No video

MASHEIKH WALIO RITADI NA KWENDA KWA NABII MKUU ARUSHA WAOMBA RADHI NA KUTOA SHAHADA UPYA LEO.

  Рет қаралды 37,026

ZVP ONLINE TV

ZVP ONLINE TV

Күн бұрын

#ShkAlhadMussaSalum #Zvponlinetv #Daressalaam

Пікірлер: 509
@Ndiyooo
@Ndiyooo Жыл бұрын
Nimeliya saaana saaaaana kuona iviiiii Mungu atujaliye ss waslamu woote atuepushe na bala za makafiri inshallah mukono Kwa mkono paka peponi inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🌎🌎🌎🌎🌎🌎
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 Жыл бұрын
Hahaaaaaa umelia nn
@user-li4kt7lz1r
@user-li4kt7lz1r Жыл бұрын
InshaAllah
@tirmidhiikhamisi5343
@tirmidhiikhamisi5343 Жыл бұрын
@@denisnjaila2182 Mapenz yake juu ya uislam na kudhalilishwa
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын
Hapa sheikh Alhad kwenye utangulizi amesema, Mtume Muhammad ndiye aliyepewa dini iwemwongozo kwa watu na dini ya uislam iwe juu ya dini nyingine hata Kama makafiri watachukia. Shukran sheikh kwa utangulizi huu. Uislam ndio dini ya haki kweli.
@focusernest5610
@focusernest5610 Жыл бұрын
Ni vitabu vyenu ndivyo vnasema hvyo kuwa ni ya haki na je nami nikisema yangu ni ya haki kuliko yako utaamin🙆 lah kam mungu amekutokea akaongea nawe live nitakuamin na nitaamin nyie ndyo wateule wake vingnevyo msidharau Iman za wengne mnavyotuon nasi tunawaona hivyohivyo tofaut yetu hatujinadi na kujionyesh wema mbele za watu...mhimu kuwa na hofu ya mungu mengneyo tukutane kwenye cku ya kuhesabiw ndipo ukwel utajulikan
@mudighurayra
@mudighurayra Жыл бұрын
@@focusernest5610 dah Mungu awe asha kuongoa hio siku ndio nitafurahi maana siku hio ni nzito sana
@alhamdulillahalhamdulillah7529
@alhamdulillahalhamdulillah7529 Жыл бұрын
@@focusernest5610 uko huru kaka muhimu umepewa Akili itumie vizuri bila shaka yupo anaefaa kuabudiwa lakini namwenyewe ameweka wazi kila kitu
@ibraheemqassim3018
@ibraheemqassim3018 Жыл бұрын
Kweli kaka naona makafir wamejileta wenyew akitajwa kafir wanajstukia
@abedsaidy7263
@abedsaidy7263 Жыл бұрын
Kabsa dini yakiislam nidin yahak
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 Жыл бұрын
Achen kuifanya Dini Kama ni mchezo2 wa kisiasa Leo upo chama hichi kesho upo chama hichi mnakuja kuangamia ndio maana Leo tupo kipindi kigumu kwa maisha yetu KUTOKANA na mambo tunayofanya kumdhihaki Allah . Subhanallah Allah atustir na atuhifadh na atuongoze ktk maisha yalionyooka.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sein.208
@sein.208 Жыл бұрын
Allahumma Amiyn 🤲🏼
@masudimwinyi7301
@masudimwinyi7301 Жыл бұрын
Mashekh wetu mnatakiwa muwe makini Sana na Hawa mafrimason wanatumia pesa kuwaadaa waislam ili wàtupotoshe Allah tujaalie na utunusuru tuwe na mwisho mwema
@lovvy854
@lovvy854 Жыл бұрын
Ameen Yarrab 🤲
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 Жыл бұрын
Tokea hapo bakwata ni chombo kilichoasisiwa na wakiristo kuhs toba mtajuana na mola wenu ila kwa upande wa waisilamu hatutakiwi kukuaminini tena
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Na wanayatoa huko uislamuni ndiko mlimsilimisha shetani naMajini
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
@@khamisjuma7616 hahaha
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Mm ninachojua kucheza na Imani ni hasara kubwa sana ALLAH atuongoze na atuepushe na hizi tamaa
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Amiin
@Bam268
@Bam268 Жыл бұрын
Na wewe unaejiita sheikhe wa mko pia urudi kwa allah ulipiga haleluya nyingi kipindi cha makufuli
@abdulazizmwipi9295
@abdulazizmwipi9295 Жыл бұрын
Hahah ila wakat ule magu akiwa hai si alimshika akili ndy maana akatamka vile ila sa hvi hawez tamka vile
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mh
@zaidinohoraibo5671
@zaidinohoraibo5671 Жыл бұрын
Samahani kaka au dada, kwani aleluia maanaake nini?
