KWANINI MUMEO ANAKUONGEZEA MKE WA PILI? - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

  Рет қаралды 82,286

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

Пікірлер: 181
@abdulsamadhassanali4003
@abdulsamadhassanali4003 Жыл бұрын
Maa shallah jaza kalahuli kheir Allah akuzidishe ilimu na subura inshaallah
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 4 жыл бұрын
Masha Allah, sheikh Othman umenifuraisha sanàaa.. ALLAH AKUJALIE kila la kheir
@mwajumatoba4222
@mwajumatoba4222 4 жыл бұрын
Mashalah jamani tume jifunza shehe
@fatmam470
@fatmam470 3 жыл бұрын
Aslam aleikum naomba kujua mke mkuu anaeza kujiozesha mwenyewe naomba jibu inshaallah
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
asalaam aleykum sheikh Othman,napenda kutoa maoini kidogo kuhusiana na waume,tungependa iwepo darsa kwa ajili ya wanaume,maana wanawake wao kabla huwa wanafundwa kumtunza mume n.k mengi tu,ingependeza pia na wanaume ikifika muda ataka kuowa nae sharti apewe somo au darsa la kwenda kumtunza na kuishi kwa wema na mkewe,ili kupunguza hizi kesi za ndoa na talaka, ili kuzinusuru ndoa ni kuishi kwa furaha nyote mume na mke mwategemeana,ndio mana Allah aliiona sababu ya kumleta Hawaa kwa Adamu, alijua furaha ya Adamu itakamilika,furaha ya ndoa haipatikani side moja tu,tunategemeana kwenye vitu vingi,ili maisha ya ndoa yakamilike yawe ya furaha,ni kuridhiana kuridhishana,nasio ndoa iendeshwe kiubabe eti mimi ndio mume utafuata navyo sema hata vya upuuzi mke uufuate tu kisa huyu nimume wako,haipendezi na ndoa haita fika mbali,muhimu hawa vijana wakiume wapate mafundisho ya ndoa kuishi na mwenza wake kwa huruma,upendo,mume akijua yeye amepewa haki zote za mke basi huzitumia vibaya na ukizingatia vijana wengi ni mabangi mwisho anauwa mkewe na watoto,haki ziendeshwe kwa wema busara na huruma,sio kipigo manyanyaso na kadhia,ndoa za siku hizi hazidumu,mume hajui kuishi na mke,mke hata akiwa mkorofi vipi ukiwa wewe mume una lugha nzuri na kumpa nasaha mkeo hutaona shida, ukaonesha upendo na huruma mke atabadilika tu'na kujifunza zaidi mazuri kutoka kwa mume,mume ni mwalimu na mlinzi wa mke,kuwa mlinzi mzuri kws mkeo kama utaona mke analeta shida,siku hizi hakuna tena uvumilivu wa wazee wetu au masahaba wa enzi hizo,hizi karne ni karne za teknolojia za kisheitwan hivyo hata maadili yetu ya zamani hakuna tena,upepo umebadilika,heshima ya enzi ileeee haipo,tupo tupo tu mradi siku zinaenda,mke mmbabe mume nae mmbabe,tuombeane maghfira tu,tupate wake na waume wema Yarrabb! wenye kheri nasie,ndoa za sasa zinaning'inia Allah atuhifadhi siku mbili talaka nyingi,mbaya sana wanawake ni wingiiiii,mke ukileta kibri ushaongezewa mke juu,na ndoa za wake wengi ukewenza umefanywa ni haramu unalaaniwa,wanawake wangepewa uwezo wangeongea na Allah afutilie mbali hii😄😄lkn wajue kama mke umo ndani ya uislamu ni lazima uikubali hii bila hivyo wewe unamapungufu ndani ya imani yako,na yote uyafanyayo ni kazi bure,fuata mafundisho ya Allah na kitabu chake Qu'an ukipinga unamapungufu,inshallah Allah aturehemu na vizazi vyetu atupe mwisho mwema🙏
@azzaalmaamry76
@azzaalmaamry76 4 жыл бұрын
Mawaidha mazuri sheikh Allah akulipe kheri na afya na umri mrefu
@mosespeter8318
@mosespeter8318 4 жыл бұрын
Aothuman maiko
@fatmasalim6956
@fatmasalim6956 4 жыл бұрын
MASHALLAH SHEIKH UMEONGEA VTU VIZURI LAKIN WALLAH UNATUVUNJA MOYO WANAWAKE KWA BAADHI YA MANENO ULIYOTUMIA MANA UMEWAKEBEHI WANAWAKE NA KUWAPA KICHWA WANAUME .HAWANA UADILIFU WANAZINI KWANZA IKISHA NDO WANAOA BAADA YA KUFUMANIWA ,MNATUUMIZA SANA WANAWAKE KWA KUTUMIA SUNNA HII VIBAYA
@peterluppy8843
@peterluppy8843 5 ай бұрын
Daaah hapo umenena
@asiamohamede3952
@asiamohamede3952 4 жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah fik ya sheikh uko vizuri ,nadhani wanaume wote wangekuwa hivyo mapenzi yangekuwa yana dumu ila tatizo wanaume wengi hawana elimu ila wanatumia ubabe.
