MASANJA MKANDAMIZAJI ACHEKESHA WATU MSIBANI | MASANJA TV

  Рет қаралды 165,764

Masanja TV

Masanja TV

Күн бұрын

MASANJA MKANDAMIZAJI ACHEKESHA WATU MSIBANI | MASANJA TV
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 81
@barakmazigo8945
@barakmazigo8945 5 жыл бұрын
Wachawi oyee, kama umeiskia hy masanja ameikandamiza gonga like
@TimotheoElias-lh5hy
@TimotheoElias-lh5hy 11 ай бұрын
Masanja we ni shida nimeamini
@joylimo6689
@joylimo6689 2 жыл бұрын
Following from kenya nmeona mchungaji wangu chibinda
@bahatialex9524
@bahatialex9524 6 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtmishi wa Mungu nikweli kabisa
@stevenlukumay5517
@stevenlukumay5517 6 жыл бұрын
Mchungaji masanja mkandamizaji mwanwane kandamiza gospel ya jesus haleluya Mungu azidi kukulinda
@GloryJohn-nm5wo
@GloryJohn-nm5wo Жыл бұрын
Naona na mfiwa ancheka kasha sahau duu mung akupe nguv
@aidanmaganza5280
@aidanmaganza5280 6 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji Emanuel, mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na utusaidie kuijua kweli. Nilikuwepo ktk msiba, ulisaidia wengi.
@kanaanimkisi5290
@kanaanimkisi5290 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba Askofu
@mbwanalau57
@mbwanalau57 6 жыл бұрын
Upo vizuri mana napenda kukufatilia mchungaji barikiwa
@rithamsacky4655
@rithamsacky4655 5 жыл бұрын
Yaan masanja eti kabeni mara mbili....
@mesozimkombozi432
@mesozimkombozi432 6 жыл бұрын
Nakupenda sana masanja.
@akutiboysolomon9418
@akutiboysolomon9418 6 жыл бұрын
Hongera mtumishi kwa kazi njema ,Lazima kieleweke tu
@mesozimkombozi432
@mesozimkombozi432 6 жыл бұрын
Kweli masanja wew ni bonge la mchekeshaji kwa mara ya kwanza nimekuona mwaka 2005 kwenye tv ulikuwa umevaa kimasai na fimbo begani ukiwa unaongea kilugha na mwengine akawa anatafsiri. nilicheka sana. tangu hapo nilikupenda sana na hujawahi niangusha kila comed yako nacheka sana. mungu akubariki kwa kipaji chako. Nakupenda sana tena sana masanjaasss
@fredricknduneh2018
@fredricknduneh2018 6 жыл бұрын
I do love your sermons. Be blessed pastor masanja
@rehemabonza4529
@rehemabonza4529 5 жыл бұрын
Mungu ni bariki nipate makaz dar, nije usali mito ya baraka, amen.
@francismacheta8127
@francismacheta8127 5 жыл бұрын
Wachawi oe. masanja big up!!
@nabiimdogotv8686
@nabiimdogotv8686 6 жыл бұрын
Kazi yako ni njema kamanda
@aliceamanya6457
@aliceamanya6457 6 жыл бұрын
Ubarikiwe masanja
@nayigaagnes746
@nayigaagnes746 6 жыл бұрын
Asannte kwamaubiri mazuri masanja
@Pastorlenhardkyamba
@Pastorlenhardkyamba 6 жыл бұрын
KEEP UP BRO I REALLY LOVE YOU SIR.
@mwakasamuelnyiro6559
@mwakasamuelnyiro6559 6 жыл бұрын
Amen. Nimebarikiwa sana na ujumbe wako mtumishi. More blessing
@happygasper3695
@happygasper3695 6 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi street pastor.. walawi 19:27
@filberthabashi3366
@filberthabashi3366 6 жыл бұрын
Happy Gasper i like
@angeljoyce6836
@angeljoyce6836 5 жыл бұрын
Asnte mchungaji uko vizuri
@godhelpkimaro6742
@godhelpkimaro6742 5 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi
@vicemedicalhealthcareoffic2311
@vicemedicalhealthcareoffic2311 6 жыл бұрын
Umeokoka kwel hauna bwebwe na ulokole kwel big up 100%
@saimonmgeta5239
@saimonmgeta5239 6 жыл бұрын
Hahahaaaa Uwiiii Eti Un logecable generation
@lightm2225
@lightm2225 6 жыл бұрын
Barikiwa. Mtumishi hapo umenena
@happynessmkuyu545
@happynessmkuyu545 6 жыл бұрын
umenibariki sana kaka masanja
@dawillygene
@dawillygene 5 жыл бұрын
Nakupenda saaana mtumishi
@tumemanyema3523
@tumemanyema3523 5 жыл бұрын
Nijambo jema kubadirika kumfuata Yesu muweza wa yote
@devybernardlaizer7713
@devybernardlaizer7713 6 жыл бұрын
Amen mtumishi
@fredricjames774
@fredricjames774 5 жыл бұрын
Wachawi oyeeeee
@johnyjecma466
@johnyjecma466 4 жыл бұрын
hahaaaaa et wachawiiiiii oyeeeeeeeeee
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 5 жыл бұрын
Hapa kweli Masanja ulihubiri ni Kiburi tu watu hatubadiliki
@OmanOman-iv6si
@OmanOman-iv6si 6 жыл бұрын
Amina mtumishi wa mungu
@shaddyjames7511
@shaddyjames7511 4 жыл бұрын
Amina
@modestaabeli3389
@modestaabeli3389 6 жыл бұрын
Asante mtumishi wa bwana
@barakakiyalo3900
@barakakiyalo3900 6 жыл бұрын
Manina mtumishi wamungu ubarikiwe
@magolijames3101
@magolijames3101 4 жыл бұрын
Amen
@abelinhojohnson342
@abelinhojohnson342 5 жыл бұрын
Ahahahhaahah wachaw hoyeee!
@alphonsinedusabe3590
@alphonsinedusabe3590 6 жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏🙏
@thiagoneligwa2190
@thiagoneligwa2190 6 жыл бұрын
ameeeeeeeennnnnnn
@jibrildavis5664
@jibrildavis5664 2 жыл бұрын
Nichukiye uhumwe 🤣
@rosemarymashauri8628
@rosemarymashauri8628 6 жыл бұрын
ha ha ha ha jamani mahubiri mazuri tujitathimini
@sethstiven3393
@sethstiven3393 6 жыл бұрын
Rosemary Mashauri wap mama
@zeoneshiru3319
@zeoneshiru3319 6 жыл бұрын
Nichukie Uumwe
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@benny924
@benny924 6 жыл бұрын
Carolina Mushi kwa sababu wewe ni ibirisi ndio maana hata ulichoandika hakisomeki mwambie aokoke babaako
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Wewe ndio ibilis huwezi kuhukumu maisha ya mtu hapo Tayari umenihukumu hujui maisha yangu, jaribu kumuona Mungu kwa mwenzako, maana tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu, kwenye mamlaka na kuhukumu yetu wanadam ni Mungu pekee yake, na sisi wote ni Watoto wa Mungu bila kujali dini kabila nchi sura au rangi, na Mungu anatupenda ndio maana anatuvutua kila mara tumerudi, wewe unafikiri kuwa mlokole umefika mbinguni huendaunaishi kila Siku kunyoshea watu video hujui ukinyosha kidole kimoja kwa mwenzako vinne vina kurudia wewe?
@elizabethmassawe5917
@elizabethmassawe5917 6 жыл бұрын
Carolina Mushi baada ya kufa ni hukumu Mdada usidhani kufa ndio uwokovu. Jiandalie ungali una pumua Mae...
@rosemarymashauri8628
@rosemarymashauri8628 6 жыл бұрын
eti kabeni mara mbili zaidi ya mwanzo ha ha ha ha
@eliyaleonard137
@eliyaleonard137 6 жыл бұрын
hahahahahaaaaaaa. nimeche mbavuzinauma eti wachawi oyee.
@neemakaluwa5856
@neemakaluwa5856 6 жыл бұрын
Eliya Leonard 😂😂😂😂Yaan masanja!!
@lameckathanas2704
@lameckathanas2704 6 жыл бұрын
Halafu watu wakajisahau wakaitikia oyeee😂😂😂😂
@chandrnyoeliakim1006
@chandrnyoeliakim1006 6 жыл бұрын
hahaha nichukie uumwe
@bushashasamsong7788
@bushashasamsong7788 6 жыл бұрын
Unrogekable generation
@mwinjilisti.wayesu6196
@mwinjilisti.wayesu6196 6 жыл бұрын
calolini mushi kuokoka ni lazima usijidanganye kuokoka nikusema ukweli ,,...upendi kukemewa dhambi nilazima ukemewe