@Bam268
@Bam268 Жыл бұрын
@@zaidinohoraibo5671 sijui maaana yake nini lkn kwenye dini yetu ya kislam haututakiwi kutumia hizo haleluya ni makosa
@marianaduncan6330
@marianaduncan6330 Жыл бұрын
Hallelujah hallelujah YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye YESU KRISTO milele na milele, allah ni shetani mkubwa audanganyaye ulimwengu na kuwapeleka watu Motoni uelewe hivyo Mungu wa kweli ni BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe na Tubu kabla haujachelewa mpokee na kumwamini BWANA YESU KRISTO kuwa ni Mungu wa kweli hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye YESU KRISTO Wala usitarajie kutokea Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele
@jumannendayigeze2899
@jumannendayigeze2899 Жыл бұрын
Asante Shekh Allah atusamehe sisi tuliowaambia wamelaaniwa kama firauni mjaa laana
@mahamuduhassan8511
@mahamuduhassan8511 Жыл бұрын
maa shaa Allah huu ndio uongozi shekhe Alhaadi ibnu musa Allah akuhifadhi kaka yetu hakika una hikma mno huongozi kibabe sijaona umemdharau yoyote ktk hawa wakosaji umewanasihi kihikma ahsante kaka yetu japokua umeona mapungufu makubwa kao wala hukuwazodoa na kuwaambia hata hata shahada hawawezi kuitamka wanasema kushadadia kweli kiongozi hatakiwi awe mushaddidul umuuri narudia kusema tena Allah akuhifadhi shekhe
@amyboyfighter7281
@amyboyfighter7281 Жыл бұрын
Allah awasemee mana ukosefu niseem ya binadamu naukalilifu niwake Allah pekee naamini karibia makosamengi tunayofanya uwa tunayajuaa natunafaham kama ili nalofanya mungu amekataza lakini baadae mtu unamuomba mungu kwaulioyafanya sioka ulikua ujui kama nikosa lakini ndio tunarudi palepale kwamba makosa niseem ya binadamu NaMungu usituchoke waja wako kwa makosa yetu yamalakwamala yotekwayote Mungu utasamee sote waislamu kwamakosa tunayo yafaham natusio yafaham, Amin 🤲🤲🤲
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Amiin
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 Жыл бұрын
Uzee nmbaya kwakweli Allah aniepushe na uzee kama huu wakufanya yasiyo julikana Allah atusameheni
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Hahaaaaa
@kassimabussa6583
@kassimabussa6583 Жыл бұрын
Hawa watu wangefatiliwa kwaumakini kubaini kuwa ni waisilam kweli au wanadanganya mana Dunia imebadilika Sana watu wameweka tamaa mbele Kama nikweli Allah awasamehe istoshe niwatu wazima Dunia hiii Allah tulinde na tamaa Kama hizi
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Amiin
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Inawezekana ndio au siyo
@MJB-Africa
@MJB-Africa Жыл бұрын
SHEIKH WA MKOA MWENYEZIMUNGU AKUJALIE FIKRA NA UWEZO HUOHUO, MAAANA WALLAHI FIKRA ZANGU MM ZILIKUA ZINAWAWA ZIA MAKUBWA SANA HAWA JAMAA MAANA WATOTO WETU TUNATUMIA NGUVU KUBWA KUWA JENGA LAKINI WANATOKEA WAPUUZI WAMOJA WANATAKA KUWAPOTOSHA VIZAZI VYETU, INNALILLAH WA INNALILLAH RJN
@prophetsedekiamwamposa7841
@prophetsedekiamwamposa7841 Жыл бұрын
Mashee poleni Sana mungu hatetewi uwezo wake unatosha kujitetea sisi niakinanan? Hiv udongo unaweza kumpigania aliyeufanya udongo kuwa mtu lahasha bas tusitumie Vita Imani ndiyo lugha ya MUNGU
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@TarllerMtandala