@fatmamombasa3430
@fatmamombasa3430 4 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah mawaidha mazuri nakufuatilizia kila ukitoa mada ila kisa cha yule mjane alofia barabarani kimenigusa Allah atuongoze yarab
@fatumaramadhanmashaallahal9966
@fatumaramadhanmashaallahal9966 4 жыл бұрын
Shukran sana Lakin huyu mume mm nifikirie kwa kilakitu na yy yuwanifikiria mapenzi nikupendana akinijali siezi muudhi kwa lolote na pia nikikosea niko radhi kuomba msamehe tatizo waume hakuna wingi wa kutaka kuongeza wake hivi mm ningekua qatar kama natimiziwa nitakacho mungu atuongoze inshaallah
@issaramadhani9714
@issaramadhani9714 4 жыл бұрын
Hakika Allah akuongoze ni wajibu wa kila mwenye kuihitajia mke au mume awe ktk maandalizi ya kuwa na ujuzi na uchamungu juu ya mas'ala ya nikah kabla ya kuoa si kila mwanaume atakuwa mume na mwanamke atakuwa mke unahitajika umakini wa hali ya juu na hili pia Uislam umelitolea muongozo kiukamilifu unapohitajia kuoa au kuolewa,yawezekana mfano ukapata mume mwenye kila hali nzuri ya maisha lakini sifa ya kuwa mume hana au ukapata mwanamke mrembo na mzuri lakini sifa ya kuwa mke bado hana.unapohitaji kuingia ktk ibada hii uwe unajitambua na umtangulize Mola wako kwa kumtaka msaada ktk hili.
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
@@issaramadhani9714 Ni kweli kila mmoja ana mapungufu yk
@ummulkheir8321
@ummulkheir8321 4 жыл бұрын
@@issaramadhani9714 uyasemayo ni ya kweli, Allah atakulipa,Kila la kheir biidhni Allah
@mazrui1948
@mazrui1948 4 жыл бұрын
Napenda kuskiza mawaidha yako sheikh othman na mashaallah kanzu zako zinanikosha.
@peterluppy8843
@peterluppy8843 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 4 жыл бұрын
Shukran sheikh wetu mawaidha nimazul
@nasmaabdullah2426
@nasmaabdullah2426 Жыл бұрын
Maa shaa Allah
@ramlaali5955
@ramlaali5955 4 жыл бұрын
Ma Sha Allah shekh Othman Allah akuzidishie kila la kheri insha Allah
@kaafisocadeey7480
@kaafisocadeey7480 3 жыл бұрын
Alhamdulillah Rabbi masha Allah shekh Othman Michelle kupoza nyoyo zetu Kwa kilipu zako mzuri masha Allah
@ummulkheir8321
@ummulkheir8321 4 жыл бұрын
MashaaAllah, Allah akulipe Kila la kheir
@radhiaomary5591
@radhiaomary5591 4 жыл бұрын
Maa shaa Allah,tabaraka rahman sheikh
@khadijatamimi2495
@khadijatamimi2495 4 жыл бұрын
Masha Allah umpendeza Allah akupe janaha yaarab
@africandarling6925
@africandarling6925 4 жыл бұрын
Alhamndulillah mungu hanitie imani zaidi kwenye ukeweza insha Allah
@Oman-ik1be
@Oman-ik1be 4 жыл бұрын
Shukran sana kwa mawaidha mazuri
@abdulrahmanmussa4479
@abdulrahmanmussa4479 4 жыл бұрын
Ameen sheikh Othman mimi nina wawili natafuta wa 3 inshaallah tuwasitiri wanawake wetu jamani
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
Uwadilifu upo au watak kuongeza t
@remiomar7154
@remiomar7154 4 жыл бұрын
@@mwanaisha522 🤣🤣🤣🤣hapo ss
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 4 жыл бұрын
Utakuta hao wanawake kama hajauza maandazi basi haja vaa nguo nzuri kula ya tabu kuoa sio tatizo kuwahudumia ndio kazi
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 4 жыл бұрын
@@mariamfaki1166 kweli dada mungu atujaalie subra ktk ndoazetu.
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 4 жыл бұрын
Safi sana
@fatemabahrain1939
@fatemabahrain1939 4 жыл бұрын
Allah akuzidishie elmu yenye manufaa
@ramatygerramatyger5488
@ramatygerramatyger5488 2 жыл бұрын
Alla akuzidishie shekhe mada hii inawafunza wengi wanaume wanao dhalau wake zao
@kaafisocadeey7480
@kaafisocadeey7480 3 жыл бұрын
Alhamdulillah Rabbi
@salmaalkyumi2270
@salmaalkyumi2270 4 жыл бұрын
Salallahu alaihi wasalam 🤩💘
@maryammct3967
@maryammct3967 4 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@kaafisocadeey7480
@kaafisocadeey7480 3 жыл бұрын
Masha Allah shekh Othman Michelle
@asyaluay5787
@asyaluay5787 4 жыл бұрын
Shida ni kuwa wanaume kwa kuwa wameruhusiwa kuongeza mke munafkiri ni rahic kwa wanawake ku accept Vile wewe waskia wivu na uchungu kwa mke wako asiangaliwe na mwanamume mwingine ndio mwanamke anaskia Its halaal but not easy
@zainabmaulidi9846
@zainabmaulidi9846 4 жыл бұрын
Masha Allah mungu atuzindishie umri mref
@afric01
@afric01 3 жыл бұрын
Aslm alkm Sheikh Othman.., wanaume wa leo wabaya Sheikh. Jirani moja alipata mke mzuri mashallah Allah!!! Msafi, mpishi, mpenda mmewe. Huyo mume alikua akila miraa akija anampiga , anamtusi kisha anamfanya mke jee huyu utampenda vipi??? Na wengine wanajivunia sifa ya kua mme. Akikosea hakupi nafasi yakumuuliza, anakwambia mimi ni mumeo. Jee hii ni haki??? Sheikh mahaba ni kumpata mahbubi. Ukimpata atakae kupenda Sheikh wetu, huezi kumkosea hata kidogo. Huyu hata miguu utamuosha. Lakini huezi kumpenda anae kuendea kinyume. Pole Sheikh Othman. Wanaume wa leo hawacheki. Wako busy. Shukran sanaaa kwa mawaidha.
@zahrahamadi6724
@zahrahamadi6724 4 жыл бұрын
Mashaalh asat san kwa mawaidha madhur shukrn sheh nimependa san
@kaafisocadeey7480
@kaafisocadeey7480 3 жыл бұрын
Alhamdulillah Rabbi masha Allah
@halimalikutu3790
@halimalikutu3790 4 жыл бұрын
Mawaidha mazur shekhe allah akufanyie wepes inshaallah
@carolinewanjala1158
@carolinewanjala1158 4 жыл бұрын
Shukran sheikh na je? Kati ya muislamu na mkristo wakiowana ni haramu au hallali🙏
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 4 жыл бұрын
Kwaniaba ya sheikh hakuna ndoa mpakawote muwedinimoja.
