No video

MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI

  Рет қаралды 837,357

RAJO PRODUCTIONS

RAJO PRODUCTIONS

Күн бұрын

Marafiki wanapokutana na kujikuta wanapenda kufanya jambo fulani huleta furaha zaidi. Ilikuwa furaha sana kukutana sisi wanne (Ray Ufunguo wa RAJO Productions), (Tumaini Swai wa RAJO Productions), (Fabian Mushobozi wa Holy Trinity Studios) na rafiki yetu mpendwa Lawrence Kameja.Kwa pamoja tukagundua yafaa kumwimbia Mungu kwa wasaa tuliokuwa nao. Nasi tukafanya hivyo kama marafiki. Hili sio kundi au kikundi rasmi cha waimbaji, bali ni marafiki tunaopenda kumwimbia Mungu. Tunawakaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uliotungwa naye John Mgandu+ mnamo mwaka 1995. Wimbo wenye maneno matamu ya kumtukuza Mungu.Tunaposikiliza na kutazama,
Tunamshukuru rafiki yetu Kelvin Boniface Bongole kwa kufanya sting music arrangement. Mungu aendelee ku mimina neema katika maisha yetu, neema za Mungu zikawe katika maisha yetu.#miminaneema #bwanaunibadili #kwayakatoliki #manenomatamu #rajoproductions #holytrinitystudios

Пікірлер: 508
@josephlugembe2930
@josephlugembe2930 3 жыл бұрын
Umri wa nyimbo ilipotungwa (1995) ni umri wa mtu mkubwa kabisa kwa sasa lakini wameutendea haki kama unakubaliana na mimi like hii comment
@fitinajacky740
@fitinajacky740 3 жыл бұрын
Iiiiiiiiiiiiijjjijjjjjjjjijjj
@fitinajacky740
@fitinajacky740 3 жыл бұрын
im
@fitinajacky740
@fitinajacky740 3 жыл бұрын
Mmmmmj
@fitinajacky740
@fitinajacky740 3 жыл бұрын
Ijmmi
@fitinajacky740
@fitinajacky740 3 жыл бұрын
Mijjk
@dennisharry-tx8ig
@dennisharry-tx8ig Жыл бұрын
This is the song that got me in touch with gospel music from Kenya. Melodious voices from all the four guys.Keep it up brothers in Christ
@consolatandinda8887
@consolatandinda8887 Жыл бұрын
For I know the plans I have for you,” declares the Lord, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." This verse comes from Jeremiah 29:11 awww ❤🎉 this song is sooo nice 👍 I just find myself here almost all the time
@eliseindakidemi7159
@eliseindakidemi7159 3 жыл бұрын
Maorganist ...safi sana
@delvineondari9204
@delvineondari9204 2 жыл бұрын
Kazi nzuri mnayoifanya kueneza injili may God bless you abundantly.
@noelinasaru1496
@noelinasaru1496 Жыл бұрын
Walimu wetu hongereni sana kwa wimbo mzuri
@josphatnzioki1789
@josphatnzioki1789 3 жыл бұрын
Tunarekodi.......hahaha ....akhi napenda kazi yenu
@merryngowi6607
@merryngowi6607 3 жыл бұрын
Kweli bwana anatuwazia mawazo mema hivyo tumkimbilie yeye Amina
@veronicamakoye4102
@veronicamakoye4102 3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,kila siku nausikiliza. Big up,kazi iendelee.
