TAZAMA MUNGU NDIYE ANAYENISAIDIA || J.MGANDU (Official HD Video)

  Рет қаралды 1,294,268

The Galaxy Pro

The Galaxy Pro

3 жыл бұрын

Пікірлер: 356
@tetritetrino693
@tetritetrino693 11 ай бұрын
Eee Mungu wangu angalia kuteswa kwangu, Wala usiziangalie dhambi zangu maana Mimi ni mdhambi, naomba usiniruhusu nikawahukumu wengine ingali ningali dhambini, Bwana wangu na mwokozi wangu tazama ulimwengu na mambo yake Bwana yamenielemea msaada wangu na tegemeo langu ni wewe Bwana wangu Sina tena pa kukimbilia Wala pa kuuficha japo unywele wangu, Bwana nakuomba usinische ktk wakati huu mgumu kwangu, nakuomba Wala si lazima uyafute makosa yangu kwenye kitabu chako Cha hukumu ukaandike jina langu ktk kitabu Cha haki yako. Amina!!!!
@emmanuelisanda1449
@emmanuelisanda1449 Жыл бұрын
J. MGANDU, J. Makoye, PF Mwarabu and S Mjwahuki were really on another level of composition. I also miss the way Innocent Mushi played the keyboard
@edwinrichard8940
@edwinrichard8940 3 жыл бұрын
Had nauskilizia moyon jaman, ashukuriwe Mungu kwa uwepo wa watu hata mnanibariki wapenz
@upendokihunrwa3427
@upendokihunrwa3427 Жыл бұрын
Huu wimbo umenijia akilini wakati nikiwaza vitu vingi na nikiumia sana nafsini mwangu najua Mungu anasababu kwann niuwaze huu wimbo saa hii.......nakushukuru Mungu maana najua unaniwazia mema.Amen.
@rahimjohn3878
@rahimjohn3878 Жыл бұрын
AMEEN 🙏🙏
@joyceshiyo7257
@joyceshiyo7257 Жыл бұрын
Yani unafariji Sana huu wimbo
@jerrydanstan2539
@jerrydanstan2539 Жыл бұрын
Ameen 👏
@mbarakanyamaishwa218
@mbarakanyamaishwa218 Жыл бұрын
Kiukweli naupendasana wimbo huu unaamsha isiazangu
@melesimacha-gw4kk
@melesimacha-gw4kk Жыл бұрын
Amina watu wa Mungu
@iddamabaraza2101
@iddamabaraza2101 Жыл бұрын
I have listen to a several times but let me comment this song someone might like my comment or. Reply to my comment it will always reminds Me that mungu Ndiye anaye nisaidia ameen😢
@jamesmigaya5839
@jamesmigaya5839 Жыл бұрын
Good tenor and sop indeed nimeipenda 🎊🎉😍 wimbo huu unanitia motisha kuendelea kumwamini Mungu🙏asanteni kwa wimbo mzuri
@urassa_g
@urassa_g 2 жыл бұрын
Nimependa sauti zilivyopangwa ... Imenikumbusha those days nikiwa utoto wa yesu we used to sing this song
@mwesigemkanilwa8241
@mwesigemkanilwa8241 2 жыл бұрын
Tumsifu Yesu kristo. Pongezi kwenu ila sifa zaidi kwa Despina Mdende, kwangu sina zaidi ya kumwombea afya njema maana natamani kausikia sauti yake akiimba live. Hope one day.
@despinamdende9651
@despinamdende9651 2 жыл бұрын
Asante ubarikiwe sana.🙏🙏
@mababarutoki4223
@mababarutoki4223 2 жыл бұрын
My late husband likes it so much. He passed on last year I am crying 😢 to hear the song. Miss you 😘
@vitalismarunda6760
@vitalismarunda6760 2 жыл бұрын
Verry sorry my dear Trust in God
@barnabasshemelelwa5730
@barnabasshemelelwa5730 2 жыл бұрын
So sorry, just hold on because the Lord is OUR HELP!
@hellenamedia3470
@hellenamedia3470 Жыл бұрын
Pole. May He rest in Peace...
@mandela5ramadhani35
@mandela5ramadhani35 2 жыл бұрын
Catholic hit different❤️❤️❤️❤️💋
@shalineatieno8580
@shalineatieno8580 2 жыл бұрын
Anastasia if there is ever a singer just amazing and inspiring ni wewe 👏
@kwekalucasferan
@kwekalucasferan 3 жыл бұрын
Congrats sana wakuu, hongera dadangu Despina, hongera Shifu (Patiu) hongereni Peter Perfect, Joseph Genuine. hongereni sana GalaxyPro
@filbertnzota6496
@filbertnzota6496 2 жыл бұрын
Sauti ya Huyu Dada inanikumbusha mbali sana hasa miaka ya themanini hongera sana
@laurentlugema593
@laurentlugema593 2 жыл бұрын
Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. Haleluya!!!! Hongereni sana kwa utume uliotukukaaaa ❤️🥰
@keshyfrancis1491
@keshyfrancis1491 2 жыл бұрын
Asante Yesu Mwana Wa Mungu. Apewe sifa na utukufu nduniani. The song is never enough for me to listen 🎶. God bless you children of God.
@millicentmuya9641
@millicentmuya9641 Жыл бұрын
Amen...asifiwe Yesu..lisifiwe jina lake takatifu
@frolencesimchile4719
@frolencesimchile4719 11 ай бұрын
mziki wenu umebadirisha mfumo wangu wa maisha kabisaaaaaaaaa, mungu azidi barikiaaaaaaaaaaa
@emilshayo4403
@emilshayo4403 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu abariki kazi za mikono yenu, abariki sadaka ya sauti zenu...... Hakika mmeutendea haki wimbo wa baba Mgandu, Dada Despina,......mabeti umetunyoosha mama, Hongereni
@mwariwanyingi5720
@mwariwanyingi5720 2 жыл бұрын
Soon niiiiiice....God bless you all... The composer, God bless you greatly.
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 Жыл бұрын
Nani Yuko hapa na Mimi end of 2022 to 2023 tukiomba nafsi zetu zitegemezwe na Mungu pekee
@bimulokagera622
@bimulokagera622 3 жыл бұрын
Kila nikiwa na matatizo makubwa sana namkumbuka Despina sauti yake hasa wimbo huu Mungu akubariki sana
@EliudWanjala-qq7ci
@EliudWanjala-qq7ci 5 ай бұрын
this song really makes me feel too close to GOD.WAIMBAJI WAZURI SANA
@alexiskamatebyanzira1302
@alexiskamatebyanzira1302 Жыл бұрын
Wimbo huu nausikiliza mara mingi kwa siku. Wanifariji maishani mwangu.
@happymgasa3876
@happymgasa3876 Жыл бұрын
Ee mungu uisikilize Sala yangu Wala usijifiche nikuombapo rehema, najua umeniandika kiganjan mwako baba
@kosseysuzie912
@kosseysuzie912 Жыл бұрын
Mungu ndiye anaenisaidia hakika in up&downs yeye pekee hata tunapokosa msaada wakibinadamu ye pekee hutupa tumaini jipya, be blessed🙏
@johnmakotha5665
@johnmakotha5665 3 жыл бұрын
Despina wewe unajua sana kuimba Mungu aendelee kuilinda sauti yako na kipaji chako.
@elvismtatiro
@elvismtatiro Жыл бұрын
Kwa Nini huu wimbo huja wekwa boom play jmn Nime utafuta bila mafanikio Huuu wimbo unani bariki sana Kila ninapo pitia nyakati ngumu 🙏🥺
@justinomtili9226
@justinomtili9226 6 ай бұрын
Wimbo umenikimbusha mbali sana,, hakiki ni mungu anayenisaidia
@maganyarobert7008
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Japo nimepitia changamoto nyingi lkn naamini ni yeye 2 anitiaye nguvu Amina
@josephinegravasiano8860
@josephinegravasiano8860 Жыл бұрын
Naamin hata kama napitia changamoto za kiafya Mungu atanitegemeza, Amina
@noelasalvatory2436
@noelasalvatory2436 Жыл бұрын
Kanisa katoliki la Segerea, nimekumbuka kanisa langu, MUNGU NDIE ANAENISAIDIA .
@remymkoni7982
@remymkoni7982 Жыл бұрын
Hakika Mwalimu Alifunuliwa katika utunzi wake na zaburi. Apumzike Kwa amani
@bonfacekanjiro7939
@bonfacekanjiro7939 Ай бұрын
Hakika Mungu anatusaidia Kwa Kila jambo licha ya ugumu wake.
@paulonyaki5512
@paulonyaki5512 Жыл бұрын
Asanteeni Sana wimbo Huu nikiusikiliza unanitia nguvu mbarikiwe Sana
@richardsweduka7866
@richardsweduka7866 9 ай бұрын
Mungu wangu kwani familia yetu imekosa nn kupitia wimbo huu fungua kila kitu watu wenye roho mbaya waondoe
@neemabernard9863
@neemabernard9863 2 жыл бұрын
Mungu atatusaidia siku zote leo kesho milele Daima♥️♥️🥰
@danielikessy8125
@danielikessy8125 2 жыл бұрын
Ni mungu anayenisaidia tazama tazama kweli tazama asante kwa kusikia maombi yangu wimbo unaogusa moyo
@felixmwirigi631
@felixmwirigi631 11 ай бұрын
Wimbo wenyewe unapendeza. Good job.Your songs are always so nice.Keep up
@VictorMenilady
@VictorMenilady 9 күн бұрын
Hakika Bwana wewe Waitegemeza nafisi yangu daima naktukuza wewe pekeee❤❤❤
@paulinesiara6894
@paulinesiara6894 2 жыл бұрын
Kwa kweli mwache Mungu aitwe Mungu very nice song
@alfredphantaleo4529
@alfredphantaleo4529 3 жыл бұрын
Despina kwakweli hongera kwakazi mungu aendelee kutunza kipajichako maana umetambua ulikujadunisni kwann
@martinmsendo9591
@martinmsendo9591 2 жыл бұрын
Wimbo huu una utukufu sana moyoni mwangu, na unanipa tumaini jipya wakati wote katika maisha yangu . Nausikiliza mara nyingi . Asanteni na mbarikiwe sana.
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 6 ай бұрын
Mungu nisaidie tazama ww wajua aja ya Moyo wangu🙏
@dieudonneombeni597
@dieudonneombeni597 11 ай бұрын
Hakika mungu ndiye anaye nisaidiya.vitani hatuna msaada mwengine.
@msaghamwakamba8182
@msaghamwakamba8182 Жыл бұрын
Wimbo Mtamu, Unatia moyo katika maisha. Kongole kwa umbaji Mzuri 🙏🙏.
@momanyidominic6437
@momanyidominic6437 2 жыл бұрын
Specially dedication to my late dad.cant stop to cry for you dad any time I listen to this song.
@user-yr3ey4tt2h
@user-yr3ey4tt2h 9 ай бұрын
💓
@frankmpole3628
@frankmpole3628 2 жыл бұрын
Nice song dada Despina na kundi lako, Mungu azidi kuwainua zaidi
@user-zu2jf6tx9l
@user-zu2jf6tx9l 4 ай бұрын
Utukufu na ukuu vipo kwake hongereni Kwa uinjilishaji
@OctaviusMjuni-fv4zd
@OctaviusMjuni-fv4zd Жыл бұрын
Wimbo bora Sanaa kiukwelii unatoa matumaini Kwa waliokata tamaa
@mussaconstantine3131
@mussaconstantine3131 Жыл бұрын
Hongereni sana kwa wimbo mzuri huu unatufanya kuwa karibu na Mungu wakati wote
@lilianalara8007
@lilianalara8007 Жыл бұрын
Bwana ndiye anayenitegemeza Nafsinyangu Amina
@NicholasNdunda-pw5zl
@NicholasNdunda-pw5zl 11 ай бұрын
My favorite song...good encouragement🤝
@alphamwembia4136
@alphamwembia4136 2 жыл бұрын
Ni tamu sana kuimba na nota!!! Asante kwa wote
@patrickmbithi5633
@patrickmbithi5633 2 жыл бұрын
I can see my friends Joseph and Patiu, good work
@kemuntojosoro4486
@kemuntojosoro4486 Жыл бұрын
This song always consoles me amidst many struggles. Hakika Mungu ndiye anayenisaidia
@sarahkazungu9162
@sarahkazungu9162 Жыл бұрын
Beautiful song, of course Mungu ndiye kila kitu..
@luchiusmwijage2863
@luchiusmwijage2863 Жыл бұрын
hongera sana kwa sauti zenu nzuri Mungu awabariki
@user-ks5it6uq9r
@user-ks5it6uq9r Ай бұрын
Kaz nzuri waimbaji mungu azidi kuwabariki mzidi pale mlipo,nyie ndio mnatufikishia ujumbe kwa njia ya kuimba hakika Kaz yenu no nzur mungu awe nanyi mpaka milele,❤❤❤❤❤❤
@SelinaMwinuka-pq2bf
@SelinaMwinuka-pq2bf Жыл бұрын
Tazama Tazama mungu ndiye anayenisaidia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@josephinekatunzi9845
@josephinekatunzi9845 Ай бұрын
Nijapopita katika bonde la uvuli wa Mauti sintoogopa mabaya maana ni Mungu pekee anaenisidia na kuitegemeza nafsi yangu.. Mzidi kubarikiwa sana the whole Choir crew❤❤❤
@elizabethallen5258
@elizabethallen5258 2 жыл бұрын
Nice Song 😍😍with a nice a voice...... Naupenda sana huu wimbo kiukweli 💞💞
@suzanakusuda3675
@suzanakusuda3675 Жыл бұрын
Nostalgic
@johnsonpaul6371
@johnsonpaul6371 3 жыл бұрын
Hakika sio kwa ujanja wetu sie wanadamu Bali Ni mungu pekee anayetusaidia ktk magumu na mapesi yetu yote hapa duniani
@JugoMedia
@JugoMedia 3 жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu awabariki sana.
@radiomariatanzania
@radiomariatanzania 3 жыл бұрын
Hakika Mungu ndiye anayetusaidia nyakati zote
@mkabwamanoko5228
@mkabwamanoko5228 5 ай бұрын
Mungu ndiye msaada wetu hatuwezi jambo lolote bila Yeye. Asanteni sana.
@christophermwanji5318
@christophermwanji5318 2 жыл бұрын
God is strong enough with another hundred men ,,,, nabarkiwa sana an daaah
@mwaipatrick1805
@mwaipatrick1805 Жыл бұрын
This is the first song that made me discover Despina together with sacred chorals and since then,their songs remain my air conditioners.Heavely voices🎉.#Mkatoliki Daima.
@franciskimanzi2348
@franciskimanzi2348 6 ай бұрын
Woow....very inspiring song with strong words and full of advice...what a song!have repeated it thrice. Very good song indeed
@damiankalinga7378
@damiankalinga7378 2 жыл бұрын
Nicely song,with amazing melody and fantastic singers God bless you all❤️👏
@amonidafa9665
@amonidafa9665 2 жыл бұрын
Yeyote anayeliitia jina la Yesu akapokee sawasawa na hitaji la moyo wake...
@dianalugusi7705
@dianalugusi7705 3 жыл бұрын
Waooh ......mpo vizuri wapendwaaa Mungu awabarikii
@jescamagubu5220
@jescamagubu5220 Жыл бұрын
Tazama Mungu ndiye anayeisaidia familia tangy🙏🙏🙏
@mariaanthony5092
@mariaanthony5092 4 ай бұрын
This song is a gift for me. I just feel like listening to it for the whole day
@abelmgogo668
@abelmgogo668 21 күн бұрын
Ila huyu mzee mgandu bas tu yaani Mungu ampumzishe Kwa amani Maana nyimbo Zina utukufu wa mungu Ukisikiliza lazima ubarikiwe
@rozaliampoma2012
@rozaliampoma2012 3 жыл бұрын
Hongereni kazi nzuri sana
@givenmsomba9358
@givenmsomba9358 5 ай бұрын
Hakika Mungu ndiye anayeitegemeza nafsi yangu
@maximilianamtenga2663
@maximilianamtenga2663 2 жыл бұрын
I will listen to this song for the remaining times of my life. I love how it makes me feel. I feel alive
@anthonymgelwa432
@anthonymgelwa432 Жыл бұрын
Kweli Mungu yeye ndiyo kila kitu kwetu Yatupasa kufuata yaliyo mema na kuacha mabaya
@veronicabathoromeo9858
@veronicabathoromeo9858 2 жыл бұрын
Kiukweli mpo vizur napenda sana nyimbo zenu zote
@milkafrancis7859
@milkafrancis7859 2 жыл бұрын
Jamani mi huu wimbo naupenda sana na inanitowa machozi
@ezradastan4167
@ezradastan4167 2 жыл бұрын
Ooh catholic🙈🙈🙈🙈🙈❤️❤️❤️❤️❤️❤️GOD bless you
@ginahsamwel2308
@ginahsamwel2308 2 жыл бұрын
Ahsante Mwenyenzi Mungu kwa kila jema na kila jaribu maishani mwangu hujawahi niacha🙏🏽😢
@felistanjelu4832
@felistanjelu4832 2 жыл бұрын
Be blessed with good song and nicely voice
@musagwakisa1692
@musagwakisa1692 Жыл бұрын
Mungu ndiye anayenitegemeza nafsi yangu.
@simonanthonykayombo6913
@simonanthonykayombo6913 3 жыл бұрын
Daah kazi nzuri sana 💯✅ Nyimbo kama hizi ndio zinaturudishaga kwenye ukatoliki wetu sisi tunaopotea. Mungu awajalie neema ya utakaso na mioyo yao iwe myeupe hadi siku ya mwisho kama wanavyoonekana walioimba nyimbo hii.
@tomeejean8402
@tomeejean8402 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema kaka
@kerubocait2805
@kerubocait2805 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu
@magdalenathobias5202
@magdalenathobias5202 Жыл бұрын
Umejuaje
@ldyidiajohn2607
@ldyidiajohn2607 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,nabarikiwa Sana
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 Жыл бұрын
Thanks for a nice Song
@bettyprosper8911
@bettyprosper8911 10 ай бұрын
This is my best of all catholic songs
@tonypiere3500
@tonypiere3500 2 жыл бұрын
Nikisikizaga huu wimbo nahisi naongea na Mungu🙏🙏 b
@euk1074
@euk1074 3 жыл бұрын
Aisee, Mungu awabariki, muendelee kumuimbia zaidi na zaidi!! Ahsanteni sana, tunamshukuru Mungu kwaajili yenu!!
@habakkuketyangjoshua3091
@habakkuketyangjoshua3091 3 жыл бұрын
Amazing... Wimbo huu unanibariki na kutuliza moyo. May you guys be blessed for a day and a half.
@maggymnatta8991
@maggymnatta8991 3 жыл бұрын
Mm pia nmebarikiwa kweli
@paulmukhwana5181
@paulmukhwana5181 Жыл бұрын
Wimbo mtamu na WA kutafakarisha. Asante .
@isaiahnunda8970
@isaiahnunda8970 Жыл бұрын
This song blesses me every morning, God is the alpha and Omega
@filbertnzota6496
@filbertnzota6496 2 жыл бұрын
Wewe dada unaweza. Keep moving you will reach to the sky.
@GraceJuma-cm2rk
@GraceJuma-cm2rk 5 ай бұрын
Aliyetunga wimbo huu Mungu ambarikia sana, unanifariji sana hasa kipindi hiki Cha kwaresma👏👏👏
@makongojohn7356
@makongojohn7356 2 жыл бұрын
Despina sauti yako inanikosha mungu akubariki unaimba had raha Sana❤️
@juliahnjenga181
@juliahnjenga181 2 жыл бұрын
In love with the voices💞💞wimbo ni mtamu nakupenda🥰
@alvinmushy
@alvinmushy 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii mungu azidi kuwatumia kwakweli nimepata utulivu wa nafsi
@hellenamedia3470
@hellenamedia3470 Жыл бұрын
God over all. Beautiful Song. May God bless you all
@basmm1094
@basmm1094 Жыл бұрын
Mungu ndiye anaenisaidia
@sammanywele5934
@sammanywele5934 2 жыл бұрын
Mungu akutangulie kwa kila hatua da despina hongelen nyimbo inaigusa nafsi muno
MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI   J  MGANDU ( Official Video HD )
5:53
The Galaxy Pro
Рет қаралды 404 М.
Mt. Kizito Makuburi - Wewe ni Mungu (Official Music Video)
9:29
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 9 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba Parish
9:48
Tupeleke vipaji by Mgandu Vs Ee Mungu Baba by Kauki
4:21
Joseph Kinsi
Рет қаралды 20 М.
TEMBEA NAMI (Official Video) - KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
10:41
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 23 МЛН
ATANIITA NAMI NITAMWITIKIA - J.MGANDU (Official Video)
3:28
The Galaxy Pro
Рет қаралды 252 М.
EE BWANA USIKIE - J. MGANDU
5:48
Uchaji Media
Рет қаралды 205 М.
Девушка ограбила мажора, но…😳
1:00
Trailer Film
Рет қаралды 7 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
0:21
FASH
Рет қаралды 15 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
0:19
PAVLOV
Рет қаралды 19 МЛН
БУКЕТ МЕЧТЫ НАСТОЯЩЕЙ СЛАДКОЕЖКИ😂😂😂
0:19
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 3,1 МЛН
КЕПКА КОМАРОВ
0:16
KINO KAIF
Рет қаралды 5 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
0:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 32 МЛН