Eee Mungu wangu angalia kuteswa kwangu, Wala usiziangalie dhambi zangu maana Mimi ni mdhambi, naomba usiniruhusu nikawahukumu wengine ingali ningali dhambini, Bwana wangu na mwokozi wangu tazama ulimwengu na mambo yake Bwana yamenielemea msaada wangu na tegemeo langu ni wewe Bwana wangu Sina tena pa kukimbilia Wala pa kuuficha japo unywele wangu, Bwana nakuomba usinische ktk wakati huu mgumu kwangu, nakuomba Wala si lazima uyafute makosa yangu kwenye kitabu chako Cha hukumu ukaandike jina langu ktk kitabu Cha haki yako. Amina!!!!
@emmanuelisanda1449 Жыл бұрын
J. MGANDU, J. Makoye, PF Mwarabu and S Mjwahuki were really on another level of composition. I also miss the way Innocent Mushi played the keyboard
@edwinrichard89403 жыл бұрын
Had nauskilizia moyon jaman, ashukuriwe Mungu kwa uwepo wa watu hata mnanibariki wapenz
@upendokihunrwa3427 Жыл бұрын
Huu wimbo umenijia akilini wakati nikiwaza vitu vingi na nikiumia sana nafsini mwangu najua Mungu anasababu kwann niuwaze huu wimbo saa hii.......nakushukuru Mungu maana najua unaniwazia mema.Amen.
@rahimjohn3878 Жыл бұрын
AMEEN 🙏🙏
@joyceshiyo7257 Жыл бұрын
Yani unafariji Sana huu wimbo
@jerrydanstan2539 Жыл бұрын
Ameen 👏
@mbarakanyamaishwa218 Жыл бұрын
Kiukweli naupendasana wimbo huu unaamsha isiazangu
@melesimacha-gw4kk Жыл бұрын
Amina watu wa Mungu
@iddamabaraza2101 Жыл бұрын
I have listen to a several times but let me comment this song someone might like my comment or. Reply to my comment it will always reminds Me that mungu Ndiye anaye nisaidia ameen😢
@jamesmigaya5839 Жыл бұрын
Good tenor and sop indeed nimeipenda 🎊🎉😍 wimbo huu unanitia motisha kuendelea kumwamini Mungu🙏asanteni kwa wimbo mzuri
@urassa_g2 жыл бұрын
Nimependa sauti zilivyopangwa ... Imenikumbusha those days nikiwa utoto wa yesu we used to sing this song
@mwesigemkanilwa82412 жыл бұрын
Tumsifu Yesu kristo. Pongezi kwenu ila sifa zaidi kwa Despina Mdende, kwangu sina zaidi ya kumwombea afya njema maana natamani kausikia sauti yake akiimba live. Hope one day.
@despinamdende96512 жыл бұрын
Asante ubarikiwe sana.🙏🙏
@mababarutoki42232 жыл бұрын
My late husband likes it so much. He passed on last year I am crying 😢 to hear the song. Miss you 😘
@vitalismarunda67602 жыл бұрын
Verry sorry my dear Trust in God
@barnabasshemelelwa57302 жыл бұрын
So sorry, just hold on because the Lord is OUR HELP!
@hellenamedia3470 Жыл бұрын
Pole. May He rest in Peace...
@mandela5ramadhani352 жыл бұрын
Catholic hit different❤️❤️❤️❤️💋
@shalineatieno85802 жыл бұрын
Anastasia if there is ever a singer just amazing and inspiring ni wewe 👏
@kwekalucasferan3 жыл бұрын
Congrats sana wakuu, hongera dadangu Despina, hongera Shifu (Patiu) hongereni Peter Perfect, Joseph Genuine. hongereni sana GalaxyPro
@filbertnzota64962 жыл бұрын
Sauti ya Huyu Dada inanikumbusha mbali sana hasa miaka ya themanini hongera sana
@laurentlugema5932 жыл бұрын
Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. Haleluya!!!! Hongereni sana kwa utume uliotukukaaaa ❤️🥰
@keshyfrancis14912 жыл бұрын
Asante Yesu Mwana Wa Mungu. Apewe sifa na utukufu nduniani. The song is never enough for me to listen 🎶. God bless you children of God.
@millicentmuya9641 Жыл бұрын
Amen...asifiwe Yesu..lisifiwe jina lake takatifu
@frolencesimchile471911 ай бұрын
mziki wenu umebadirisha mfumo wangu wa maisha kabisaaaaaaaaa, mungu azidi barikiaaaaaaaaaaa
@emilshayo44033 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu abariki kazi za mikono yenu, abariki sadaka ya sauti zenu...... Hakika mmeutendea haki wimbo wa baba Mgandu, Dada Despina,......mabeti umetunyoosha mama, Hongereni
@mwariwanyingi57202 жыл бұрын
Soon niiiiiice....God bless you all... The composer, God bless you greatly.
@dafrosamsonge2007 Жыл бұрын
Nani Yuko hapa na Mimi end of 2022 to 2023 tukiomba nafsi zetu zitegemezwe na Mungu pekee
@bimulokagera6223 жыл бұрын
Kila nikiwa na matatizo makubwa sana namkumbuka Despina sauti yake hasa wimbo huu Mungu akubariki sana
@EliudWanjala-qq7ci5 ай бұрын
this song really makes me feel too close to GOD.WAIMBAJI WAZURI SANA
@alexiskamatebyanzira1302 Жыл бұрын
Wimbo huu nausikiliza mara mingi kwa siku. Wanifariji maishani mwangu.
@happymgasa3876 Жыл бұрын
Ee mungu uisikilize Sala yangu Wala usijifiche nikuombapo rehema, najua umeniandika kiganjan mwako baba
@kosseysuzie912 Жыл бұрын
Mungu ndiye anaenisaidia hakika in up&downs yeye pekee hata tunapokosa msaada wakibinadamu ye pekee hutupa tumaini jipya, be blessed🙏
@johnmakotha56653 жыл бұрын
Despina wewe unajua sana kuimba Mungu aendelee kuilinda sauti yako na kipaji chako.
@elvismtatiro Жыл бұрын
Kwa Nini huu wimbo huja wekwa boom play jmn Nime utafuta bila mafanikio Huuu wimbo unani bariki sana Kila ninapo pitia nyakati ngumu 🙏🥺
@justinomtili92266 ай бұрын
Wimbo umenikimbusha mbali sana,, hakiki ni mungu anayenisaidia
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Japo nimepitia changamoto nyingi lkn naamini ni yeye 2 anitiaye nguvu Amina
@josephinegravasiano8860 Жыл бұрын
Naamin hata kama napitia changamoto za kiafya Mungu atanitegemeza, Amina
@noelasalvatory2436 Жыл бұрын
Kanisa katoliki la Segerea, nimekumbuka kanisa langu, MUNGU NDIE ANAENISAIDIA .
@remymkoni7982 Жыл бұрын
Hakika Mwalimu Alifunuliwa katika utunzi wake na zaburi. Apumzike Kwa amani
@bonfacekanjiro7939Ай бұрын
Hakika Mungu anatusaidia Kwa Kila jambo licha ya ugumu wake.
@paulonyaki5512 Жыл бұрын
Asanteeni Sana wimbo Huu nikiusikiliza unanitia nguvu mbarikiwe Sana
@richardsweduka78669 ай бұрын
Mungu wangu kwani familia yetu imekosa nn kupitia wimbo huu fungua kila kitu watu wenye roho mbaya waondoe
@neemabernard98632 жыл бұрын
Mungu atatusaidia siku zote leo kesho milele Daima♥️♥️🥰
@danielikessy81252 жыл бұрын
Ni mungu anayenisaidia tazama tazama kweli tazama asante kwa kusikia maombi yangu wimbo unaogusa moyo
@felixmwirigi63111 ай бұрын
Wimbo wenyewe unapendeza. Good job.Your songs are always so nice.Keep up
Despina kwakweli hongera kwakazi mungu aendelee kutunza kipajichako maana umetambua ulikujadunisni kwann
@martinmsendo95912 жыл бұрын
Wimbo huu una utukufu sana moyoni mwangu, na unanipa tumaini jipya wakati wote katika maisha yangu . Nausikiliza mara nyingi . Asanteni na mbarikiwe sana.
@estermahenge-ks3dr6 ай бұрын
Mungu nisaidie tazama ww wajua aja ya Moyo wangu🙏
@dieudonneombeni59711 ай бұрын
Hakika mungu ndiye anaye nisaidiya.vitani hatuna msaada mwengine.
@msaghamwakamba8182 Жыл бұрын
Wimbo Mtamu, Unatia moyo katika maisha. Kongole kwa umbaji Mzuri 🙏🙏.
@momanyidominic64372 жыл бұрын
Specially dedication to my late dad.cant stop to cry for you dad any time I listen to this song.
@user-yr3ey4tt2h9 ай бұрын
💓
@frankmpole36282 жыл бұрын
Nice song dada Despina na kundi lako, Mungu azidi kuwainua zaidi
@user-zu2jf6tx9l4 ай бұрын
Utukufu na ukuu vipo kwake hongereni Kwa uinjilishaji
@OctaviusMjuni-fv4zd Жыл бұрын
Wimbo bora Sanaa kiukwelii unatoa matumaini Kwa waliokata tamaa
@mussaconstantine3131 Жыл бұрын
Hongereni sana kwa wimbo mzuri huu unatufanya kuwa karibu na Mungu wakati wote
@lilianalara8007 Жыл бұрын
Bwana ndiye anayenitegemeza Nafsinyangu Amina
@NicholasNdunda-pw5zl11 ай бұрын
My favorite song...good encouragement🤝
@alphamwembia41362 жыл бұрын
Ni tamu sana kuimba na nota!!! Asante kwa wote
@patrickmbithi56332 жыл бұрын
I can see my friends Joseph and Patiu, good work
@kemuntojosoro4486 Жыл бұрын
This song always consoles me amidst many struggles. Hakika Mungu ndiye anayenisaidia
@sarahkazungu9162 Жыл бұрын
Beautiful song, of course Mungu ndiye kila kitu..
@luchiusmwijage2863 Жыл бұрын
hongera sana kwa sauti zenu nzuri Mungu awabariki
@user-ks5it6uq9rАй бұрын
Kaz nzuri waimbaji mungu azidi kuwabariki mzidi pale mlipo,nyie ndio mnatufikishia ujumbe kwa njia ya kuimba hakika Kaz yenu no nzur mungu awe nanyi mpaka milele,❤❤❤❤❤❤
@SelinaMwinuka-pq2bf Жыл бұрын
Tazama Tazama mungu ndiye anayenisaidia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@josephinekatunzi9845Ай бұрын
Nijapopita katika bonde la uvuli wa Mauti sintoogopa mabaya maana ni Mungu pekee anaenisidia na kuitegemeza nafsi yangu.. Mzidi kubarikiwa sana the whole Choir crew❤❤❤
@elizabethallen52582 жыл бұрын
Nice Song 😍😍with a nice a voice...... Naupenda sana huu wimbo kiukweli 💞💞
@suzanakusuda3675 Жыл бұрын
Nostalgic
@johnsonpaul63713 жыл бұрын
Hakika sio kwa ujanja wetu sie wanadamu Bali Ni mungu pekee anayetusaidia ktk magumu na mapesi yetu yote hapa duniani
@JugoMedia3 жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu awabariki sana.
@radiomariatanzania3 жыл бұрын
Hakika Mungu ndiye anayetusaidia nyakati zote
@mkabwamanoko52285 ай бұрын
Mungu ndiye msaada wetu hatuwezi jambo lolote bila Yeye. Asanteni sana.
@christophermwanji53182 жыл бұрын
God is strong enough with another hundred men ,,,, nabarkiwa sana an daaah
@mwaipatrick1805 Жыл бұрын
This is the first song that made me discover Despina together with sacred chorals and since then,their songs remain my air conditioners.Heavely voices🎉.#Mkatoliki Daima.
@franciskimanzi23486 ай бұрын
Woow....very inspiring song with strong words and full of advice...what a song!have repeated it thrice. Very good song indeed
@damiankalinga73782 жыл бұрын
Nicely song,with amazing melody and fantastic singers God bless you all❤️👏
@amonidafa96652 жыл бұрын
Yeyote anayeliitia jina la Yesu akapokee sawasawa na hitaji la moyo wake...
@dianalugusi77053 жыл бұрын
Waooh ......mpo vizuri wapendwaaa Mungu awabarikii
@jescamagubu5220 Жыл бұрын
Tazama Mungu ndiye anayeisaidia familia tangy🙏🙏🙏
@mariaanthony50924 ай бұрын
This song is a gift for me. I just feel like listening to it for the whole day
@abelmgogo66821 күн бұрын
Ila huyu mzee mgandu bas tu yaani Mungu ampumzishe Kwa amani Maana nyimbo Zina utukufu wa mungu Ukisikiliza lazima ubarikiwe
@rozaliampoma20123 жыл бұрын
Hongereni kazi nzuri sana
@givenmsomba93585 ай бұрын
Hakika Mungu ndiye anayeitegemeza nafsi yangu
@maximilianamtenga26632 жыл бұрын
I will listen to this song for the remaining times of my life. I love how it makes me feel. I feel alive
@anthonymgelwa432 Жыл бұрын
Kweli Mungu yeye ndiyo kila kitu kwetu Yatupasa kufuata yaliyo mema na kuacha mabaya
@veronicabathoromeo98582 жыл бұрын
Kiukweli mpo vizur napenda sana nyimbo zenu zote
@milkafrancis78592 жыл бұрын
Jamani mi huu wimbo naupenda sana na inanitowa machozi
@ezradastan41672 жыл бұрын
Ooh catholic🙈🙈🙈🙈🙈❤️❤️❤️❤️❤️❤️GOD bless you
@ginahsamwel23082 жыл бұрын
Ahsante Mwenyenzi Mungu kwa kila jema na kila jaribu maishani mwangu hujawahi niacha🙏🏽😢
@felistanjelu48322 жыл бұрын
Be blessed with good song and nicely voice
@musagwakisa1692 Жыл бұрын
Mungu ndiye anayenitegemeza nafsi yangu.
@simonanthonykayombo69133 жыл бұрын
Daah kazi nzuri sana 💯✅ Nyimbo kama hizi ndio zinaturudishaga kwenye ukatoliki wetu sisi tunaopotea. Mungu awajalie neema ya utakaso na mioyo yao iwe myeupe hadi siku ya mwisho kama wanavyoonekana walioimba nyimbo hii.
@tomeejean84023 жыл бұрын
Mungu ni mwema kaka
@kerubocait28052 жыл бұрын
Ukweli mtupu
@magdalenathobias5202 Жыл бұрын
Umejuaje
@ldyidiajohn26072 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,nabarikiwa Sana
@josephmoyo5617 Жыл бұрын
Thanks for a nice Song
@bettyprosper891110 ай бұрын
This is my best of all catholic songs
@tonypiere35002 жыл бұрын
Nikisikizaga huu wimbo nahisi naongea na Mungu🙏🙏 b
@euk10743 жыл бұрын
Aisee, Mungu awabariki, muendelee kumuimbia zaidi na zaidi!! Ahsanteni sana, tunamshukuru Mungu kwaajili yenu!!
@habakkuketyangjoshua30913 жыл бұрын
Amazing... Wimbo huu unanibariki na kutuliza moyo. May you guys be blessed for a day and a half.
@maggymnatta89913 жыл бұрын
Mm pia nmebarikiwa kweli
@paulmukhwana5181 Жыл бұрын
Wimbo mtamu na WA kutafakarisha. Asante .
@isaiahnunda8970 Жыл бұрын
This song blesses me every morning, God is the alpha and Omega
@filbertnzota64962 жыл бұрын
Wewe dada unaweza. Keep moving you will reach to the sky.
@GraceJuma-cm2rk5 ай бұрын
Aliyetunga wimbo huu Mungu ambarikia sana, unanifariji sana hasa kipindi hiki Cha kwaresma👏👏👏
@makongojohn73562 жыл бұрын
Despina sauti yako inanikosha mungu akubariki unaimba had raha Sana❤️
@juliahnjenga1812 жыл бұрын
In love with the voices💞💞wimbo ni mtamu nakupenda🥰
@alvinmushy3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii mungu azidi kuwatumia kwakweli nimepata utulivu wa nafsi
@hellenamedia3470 Жыл бұрын
God over all. Beautiful Song. May God bless you all
@basmm1094 Жыл бұрын
Mungu ndiye anaenisaidia
@sammanywele59342 жыл бұрын
Mungu akutangulie kwa kila hatua da despina hongelen nyimbo inaigusa nafsi muno