@panyamadaniel9064
@panyamadaniel9064 11 ай бұрын
Wimbo mzuri Sana kwa sisi wakatoliki
@fransisoroni9903
@fransisoroni9903 3 жыл бұрын
Safi sana dah yaaaaani mmenikosha sana
@elizabethemmanuel4167
@elizabethemmanuel4167 Жыл бұрын
Wimbo niupendao unao nitia faraja amani pindi ninapokuwa na huzuni mbarikiwe sana
@brendamoraa6400
@brendamoraa6400 2 жыл бұрын
Indeed atatuzikiliza may good loybless you people yaani mnanibariki Wacha tu
@MariaYusuf1
@MariaYusuf1 3 жыл бұрын
Good voices kaka zangu ongera
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 жыл бұрын
Huu wimbo sichoki kuuskiliza,kaka zangu mmeimba powa kweli ujumbe ndousiseme.mngekuwa hamjaowa ningeomba Mungu mpk aniskilize mojawapo anioe
@josephlango5591
@josephlango5591 3 жыл бұрын
Omba nawe utapata
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 жыл бұрын
@@josephlango5591 Amina
@jamesfesto1178
@jamesfesto1178 3 жыл бұрын
Kweli nmeipenda hii mmbarikiwe Sana ndugu
@charlesmartine3467
@charlesmartine3467 4 жыл бұрын
Very attractive
@noeliacharles7123
@noeliacharles7123 4 жыл бұрын
This song makes me feel like I have no worry in Jesus since his plans for us are those of peace... 🙏🙏🙏
@phillipmbuligwe7946
@phillipmbuligwe7946 Жыл бұрын
Hongera sana Mwl Tumaini Swai, Lawrence, na rafiki zenu. Mungu Amewajalia talanta kubwa. Endelea kuitumia kumwimbia Yeye.
@aviaarchard5856
@aviaarchard5856 3 жыл бұрын
Wimbo wenye kuniweka katika tafakari ya upendo wa Mungu kwa kwetu. Mbarikiwe sana
@jonhsonmsofe9904
@jonhsonmsofe9904 2 жыл бұрын
Nimependa hio tokarajo
@meresinantibakakazi1722
@meresinantibakakazi1722 3 жыл бұрын
Asaenteni sana kwa kuimba vizuri.kibondo tumewakubari
@victoriasiay4218
@victoriasiay4218 Жыл бұрын
Huu wimbo haichoshi kuutazama
@stephenmathenge9723
@stephenmathenge9723 2 ай бұрын
Hongera sana choir🎉🎉
@amosgerald7763
@amosgerald7763 4 жыл бұрын
Mbalikiwe
@anesiasalvatory7327
@anesiasalvatory7327 3 жыл бұрын
Mungu awabariki
@simonsebastian9477
@simonsebastian9477 3 жыл бұрын
Hongereni sana walimu
@sharonsimon2861
@sharonsimon2861 2 жыл бұрын
good job guys may GOD CONTINUE blessing ur talents
@godisonindunguru6090
@godisonindunguru6090 3 жыл бұрын
Godisoni toka nyasa kingerikiti litindo .mko vizur
@franciscambatha9353
@franciscambatha9353 Жыл бұрын
Wherever you are John Mgandu Mungu akupumzishe kwa amani..your songs still hit since 1995 up-to-date
@user-xl2px6mh6d
@user-xl2px6mh6d 5 ай бұрын
Natamani niwe Africa namimi nijiunge Nanyi sababu nyimbo zenu ni nzuri sana zinatia mtu moyo
@noelinasaru1496
@noelinasaru1496 Жыл бұрын
Walimu wetu hongereni sana
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 3 жыл бұрын
very very song
@brysonnyembele5481
@brysonnyembele5481 3 жыл бұрын
Kazi nzur sana , lakn tujiulize ss vp nyimbo zetu tunazozitunga baada ya miaka 20 au 30 zitakuwa na ubora kama za hawa wazee wetu wa enzi ,nimpongeze bwana mmoja abaitwa shaneri komba ,nyimbo zake zitadumu kama za mzee mgandu , pia R I P mwalimu sasita naye alikuwa bora sana
@solomonmenda6848
@solomonmenda6848 3 жыл бұрын
Napenda kweli mungu anatuwazia mema
@lauramushi3299
@lauramushi3299 Жыл бұрын
Bravo RAJO'S PRODUCTION👏
@user-tv8ts3lt8c
@user-tv8ts3lt8c 10 ай бұрын
I like how ray ufunguo anavyoimba mungu ambariki kwa kweli❤❤❤❤❤
@rajopro
@rajopro 10 ай бұрын
Be blessed.
@user-tv8ts3lt8c
@user-tv8ts3lt8c 10 ай бұрын
Naipenda katoriki zaid kupitia ray ufunguo imbaaa jamooon mpaka uzeekee I wish nkuoneee .
