishindwa wewe mwenyewe, sasa nini tena unababaika" Samahani sikumbuki jina la wimbo wenyewe kaka.
@burhanisimai59069 жыл бұрын
Superb Jabali was gifted and talented RIP
@najmasaleh92317 жыл бұрын
Jabari ni jabari tu wala awakukosea kila nifatiliapo miziki mingi ya jabari amtangulizi mtu yeyote kuanza kuimba zaidi ya fresh jumbe ckujua lengo lake ila nimegundua hakupenda mziki wake uwaribike
@nassorseif61666 жыл бұрын
Nilikuwa sijazaliwa lakini nyimbo zao zinasisimua
@halima382115 жыл бұрын
tizedboy asanteni sana kwa kutuliwaza na mjomba huyo kwani anatukumbusha home log time
@drgshoo3 жыл бұрын
Great music from a very Great Musician.
@halimasaid83516 жыл бұрын
zilipendwa laha sana jamani
@MrMsomali13 жыл бұрын
@kijuan83,You meant to say your Dad was a Mentor to Marijan,as no one could teach a gifted person like him anything,only to encourage,motivate and as u said provide him with the band,where he could then put his genius into play. If your Dad could teach someone into becoming a Genius that Marijan was,then why did not he groom another one to take his place when he left to start another band?Get my point? Anyway,where are the Safari Trippers tracks u promised us last month? Keep ur promise,mate.
@ogetoj6245 Жыл бұрын
Makali ya mziki sawa na sumu ya mkuki upenyao kwa kilele ya miundo ya roho. Nani kama ziki? Dr. Ogeto International
@charlesally60285 жыл бұрын
Inanikumbusha ilala quaters wakati tunaishi nyumba namba 175 jirani yetu mpendwa marehemu alikuwa anitwa salama
@charlesally60285 жыл бұрын
Mungu amuweke mahali pema
@remmiejoelsamsonsamson36429 жыл бұрын
Jamani niseme nini kweli nashukuru kwa kunirudisha nyumbani Kimuziki Asanteni
@mtakulamweyo60128 жыл бұрын
jamani mm nataman sn km angekuwepo mng amuweke mahala pema pepon amin
@zuberindete32908 жыл бұрын
Remmiejoelsamson Samson
@shabanibumbo25158 жыл бұрын
huyu jamaa alikua anatisha kwa tungo zake maana kila ninayoisikliza inanigonga sana ewe Allah mpumzishe kwa Amaani huko aliko.
@ramadhanimostoni82736 жыл бұрын
Kweli ardhi inameza watu,kungekuwa na uwezekano wa kubadilisha kifo kwa uhai wa mwingine,nadhani Marijani asingekufa,watu wangejitoa ili Jabali aendelee kubaki na kutoa mafundisho,hilo haliwezekani,Pumzika baba.
@abedhamza6245 жыл бұрын
TANGU UTOTO TULIKUWA WOTE TULIPENDANA KAMA WANA MAPACHA R.I.P JABALI
@khalidvova66017 жыл бұрын
huwa nalinganisha sauti ya marijani na ile ya legend pepe kalle ktk maudhia na mirindimo nafikir mawimbi ya sauti zao zilishabiina kwa kiasi fulani hivi,"
@sangomamourice32515 жыл бұрын
lala marijani kaz kubwa uliifanya asante sana
@khalidmakumulo82947 жыл бұрын
R.I.p jabali LA music.
@alfredmarti3131 Жыл бұрын
Wimbo wenye mguso. Powerful voice.
@ednaednamillanzinia28262 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo tunasukiliza na wala hazichuji.
@allyabdulrazaq16678 жыл бұрын
jamani mziki ulikuwa nzuri wadau hawajafaidika masikitiko kweli
@mtengwa13 жыл бұрын
asante sana, je naweza kuzipata wimbo hii "Pendo si kulazimishana
@najmasaleh92317 жыл бұрын
AHMAD MTENGWA Burhan huo wimbo hata mm nautafuta sana km umeupata nirushie
@salehehassan36654 жыл бұрын
Nikisikiliza hii nyimbo huwa nawaza Alain kounkou alisample nyimbo hii au ni bahati mbaya tu zinarindima sawa?
@Faridagongo5 ай бұрын
Vzr havidumu hata suleimani mbwembwe nae alikua na sauti sana pumzikeni kwa amani
@abdallahnzenza81826 жыл бұрын
jabari la muziki
@mohamedmagongo93482 жыл бұрын
Wimbo Salama gitaa la solo limecharazwa kwa ustadi mkubwa na Marehemu Kassimu Mponda.
@tonispengler41858 жыл бұрын
I love this music..na miss sana
@edwinmoses18973 жыл бұрын
Rahaaa
@shabanibumbolikassike207 жыл бұрын
mm napenda sana nyimbo za zamani nilianza kusikiliza 1983 hivi sasa nina miaka41 kwa kweli hua na kumbuka mbali sana.
@abdillahmtunguja36456 жыл бұрын
Samahani ndugu, kuna nyimbo moja ina kibwagizo wanambi" SHIKA JEMBE TUKALIME WEWE MAMA WATOTO" kama unaikumbuka jina lake naomba unikumbushe, nitashukuru sana
@chemmarwa97155 жыл бұрын
RIP the great legendary namely jabali la muziki.
