MASIKINI WOOTE WANADINI

  Рет қаралды 8,397

WACHOKONOZI

WACHOKONOZI

Күн бұрын

WACHOKONOZI

Пікірлер: 81
@MsalikaBilaly
@MsalikaBilaly 3 күн бұрын
Dini haijaja kufanya usiugue au usife dini inakufundisha kwamba kuna maisha baada kifo
@badmeetsevil7643
@badmeetsevil7643 8 күн бұрын
Bangi hizo kwahio ww umejiumba Huyu ni mjinga sija wahi ona 😂😂😂😂
@nicasnerey9933
@nicasnerey9933 2 күн бұрын
Dah tuko pamoja sana Niko sana na uelewa wako na nachukiwa sana maana achana sana tena live
@remmyyohana
@remmyyohana Ай бұрын
We jamaa una akili sana big up your self
@ElvisDavid-qn5vd
@ElvisDavid-qn5vd 3 ай бұрын
Yani watu wataamka tu atakama watajaribu kubisha mnachosema ukweli unabaki kua kweli big up wachokonoz ❤❤❤❤❤
@mwansasungafumbwa9116
@mwansasungafumbwa9116 9 күн бұрын
Madogo GB zangu zina wahusu kbs akili zenu mnazitumia vzr sana
@yohanakateko
@yohanakateko 2 ай бұрын
Mko vizuri wanangu nakubali wanao wapinga hawajuhi tu hawataki kutanua ubongo wao
@teshapriscus2110
@teshapriscus2110 3 ай бұрын
Kwakweli watu wetu wanahitaji kuelimishwa sana,safi sana.
@rutibiggodian916
@rutibiggodian916 Ай бұрын
you guys, ni kweli kabisa, watu wameweka uelewa chini wakakamata dini, shida ni kwamba kuwatoa kwenye ilo shimo ni kaz ila mda utafanikisha
@designdesign4426
@designdesign4426 3 ай бұрын
Big up ili mueleweke uyo msikilizaji awe na IQ,,,,sema toeni somo mara nyingi
@amosmasele1398
@amosmasele1398 2 күн бұрын
Tangu nianze kiwasikiliza,,,nalala gizani
@MsalikaBilaly
@MsalikaBilaly 3 күн бұрын
Ila ipo siku mtakuja jua tu
@embmacrofinance2695
@embmacrofinance2695 Ай бұрын
Sahihi sana...maisha yanahitaji tahadhari ndo hapo watu tunapuuzia.na hakuna changamoto kwa dunia hiii.
@AbdullaSeifKhamis-se9sc
@AbdullaSeifKhamis-se9sc 2 күн бұрын
Sheria za ulimwengu Amezitunga nan
@bakorapremiumtv2560
@bakorapremiumtv2560 2 күн бұрын
Umeshindwa kumwamini Mungu anamuamini mbuzi. Zaburi 14:1. Mbuzi analipa bill gani?
@MajaliwaJoseph-fi2vv
@MajaliwaJoseph-fi2vv 29 күн бұрын
Nawapenda sidhani nisemenini. rkn munakazi ya kuongoza vipofu.
@AthumanMajaliwa
@AthumanMajaliwa 17 күн бұрын
Broo ni wachache wanaojuahayo unenayo
@IssaPara-bt9hg
@IssaPara-bt9hg 2 күн бұрын
Duu nyie ni shida huyu jamaa mbish hatr
@Abeidjuma1241
@Abeidjuma1241 19 күн бұрын
Yaani mimi natamani tuungane nipige spana hii sheria za ulimwengu kitu chamaana sana
@AbelnegoPhilimon
@AbelnegoPhilimon 3 күн бұрын
"MUNGU KAWAPA SHERIA" Mungu gani huyo?
@nicasnerey9933
@nicasnerey9933 2 күн бұрын
Mawasiliano plz
@saidbakari2408
@saidbakari2408 3 ай бұрын
Nimechelewa lakini nimefika madini haya hayawezi nipita kindezi ivoooo aseee
@benjo_brighter
@benjo_brighter 3 ай бұрын
Nawakubali 🙌🙌🙌🔥🔥🔥
@denismasao520
@denismasao520 10 күн бұрын
Mahali unajikanyaga unataja maiti halafu sehemu ingine unasema hamna kifo
@JoshuajastinMartin
@JoshuajastinMartin 3 ай бұрын
Big up ukweli utajulikana2
@mathewlive77
@mathewlive77 3 ай бұрын
Nakubal.. najifunza alafu nacheka sana mana kuna vitu mnaongea fact had inabd nicheke
@omanbarka1588
@omanbarka1588 3 ай бұрын
Nimewapenda bule
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 3 ай бұрын
Kwa somo la leo hakuna wa kujibu
@MajiTakaMaji
@MajiTakaMaji 3 ай бұрын
Anasema wanyama walikuepo kabla ya watu. Swali linakuja nani aliekuwa anapanga mda huu wa wanyama kuwepo duniani na mda huu wa kuwaleta watu duniani?
@DjFae.b255
@DjFae.b255 3 ай бұрын