@TarllerMtandala Жыл бұрын
Na sasa hivi watu tumekuwa tukiwaogopa zaidi wanadamu kuliko Mwenyezi hii ni hatari sana tunamuogopa mtu anaekufa tunaacha kumuogopa Mungu ambaye hafi na ndiye atakae tuhukumu siku ya mwisho
@officialmubytz1076
@officialmubytz1076 Жыл бұрын
Mimi ni mkristu Shehe nimekuelewaa sanaa hujaungumzia ushabiki wa kidini Umfuata maelekezo ya dini yako Lakini pia umeonesha kutambua na kuheshimu Imani na sini za watu wengine Dini ni njia za kutukutaniaha na mola wetu na kila mtu kwa Imani yakee
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@wanaupendotv7183
@wanaupendotv7183 Жыл бұрын
Allah Ndio anajua zaidi yaliyo ndani ya nafsi yao pesa wamesha weka mfukoni ndio wanakuja kuslim na baadae pakitokea dili tena wataenda baadae wataomba radhi Allah atuongeze kwa jumla
@magomakabanja480
@magomakabanja480 Жыл бұрын
Wote wale Wale Waliokunywa Uji wa Mgonjwa Kwani yeye Hakwenda Kwenye Makanisa na Kusimamia Kwenye Madhabahu Bakwata Sio Taasisi ya Waislam Bali ni yawaroma Ndo Maana Nilisema Kua Mtoto Akienda Kwa Mzazi Wake ni Makosa
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mh
@habibaramadhani15
@habibaramadhani15 Жыл бұрын
Alhamndulillah Hao Mashekhe Waslimu, Shekhe. Mkuu.endelea kufundisha.
@habibaramadhani15
@habibaramadhani15 Жыл бұрын
Bismillah Rahmani Rahimu Naomba tuendelee kujifuna. Tujue History ya Dini yetu vizuri.Swali langu Je,Unawezaje Kuisaliti. Dini ya Allah ?Unatoa wapi Ujasili huo. TUMUOMBE ALLAH. ATUNUSURU.,ASTAKAFILULAH.
@habibaramadhani15
@habibaramadhani15 Жыл бұрын
Tuendelee KUJIFUNZA Tusijaribu. Kuisaliti Dini ya ALLAH
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 Жыл бұрын
NABII MKUU NI TAPELI HATA KWETU SISI WAKRISTO TUNAJUA HIVYO
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Kabisa kabisa mkuu
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@saidchombo5952
@saidchombo5952 Жыл бұрын
Wewe umeongea
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wala hatumkubali tunaruhusu tu kwa vile ni siku za mwisho
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 Жыл бұрын
@@trophywilson7211 kama BIBLIA IMEWATABIRI NANI ATAKAEPINGANA NA UNABII UNAPOTIMIA?
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Жыл бұрын
Njaaaa zzitawaauwaaaa
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Sannah
@jumaciza461
@jumaciza461 Жыл бұрын
Siku zote vituko ni Tanzania 🇹🇿 na congo 🇨🇩
@matekerekurwijira1576
@matekerekurwijira1576 Жыл бұрын
Hapa masheikh wangu mmetufelisha sana, Mimi ni mkristo lakini uisilamu ni miongoni mwa dini chache thabiti zilizobaki duniani hapa, muache kutumika kizembe nawashauri, msitumike na mtu au taasisi yoyote kwa maslahi binafsi
@mzeeomary5780
@mzeeomary5780 Жыл бұрын
Wahuni sio watu wazuri mshavuta mpunga watoto wamepona kisha mmetubu inshallah Allah atawasamehe vip yule msanii alikuwa anasema yeye nimsani wa bongo movie yuko wap nayule mzee wandevu ndevu Allah awape afya njema kwani hakuna mkamilifu only Allah nasio viumbe
@jacklingerald388
@jacklingerald388 Жыл бұрын
Nimekupenda bure ndugu yangu muislam mwenye akili
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Жыл бұрын
Daaaah NJAA MBAYA SANA. MWZ MUNGU ATUSTIRI WAJA WAKE.