@seiframadhani75856 жыл бұрын
nic marijani rajabu
@mayokazemuba321612 жыл бұрын
He is a genius. Marijani is the best in this business. Did he travel to Mali? He sings like seif Keita of Mali
@mawazochanya20817 жыл бұрын
Probably Keita travelled to Tanzania and was inspired by Marijani's talent.
@JobChacha10 жыл бұрын
Fantastic! Nani anabisha?
@nyangehassan9024 жыл бұрын
Haitatokea sauti kama hii!
@mohamedshebe99199 жыл бұрын
that was music,was music and dancing was dancing
@rajabmalanda96435 ай бұрын
Habari la Africa hyo
@ulayaz10 жыл бұрын
naitafuta nyimbo ya magreth ya safari trippers ya marijani
@mandelakasambalkasambala78969 жыл бұрын
Ntalurushia vp
@marashamsi47184 жыл бұрын
Itoshe kumuita DOZZA MUNGU MSAMEHE MAKOSA YAKE, NA UMPE MAISHA YA KHERI HUKO ALIPO
@sangomamourice35392 жыл бұрын
Mwalimu wa walimu mwanamuziki hasa hakika huyo ni jabar pumzika
@mussamrisho12832 жыл бұрын
Miziki ambayo unaweza kuckilizà ukiwa na familia yako. Kwa wale wenye maadili. Ila Kwa wacyokuwa na maadili wanaijuwa mizikiyao.
@flowila829 жыл бұрын
Jamani Salama wa Marijani amekimbia, Hakutokuja kutoka Tanzania Wasanii kama hawa Ardhi imepoteza watu, Ardhi imemeza jamani, Mola awarehemu waaliotangulia
JAMANI NAOMBA WIMBO WA MKUKI MOYONI WA SAFARI TRIPPERS. NIMEUTAFUTA NI MIAKA TENA, NA HAKUNA DALILI YA MTU KUUKUMBUKA.tAFADHALI, WIMBO WA MKUKI MOYONI NA SAFARI TRIPPERS
@alisamaki538210 жыл бұрын
what a voice...gzzz
@nasserhabsi40805 ай бұрын
Ndugu tizedboy mambo vipi.. Unapatikana wp? Nakumbuka zamani ulinambia Tanga mabawa je upo
@AliHassan-et7xf5 жыл бұрын
Enzi jaman hazirudi
@faridasomba11567 ай бұрын
Da yaani nikikumbuka machozi yananitoka wee acha tuu
@mohamedmdoka12126 жыл бұрын
Wasanii wetu wa leo wangekuwa wanapiga na kuimba km hawa wazee yan tunge tisha ktk tasnia ya muziki kwakwe
@andersonnzaro6075 Жыл бұрын
NDUGU SIKIZENI MANENO HAYO NILIKUA NIKIWAZA NA MAJONZI MPENZI AKIPONYOKA LEO NATAFSI TOFAUTI KWAMBA HATUJUI KUWA VITU HUJA NAKOTOKA HAKUNA BINADAMU STAKUFURAHISHA MARJANI HAKUJUA VITU HUJA NA KOTOKA
@faustinohaule76778 жыл бұрын
Niliusikia muziki wa Marijani kwa mara ya kwanza mwaka 1971 wakati huo Marijani akiwa mwanafunzi wa Tambaza Sekondari lakini pia akiwa mwanamuziki
@gabrielmzomkunda48817 жыл бұрын
faustino haule ...kweli Tambaza boy
@najmasaleh92316 жыл бұрын
faustino haule Ni kweri kama sikusei alijiunga na less trippers mwaka1972 akiwa mwanafunzi baadae ikaitwa safar trippers
@HamisiOmaryHussein-jp5pt2 ай бұрын
Siyo muziki tu hata mpira alikua goal keeper mzuri mahiri alucheza timu ya shule Tambaza na timu ya, nyumbani TEMEKE BOYS.
@faustinohaule76772 ай бұрын
@@HamisiOmaryHussein-jp5pt Kuhusu mpira kweli sikufahamu Asante kwa kuniongezea ufahamu
@rishbornnasir45987 жыл бұрын
Za kale ni dhahabu kwakweli
@allywmamba255011 жыл бұрын
furaha moyoni kwakila m2 ndoamani kwangu
@jabirikitambalale52565 жыл бұрын
Asant
@nasibyusuf91709 жыл бұрын
Huo ndio mzik ssa
@andersonnzaro6075 Жыл бұрын
But tufurahie Kanda za zamani zilikua leo hakuba
@kassongokittapa77629 жыл бұрын
Nahitaji wimbo wa Marijani Rajabu unaoimbwa SIO MIMI NI SABABU YA MAPENDO nimeutafuta sana humu kwenye KZbin siupati
@gabrielmzomkunda48817 жыл бұрын
Bob marley wa tz
@juliusduke75366 жыл бұрын
Nyimbo za huyu bwana kizazi cha sasa hawatafanikiwa kumfikia labda yesu au mtume mohamed wafufuke
@mwinyikadhi57086 жыл бұрын
Julius Duke Subhana llah
@yahyampili71537 жыл бұрын
Hizi nyimbo c mchezo
@shabanmohammed9959 Жыл бұрын
Wakati wetu huo
@khalidmakumulo82947 жыл бұрын
That why he was called Jabali la Music it will never come to happen again, old is gold.