The other lady with plaited hair she is shy😂..Beautiful Tanzanians with nice gospel songs, baraka tele kutoka Kenya the New York of Africa.
@tumuhairweboreen60709 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@KM-hx8zyАй бұрын
Kwanza Rejea kwa Mama Mzazi ukaombe msamaa, maana Mzazi ni Mungu wako WA dunia, Mungu amemtumikisha kwa kukupata wewe! Tunaomba tuine wewe na Mama yako, mukaye pamoja na mutweleze kabisa ..Na Mungu atakusaidia
@gracemairusya2950Ай бұрын
Martha huyu mnafiki sana kama sio amwambie huyu mtoto aende kwa wazazi wake amuite mamaake ache kujificha kwa mgongo wa mungu. Kama wanasagana waache mungu amewafunulia watu wengine kukutoa dim-witted la moto
@patabongo2023Ай бұрын
Pole sana Mtumishi wa Mungu, Mungu tu nawe daima tupo nawe daima , imepitia magumu mengi na mateso ya kutosha ila ushindi ni lazima
@mvullamanaseАй бұрын
Matha huwezi kujiteteaukaeleweka. Na hata huyo Mungu unaemuunganisha kwenye haya Bado Anakushangaa. Mungu ameweka baraka zake kwa wazazi wetu. Anza kwanza na Mama yako . Hata ukaimba Vizuri kiasi kipi kama Mama yako hana Amani na Wewe , Nikazi Bule
@abbyimbukwa38359 ай бұрын
Martha una neema ya kipekee.... I grab it in Jesus Name... Nawapenda muno from kenya 🇰🇪
@fadhilipambo2811Ай бұрын
Mungu atakuonyesha njia dadaangu, maandiko yanasema aombaye hupewa, iko njia sahihi utaiona kwa jina la yesu
@julieluziga4773Ай бұрын
Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu, nakupendaga sana. Umesababisha watu wengi kumpokea Yesu kwa nyimbo zako
@YustinaJonasАй бұрын
Mwache mungu aseme dada Martha mwache mungu akutete yatapita tuu jaribu la mida tu
@joycemakokha9648Ай бұрын
Mti mzuri hupikwa mawe Mungu akupe ushindi
@martinitango73539 ай бұрын
Beautiful song nafatilia Sana kazi zako dada barikiwa
@ogotsilvesterАй бұрын
Mungu akubariki sana.hao wanakuonea gere
@kkdamah8573Ай бұрын
Mungu akupe rehema Dada, yote hayo ajipe utukufu! Nenda kwa mama dada yangu tuanzie pale
@MRBANGE-vg2ip9 ай бұрын
Madam I like u are song forever
@PerpetuaOmareАй бұрын
Martha sisi hatutakusaidia.Nenda fantastic amani kwa ndufu zako.Hatuwezi tukakupenda kuliko was.Wala huwezi kupenda yes au Mungu kuliko ndigu zako.Kycheka na genius anaye music dadako wa turbo moja ni mbaya.Nyinyi ndo mnaifanya wakristo tuwe na Tina mbaya.
@SirELLYKENYA9 ай бұрын
Amina mungu awabiriki kina dada kwa kazi nzuri ❤
@MERCYMUENI-z9wАй бұрын
Martha ninakutambua sana your my mentor na ninakuombea nikiwa Kenya, nataka kuanza kuimba na wewe ndio nataka kufuata
@giteg50739 ай бұрын
❤ dadangu Martha nikweli ume wai tosha yengine filamu mupya
@everjoymbetsaАй бұрын
More Grace my dearest,u r my role model
@winifredidan37574 ай бұрын
God bless you, may God bless you more in Jesus name
@lilianwilliam89679 ай бұрын
Amen Amen barikiwa sana mtumishi nakupenda sana I feel blessed with your songs
@sizbentahatieno96359 ай бұрын
Amen amen ❤❤ Kenya 🇰🇪 nasubiri sana
@simbijames9 ай бұрын
Thanks very much for the beautiful song, and am watching from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 may God protect you and bless you
@GraceOtieno-vo3sjАй бұрын
Just be still mum....but also go back on your knees.You are a sarvant of God 🙏 God is fighting your battle
@deborahgerald-h6n9 ай бұрын
Amen amen vipenz vyang nimekuwa wa kwanza kuipat hii
@ValentinLuísMualaboАй бұрын
Yote semaaaaaaa lakini mama atuzwe Mimi hapo aiwezekani Joan awe mwenye mamuzi kuliko Mama.
