KWA MSAADA WA MAOMBI | MASWALI NA USHAURI-0767 379737
Пікірлер: 145
@LodvolaLameck-jl5vsАй бұрын
Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya
@EZEKIAMGWILANGA-hj4hj2 ай бұрын
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi
@EdinaWawa-mx3ed2 ай бұрын
Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
@dativarichard1987Ай бұрын
Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya
@esthermliga48752 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
@michaelwanyanga2 ай бұрын
Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!
Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako
@roseyongolo3022 ай бұрын
Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,
@GRACEOFJESUSCHANNEL3573 күн бұрын
Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi
@MidaMalagabu8 сағат бұрын
Mungu alibariki somo mzuri
@RodahAdonice-dz4smАй бұрын
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
@user-vz4xv7lg3x2 ай бұрын
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
@RehemaNchimbi-ki2ed2 ай бұрын
Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli
@kizandume30154 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@Gaen-cz4kp2 ай бұрын
Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.
@raphaelmwamakimbula964215 күн бұрын
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
@user-ez6cy4pj8z20 күн бұрын
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
@boscomhenusi78442 ай бұрын
Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi
@JacklineJackson-pu4bvАй бұрын
Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji
@edimondhatangimana60312 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.
@AgnessIbrahim-nt1kr2 ай бұрын
Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,
@user-zq9dm2kw6c2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen
@NathanielJeksta2 ай бұрын
Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa
@tausimwinuka2 ай бұрын
Injili isiyogoshiwa..ndio hii
@emmanuelmbae19 күн бұрын
Pastor be blessed you are preaching the facts
@fatumaremy16 күн бұрын
Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu
@wakulampekazadi298723 күн бұрын
Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤
@rebeccamaunde4085Ай бұрын
Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake
@KiboJoseph-cc5eu2 ай бұрын
nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.
@FelixOchieng-ue6cnАй бұрын
Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.
@lindakapongo842114 күн бұрын
asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe
@obadiambilinyi272 ай бұрын
Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu. Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka
@uzimakwayesutv2 ай бұрын
Amen Baba Wasaidie
@FloranceNabwileАй бұрын
Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe
@Tunumwamafupa-vr4kq9 күн бұрын
Amen ubarkiwe baba
@rahelmichael-br3cdАй бұрын
Ubarikiwe sana baba mch. Endelea kusema kweli ya MUNGU baba. BWANA YESU akutunze
@JoyceWakio-pw1hfАй бұрын
Amen Hallelujah Barikiwa sana 🙏 🙌 mtumishi wa Wa Mungu alie na sikio na asikie neno hili .
@hoseapatrick243522 күн бұрын
Mungu huangalia mtu -ndani mpaka nje. -Kanisani mpaka nyumbani. -ukumbini mpaka sirini. Basi, watu waambiwe nini ili waelewe? WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@winniemugaliza667611 күн бұрын
Asante Sana mtumishi
@tagcdcchurch60312 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, huu ndo ukweli hata kama wengi hawaukubali.
@Kanyawela2 ай бұрын
Mungu akubariki Sana tunataka injili ya mitume na manabii Kama hii tusamee MUNGU wetu
@juliethmshanga2 ай бұрын
pastor ni kweli kabisa Mungu akubariki sana
@helenshehele1902Ай бұрын
May God bless you man of God...good information for all christians
@sarahmdindile43012 ай бұрын
Amen, kweli tupu Mungu azidi kukutumia zaidi
@AidaRaphael9 күн бұрын
Barikiwa mtumishi
@user-cd6vh5yk1m2 ай бұрын
Asante baba nimekuelewa
@luthgadeschrispin65542 ай бұрын
Hongera mtumishi Mungu kwa mafundisho mazuri kanisa litapona sasa
@FurahaNtuyeАй бұрын
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
@ernesterkasumba9742 ай бұрын
Aminaaa kweli kanisa limevamiwa ila hai wachungaji siamini kama wameitwa na Mungu sema kweli mtumishi aliye wa Mungu atapona
@user-cr9rp7fl8j12 күн бұрын
Amina watumishi
@RoseMbwawa27 күн бұрын
Mungu akubariki🙏🙏🙏
@jeremynjokaАй бұрын
God bless you man of God
@monicahnjambi3240Ай бұрын
Thanks pastor na ukweli usemwe watu wawe huru
@FemidaHebronАй бұрын
Amen baba angu mungu aendelee kukutumia
@thestandardoflivingchurchi213Ай бұрын
Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.
@rizikidada9790Ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nimepona
@user-xs3kd6wj3uАй бұрын
Be blessed so much
@rebecakikoti374Ай бұрын
Bsrikiwa baba. Umenifurahisha aiseee
@tigiranlulu506512 күн бұрын
Amina
@andrewkasongo13682 ай бұрын
Ameen Ameen Ubarikiwe sana
@abbygaelsharon497Ай бұрын
Ubarikiwe sana
@sapispaha443013 күн бұрын
Nimebarikiwa
@KibasumbaYvonne2 ай бұрын
Umbarikiwe sanaaaa 🙌🙌🙌
@smartmwakipesile3842Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@janengaga2928Ай бұрын
Amina baba mchungaji barikiwa sana.
@LeahMaina-lj3xkАй бұрын
I love this am for it 100percent
@TupilikeMwakinyaka2 ай бұрын
AMINA
@user-ux8be1ee1rАй бұрын
Asante mtumishi.
@MarthaMathias-ep3nt2 ай бұрын
Amina baba
@LovelyChocolateBonbons-ok2ww2 ай бұрын
Kabisa barikiwa
@endtimes98502 ай бұрын
Amen
@LinetKamete16 күн бұрын
Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima
@JaneLaizer-tb6zlАй бұрын
Asante mtumishi maan Hali ni mby
@AdellaSanga2 ай бұрын
Amen baba
@MarthaMathew-xq6hxАй бұрын
Amina mchungaji tunaomba Tena urundi bunda
@magogelameck15012 ай бұрын
Ameen
@floradavid5216Ай бұрын
Mungu tufungue macho
@user-uj5iv2oi2g2 ай бұрын
Mimi n'a sema Amina,basi mungu asifiwe
@AizackMwamkingaАй бұрын
Great AMEN
@KundaelGeorge-tv8mz2 ай бұрын
Baba ubariwe sana
@generalbeepoka15Ай бұрын
Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi
@KundaelGeorge-tv8mz2 ай бұрын
Very true 👍
@marcellinebahati16372 ай бұрын
Amen 🙏
@CANAANTZ_TVАй бұрын
Tuzidi kuombeana watumishi wa MUNGU
@StephanoBatakundaАй бұрын
Muzee ubarikuwe Na Bwana
@dorcanyarangi4814Ай бұрын
Amen Amen Amen
@Bahati-nv8jw3 күн бұрын
Asnte kweli kwelikabisa semayote
@user-gh3zf4ow4cАй бұрын
Aminaaa
@EliaPetro-zw4pdАй бұрын
Abiud BWANA akuinue
@AgnessIbrahim-nt1kr2 ай бұрын
Kwa kweli
@musaliaeugene79759 күн бұрын
Ukweli mtumishi
@naimanmsawe1382Ай бұрын
asante mchungaji
@user-td8xs6uj1cАй бұрын
Ubalikiwe sana baba SEMA ukweli
@eddanguhula7185Ай бұрын
Exactly
@user-zj6sv1id6u21 күн бұрын
Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂
@user-fy9uk4oh7xАй бұрын
Vazi alilo tupa Mungu ni vazi la wokovu mavazi ni utamaduni wa mahari
@RubenMtuwaMungu-bz8eeАй бұрын
Eden, Adam na Eva walipewa wokovu kuficha uchi wao ama ngozi?