Goli pekee kutoka kwa Joseph Guede limeipa yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashujaa FC ugenini kwenye Dimba la Lake Tanganyika Kigoma, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tazama highlights....
Пікірлер: 61
@samoocoolingsystem935 ай бұрын
Mashujaa ni kweli wamekuwa wageni mbele ya Yanga nipeni like moja tu wananchi 😄😎💪
@JumaSanda-hn1ho5 ай бұрын
wanabahati yao
@samoocoolingsystem935 ай бұрын
😄
@zamukahemele15055 ай бұрын
Muda sahihi wa kumsahau mayele na kuonesha sapport kwa guede🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@pascalkyara74115 ай бұрын
Hongereni sana azam tv kwa hiki mlichofanya sasa hivi ukiwa livescore unauwezo wakupata video za matches za NBC premier league moja kwa moja itakupeleka KZbin kazi nzuri azam tv 👏👏👏👏🔥🔥
@FatmaJumawazir5 ай бұрын
Wakwanza jaman like zangu😂😂😂😂
@DorothyKabikn5 ай бұрын
Jmn Azizi ki anapenda Tim yetu anavyoshangilia🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@AzizaSwedi-vx9tv5 ай бұрын
Alhamdulilah kwa Wananchi kikubwa pts 3 muhimu Zimepatikana Alhamdulilah.
@tanzalandtv33115 ай бұрын
Mangungu tunaomba usiache uongozi Simba , kwakweli ukijiuzulu utatuangusha sana wana Yanga
@TwahirMohammed-x2h5 ай бұрын
Hongereni young africas daima mbele nyuma mwiko
@jacksportman51815 ай бұрын
Gwede my favourite player 🔥
@AzizaSwedi-vx9tv5 ай бұрын
Alhamdulilah kwa Wananchi kikubwa pts 3 Muhimu Alhamdulilah.
Hongereni wananchi kwa kuendelea kulamba alama 3 muhimu
@merinachalinze-rn2cc5 ай бұрын
Mashabiki wa Kigoma noma
@SalvatoryMtunga5 ай бұрын
Wa kwanza ku like kwa lipi? Achana na wa kwanza ku like, we like Yanga.
@NuruMaduru5 ай бұрын
Nyuma mwiko❤
@MrTop-wj7no5 ай бұрын
Daah ila kweli Mashujaa wako vizuri
@shabanimndemer15295 ай бұрын
sioo oooo aema gooool
@kwamefidel7365 ай бұрын
Yanga ya motooo
@JUU-lw2je5 ай бұрын
Kiingilio kilikuwa sh ngap
@mwajumampokileomckapela75415 ай бұрын
Wananchiiiiiii 💛💚🔰💛
@MakakaApolinary5 ай бұрын
Mashujaa mmejitahidi kupambana ila ndo hvo matokeo ya football jipange muda mwingne,,,,,,,,
@FirdausyAbubakary-bl2wo5 ай бұрын
Nisichokipenda kwa huyu mshereheshaji ni neno #Kutumbukiza😂😂😂😂 Ananiboa kichizii yaani..
@hajihassan54335 ай бұрын
Hilo neno linakukera bure maana huko kupasiana na kusukumana kote madhumuni ni KUUTUMBUKIZA huo mpira golini kwa mpinzani.
@FirdausyAbubakary-bl2wo5 ай бұрын
@@hajihassan5433 😁😁😁😁😁😁
@KS-iw7qv5 ай бұрын
Jo-Magoli
@RashidiMkongewa-h9l5 ай бұрын
Yanga bingwa 2024- 2030
@Muhammedually5 ай бұрын
Mapigo na mwendo, wamepigwa na wameenda.
@hasanimohamedi2795 ай бұрын
kiukwel mangunguuu mpen 5 tena😂😂😂
@yousifyousif-p7f5 ай бұрын
Mangungu kaza mwana mitano tena😂
@rajabrwambow96605 ай бұрын
Leo Azam mmejitahid
@geraldlaurent67505 ай бұрын
Mashujaa kidogo mtuaibishe et 😂😂😂
@HASSANKAMGUNDA5 ай бұрын
Sikuizi haya matangazo ya Mubashara ya mpira Mnayarusha baada ya mcheze Kwanini msiyarushe Kabla ya mchezo husika😂😂😂 atari
@GucciJackson-sw6pg5 ай бұрын
Man U wakimuona Guede tumekwisha 😑
@MrTop-wj7no5 ай бұрын
😂😂😂
@kelvinJoshua-zo3up5 ай бұрын
Yanga balaaa!!!
@justinealistides51465 ай бұрын
Ko ilikuwaje UBUNTU BOTHO mbona shabiki hawakuja
@ibrahimnganyule53675 ай бұрын
Simba kuweni makini na uchaguzi Yanga wanaweza mchagua Magungu tena
@JuhudiJotham5 ай бұрын
Nitafutie msemaji wa mashujaa aliongea hovyo ,tumsikie maana wameshafungwa ... Tumsikie
@magrethyeremia22795 ай бұрын
Aje aongee tenaaa
@idybwoytz84855 ай бұрын
AZAM TV MIYEYOSHO SAN WANAWEKA VIPANDE SAN
@rogerabdallah4395 ай бұрын
Wananchi awashikiki
@RashidiMkongewa-h9l5 ай бұрын
Mangungu 5 tena
@SophiaChmpaya5 ай бұрын
Nyie kumekucha
@thehustlerafrica43685 ай бұрын
Nyuma mwiko😂😂😂
@RashidiMkongewa-h9l5 ай бұрын
Mangungu 5 tena ili wanayanga tufurahi
@nyaganyaga38765 ай бұрын
MVP musimu huu ni AZIZ KI nadhani haina mjadala wanao weza chuana naye ni kipre, kamanda baka, matampi ,fei musimu huu simba pale hawaambulii tuzo yoyote ile