@neemalyakurwa9844
@neemalyakurwa9844 4 жыл бұрын
Bwana asema mawazo ninayowawazia nyinyi ni mawazo ya Amanii Wala co ya mabaya.....❣️ Akiiii sichokii kusikilaliza hii nyimbo munguh awabariki vijana wa yesu
@victoriasiay4218
@victoriasiay4218 Жыл бұрын
Jamani huu wimbo hauchoshi kuutazama na kuusikiliza mliutendea Haki endeleeni kubarikiwa
@gloriasakwari9815
@gloriasakwari9815 Жыл бұрын
Asanteni Mbarikiwe waimbaji na Rajo production
@graphphoto705
@graphphoto705 3 жыл бұрын
Nawapenda sana tumtukuze mungu daima amiinaa
@angiegathoni1620
@angiegathoni1620 4 жыл бұрын
Wow! Simply incredible. Please give us more of this. My heart is touched,blessed,and eyes teary. Jesus i love you,thank you for loving me so much each second of my life!
@angiegathoni1620
@angiegathoni1620 2 жыл бұрын
A year later and am still in love with this song. It reminds me that a year ago, i was battling mental health/depression, but Jesus made my story beautiful. Thank you for always reminding me how Jesus has better plans for me everyday despite being a sinner. I still love you guys.
@rajopro
@rajopro 2 жыл бұрын
Be Blessed Angie
@symphrosawilliam8737
@symphrosawilliam8737 Жыл бұрын
@@rajopro mw
@symphrosawilliam8737
@symphrosawilliam8737 Жыл бұрын
@@rajopro mw
@janeakailokopu9829
@janeakailokopu9829 3 жыл бұрын
nawapenda na sauti zenu kweli mnanipa motisha ya kuishi maisha kikatoliki.mungu awe pamoja nanyi ndugu zangu
@manassehjoseph3438
@manassehjoseph3438 3 жыл бұрын
Mawazo ndio mawazo yangu ni ya aman wala.si ya manaba MUNGU nipe nguvu Mimi nitambue mawazo yako
@magrethmosha9626
@magrethmosha9626 3 жыл бұрын
Nice song guys 🙏🙏
@hellenthadeo9526
@hellenthadeo9526 4 жыл бұрын
Mbona mnafanana kwani Ni ndugu
@lawrencesilas3050
@lawrencesilas3050 4 жыл бұрын
Hahahahaha ndugu katika kristo
@hellenthadeo9526
@hellenthadeo9526 4 жыл бұрын
@@lawrencesilas3050 Kweli ni ndugu katika Kristo Mungu aendelee kuwabariki.
@eliasdilandasafisananapend9427
@eliasdilandasafisananapend9427 2 жыл бұрын
Nawafurahia sana na uimbaji wenu
@StpaulDispensary
@StpaulDispensary 9 ай бұрын
Jamani kk tTumain Swai upooo
@rachelsimon4275
@rachelsimon4275 3 жыл бұрын
Wow, wow, wow, wow Mapendo,,,,,,, sichoki kuskiliza huu wimbo,,, mbarikiwe sana, ongezen na zingine na nawashaur muwe na Albam yenu kabisaaa,, keeep it guy's Kristo,,,,,,,
@angelistashayo8925
@angelistashayo8925 3 жыл бұрын
Mko vizuri hongereni kwa mziki mzuri
@guygerardmaindo6678
@guygerardmaindo6678 2 жыл бұрын
Depuis Kinshasa que j'ai écouté cette belle mélodie. Que Dieu vous bénisse abondamment.
@siscosamson3960
@siscosamson3960 3 жыл бұрын
Tunashukulu sana warim wetu kwa kutuijilisha kwa wimbo huo( bwana asema uliotungwa na baba waimani John mgandu, mungu ailaze loho yake mahari pema/ na mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa Amani/ Amina.
@lawrencesilas3050
@lawrencesilas3050 3 жыл бұрын
Amina
@Rafaeljay76.
@Rafaeljay76. 3 жыл бұрын
Mabogo in action congrats,injili isonge mbele...fid vibes 👌🔥
@donnyhhary2223
@donnyhhary2223 3 жыл бұрын
Jamani sichoki kuusikiliza huu wimbo.... Mbarikiwe watu wa Mungu
@lawrencesilas3050
@lawrencesilas3050 3 жыл бұрын
Amina sana barikiwa
@donnyhhary2223
@donnyhhary2223 3 жыл бұрын
🙏
@godisonindunguru6090
@godisonindunguru6090 3 жыл бұрын
Mko vizuri wazee
@levinakabuche4258
@levinakabuche4258 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana, mnajua kuimba!
@consolattagabriel255
@consolattagabriel255 4 жыл бұрын
Naomba tubarikini kwa wimbo mwingine tafadhali
@pascasieuwizeye4699
@pascasieuwizeye4699 Жыл бұрын
This is favorite song. Very nice
@floraelias6458
@floraelias6458 3 жыл бұрын
Wooh mungu awabariki sana uinjilishaji mwema
@arnoldlaurentfuraha7301
@arnoldlaurentfuraha7301 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana... Hongera sana Rajo Production kwa ubunifu katika kueneza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji... Talanta tulizopewa zinapotumika Mungu anahimidiwa na wanadamu tunapata baraka... Keep it up Mwl. Ray Ufunguo👏🏿👏🏿👏🏿
@rajopro
@rajopro 4 жыл бұрын
Asante sana Arnold
@josephndimi6135
@josephndimi6135 4 жыл бұрын
Wao
@wakykundy6016
@wakykundy6016 3 жыл бұрын
Big up sanaaaa
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 жыл бұрын
Asnteni sana,nimebarikiwa mno
@marthanjeri9227
@marthanjeri9227 4 жыл бұрын
I like the song hongera wanachoir
@antoniaproty6808
@antoniaproty6808 4 жыл бұрын
Ooooow nimeipenda sana jamani. Mungu awabariki kaka zangu.
@levinadotto4147
@levinadotto4147 3 жыл бұрын
Congratulations brothers
@beatusidama6233
@beatusidama6233 4 жыл бұрын
Binafsi ninashangazwa na hizo thumbs down 2. Loh! Wimbo sio tu umewasilishwa vizuri bali uimbaji uko bora sana na roho ya uinjilishaji inatia uhai kwa wote waitazamao hii video. Msikate tamaa RAJO!
@rajopro
@rajopro 4 жыл бұрын
Neno kama hili la nguvu kutoka kwa mtu kama wewe linatia moyo sana kaka. Tunamshukuru Mungu.
@csato9415
@csato9415 4 жыл бұрын
Hao watu wa 👎 huwa wapo tu. Hongereni kwa wimbo mzuri.
@mwalimujerrymathew9403
@mwalimujerrymathew9403 4 жыл бұрын
Kuna wale hawaelewi 👍na ile nyingine.. Wimbo mtamu, kazi safi
@beatricemalisa6984
@beatricemalisa6984 4 жыл бұрын
@@rajopro jitahudini muweke translation ya kiingereza itapendeza kwa wale hawajui kiswahili kuelewa na kuinjilishwa...na hao ndio wanaodislike video maana hawaelewi kinachoongelewa
@theresiakaruhanga1169
@theresiakaruhanga1169 4 жыл бұрын
@@csato9415 na hupaswi kuwalaumu maana uwezo wao wa kufikiri uko hivyo, la muhim ni kuwaombea
@angelmalavanu9723
@angelmalavanu9723 3 жыл бұрын
Safi Sana kaka zangu
@tibetswai104
@tibetswai104 4 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua rajoprodaction naitwa aleluya kutoka kibosho umbwe parokia ya umbwe naomba mtoe albam mpo vizuri. Izosauti kama mapdre au mafrater hivi au mashemasi
@tibetswai104
@tibetswai104 4 жыл бұрын
Rajoproduction nawafutiliaga sana ni Mimi Tibeti au Aleluya kutoka kibosho umbwe kombo sokoni ( parokia ya utukufu wamsalaba ubwe ) 0652528673 napenda sana kwaya mungu awabariki
@ibel4lf
@ibel4lf 3 жыл бұрын
Wimbo wa katikati misa ya kumuaga ya Mazishi Magufuli
@gabrielchelehani5119
@gabrielchelehani5119 4 жыл бұрын
Hogeleni sana kwa kuzingatia maadili babu j
@eddiendungi1571
@eddiendungi1571 3 жыл бұрын
Greetings in the Lord from Kinshasa, DR Congo. Sounds like male angels singing!!! Formidable!!!