@LucasKaik-xt8qeАй бұрын
Ukwel unaujua mwenyew alafu unataka Mungu ndo aseme ukweli we zungumza ukwel ndo utaokuweka huru.
@shebadaniel84653 ай бұрын
ukiona hata mataifa yaani wasiomjua Yesu wanakuhukumu na kuona unakosea kwa jambo hilohilo ambalo hata wanaomjua Yesu wanakuhukumu pia, basi ujue usalama wako kwa Yesu ni mdogo sana hata kama siyo Leo basi kesho, Maana MUNGU mwenyewe huwatumia wanadamu haohao ambao wewe unawaona wanakuingilia kwenye uhuru wako, usisubiri malaika ashuke na kukuonya,KUWA MAKINI MY SISTER
@onlyhim3339 ай бұрын
Martha mwaipaja you're a blessing ✨✨💙💙💙🙏
@gallery60ojera539 ай бұрын
Very beautiful song
@mercyamuhaya18469 ай бұрын
Leta wimbo mzima ni nzuri saana ma'am 😊😊😊😊
@nyongesagloria1941Ай бұрын
Absolutely true thats what l was waiting from you.(your voice]concerning what has been aired out.praying for you mam
@chachawambura40309 ай бұрын
Una SAUTI ya kipekee sana💯💯
@elizabethabilia78439 ай бұрын
Can't wait to have this💕💕
@fidelefamilytv5120Ай бұрын
Pole Mtumishi wa Mungu nitakuombea
@sarahmwamba80599 ай бұрын
I love the my Lord Christ and I love your music 🔥🔥🔥 I love you too 🙏🙏🙏your music blesses me
@EutropiaMwacha9 ай бұрын
Am waiting for this song, stay blessed and protected too my lovely sister
@sharonIhoni9 ай бұрын
Nmependa huyu Dada mwingine ila simjui ❤zaidi ya yote mmbarikiwe sana
@DanielDollardo9 ай бұрын
Naku penda sanaaas ❤❤❤❤
@judyjoshofficial59923 ай бұрын
🎉🎉🎉Kenya 🇰🇪 am blessed the song is powerful
@AnnaMsigwa-h1xАй бұрын
Swala la mzazi nila muhimu kwenye hii dunia mwangalie mama bila yeye tusinge kujua
@jackkakongoma34409 ай бұрын
Love your songs my sister from Zambia ❤
@sarahnekesa78719 ай бұрын
Yesu ni wa tofauti 🙏
@WicklifMagareАй бұрын
Yeah Kwa Moto wako Amen 🙏
@FelisterJames-u3eАй бұрын
Na huwezi kutuma mfanyakazi wako kutukana mama yako kwenye mtandao na kusema siyo mama yako waheahimu baba na mama upate kuwa na miaka mingi duniani mama anatoa machozi kwaajiri ya mfanyakazi wako
@makaoyafutaa1302Ай бұрын
Wewe ni nyege inakusumbua, make peace with your family, kuomba jiombee wewe. Kama ni ukweli then you're doomed 💔
@PatrickKaimaima9 ай бұрын
waiting for it😌
@lameckaloyce16159 ай бұрын
Tunasubili wimbo mzima
@MsafirGervasАй бұрын
Jeuri ya diniani tu apa ya kumkana mama ako kisa ndoa ya jinsia moja mungu wa kweli atakuonya one day usipo badilika na hayo maovu yenu hayo😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢najua yesu ndo mtenda miujiza.
@clemencelisonga8261Ай бұрын
Ili maombi hayo unayoomba yafanye kazi au yajibiwe na watu wa Mungu wapatekibali mbele za Mungu kukuombea ingekuwa heri kwanza wewe ungetubu hadharani kama vile mdogo wako alivyoeleza ili sasa neema ya Mungu iweze kufanya kama unavyotaka Mungu akusaidie
@mwachedasjАй бұрын
Mama ako na bwanake na wazazi wake. Martha usikubali kuletewa tafashi. Kusaidia ni hiari ya mtu na si lazima
@ArianeNaminaniАй бұрын
Mamy I love you so much lkn wende kwanza kwa mama yako please
@mukandamafreddysalumu3640Ай бұрын
DADA WA YESU,❤❤❤❤❤❤
@JulianaMushi-nq3kcАй бұрын
Mapenzi ya jinsia moja hajawai kumwacha mtu salama wew usagaji unakusumbua na unaogopa video zako zitaachiliwa
@GodefroidMunganga9 ай бұрын
Afu mwenyezi Mungu akulinde kabisa
@LuvongaSodium9 ай бұрын
I really love ❤the song
@jacklynNyabokeАй бұрын
Dada ni wakati wa dhoruba lakini mi mda kidogo asubuhi ifike take courage iknow the situation is hard but God si mwanadamu trust upon him he will make away
@sarahmwamba80599 ай бұрын
I would love to read most of the words in english
@roydaMezali12 күн бұрын
Uruma kwa maman😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@FelisterJames-u3eАй бұрын
Huyu dada napenda kusikiliza nyimbo zake na huwa zinanifariji sana lakini shetani aliye ingia kwa huy johani kufarakanisha familia yake anataka amharibie kabisa huduma yake jamann Mungu tutaponea wapi sisi Kila Kona shetani anavuruga
@RaheemaMosaАй бұрын
Mjali mama kwanza mm sina mama natamni ata angerud duniani japo dakika moja uyo jon uyo kwanza ana manenomachafu
@JacklineMukunziАй бұрын
Usiogope neno rinasema. Ata baba na MAMA wakikukata MUNGU hawezi kukukata. Nimesikia maneno yamamaako. Nimekuta huja fanyakosa ira wew turia na MUNGU wadunia potezea mwana wamungu. Tuna kupenda tuna kuombea
@dimaniclassicgospel39849 ай бұрын
Dada Martha❤❤
@evelynanyeko16359 ай бұрын
Amina.✝️✝️✝️🙏🙏🙏 Asante sana
@glorysarah_Music9 ай бұрын
Wimbo mzima twasuburia mum
@AgnessJohn-v8pАй бұрын
Huyo joan kashakumaliza
@GodefroidMunganga9 ай бұрын
Hii nyimbo dada unaitowa lini
@bernardmakenzi72569 ай бұрын
AMEN
@MusyokiMulwa9 ай бұрын
Great..Paa kabisa ..neema unayo
@magrethdaniel8441Ай бұрын
Martha ukweli kabisa ndgu yangu Mimi nilikua nakupenda Sana ndgu yangu ila kusikia unamchukia mama yako mzazi kweli moyo umeniuma Sana Kuna watu wengi wanatamani wapate mama Leo hii wajivunie Raha ya mama alafu wewe una mwaga machozi yaya mama maandiko yanasema heshimu baba yako na mama yako upate heri uishi miaka mingi duniani mungu anasema pia mpende jirani yako kama nafsi yako maan huwezi mpenda mungu usiemuona kama mama aliekuza unamchukia je mungu wa mbinguni usie muona unampenda?martha😅
@PaulShija-m4tАй бұрын
Pole Sana dadaangu
@BerthaWambuzi9 ай бұрын
I love you 💞💞💞💞
@BoniphaceJohn-yx5ff9 ай бұрын
Nyimbo zako ziko vzr sana nikupe zawadi gani nitafte hila karibu musoma
@KevinSadi-o7nАй бұрын
Tuna kuombeya dada.ila tu fariji moyo wa mama
@nelvinawino9196Ай бұрын
May God intervein and solve your problem 🙏
@Sipa_marazone7 ай бұрын
Ni Moto💥💥💥💥
@aliciamwalimu582Ай бұрын
Bibi na bwana😢
@GodefroidMunganga9 ай бұрын
Nakutakiya Siku njema dada
@tumuhairweboreen60709 ай бұрын
Where is the real audio mama?
@SivairwaPhilémon9 ай бұрын
𝕋𝕦𝕟𝕒𝕤𝕦𝕓𝕚𝕝𝕚 𝕨𝕚𝕞𝕓𝕠 𝕞𝕫𝕚𝕞𝕒
@tonsbees2230Ай бұрын
Mimi nikushauri kitu ungenyamaza ukaendelea na kazi zako maana Mimi naamini kwamba kila Jambo lililo anzishwa na mwanadamu litapita hata hili nalo litapita napatakuwa kimya kumbuka walio pita nyuma yako walisemwa Sana likin mda ulipo fika palikuwa kimya acha waseme lolote yatapita
@zakazitanzania1565Ай бұрын
TUNAKUOMBEA ILA KUMBUKA UPENDO WAKO WA KWANZA, UMEUACHA. JITAHIDI URUDI KWA WAZAZI WAKO NDIPO BARAKA ZITAKUFUNIKA, BWANA YESU AMESIKIA RUDI SASA KWA WATU WA KWAKO.
@jumahafidh7615Ай бұрын
Kama kweli hutoi usaidizi kwa mama yako tabia hiyo wacha mara moja. Kama kweli hauna mume kwa sasa elewa baada ya MwenyeziMungu basi wazee wako ndio wa kuwatiii
@jeremiemunkambaАй бұрын
People the don't read the Bible God say eshimu maman yako na baba yako utaishi miaka na muda murefu sasa wewe mutu unasema mungu amupinganie how
@shebadaniel84653 ай бұрын
Bila kusahau shetani anafanya bidii ili kuwapoteza waimbaji halisi wanaomtukuza Yesu Tena anatuteka kwa akili sana akitumia Yale tunayoyaona sawa ili tusimstukie na tuendelee nayo, pia jambo lolote linaloleta maswali kwa watu tunatakiwa kuwa MAKINI nayo sana.
@RoseMrioАй бұрын
ww utakuwa kwl unamtendea mama yak magum mtaungua na moto wa magogo na uy joan
Lakini watu sihaba anataja yesu aki watu nao na kubayuka ovyo ovyo
@ElizaMayu9 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@fredymbilinyi6323Ай бұрын
Polle baba amesema atakupigia simu mkae kama familia ushauri wangu nivema kukaa familia ninyi tu ndio wenye kulimaliza
@gloriavisongo24329 ай бұрын
Asante sana
@GodefroidMunganga9 ай бұрын
Za asubuyi dada nakutakiya Siku jema
@ndeyankaallen1380Ай бұрын
Watu mna judge(hukumu) kama vile mnajua ukweli, kwa upande wa.ngumi mimi siwezi kusema yupi ni mkweli,, acheni ushabiki kuweni na hekima.
@gracemairusya2950Ай бұрын
Chezea Arusha ww
@lulanjamd3886Ай бұрын
Acha kushupaza shingo dada mimi pekee nitakuombea ila patana na mama yako acha kujificha katika maandiko biblia imeagiza kupatana na adui yako kabla jua kutua.
@IssaRajabu-my5igАй бұрын
Kwan hata ww usipomsamee Kwan wew ni mungu😅😅
@edwardodongo65999 ай бұрын
Injili ya Leo haimpeleki mtu mbinguni,Bali ni injili ya kujionyesha na kumtukuza Pepo jezebeli aliye simamia kujiremba
@ndagijimanaaregizandereАй бұрын
❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@laurensithomasi31528 ай бұрын
🙏🙏💐
@Isabellependo6389Ай бұрын
Kuna kitu watu amjajuwa kuweni makini Kama kaini alimuuwa ambeli Yuda akamtowa yesus kwenye maaduwi Kama Mungu alisema mwanamke mshawi asiishi sasa kuwei makini sana na comment za ujinga ukweli Ambaho Mungu anajuwa labda sio ule tunao ambiwa kuweni makini sana umjuwi kwa nini Mungu anaruhusu haya wewe unaye nyoosha mdomo ni kwa sababu aujawahi kuumizwa na familllia Mimi nilipita kipindi Kama icho ukweli Mungu alipo towa inje Siri kubwa ya famillia ndipo watu wakangunduwa kumbe kosa ilikuwa kwa mzazi wa