Nyie ni atar sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sureboyofficial6473
@sureboyofficial6473 3 ай бұрын
SIO HATARI NI SALAMA , HAO NDIO WANAJARIBU KUWATOA WATU KWENYE HATARI YA KUFA AKILI ZAO
@omanbarka1588
@omanbarka1588 3 ай бұрын
Napenda kuwasikoliza hawa
@SaluMaige-sc8bm
@SaluMaige-sc8bm 3 ай бұрын
Shikamoni nyingi sana
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 3 ай бұрын
Maskini wote wa nadini mbn mm maskini na siamin km Kuna mungu
@SaluMaige-sc8bm
@SaluMaige-sc8bm 3 ай бұрын
Umeambiwa uelewa duni ndo chanzo cha mateso
@NuratAlly-j1y
@NuratAlly-j1y Ай бұрын
Wameangalia Asilimia % wamepiga hesabu za asilimia sio mmoja mmoja
@SimonZephania-ff9lw
@SimonZephania-ff9lw 3 ай бұрын
Mahana ya snake master shadow
@yasirsaid8464
@yasirsaid8464 Күн бұрын
ALLAH ndiye aliyeumba mbigu saba na ardhi saba na nyie pia mmeumbwa na ALLAH. na ALLAH ameumba kila kitu pia nyie mmeumbwa na ALLAH na mmepewa pumzi ya bure na ALLAH hamlipii hata senti,ALLAH Ndiye anayewalisha,anayewavisha na kila kitu hivyo acheni kibri na kupotosha watu.. na bado mna nafasi ya kurudi kwa ALLAH mkaomba msamaha na ALLAH atawasamehe kwani yeye ni mwingi wa msamaha na Mwingi wa huruma... chukueni hatua leo.
@seifmohammed9167
@seifmohammed9167 3 ай бұрын
Nyie bado watoto sana maisha hamja yajua wapo walio kuwa wakubwa zaidi yako
@PatrickJulius-uy3yb
@PatrickJulius-uy3yb 3 ай бұрын
Kabisa bratha atakae bisha unacho sema ni mfu anaetembea. Hayuko huru ki fikra
@bakorapremiumtv2560
@bakorapremiumtv2560 2 күн бұрын
Zaburi 14:1
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 3 ай бұрын
Toka Nimeanz Kuwafatilia Nimekuwa Napata Majibu Ya Maswali Yangu..🙏🙏WACHOKONOZI..
@baltazarmauki814
@baltazarmauki814 3 ай бұрын
Ndg zanguni mna madini ya maisha ya fikira pevu Hongereni nawakubali sana naomba number ya simu niwasapoti
@iamdisciple_tz
@iamdisciple_tz 3 ай бұрын
Naitaji kujua izo sheria55
@husnakalumba2578
@husnakalumba2578 9 күн бұрын
Nyie mnakosoa tu fundisheni bc njia sahihi ni ipi na nn huo uelewa wa ulimwengu unafundishwa wapi
@JohnSamwelMakolo
@JohnSamwelMakolo 2 ай бұрын
Hawa jamaa wana kitu, wanatakiwa kusikilizwa
@IbrahimTabu-qh9il
@IbrahimTabu-qh9il Ай бұрын
Mimi pia nimmoja wao.
@OmegaThreads
@OmegaThreads 3 ай бұрын
Nahitaji kujua ni vitabu Gani umeviandika?...
@omaiyakitto
@omaiyakitto 3 ай бұрын
Piga Spana Hadi waelewe.
@PAULOWILLIAMJOSEPH
@PAULOWILLIAMJOSEPH 2 ай бұрын
Ninaomba darasa la Sheria za ulimwengu
@ErnestKosima
@ErnestKosima 3 ай бұрын
Tufunze hizo shelia 55bac
@Abduly-r1j
@Abduly-r1j 8 күн бұрын
Nikuulize swali, kwani kwauwelewawako, binadam anatokana nanii? Au nimadinigani yalio badilika kuwa mwanabam
@MajiTakaMaji
@MajiTakaMaji 3 ай бұрын
Kwenye maongezi yenu hapa duniani walikuepo wanyama kabla ya watu, swali langu ni nani aliepangilia watangulie wanyama then watu tuje mwisho?
@godfreymsemwa
@godfreymsemwa 3 ай бұрын
Mimi binafsi nawaelewa sana labda wajinga flan ambao hawana akili kaz kupinga
@ObanoJulius
@ObanoJulius 2 ай бұрын
Yan mnaongea pointi san mkaka nimependa kwel wanao sali wote wako kam mazuzu
@JosephBalebanga
@JosephBalebanga 23 күн бұрын
Wewe ulimwengu umetoka wapi?
@sureboyofficial6473
@sureboyofficial6473 3 ай бұрын
WANADINI NI WEHU , TENA MAZUZU KAMA MASANAMU AU WATOTO HAWAHOJI WALA KUJIULIZA ,KAZI KUPOKEA TU , AMEEEEEEEEEH😂😂
@seifmohammed9167
@seifmohammed9167 3 ай бұрын
Mmechanganyikiwa Mungu amejitosheleza FreeMason maana imani huru wewe bado hayajakuluta Na wala mwadamu hujimiliki