@ilovejesus666
@ilovejesus666 Жыл бұрын
Mngeachana nao hao ni njaa zao tu na wanaelimu gani adi wajiite masheikh au ukishavaa kanzu na kofia tayari wew ni sheikh 😏😏😏😏😏
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mtihani Wallah
@lovvy854
@lovvy854 Жыл бұрын
Hii ni ushahidi tosha kuonyesha kua ni Zama za Mashid Dajjal kwahio Niko na Imani kua haitoweza kutokea tena ila mithihani ni hayaishi
@sakinat2527
@sakinat2527 Жыл бұрын
Mtihani
@NIKE-xy6et
@NIKE-xy6et Жыл бұрын
Mimi mtu akiritadi na arudi kwenye uislamu huyo simfanyi rafiki hata kidogo maana hakai mbali na unafiki. Huenda mtu akaogopa kusemwa na jamii lakini akawa na usuhuba wa siri na hao makafiri.musiwaamini hata chembe.
@jesusislord9190
@jesusislord9190 Жыл бұрын
mmeona mashekh wenu walivyowaongo kiski alisema hawa sio waislam mwaipopo akasema hawa sio waislam kumbe hata sheikh wa mkoa anawajua waislam waongo sana
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 Жыл бұрын
@@jesusislord9190 wewe ndio mjinga
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@ambarnelly6071
@ambarnelly6071 Жыл бұрын
Asalama alaikum jmani tunatakiwa kumdhikir Allah kwa wingi maana tumemsahau
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Waalaykumu salaam warahmatullah wabarakatuh i
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@nduwamunguheaven2345
@nduwamunguheaven2345 Жыл бұрын
Nabi Mukuu mungu akusidie upnye wa Islam
@masudimwinyi7301
@masudimwinyi7301 Жыл бұрын
Waislam tuwe makini Sana pesa zisituadae tukatoka ktk mstari uislam ndio dini ya haki tusimame ktk dini yetu
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Жыл бұрын
Njaa yao ni mbaya Sana, mnajisahau Kama ni waja wa Allah. Wangetueleza kwa uwazi kama walishawishiwa kwa fedha au laa.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hapo inadhihirisha naWaislamu naohamsaidii watu wenu hadi wanatafuta namna ya Kwenda kutafuta Maisha kwa sababu ya dini,Wasaidieni njaa zipungue
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@shabanimusa873
@shabanimusa873 Жыл бұрын
Ili tuwe na imani na nyie mrudishieni Joe Devy pesa zake
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@saidchombo5952
@saidchombo5952 Жыл бұрын
AllahuAkbar, lakini hawa Ni wtu wazima na wana wake zao na watoto na wajukuu, Sasa mbona mtihani! Hivi Ni kweli Wana imani!!? Maana wamejikusanya na wakafunga Safari mpaka Arusha. Daah! Subhanallah
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Jamani tuwe makini na njaa zetu zitatupeleka pabaya sana 😢 watuzima kabisa Bora wangekuwa ni watoto uuwiii
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Sannah
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Njaa mpaka zinawafanya mfuge majini si vyepesi Muokoke tu
@kakawataifa6752
@kakawataifa6752 Жыл бұрын
Serikali ikememee matamshi ya viongozi wa dini ambao wanaweza kuhatarisha usalama wa nchi.asanteni huu ndio mchango wangu
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa wazo Zuri
@binbadru8408
@binbadru8408 Жыл бұрын
Mnadhima kubwa sana,lazima mjue Kuna kufufuliwa,km pale bakwata kazi kutoa talaka bila kutumia hekima mnajali pesa tu
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@abdirahmanshawkani
@abdirahmanshawkani Жыл бұрын
Tumutegee Allah maana Yeye ndiye mwenye kugawa riziki na yeye ndiye ambayo yuko na riziki ya kila kiumbe katika hii dunia na shukuru ukipata na ukikosa pia shukuru usije ukakufuru maana kupata ni mtihani na kukosa pia ni mtihani ,usiweke tumbo mbele ukawategemea wanadamu wakaja wakakufanya ukamkufuru Allah izo pesa mlizo pewa si chochote wala si chochote mwogope Allah kila wakati,,,,,, tubuni na Allah atawasamee maana yeye ni mwingi wakusameee
@saidmohamed2811
@saidmohamed2811 Жыл бұрын
Mashekhe amutakiwi kuhukumu hilo jambo bola muhachieni allha awahukumu awo binadamu wamehikesea sana dini ya Allah
@user-li4kt7lz1r
@user-li4kt7lz1r Жыл бұрын
@@saidmohamed2811 lakin unapoona mtu kakosea kumlekebisha si Zambi kuliko kumuacha akapotea siku ya kiaqiama wataulizwa kwann hamkuwaweka Ktk njia sahihi wakat uwezo huo walikua nao pia hata shehe alisema mtu hakiomba lazi lazima kusamehewa kama mungu anasamehe binadam ni nani asisamehe shehe hakuwawekea hukumu ndugu usimnukuu vingine
@ibrahimmohammed9361
@ibrahimmohammed9361 Жыл бұрын
Allah awasamehe kama ni wa kweli na nafsi zao,lakini hi dunia wa islamu tujitahidi kuongeza imani yetu ju sasa ndio wakati wakupimwa na matamanio ya dunia
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@hasanipazia8876
@hasanipazia8876 Жыл бұрын
Hakika njaa ni hatari inawafaya wadio imani kurtadi
@hasanipazia8876
@hasanipazia8876 Жыл бұрын
Sheikh Aad Mola akufungue zaidi,ili uweze kuyaona mengi mengineo sio haya tu.hakika umetimiza wajibu wako wa uongozi wa mkoa Allah akuongoze.furushi ni hatari sana.
@ayubukaaya4576
@ayubukaaya4576 Жыл бұрын
Je pesa wamerudisha lakini? au ndiyo mitaji imeshapatikana.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 Жыл бұрын
Kilamtu atabeba fulushi lake lamatukio aliyo yafanya Allah ndiye atakaye malizia
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@wilonjabikey8274
@wilonjabikey8274 Жыл бұрын
NJAA MBAYA SANA
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын
Tangu hapo zamani dini ilishawashinda ni Wasanii tu makhurafi wakubwa sisi haituhusu hata mkisema Mungu shauriyeni .
@binbadru8408
@binbadru8408 Жыл бұрын
We mwenyewe hujaomba radhi waislamu wenzio ulipotoa dua ya ajabu mbele ya magufuli kwa kujipendekeza kwake,WW omba radhi kivyako na wao waombe radhi kivyako wao na Allah waliomkosea,Ila mmezidi mnoashehe hasa wa Dar kule bakwata mnatia talaka ovyo kwa kuangalia peaa tu
@biubwasuleiman2983
@biubwasuleiman2983 Жыл бұрын
Shekhe mkuu mashallah
@binbadru8408
@binbadru8408 Жыл бұрын
Huyo shehe mussa km ndie Yule wa bakwata iwilaya lala Wala simshangai kwa Hilo
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@abuusaid3297
@abuusaid3297 Жыл бұрын
Uliyo yasema nisahihi, lkn dukuduku lawaislam kwako nikuona unawaunga mkono mashia ilihali mtume Muhammad (s,w) ametutahadharisha nao au nawewe unafungu lako kwamashia!!!!!
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Kiukweli dini isichezewe,kuna watu huko mikoani wameamini mlichokisema sasa itakuwaje mumesha waaminisha yule ni nabii,na huko hawana cm wala tivii,na mnaonekana ni watu wazima kabisa tumwachie Allah
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 5 ай бұрын
RUDISHENI HELA ZA NABII MKUU, INGEKUWA VYEMA ZAIDI
@abdallahkaskas6168
@abdallahkaskas6168 Жыл бұрын
Kuifupi kwangu siamini kama ni waumini kweli hawa wa kiislamu ,na ikiwa kwel n waislamu cheo cha uongozi wao (Shekh)wamekipata wapi NB: Hawa watu hata shahada kutamka inawashinda (kwel ni mashekhe hawaa..😡) {"ولن ترضى عنك اليهود ولن نصارى حتى ..."}الآية
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mh
@ilovejesus666
@ilovejesus666 Жыл бұрын
Na MLIKUA wengi wengine wamekimbilia wapi 😂😂😂😂😂😂
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Hahaaaaaaaa
@lovvy854
@lovvy854 Жыл бұрын
Wamejiskia aibu ila hawana budi lazma watajitokeza🤣
@jonasdaniel6142
@jonasdaniel6142 Жыл бұрын
Wamenasia kwa kanisa brother,,,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@suleimantsanje2939
@suleimantsanje2939 Жыл бұрын
kanisa biashara tu
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Nilijua ni tamaa tu, walipoona yule m'mama kapewa milioni 6, nao wakaona fursa wajipatie cha kusogeza maisha. Si kila mualiko unaweza kukuukataa la muhimu wao wangemlingania yule Nabii aache upotofu. Na nyie wengine mkialikwa hafla za mamiss muwe mnabeba bakora kuwachapa watembea utupu.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@abuusaid3297
@abuusaid3297 Жыл бұрын
Nawewe acha kuwaunga mkono mashia,simamia haqi unayo ijua, malipo yawatu wema kwaallahu nibora zaidi kuliko takriima unazopew namashia
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@abdulgyver8636
@abdulgyver8636 Жыл бұрын
Mimi nilijua wamekuja wenyewe kurudi ktk uislamu kumbe wameitwa kutoa shahada.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mh
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Kwahiyo baada ya kula hela ndio mnatubia 😁
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Hahaaaaaa
@user-li4kt7lz1r
@user-li4kt7lz1r Жыл бұрын
Walikula laki tano tano😀😀😀😀😀😀🤣🤣
@nailaty
@nailaty Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
@@user-li4kt7lz1r 😁😁 warudishe hela kisha watubu 😁
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
@@user-li4kt7lz1r acha wale ch shetani kinaliwa na shetani mwenzie
@shabanihamisi115
@shabanihamisi115 Жыл бұрын
Matamshi yao na muonekano wa wajihi wa kila mmoja wao, ni wa ujanja ujanja tu, hawaaminiki hao. Anyway tumwachie Allah mwenyewe ndo anayajua yaliyo mioyoni mwao!
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@sebastianmichael4031
@sebastianmichael4031 Жыл бұрын
Mashehe warudidhe pesa za yule mnayemwita kafili, au ndiyo njaa zimewazidi mashehe, ni Aibu kubwa, waambieni warudidhe hizo pesa, jamani mashehe njaa mbaya sana.
@msomalimsomali7214
@msomalimsomali7214 Жыл бұрын
Pesa awalizo pewa watarudisha au?
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@jumashukani8472
@jumashukani8472 Жыл бұрын
Wewe mzee embe kwqnza uswali waonesha
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@luluamin1388
@luluamin1388 Жыл бұрын
Subhanallah
@isujajr6825
@isujajr6825 Жыл бұрын
Mmmh mbona nimesikia kushadadia ndo nn hapo kuna walakn
@firo0ozdawah378
@firo0ozdawah378 Жыл бұрын
Ndugu waislamu mambo kama haya yanatokea kwasababu sisi wenyewe hatujashikamana badala yake tunasemana sana kuanzia ngazi za viongozi Kuna matabaka mpaka na waumini , Kwa hili lililotokea litatufanya tupate uchungu na dini yetu na tuwe kitu kimoja Ili adui asipate nafasi ... Shukran
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Tumeshaotambua,Dunia hii ndo hatari
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nacheka Kama walivyo fanya nivizuri kumbe nimaudhi kwakweli wazee walio pevuka kujifanyia vimbwanga. Mdawakufanya ibada kwawingi ninyi mwafanya vituko 🤣🤣🤣🤣🤣
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 Жыл бұрын
Watafanyaje Na Njaa???????
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 Жыл бұрын
@@muhammadmuhammad5043 Njaa ukajidhalalishe
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Hahaaaaaaaa
@zaidinohoraibo5671
@zaidinohoraibo5671 Жыл бұрын
Awa wazee, wanammuoga shekhe nkuu kuliko wenyezimgu, maana myoyoni mwao naamini kwamba yule ni nabii mkuu
@mohamedjuma1878
@mohamedjuma1878 Жыл бұрын
Angalau Leo umejikaza
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@ilovejesus666
@ilovejesus666 Жыл бұрын
Ungewauliza nani aliwapa ilo dili la kwenda uko na mlihaidiwa bei gani 😂😂😂😂😂😂😂😂
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@laylayl5166
@laylayl5166 Жыл бұрын
Wewe nae mchokozi sasa🤣🤣🤣🤣🤣
@ameenamohammed4413
@ameenamohammed4413 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@shabanponera2895
@shabanponera2895 Жыл бұрын
Kumbe shekeli ni hatari, wamevuta mpunga hawa
@jonasdaniel6142
@jonasdaniel6142 Жыл бұрын
Brother kweli Kama ni Dili,,, basi imetiki hatareeee
@rahmazahor4333
@rahmazahor4333 Жыл бұрын
Wazee maskini wamepata mapepo...Allah awasamehe jamani tuwachangie hali ngumu ..walifata pesa maskini duhhh poleni
@nasibmbuguni5613
@nasibmbuguni5613 Жыл бұрын
Na hiyo pesa wairudishe kw a mwenyewe itakuwa vizuri zaidi kwa niniwalipokea pesa
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Nyinyi mnahitaji muvuliwe nguo UCHI mutandikwe MIKIA YA TAA. Chezeaneni baina yenu sio DINI YA ALLAAH (S.W). Wapuuzi wakubwa nyinyi
@abdulzackawami7780
@abdulzackawami7780 Жыл бұрын
Hao ni mamluki wanaingia ili kuijua dini vizur na baadhi ya aya kataka Quran wakishajua wanarudi kule kule..
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@zaitoonhassan1268
@zaitoonhassan1268 Жыл бұрын
TUWENI MAAKINI JAMANI NJAA ISITUTOE KATIKA IMANI
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 Жыл бұрын
Njaa shikamoo
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Sannah
@abdullatifkhamis3604
@abdullatifkhamis3604 Жыл бұрын
hakika ili tuumiza sana sijuwi ni kipi wali kifkiria mpaka kuvuka mipaka hakika uslam ulisha jitosheleza kwa kila kit sasa nyinyi ni wapi muli taka mwende au muli kuwa muna tafuta nini wallah ina uma san ivi nyinyi hamjuw kam sisi waislam bado tupo katika uwanja wa vita na upande mwengin leo hi nyinyi waislam ndo mna wapa watu njia ya kujuwa kambi zetu wallah ina uma san ila hayatu
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mtihani Wallah
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
MATATIZO njaa imewafanya wadharau dini yao , Waunge mkono MUNGU ana mtoto.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
HAWA hawafai wanatumiwa Na WAKRISTO kuunga mkono UKRISTO.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Жыл бұрын
Mm sina haki y kuwanyooshea vidole Allah awasamee dunia inapo elekea sio dalili za mwisho hizi
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@abuuaiman7090
@abuuaiman7090 Жыл бұрын
Kisha Warudishe izo pesa walizopewa
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@saidmohamed2002
@saidmohamed2002 Жыл бұрын
Nyinyi wanafiki wakubwa,tena munajiita masheikh eti mume hitimu kwenye dini,kama nyinyi mwafanya upumbavu huo wale waisilamu wasioijuwa dini vizuri wafanye nini.Rudisheni hizo pesa mulizo chukua kwa huyo padiri,acheni unafiki,eti baada ya kuchukua pesa ndio mwaona mutubie kwa Allah,mumutuvua nguo waisilamu kwa jumla.
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Жыл бұрын
Viuzoo vimewapaka tubien sawasaw njaa sio kabisaaa
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Mnge anguka pale kanisani na kufa,mungekufa kafir,semeni Alhamdulillah tumefika siku ya leo
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын
Ndio faida ya kuishi kwenye ukhurafi hiyo shauriyenu mtajijua wenyewe
@habibaramadhani15
@habibaramadhani15 Жыл бұрын
Shekhe Mkuu nakupongeza kwa. Kazinzuri
@nicksonchesco233
@nicksonchesco233 Жыл бұрын
Kitu kimoja haukatazwi kutangaza dini ila tuwe na kitega uchumi hata 1 ili kuepeka njaa na mambo kama haya ni aibu kwa kweli.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@omaryseshambi6468
@omaryseshambi6468 Жыл бұрын
Nimnafiki hakuna kupepesa maneno
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@msomalimsomali7214
@msomalimsomali7214 Жыл бұрын
Pesa walizo pewa watarudisha au?
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mh
@saidchombo5952
@saidchombo5952 Жыл бұрын
Aiingii akilini, MWENYEZI MUNGU atunusuru
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@yothamgwanika9530
@yothamgwanika9530 Жыл бұрын
Hizo helaa mzirudishe , c mmekili mmekosea
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Hahaaaaaaa
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Musa ushakuwa mtu mzima sasa wacha yale mambo ya enzi zile mtaa wa Togo na Ufipa.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mh
@hishamadnan6352
@hishamadnan6352 Жыл бұрын
Hawa ni njaa tu ndo iliwapanda kichwani ndo maana...ata mtoto mdogo haezi fanya huo ukumbavu walioufanya hawa watu wazima ovyo...
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@nth3512
@nth3512 Жыл бұрын
Hao waliovaa kanzu na vizibao ndo wameniudhi sana, hao ni hatari zaidi kuliko hao waliovaa kawaida.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Hahaaaaaa
@salimalrashdi1937
@salimalrashdi1937 Жыл бұрын
Hawa masheikhe warudishe pesa walizo chukua kwa yule mchunhaji wa uwongo arusha kama ni kweli wanaijua dini yetu aibu kubwa kwa waislaam wote duniani
@salimalrashdi1937
@salimalrashdi1937 Жыл бұрын
Mchungaji arusha
@azimabrahman3918
@azimabrahman3918 Жыл бұрын
Hao walikuwa na njaaa...wamefny dn ni mchezo. Waache unfiki hakuna mnafk ataeingia pepon.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@francisnyaji5000
@francisnyaji5000 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😀😀😃😃dah kazi kweli kweli...
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Innalillah wainailayh rajoon kumbe ni waislam kweli jamani yaarabi mbona watu wanajitoa fahamu hivi kwa tamaa za kidunia?🤔
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Msiba mzito
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Wallah
@jabeershukuz5340
@jabeershukuz5340 Жыл бұрын
Hawana msamaha wowote hao adhabu ya mtu wa kuritadi ni ku katwa kichwa
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Duh
@bilalisalim360
@bilalisalim360 Жыл бұрын
N njaa na kubabaika Kwa vitu vidogo
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Sannah
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Жыл бұрын
Watu wamesha chukuwa pesa hata wakiomba msamaha kwa sababu ya kulinda Dini lengo lao wamesha timiza labda mngewaambia warudishe hizo pesa tungeelewa😅😅
@imamumohamedmalina6995
@imamumohamedmalina6995 Жыл бұрын
Na hizo pesa walizo pewa hadharani wanarudisha?
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Mh
@mohdmbarouk8465
@mohdmbarouk8465 Жыл бұрын
Kama ni waislamu Toba waombe Kwa Mola wao maanq kufru kubwa waloifanya kutuambia disi
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
@jumahory859
@jumahory859 Жыл бұрын
Tunapo kwenda sipoo japokuavtukisema kweli mnachukia hapo wazeee njaas hivi mtu usime Dini ilivyo uje fanya upuzihuuu haikubaliki
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv Жыл бұрын
Kabisa
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 13 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 47 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 36 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 13 МЛН
PART1|SHEIKH MFUASI WA GEORDAVIE AWAJIBU WAISLAM | ADAI GEORDAVIE HANA DINI
1:36:13
Taariikhii qaadiriyada ee Umadda laga qarin jiray Baa Sheekh Shibli soo bandhigay!
16:33
قناة حُرَّاس الإسلام ILAALADA ISLAAMKA
Рет қаралды 3,5 М.
SHEIKH KISHKI AWAJIBU WALIOPEWA PESA NA NABII MKUU
23:22
Kishki Online TV
Рет қаралды 183 М.
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 13 МЛН