Tena wanasema huyu ni ndugu wa Dr Silaa hakika Mungu atawashukia hawa wanaoleta huu uonevu kwa watu hasa wanaotetea haki ya wananchi
@alfanmohamed27508 күн бұрын
Asante ni sana hakuna kuwapa msahada wa kisheria hao polis ita pendeza kwa kuwa Wana kiburi Sana hao polis na Nina omba iyo kesi msiachie njiani ili kuleta heshima wakati mwingine
@MustaphaSeleman-z7c8 күн бұрын
Safi sana siwapendi sana awa polisi
@AbubakariSuleiman9 күн бұрын
Hongereni san mawakili wa Arusha kw mshikamano wenu
@magangafrank56878 күн бұрын
SAFI SANA MAWAKILI WA ARUSHA SINA CHAKUWATUNUKU BALI MUNGU AWASHIKIKIE . MMENIGUSA SANA
@janeshija66388 күн бұрын
Tatizo polisi hawajui sheria. Na hapa hakuna kuwaachia karibu wamezoea kuwabambikia watu makesi.
@danielpaul41089 күн бұрын
Safi sana mawakili.
@DixsonLaulent-q2e8 күн бұрын
Kweli washitakiwe
@alfanmohamed27508 күн бұрын
Hata mkitaka mchango semeni mtapewa wananchi wamechoka kuonewa kupewa kesi ambazo sio zakwao kwa kuwa Kuna watu wanatumia nguvu ya cheo
@brightonntare18228 күн бұрын
Hapo kwenye polisi kujiwakilisha wenyewe mahakamani ndio patamu
@leocadianjau74108 күн бұрын
Natamani mngekuja na huku dar kumpigania Dr. Slaa kwa umoja wenye
@HidaHilidaa8 күн бұрын
Buruta mahakamani jeshi la polic arusha wanaonea raia sana
@HellenLemilya8 күн бұрын
Viongozi wetu akiwepo rais wetu mama samia mnaona hivi vituko vya polisi?wanabadilisha kauli kuwatungia watu uwongo, nawashauri viongozi wetu akiwepo rais wetu mama samia uangalie hawa polisi kwa jicho la undani baadhi yao sio waadilifu
@jackisonmlaari45569 күн бұрын
Huyo Rpc analewa madaraka hivyo anajiona yy ni kila kitu
@musamusa62139 күн бұрын
Nyny mawakili mbona mmezibwa midomo saivi kimya lile swala ya yule dada aliye kuwa kabakwa na wale police yule aliye watuma je alipelekwa mahakamani hatujui chochote tokeni mseme
@jacklinelyimo74078 күн бұрын
Wale polisi walifungwa ndugu wewe upo nyuma iliisha ndani ya mwezi mmoja
@abuumuhammad71338 күн бұрын
Nyie mnafkiria Nchii inaendeshwa na mawakili au Sheria za Nchi?