@sakinabakari9813
@sakinabakari9813 4 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@halfaniland3850
@halfaniland3850 3 жыл бұрын
Kama wewe ni mkristo, nakushauri huwe Muislamu kama Yesu.
@mariamahmad8261
@mariamahmad8261 4 жыл бұрын
maa shaa Allah shukran br
@abc41
@abc41 3 жыл бұрын
Mashallah mada.nzuri. nime.elewa
@IbrahimOrma
@IbrahimOrma 4 жыл бұрын
Mada nzuri mashaALLAH
@saidmaulid5186
@saidmaulid5186 4 жыл бұрын
Akili kichwani mwa wanawake, unaweza kuamua kutumika kwa starehe au la! Kila mtu anafundisha mwanamke kumjali mwanamme, hotoona shekhe au mtu Wa ushauri akifundisha kuhusu mwanamme kumpenda na kumthamini. Kaka yangu, nakuomba ufundishe na wanaume kupenda. Kwani tunavyoishi na wanaume hawatukeri? Hawatufanyii ukatili? Lkn utaambiwa vumilia tu-mwanamke uwe na subra.
@barakakihaga6481
@barakakihaga6481 3 жыл бұрын
Wallahi hakika unachokisema
@kupinga9379
@kupinga9379 3 жыл бұрын
Tusisubir clip za u-tube ili kujielimisha, kila sheikh anaelezea kile anachoweza kukieleza kwa kina na alichokifanyia uchunguzi na alicho ona jamii yake ni vyema kukifahamu...... Ila mafundisho ya namna gani mwanaume aishi na mwanamke,,,, namaanisha kuna haki mke kwa mume,, na haki za mume kwa mke. tatizo asilimia kubwa hua tunaingia kwenye ndoa bila elimu kubwa ya ndoa,,,, ALLAH ATUHIFADH KWA KWELI. lakini cha umuhimu KUSOMA, ili kama kunamahala tulikosea basi tuparekebishe ili tuishi kwa amani na upendo
@kajoakother6041
@kajoakother6041 4 жыл бұрын
Mungu akupe mri mrefu is haaa mawaiza mazuri
@hassanlololo9431
@hassanlololo9431 4 жыл бұрын
Jazakum khraiila
@aishaabdallah4560
@aishaabdallah4560 4 жыл бұрын
Mashaa Allah nimeipenda mada
@hafsawelldonemaashaallahab6219
@hafsawelldonemaashaallahab6219 4 жыл бұрын
Maashaallah Haniiiallaku wabaarakallaahu lakumaa wajamaabainahummaa filkheir
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 4 жыл бұрын
Allah akulipe pepo
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 4 жыл бұрын
Masha Allah , Allah akupe umri , afya uzidi kutupa mawaidha mazuri walahi.nashangaaa sisi WANAWAKE wengi hatutaki uke wenza.
@OmanOman-zc5dt
@OmanOman-zc5dt 4 жыл бұрын
Mashallha
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 4 жыл бұрын
Masha Allah
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 4 жыл бұрын
Maashallah tabaraqarahman
@fatmam470
@fatmam470 3 жыл бұрын
Nishaolewa nikaachwa jee name naweza kujiozesha mwenyewe bila walii naomba jibu shekhe
@remiomar7154
@remiomar7154 4 жыл бұрын
Sunnah hii y kuongeza mke wapili au zaidi kila mwanaume anaipenda ila maadili majukumu hususan kwa mke wakwanza akiwa n watoto ndio hupata mtihani mm nnakaangu tuu kaowa mke wapili wakwanza hivi nnavyosema ana miezi mitatu hajuwi anakula nn wala kodi y nyumba naana watoto maskini.... Mbona ndevu hamufungii . Na sunnah nyingine mukazifanya
@shailashaila6913
@shailashaila6913 4 жыл бұрын
😂😂😂
@rukiaalfa6338
@rukiaalfa6338 4 жыл бұрын
nakupenda sana natamani nikuone live
@fatmahmuhamad7301
@fatmahmuhamad7301 4 жыл бұрын
asante nimejifunza
@ramlaali5955
@ramlaali5955 4 жыл бұрын
MI pia shekh nataka kuolewa mke Wa 2 lakini shekh naogopa Sana bado nafkiri kwanza
@mohamedykobelo9638
@mohamedykobelo9638 4 жыл бұрын
Mama muachie Allah
@hamisimabokellah3545
@hamisimabokellah3545 3 жыл бұрын
IVI ulishapata mume kama bado niambie nimeweka nia ya mke wapili
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 4 жыл бұрын
Na hivyo unavyosema mwanamke apigwe bila ya kufafanua ni vp na unajua dhahir wanaume wa siku hzi wengi wao ni makatili, hawana busara hekma na imani. Ndio anapopigwa mpaka akaumia, akapoteza faham au kuuawa kabisa na pengine ni mbele ya watoto wake. Na itakua tunawafundisha nn watoto zaidi ya ukatili na machungu yakuona mama yao ananyanyasika au anafanyiwa ukatili na baba yao? Na tunafikiri kizazi hcho km kitakua ni chakike kitamuangaliaje mwanamme (kumuamini au kumpenda) kwenye ndoa yake? Au kwa mtoto wa kiume ataezaje kuishi kwa mapenzi na mkewe atakapoanza maisha yake na yy ikiwa amezoea kumuona baba ake anamnyanyasa mama ake mble yake? ALHAMDULULLAH UISILAM NI DINI YA AMANI NA UPENDO. NA NI DINI YENYE KUMTUKUZA MWANAMKE NA KUMPA HAQI KAMILI. MASHEIKH KUWENI NA HEKMA KM ALIYOKUA NAYO MTUME WETU MUHAMMAD (S.A.W). Mtakuja shuhudia mauaji ya wanawake mengi kwa kukosekana hekma na busara zenu mana wanaume wenyewe wasikuhizi wengi wao sheikh kasema.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Allahibarik umesema yaliyo jisholeza kwa umakinifu uchungu na huruma ndoa ni mtihani mkubwa hakuna mkamilifu kwa hili,tuombe salama kwa Allah atupe wake na waume walo wema tu,hakuna mnjanja kwenye ndoa ni kudura zake Mollah,siku hizi kila mtu kaota pembe si mume wala mke,ukibahatika shukuru Alhamdulillah,wapo pia waume walo olewa na wake zao,kuteswa na kunyanyaswa ,na wapo waume walo owa wake kuwa watumwa,kitu mapenzi imani huruma na kuvumiliana kumepotea kabisaaa,vitu hivyo havipo tena ktk ndoa,mradi ndoa tu ipo ikining'inia juu haiko chini haiko,Yarrabb manusra,toba! toba! toba!
@pilimbogo1404
@pilimbogo1404 4 жыл бұрын
Mashaallah
@abdallahamad855
@abdallahamad855 4 жыл бұрын
Maashaallah
@aminamichael1706
@aminamichael1706 4 жыл бұрын
Shukran
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
Mhhhhh yataka moyo jaman mana waweza ingia kwa lengo la kutaka kustilika lkn ukakutana na vioja vya kidunia mpaka ukatokwa na iman haswa mkiwa hamna dini mpo mpo tu NAOGOPA
@peterluppy8843
@peterluppy8843 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@azzaalmaamry76
@azzaalmaamry76 4 жыл бұрын
MaashaaAllah mawaidha mazuri lakin ni wanaume wachache wenye uadilif kutimiza haki na kutunza familia bila ubahili
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
Naam
@kaafisocadeey7480
@kaafisocadeey7480 3 жыл бұрын
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
@othmanmichael4241
@othmanmichael4241 4 жыл бұрын
Kweli shekh
@majomaali2340
@majomaali2340 4 жыл бұрын
Kalne yasasa wanaume kama Hao niwachache anawake wanne nnje ana vimada kama vyote Allah utunusulu Jaman insha allh
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 4 жыл бұрын
Km tudini tudani. Baadhi ya wanaume wasiojua namna ya kuwathamini na kuwapenda wake zao inapasa wafaham hili. Mawaidha mengi sana yanaelezea namna ya mwanamke kumpenda kumthamini na kumtunza mume lkn hayatilii mkazo na mume kutekeleza hayo ili kuimarisha mapenzi yao. Mtume (S.A.W) ni mfano bora wa kuigwa naaige halafu aone km mwanamke hatomthamini na kumpenda. Lkn leo hii wanaume wengi hawana wanalolijua zaidi ya kua yy ni kiongozi na kutaka haqi yake basi, hua kama paka shume ndani na isitoshe mdanganyifu, hadaa, tapeli mpaka wakufikia kumtapeli mkewe na hawana mapenzi wala huruma hivi tunadhani mwanamme wa aina km hii anaeza kumpata mke km Bi Khadija (Radhiyallahu anha)? Sheikh sio km nakupinga mana ulichokizungumza ni haq lkn hawa wanaume wa siku hzi wengi sana wanahitaji mafunzo na kukanywa ili waweze kujirekebisha na wafurahie ndoa zao. Km unavyosema ni viongozi lkn wengi wao wanatumia nafasi hii vibaya. Tunayaona mitaani yamejaa tele mpaka tumbo litakuuma namna wanawake na watoto wanavyoteseka. Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka sote, Amiin.
@khadijasaidjongohamis9651
@khadijasaidjongohamis9651 3 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah yamejitosheleza maneno yako
@arthamsharibbiy4816
@arthamsharibbiy4816 4 жыл бұрын
Shokraan
@bilgisalfani1241
@bilgisalfani1241 4 жыл бұрын
A,aleykumu ustadh dini yetu ni ya haki ssa kwa mawaidha yko ni sawa mwanaume kuongeza mke wa pili ila si kwa hivyo kuwa ukiona arudi ndo nitambue kaisha owa dah ustadh inatakiwa aseme2 kuwa ana mke hata nikubali nisikubali ili mradi kaisha sem maana atanipatish dhambi mm ntamfikiria tofauti wakat yupo kwenye haki
@jamilakarimu5617
@jamilakarimu5617 4 жыл бұрын
Mashaa Alla
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Nice sana
@swafiamohammed1708
@swafiamohammed1708 4 жыл бұрын
Jee! Kama mume yeye hatimizi haqi kwa mke wake hukmu yake nini?
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
we Ni Shekhe ama ustadhi
@aminamichael1706
@aminamichael1706 4 жыл бұрын
Tofauti ipo ila hawi shekh lzm awe ustadh
@mtumwaali959
@mtumwaali959 3 жыл бұрын
Mhhhhh
@khalfaankauga294
@khalfaankauga294 4 жыл бұрын
Kwa mahitaji ya kanzu nzuri na bora kama anazovaa shkh Othman hapo na nyingine nyingi zaidi ya hizo ni sehemu 1 tu @kauga_kanzu_claasic# KAUGA KANZU ____________ Ilala-Boma DSM Tanzania. Pangani/Morogoro street no 1 +255 688 425 132
@kavorama983
@kavorama983 4 жыл бұрын
MashaAllah! Kama unasema kweli nitumie namba yako kupitia +262639766031 ili tuwasiliane zaidi
@zainabuzainabu4372
@zainabuzainabu4372 4 жыл бұрын
Alafu wanaume wenyewe hawana uadilifu
@fatumamasudi2153
@fatumamasudi2153 4 жыл бұрын
Kweli kabsaa,alafu wengi wao wanajua sunnah moja tu ya mtume kuowa bac,nyengine zote hataki kujua
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 4 жыл бұрын
@@fatumamasudi2153 Wallah mtihani wanawake wengi sasa ni waadilifu ila wanaume wengi hawana msimamo kwenye ukewenza
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 4 жыл бұрын
@@fatumamasudi2153 Wallah mtihani wanawake wengi sasa ni waadilifu ila wanaume wengi hawana msimamo kwenye ukewenza
@fatumamasudi2153
@fatumamasudi2153 4 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 Na huyo mume huwa mchonganishi mkubwa baina yenu ili musishikane mkamjua mambo yake
@issaramadhani9714
@issaramadhani9714 4 жыл бұрын
Hayo mnayoyasema ni kweli jueni kila ktk wanaume sio wote ni wabaya na wasio waadirifu na wanaume wema wapo pia kikubwa jitahidini ktk Uchamungu na stara mtawapata wanaume wema na waadirifu.
@selvanndikumana2989
@selvanndikumana2989 3 жыл бұрын
Nawaume zetu watoweruksa wengine unaomba ruksa hupewi kukilakitu waseme nawenyewe sheghe
@swafiamohammed1708
@swafiamohammed1708 4 жыл бұрын
Shekhe una wake wangapi naona washangiria sana waume kuongeza wake
@issaramadhani9714
@issaramadhani9714 4 жыл бұрын
Si kila ibada ni wajibu akwambie mfano ana wake wangapi kikubwa yeye anaitoa ilmu aliyopewa dhamana na Allah iwafikie na wengine pia.
@khadijaahmed6420
@khadijaahmed6420 4 жыл бұрын
Tatizo uadilifu kwa wanaume hakuna.Kwanza anafanya siri unashtuka mtu Ana mtoto wa mwaka.Hakutunzi anataka uvae vizuri na kiukweli wanawake wengi wanabadilika sababu ni wanaume tuwe wakweli katika hili.Allah atunusuru na maradhi
@ummulkheir8321
@ummulkheir8321 4 жыл бұрын
@@issaramadhani9714 shukran bwana issa,kwa kututia moyo, Allah atupe walo na kheir nasi
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 3 жыл бұрын
Ikiwa wewe mume Bora basi na mkeo atakuwa Bora. Hakuna cha ziada
@zainabuzainabu4372
@zainabuzainabu4372 4 жыл бұрын
Asalam alaikum hayo mambo magumu...kuolewa mke mwenza we yasikie tu kwa mwenzio..
@farajisureman9925
@farajisureman9925 4 жыл бұрын
Mimi ninao uadilifu mdiyo maana nataka kujiongezea mke
@sunherimohammad2658
@sunherimohammad2658 4 жыл бұрын
Mimi da zai nilimpa ruhsa Mume aowe sababu nilikuwa mkenya na yeye mtz akaowa mtz kama yeye na kila kilicho changu nilimpa mke alikuja na nguo tu lkn sikuwa mke tena alipoowa Allah atusamehe ummaty Mohamad .roho yaniuma Dada lkn Allah Karim.
@sunherimohammad2658
@sunherimohammad2658 4 жыл бұрын
@@farajisureman9925 Allah akuzidishie na sema Alhamdullillah .
@faizasaid8262
@faizasaid8262 4 жыл бұрын
sunheri Mohammad pole urafiki namke mwenza mmi sitaki maana wanawake sie wenyewe wanafiki ila nikikutana nae harusi msibani spital salam nitampa ila ushoga nae sitaki
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
@@sunherimohammad2658 hayoo ndio meng huwaa wakeshaowa baadah y waume wengine
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 4 жыл бұрын
Hapo kwenye kuzeeka umenifurahisha jmn
@meedaafarai9677
@meedaafarai9677 4 жыл бұрын
Subhannallah
@nasramohammed6716
@nasramohammed6716 4 жыл бұрын
Mmh shekhe mbona sasa unafundisha waume zetu jeuri atazinije sasa na mm nipo
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 4 жыл бұрын
Tena raha sana mukiwa wengi kuliko ukiwa peke yako
@ummulkheir8321
@ummulkheir8321 4 жыл бұрын
Raha sana,muhimu maelewano
@iteltecno2470
@iteltecno2470 3 жыл бұрын
Sasa nyinyi munahongelega sa islam tu?: mbona sisi wengine wa kiristo tuna ya penda n'a ku ya sikiliza
@sarahalfani3124
@sarahalfani3124 4 жыл бұрын
Ni bora ujane jaman kuliko uke wenza ,binafsi moyo unataka kutoka
@yusramsellem9378
@yusramsellem9378 4 жыл бұрын
Muqaddima mrefu kaaaahh
@azzanhamad9948
@azzanhamad9948 4 жыл бұрын
Mawaidha mazuri sana
@azzanhamad9948
@azzanhamad9948 4 жыл бұрын
Allah akupe afya njema sheikh.
@shameemameery2979
@shameemameery2979 4 жыл бұрын
Pole Sara mi napenda ila uadilifu kwa mume ndo huwa ngumu coz wao ni viongozi napenda wallah sijapata tu wa uhakika
@swafiamohammed1708
@swafiamohammed1708 4 жыл бұрын
Jee mama na mume yupi wakwanza kuheshimiwa? Tumeambiwa pepo iko chini ya nyayo za mama Tena tumeambiwa mke haingii peponi illa kwa radhi ya mume
@remiomar7154
@remiomar7154 4 жыл бұрын
Mama ndio wa Kwanza kuheshimiwa ...Ila ikiwa n Mwanamke umeolewa bc huwezi kuenda Kwa mamaako hata kama amekufa kwenda kuzika bila ridhaa y mumeo ....n ikiwa n mwanaume bc hanakizuwizi hapo kwasababu yy ndio kiongozi ...natumai umenifahamu dadangu
@aminamichael1706
@aminamichael1706 4 жыл бұрын
Alaa kumbe
@musaomary4610
@musaomary4610 3 жыл бұрын
Ndio
@nasramohammed6716
@nasramohammed6716 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂kazimia
@mrsochu7504
@mrsochu7504 4 жыл бұрын
kuna kitu uadilifu apo lakini
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
Nafas zipo njpo t 🤣🤣🤣 kisa kizur kina mafunzo ndan yk
@bananatz4216
@bananatz4216 4 жыл бұрын
Sheikh na wewe unawake wa ngapi??
@fauziakassim323
@fauziakassim323 4 жыл бұрын
Huyu labda ashafikisha wanne asubiri ruhusa kwa mtume ili aongeze tena mungu anisamehe jamani
@dottnatta310
@dottnatta310 4 жыл бұрын
Ana 1
@ummulkheir8321
@ummulkheir8321 4 жыл бұрын
@@fauziakassim323 ,fauzia spare my ribs,hahaha,astaghfiru Allah
@fauziakassim323
@fauziakassim323 4 жыл бұрын
@@ummulkheir8321 he likes to explain about women hana mada nyengine lazima atataja wanawake
@athumanmichael8501
@athumanmichael8501 4 жыл бұрын
Nina 2
@hamidaayoub744
@hamidaayoub744 4 жыл бұрын
Maashaallah
@kaafisocadeey7480
@kaafisocadeey7480 3 жыл бұрын
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
@kavorama983
@kavorama983 4 жыл бұрын
MashaAllah
@aliyomar5772
@aliyomar5772 4 жыл бұрын
Mashaa allah
THAMANI YA MWANAMKE NO2 - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
1:18:59
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 23 М.
HISTORIA YA DHULKARNAIN -SHEIKH OTHMAN MICHAEL
1:00:21
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 26 М.
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 59 МЛН
UTAJIRI NDANI YA WIKI MOJA - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
51:04
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 59 М.
JUA KU ISHI NA MARAFIKI NA MA ADUI... OTHMAN MAALIM
34:54
Said Salim Matango
Рет қаралды 1,6 МЛН
MASHARTI MA3 | KWA ANAETAKA KUONGEZA MKE  | SHEIKH OTHMAN MICHAEL
42:29
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 23 М.
IJUE HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MICHAEL KUMBE AZALIWA KATIKA UKRISTO
48:41
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 123 М.
IJUE BAKORA YA KUMTANDIKIA MUMEO EWE MWANA DADA ] SHEIKH OTHMAN MICHAEL
1:06:50
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 188 М.
DUA HUJIBIWA KWA MAMBO 3 | SHEIKH OTHMANI MICHAEL
44:34
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 96 М.
THAMANI YA MWANAMKE NO1 - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
49:52
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 33 М.
UTAMU WA NDOA ] NA HAYA NDO MAMBO YANAYOLETA RADHA KATIKA NDOA] SHEIKH OTHMAN MICHAEL
1:14:38
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН