ahsante sana mch masanja kwa maana hujawai Kumuacha mtu salama unawapa makavu live ubarikiwe sana
@georgedamas70976 жыл бұрын
Nimekukubali mtumishi wa Mungu, kwa iyo staili ya mahubiri yako, andaa project nzuri ya kuwahubiria watu wenye kukosa matumaini km mateja, utasaidia sana jamii , thanks bro
@victorkingi64036 жыл бұрын
dah masanja mungu alikupa kipaji kikubwa sana na unakitumia ipasavyo
@mariaswat2816 жыл бұрын
nakupendaga bulee masanja
@angelaswila64226 жыл бұрын
be blessed mchungaji kilijobaki ni tuseme kweli ya Yesu tu.
@mwatangaidrisahashim31274 жыл бұрын
Kipozeo
@frederickloongableu-goude4 жыл бұрын
Unacho ubiri ndugu ni kweli, Mungu akubariki sana, Amina
@jamilanimbona36924 жыл бұрын
Amen ubalikiwe sana masanja
@xkingx80416 жыл бұрын
Tuna kusikiliza kabisa from 514.ubarikiwe saaana
@christophermgoli12365 жыл бұрын
MTUMISHI MUNGU Akupiganie daima
@winniesainet86353 жыл бұрын
We love you so much,May Almighty God bless you
@harunkabalika6 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Bwana kwa injiri nzuri.
@irenemillius49075 жыл бұрын
Asante mchungaji masanja ongea baba tupone
@nyungumjeshi2074 жыл бұрын
Ahsante sana we noma
@MrAbdulrahmank076 жыл бұрын
Asante niko nje ya nchi nakupata mungu atuzidishie nakukbali sana uko vizuri
@mudypad83256 жыл бұрын
Umeulizwa na nani mr
@joycelutagwelela8086 жыл бұрын
Safi mtumishi
@yonamdegela54046 жыл бұрын
MrAbdulrahmank07 no
@deboraelias18626 жыл бұрын
hiyo nimeikubali mtumishi kweli we ni mtumishi
@erickmbega15105 жыл бұрын
Asante sana nimekusoma
@josephbonday85105 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Masanja kweli UKOMEDI NDIO TALENT yako uliyojaliwa
@BWANAMUHAYA6 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi masanja
@virginiakibe18466 жыл бұрын
Kabisa nimeisikia nikiwa usa asanti kwa injiri nzuri
@suzanamwanga16735 жыл бұрын
Mungu anavyombo kwa kweli
@evambughuni92765 жыл бұрын
Amen mtumishi.
@Msabato714 жыл бұрын
Da!!! Upo vzur saaana bro.
@alikokayange87976 жыл бұрын
Hàpo sawa mtumishi wamungu ubarikiwe.
@jasbirswaran43386 жыл бұрын
Be blessed mch emmanuel,u knw how to tell peope about bible
@janemwasumbu20386 жыл бұрын
Ameni nimekwelewa mtumishi
@julietmasalu91356 жыл бұрын
Amina mtumishi
@yustojastine96326 жыл бұрын
amenii masanja
@davidelisa10246 жыл бұрын
Pastor Masanja nakukubali sana
@rosemarymashauri86286 жыл бұрын
mtumishi nimebarikiwa
@eliuthamangula17916 жыл бұрын
simply talented!
@edwardkisusuofficial5 жыл бұрын
Broo unaweza kuhubiri
@adamrichard88366 жыл бұрын
Much balikiwa sana
@fridaykwama77156 жыл бұрын
Amen masanja
@eliyayeriko56166 жыл бұрын
Much Appreciation to you my Bro R.I.P our mum
@benjaminchakwe98153 жыл бұрын
NIMEPENDA UKWELI WA MASANJA
@danielanyimike57245 жыл бұрын
Masanja unakipajiiii
@officialmeznah9746 жыл бұрын
Yaan mahubiri yako hayajawahi kunipita , nashukuru Mungu
@boanergeiam48496 жыл бұрын
powerful GOSPEL dearly i john 1:12
@happymlona60056 жыл бұрын
Asante mungu kwa Aya ni matunda yako
@mgomboally26526 жыл бұрын
That's why nakupenda Masanja
@sundaymwakamisa4915 жыл бұрын
Amen mchungaji
@happyrichards3195 жыл бұрын
Mahubiri mazuri...
@selinamlowe28996 жыл бұрын
Ameni
@isackaanacleth71174 жыл бұрын
Anajitaid sana
@nickodamasmwapagata33896 жыл бұрын
mungu akubalik mch
@mwakasegeshukuru37206 жыл бұрын
Daaaaaaaa mshua tena!
@josephhaule91234 жыл бұрын
Huyu jamaaa yupo vizur isipo kuwa anahubir kihuni 😂😂😂 et mm ni mchungaji wa kisasa.... Mshua ndonn kwenye mambo ya rohoni hamna huo uhuni
@boanergeiam48496 жыл бұрын
POWER.
@nabiimdogotv86866 жыл бұрын
Pole sanaaa bro Elick shingongo
@janethlengeju43296 жыл бұрын
Nakuelewaga sana
@mariamsemy29245 жыл бұрын
Unaweza ukasema Mchungaji/mtumishi Emmanuel analeta mzaha ila wewe ni mtumishi wa Mungu,mimi nakuelewa jinsi unavyo husanisha Mazingira Tunayoishi n Biblia Takatifu.Mungu akubariki sana.hiyo sio akili ya darasani
@trickytriggtz94406 жыл бұрын
Ubarikiwe
@angelavayinga9146 жыл бұрын
R.I.P mama yetu mbele yako nyuma yetu sisi.
@kulsoomkulsoom88976 жыл бұрын
Amina kwa mahuburi mshungaji
@rebecajohn19406 жыл бұрын
Uko vizuri
@jaymp516 жыл бұрын
bwana yesu asifiwe sana
@wahindiakwembe80666 жыл бұрын
Masanja nakupenda huwa unasema kwer
@arubalydia2246 жыл бұрын
Comedy pastor...hahaaa Nakukubali..ukiwa juu utolewe ngazi utashukaje..hahahahaa
@zeoneshiru33196 жыл бұрын
Amen
@yohanalanga55636 жыл бұрын
Aaamen
@mariamsuma30034 жыл бұрын
Nimecheka adi mbavu
@kivambejofrey12965 жыл бұрын
Amein Mtumishi
@peteredward22506 жыл бұрын
ameenii
@nabiimdogotv86866 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@johnicejordan72754 жыл бұрын
Kwakweli tunaishi duniani ambapo cio kwetu,
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
Kweli unawahubiri hapohapo malizana nao kabisaa maana kanisani wengine hawaji
@mimilenge95486 жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji wanaletwaga tabani
@lucassalvatory72516 жыл бұрын
hahahahaha yaaan masanja unavituko sijapata kuona ...eti eeefuuu buhffhhxjvu hiyo ndo bwana Yesu asifiwe
@esthermnyasenga18086 жыл бұрын
yaan masanja hadi mfiwa anacheka
@johnenock6045 жыл бұрын
hapo hamna ki2 kaka waumini wako wengi wanamuonekano wa ulevi,yaani wanywa pombe
@nurudovino2885 жыл бұрын
Ndiomaan wanahubiriwa ili wajue mambo meema sio watu ambao tayari wanajua na kwa uerewa wangu Mungu anatafuta kilichopotea ili kiwe chema
@obedmkenda99346 жыл бұрын
Nimekusikia mchungaji sasa nikubadilika na kufuata njia sahihi
@larickmtui28526 жыл бұрын
Haya bhana
@fredrickmlokozi48856 жыл бұрын
mchungaji
@searpiamrosso89035 жыл бұрын
Marehemu alizaliwa akazurura akafa
@nyungumjeshi2074 жыл бұрын
Yani umenichekesha na unachekesha wewe broo
@selinamlowe28996 жыл бұрын
😂😂😂😂👏👏👏🙏❤
@alfrednjambilo9096 жыл бұрын
😂😂😂 G.K
@nabiimdogotv86866 жыл бұрын
Injili moto
@johnenock6045 жыл бұрын
Wote ao wafuasi wako wakomedi2 wamefuata kurefusha maisha yao kwasababu ya kucheka2