@julianamanimo7850
@julianamanimo7850 4 жыл бұрын
Mawazo ninayowawazia ni mawazo ya amani, asante Muumbaji wetu kwa vipaji vya vijana hawa
@monicahmutuku5829
@monicahmutuku5829 4 жыл бұрын
Wow. Sauti zuri. Mungu awabariki na awalinde. Mawazo Bwana awatuwazia ni ya Amani. Swahi nakumbuka ukitufunza huku Kenya miaka Mingi. Barikiweni Sana.
@claudemushimanja469
@claudemushimanja469 3 жыл бұрын
Ndugu zangu, kweli mumenibariki kabisa. Mungu baba yetu awakumbuke kupitia kipaji hiki. Claude / Bukavu-DRC
@magrethlaurent2856
@magrethlaurent2856 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana mmeimba vizuri,,, Mungu awazidishie nimeipenda
@julianrubavu9583
@julianrubavu9583 2 жыл бұрын
Safi saana
@josegideon4298
@josegideon4298 4 жыл бұрын
I don't know which language.... But it is very peace to hearing this song...God bless you all.... Wonderful job which you did....
@michellemuyama9144
@michellemuyama9144 4 жыл бұрын
I will translate for you.Lord says the thought I have for you are thoughts of peace and not of bad plans.You will call me and I will listen to you and I will restore all that is lost...
@josegideon4298
@josegideon4298 4 жыл бұрын
@@michellemuyama9144 Thank you brother..... God Bless you.....
@josegideon4298
@josegideon4298 4 жыл бұрын
Let me know this song which language....?
@benedictojanuary5222
@benedictojanuary5222 4 жыл бұрын
@@josegideon4298 this is Swahili language mostly used in Eastern part of Africa mostly in Tanzania and Kenya.
@patriqjingu9418
@patriqjingu9418 4 жыл бұрын
It is swahili Language, a national language for the country named Republic Union of Tanzania in East Africa.
@hildaqorro2225
@hildaqorro2225 4 жыл бұрын
Sauti ya kwanza na ya pili zimenikosha ... kiitikio na mashairi ni balaaaaa ...mko vizuri ... ****nami nitawarudisha.....👌👌 Ila mtu ukishapenda wimbo utapenda kila kitu aiseee ...
@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 жыл бұрын
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/i4jFpqOmgMSjbZo
@mwalimuaudi8844
@mwalimuaudi8844 4 жыл бұрын
Wow! Nimebarikiwa sana. Utunzi huu unavutia sana. Mola na Awazidishie maarifa katika kumtumikia.🎶🎶🎼🎼🎹🎹😍🤗🤩😘
@letisiapeter7478
@letisiapeter7478 2 жыл бұрын
It is the best songs
@globalcitizentv7467
@globalcitizentv7467 3 жыл бұрын
Congratulations!!
@butungo1
@butungo1 2 жыл бұрын
Mbona hamkuendelea zaidi ya hapa? Mkiimba wababa nyimbo zinapendeza sana masikioni.
@mariethamkulo1983
@mariethamkulo1983 4 жыл бұрын
Daaaaa nimejikuta nikifurahia hongereni Sana mpo vzr
@anastasiamarlogervas599
@anastasiamarlogervas599 Жыл бұрын
Hongereni sana
@nelsonkyaruzi1482
@nelsonkyaruzi1482 4 жыл бұрын
Aliye imba shairi kamtendea haki mtunzi. Itz very fantastic
@sr.donathanyiramanagerard9782
@sr.donathanyiramanagerard9782 4 жыл бұрын
Nafarijika sana kila nisikilizapo huu wimbo. Asanteni sana sana ndugu katika Kristu kwa kutuinjilisha. Mungu awabariki.
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 3 жыл бұрын
Miss u sr Donatha miaka 11 tangu nikuone. Nakutakia kila jema ktk utume wako. Milima haikutani binadamu hukutana ipo siku tutaonana our Champika
@sr.donathanyiramanagerard9782
@sr.donathanyiramanagerard9782 3 жыл бұрын
@@naomibenjamini2088 Asante sana.
@mapendoimani2462
@mapendoimani2462 4 жыл бұрын
Hongereni Mapacha wanne Utulivu 100% na ujumbe safi actually its in good memory of our lenged Composers
@joymo2799
@joymo2799 3 жыл бұрын
Nice song still here on July 13 2021 Nabarikiwa sanaa
@zawadishiga1123
@zawadishiga1123 4 жыл бұрын
Hongereeeeni sanaaaaa....mbarikiweeee...viva Roman Catholic church
@catherineshayo656
@catherineshayo656 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana, yani nashindwa niandike nini niache nini, Huu naupenda mno na unafariji sana, na unatuonya , naomba msiishie hapa tu mtuletee na nyingine .
@lawrencesilas3050
@lawrencesilas3050 4 жыл бұрын
Amina Dada yetu uzid kubarikiwa zaid
@catherineshayo656
@catherineshayo656 4 жыл бұрын
Amina
@fransiscabernard1070
@fransiscabernard1070 4 жыл бұрын
Pongezi Mungu awazidishie neema ya kibali🤞
@donathagerald8759
@donathagerald8759 4 жыл бұрын
Amina, Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji mnayoifanya. Nafarijika sana kila nisikiapo wimbo huu. Mliimba vizuri saana na kwa utulivu mkubwa. Asante sana
@anatoriacronery3487
@anatoriacronery3487 4 жыл бұрын
Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo barikiwa sana
@chrispinesamwel2660
@chrispinesamwel2660 3 жыл бұрын
SALUTE!!!!!
@markrobinfundimuchangi831
@markrobinfundimuchangi831 Жыл бұрын
I first heard this song during magufuli burial in chato ngeita
@godblessmvula6627
@godblessmvula6627 4 жыл бұрын
kazi njema sana ,,Mungu awabariki,, nimekuwa among first ten viewers of this song
@olivambala3086
@olivambala3086 4 жыл бұрын
Hongereni Mungu amesikia kilio chetu cha ugonjwa wa corona
@dominamsonge3088
@dominamsonge3088 4 жыл бұрын
Ameen. Huu wimbo nimerudia maradufu💥💯🔥🔥. Huyu sauti ya mashauri umetishaaa. Pumzi ya kutosha. Bass hatarii. Mpo vizuri. Mungu awariki kwa utume kwani nimebarikiwa.🙏
@lawrencesilas3050
@lawrencesilas3050 4 жыл бұрын
Amina Dada yetu
@rahabumkama8954
@rahabumkama8954 4 жыл бұрын
Yaan huyu kaka ana pumzi hatari na bado anadai ha ha haaa wakati mwenzangu na mm hadi jasho limenitoka kwa kweli glory to God hakika Mungu ana vyombo vya sifa
ASANTE YESU
6:06
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 7 МЛН
MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI   J  MGANDU ( Official Video HD )
5:53
The Galaxy Pro
Рет қаралды 418 М.
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 32 МЛН
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 10 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 39 МЛН
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 17 МЛН
MBINGU ZILIFANYIKA_Kwaya ya Mt.Agustino_Manundu Korogwe
4:55
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 2,2 МЛН
ASHUKURIWE MWENYEZI
3:08
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 2,6 МЛН
TUNAPASWA KUSHUKURU
5:50
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 8 МЛН
SHANGWE ZA NOELI
4:45
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 484 М.
TEGEMEO LANGU NI YESU - Melodic Harmony Chorale Ft Lawrence Kameja
6:25
Melodic Harmony Chorale
Рет қаралды 2,9 МЛН
SITABAKI KAMA NILIVYO (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
7:25
DOKC TV CATHOLIC SONGS
Рет қаралды 1,2 МЛН
TAZAMA MUNGU NDIYE ANAYENISAIDIA || J.MGANDU (Official HD Video)
4:17
The Galaxy Pro
Рет қаралды 1,3 МЛН
MIMINA NEEMA_OFFICIAL VIDEO
5:42
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 27 МЛН
Mt. Kizito Makuburi - Wewe ni Mungu (Official Music Video)
9:29
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 9 МЛН
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 32 МЛН