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 18 күн бұрын
Nimekumbuka movie ya snake in the monkeys shadow
@angelousfrank6945
@angelousfrank6945 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@sagengejackson3623
@sagengejackson3623 3 ай бұрын
Wachokonozi nawakubali
@piusdeo9380
@piusdeo9380 3 ай бұрын
Hizi mi kila ikitoka nadownload kabisa
@sureboyofficial6473
@sureboyofficial6473 3 ай бұрын
Ni kushare pia ili wapone watu
@AbdullaSeifKhamis-se9sc
@AbdullaSeifKhamis-se9sc 2 күн бұрын
Kama ww ni msomi tuambie Hizi Herufi A B C D Mpaka Z asili yake zimetoka wap.
@Kakajambazitv..
@Kakajambazitv.. 3 ай бұрын
Seen by me
@eksielo
@eksielo 3 ай бұрын
Kikubwa ni uelewa tu wataelewa tu wapelekeni taratibu tu
@lothanathanael2286
@lothanathanael2286 2 ай бұрын
Una.majumba mangapi una magari mangapi una pesa kiasi gani maana unasema masikini wengi ni watu wenye dini.
@seifmohammed9167
@seifmohammed9167 3 ай бұрын
Wapo walio jidanganya kama nyinyi Farau alikuwa mwamba Na alikwama
@leonardchoma3765
@leonardchoma3765 16 күн бұрын
Acha kuamini story za vitabu vilivyotoka kwa Wazungu waliowatesa kikatili Babu zetu.
@hakimundabila7940
@hakimundabila7940 5 күн бұрын
Farau mlionana wapi zaidi ya kutajwa na wazungu kwenye vitabu vyao ili kutupumbaza
@Michaelmagembe-i2r
@Michaelmagembe-i2r 3 ай бұрын
Pumpavu kabisa
@mgosimkulu66
@mgosimkulu66 13 күн бұрын
SIYO KWELI,MBONA BAKHRESA ANA DINI NI TAJIRI WA KUTUPA,MO DEWJI ANA DINI NI TAJIRI WA KUTUPA,DANGOTE ANA DINI NI TAJIRI WA KUTUPA,WAARABU WANADINI ZAIDI NA WENGI NI MATAJIRI WA KUTUPA SASA WEWE UNAEKANDIA IMANI ZA WATU NA DINI ZAO MBONA UNAONEKANA NI FUKARA TU😊
@mwansasungafumbwa9116
@mwansasungafumbwa9116 9 күн бұрын
Tofautisha huyu ana Akili za kusaidia kuwakomboa mateka ko sio lazima kuwa na hela na umri wake bado upo ktk kutafuta ko atapata
@chakupewaonlinetv7045
@chakupewaonlinetv7045 8 күн бұрын
KWANI IDADI YA WENYE ELA NIKUBWA KAMA YA WASIO NACHO?
@innocentkelvin8742
@innocentkelvin8742 3 ай бұрын
WAJINGA NIMASHABIKI ZAKO AKUNA LOLOTE WEMWENYEWE UNAUTAJILI GANA WAPOTOSHE WALIKOSA MAHALIFA KWNDRAAA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kwisa4899
@kwisa4899 3 ай бұрын
wewe ujaona kama jamaa ni tajiri ,mbona tayari mi tajiri
@seifmohammed9167
@seifmohammed9167 3 ай бұрын
Nendeni mkaabudu mizimu
@leonardchoma3765
@leonardchoma3765 16 күн бұрын
Kwenye Mizimu ya Kiafrika kuna Mungu wa kweli kuliko huko kwenye dini kulikojaa chuki na unafki mwingi.
@Josephnkango-k3p
@Josephnkango-k3p 12 күн бұрын
Hako kajamaa pembeni ni kachawa ka huyo msela sjui hua ana ka piddy 😅
@bakorapremiumtv2560
@bakorapremiumtv2560 2 күн бұрын
Zaburi 14:1
WATU WAELEWE WASIAMINI.
10:30
WACHOKONOZI
Рет қаралды 9 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 105 М.
Yay, My Dad Is a Vending Machine! 🛍️😆 #funny #prank #comedy
00:17
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
Wait for the last one 🤣🤣 #shorts #minecraft
00:28
Cosmo Guy
Рет қаралды 17 МЛН
HATUNA VYUO VIKUU.
10:53
WACHOKONOZI
Рет қаралды 9 М.
HAKUNA DEVIL WORSHIPPERS.
9:09
WACHOKONOZI
Рет қаралды 11 М.
NYUMA YA DINI,  SEHEMU YA PILI.
11:40
WACHOKONOZI
Рет қаралды 8 М.
MCHOKONOZI ABANANISHWA STUDIO ASIMAMIA MISIMAMO YAKE PALEPALE.
1:22:28
Platform Media
Рет қаралды 44 М.
UISLAM SI DINI, NI UTAMADUNI
14:53
WACHOKONOZI
Рет қаралды 12 М.
HATA MTUME ALIKUWA NA LISHANGAZI.
12:31
WACHOKONOZI
Рет қаралды 8 М.