MAWAKILI ARUSHA WAGOMA NA KUTOA TAMKO LA KUWASHTAKI RPC NA WENZAKE, KISA WAKILI WAO KUKAMATWA

  Рет қаралды 13,916

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 22
@revocatuskatto7293
@revocatuskatto7293 8 күн бұрын
Safi sana seckta zote zingekuwa ivi tungekuwa mbali sana wamezoea kubambikizia watu makosa ya uongo sas apa wameingia cha kike mpaka waombe msamaha
@SamweliAdamu-x7t
@SamweliAdamu-x7t 8 күн бұрын
Kazi njema na mungu awatangulie
@kanisiuschumacannireal-zg2ee
@kanisiuschumacannireal-zg2ee 8 күн бұрын
Arusha wanaushirikino mno sio raia tu, hongera mawakili ✌️
@leocadianjau7410
@leocadianjau7410 8 күн бұрын
Tena wanasema huyu ni ndugu wa Dr Silaa hakika Mungu atawashukia hawa wanaoleta huu uonevu kwa watu hasa wanaotetea haki ya wananchi
@alfanmohamed2750
@alfanmohamed2750 8 күн бұрын
Asante ni sana hakuna kuwapa msahada wa kisheria hao polis ita pendeza kwa kuwa Wana kiburi Sana hao polis na Nina omba iyo kesi msiachie njiani ili kuleta heshima wakati mwingine
@MustaphaSeleman-z7c
@MustaphaSeleman-z7c 8 күн бұрын
Safi sana siwapendi sana awa polisi
@AbubakariSuleiman
@AbubakariSuleiman 9 күн бұрын
Hongereni san mawakili wa Arusha kw mshikamano wenu
@magangafrank5687
@magangafrank5687 8 күн бұрын
SAFI SANA MAWAKILI WA ARUSHA SINA CHAKUWATUNUKU BALI MUNGU AWASHIKIKIE . MMENIGUSA SANA
@janeshija6638
@janeshija6638 8 күн бұрын
Tatizo polisi hawajui sheria. Na hapa hakuna kuwaachia karibu wamezoea kuwabambikia watu makesi.
@danielpaul4108
@danielpaul4108 9 күн бұрын
Safi sana mawakili.
@DixsonLaulent-q2e
@DixsonLaulent-q2e 8 күн бұрын
Kweli washitakiwe
@alfanmohamed2750
@alfanmohamed2750 8 күн бұрын
Hata mkitaka mchango semeni mtapewa wananchi wamechoka kuonewa kupewa kesi ambazo sio zakwao kwa kuwa Kuna watu wanatumia nguvu ya cheo
@brightonntare1822
@brightonntare1822 8 күн бұрын
Hapo kwenye polisi kujiwakilisha wenyewe mahakamani ndio patamu
@leocadianjau7410
@leocadianjau7410 8 күн бұрын
Natamani mngekuja na huku dar kumpigania Dr. Slaa kwa umoja wenye
@HidaHilidaa
@HidaHilidaa 8 күн бұрын
Buruta mahakamani jeshi la polic arusha wanaonea raia sana
@HellenLemilya
@HellenLemilya 8 күн бұрын
Viongozi wetu akiwepo rais wetu mama samia mnaona hivi vituko vya polisi?wanabadilisha kauli kuwatungia watu uwongo, nawashauri viongozi wetu akiwepo rais wetu mama samia uangalie hawa polisi kwa jicho la undani baadhi yao sio waadilifu
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 9 күн бұрын
Huyo Rpc analewa madaraka hivyo anajiona yy ni kila kitu
@musamusa6213
@musamusa6213 9 күн бұрын
Nyny mawakili mbona mmezibwa midomo saivi kimya lile swala ya yule dada aliye kuwa kabakwa na wale police yule aliye watuma je alipelekwa mahakamani hatujui chochote tokeni mseme
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 8 күн бұрын
Wale polisi walifungwa ndugu wewe upo nyuma iliisha ndani ya mwezi mmoja
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 8 күн бұрын
Nyie mnafkiria Nchii inaendeshwa na mawakili au Sheria za Nchi?
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
Machafuko DRC: Je chimbuko la vita kati ya M23 na DRC  ni nini?
5:34
BBC News Swahili
Рет қаралды 107 М.