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Ukweli ukweli ni jambo mmoja unatakiwa uwe nalo makini sana Kwanza wewe unaweza kujidanganya mbele ya Mungu huku ulibaki kukemea wengine maana usipojiamgalia kwa jicho la uwazi na nafsi yako utakua mnafiki mbele ya Mungu na kujifanya mkweli mbele ya watu.
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Unakumbuka yule Mafarisayo alienda mbele ya Mungu na myahudi? Mafarisayo a kaanza kusali ee Mungu mimi sio kama huku hapa mdhambi, nafunga natoa sadaka nasali sana nk. Lakini yule myahudi akasema ee Mungu nihurumie mimi ni mdhambi nimekukosea sana, Mungu alipendezwa na Huyo myahudi, ujue wakati mwingine sisi wanadamu tunajiona kama Huyo Mafarisayo, hata tunapituliza kujiona tupo sawa na Mungu, lazima tu jaribu kuwa wanyenyekevu na kujiona tu sisi tupo kwa huruma ya Mungu. Mungu haukumu kama binadamu wahukumuvyo.
@thiagoneligwa2190
@thiagoneligwa2190 6 жыл бұрын
your talking now.......
@kadzofaith5456
@kadzofaith5456 6 жыл бұрын
Ameen
@zakayomtweve684
@zakayomtweve684 6 жыл бұрын
Widaligha
@akwirinaprotas2493
@akwirinaprotas2493 4 жыл бұрын
Kadzo Faith
@veronicakalondji2375
@veronicakalondji2375 6 жыл бұрын
Amen🙏🏾🙏🏾
@faidoninyondomidia1454
@faidoninyondomidia1454 6 жыл бұрын
Ubalikiwe kaka
@alfrednjambilo909
@alfrednjambilo909 6 жыл бұрын
hahah daah
@furahafedrick8501
@furahafedrick8501 6 жыл бұрын
Carolina cyo lazima ukoment waachie waelewa wakoment
@victamnyamwezi2785
@victamnyamwezi2785 6 жыл бұрын
Kwakweli ni heri atulie
@AnnaMfilinge
@AnnaMfilinge Жыл бұрын
Amina
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@betherichoir2823
@betherichoir2823 6 жыл бұрын
Carolina Mushi ujielewi wewe alafu nini kinakuuma wewe pambana na Hali yako utaki kukemewa Zambia alafu wazinzi waga mnasumbua nyie
@emanuelmponzi3446
@emanuelmponzi3446 6 жыл бұрын
Carolina Mushi sio kweli kuokoka ni kukiri kwa kinywa chako kwamba ni bwana na mokozi wa maisha yako maiti hawez kukirii
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 6 жыл бұрын
Carolina Mushi acha ujinga wewe. kuokoka ni ukiwa hai
@jevasonkimaro4535
@jevasonkimaro4535 6 жыл бұрын
Carolina Mushi , we umelogwa fata maandiko
@samuelmbugh9505
@samuelmbugh9505 6 жыл бұрын
Biblia inasema aaminie na kubatizwa ataokoka marko16:16 sasa ukifa utaaminije ukimkiri yesu kwa kinywa chako na kuamini utaokoka sasa utamkirije ukiwe umewekwa kwenye jeneza
@leonarddamian
@leonarddamian 5 жыл бұрын
Mbwa ukishamjua jina akusumbui tena.
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
MASANJA MKANDAMIZAJI AWEKA WAZI UWOGA WAKE MSIBANI | MASANJA TV
18:26
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
MASANJA  HADHARANI FATILIA MPAKA MWISHO
24:02
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 739 М.
UONGO WA MADHABAHUNI | BISHOP MASANJA MKANDAMIZAJI | PRAYER ROOM TANZANIA
19:50
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1 МЛН
MAHUBIRI KONKI  YA MASANJA YATAKAYO KUUMIZA NA KUKUFUNDISHA
59:43
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 21 М.
Original Komedi walivyoingia kwenye Harusi ya Masanja na sare za Polisi
11:53
REV. DR. ELIONA KIMARO: KIVUKO CHA FAMILIA/FAMILY FERRY
1:41:06
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 53 М.
MIPAKA YA KIJAMII
1:09:10
Living Word
Рет қаралды 79 М.
MAANDALIZI YA UKUBWA (PART 1) | BISHOP. MASANJA MKANDAMIZAJI #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
20:40
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН