Pole sana Mtumishi,Mungu akutangulie na akutete kwa Jina la Yesu Cristo
@ugalidona-cs2yn11 ай бұрын
SHUJAA MBARIKIWA MWAKIPESILE,AMN'GAN'GANIA MUNGU KWA MATENDO YAKE MAKUU,Amina.
@agnesspaul186611 ай бұрын
❤❤❤❤Mungu yupo nanyi daima atajibu kwa muda mwafaka Hawaii Wala hachelewi
@mamamdogo40911 ай бұрын
Pole mtumishi,naamini mama Samia Ako makini kwa haki ya kila mtu utatoka tu mungu atatenda usife moyo hili ni jalibu kama mengine 🙏
@user-yd8qb5kf6g9 ай бұрын
Dahhh MUNGU awe pamoja nawe mbarikiwa Amin katika MUNGU hakuna kinachoshindikana jaribu ni sehem ya Imani
@user-cx4jl6wk6m9 ай бұрын
Mungu awe pamoja nawe Mtumishi wa Mungu na afanye njia utolewe gerezani😢
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Nakuomba sana mtegemee Mungu kuliko mwanadamu. Endelea kuwa pamoja na Mungu. Kila siku tunaoyaona mateso yako kutoka kwa serikali ya CCM, Mungu hatakuacha. Mungu anakwambia nyamaza kimya utaona majibu ya Mungu na wataona ukuu wa Mungu.
@mamasmartcollection70639 ай бұрын
Mapenzi yako yatimizwe BWANA kwa ajili ya mtumishi wako,l LOVE YOU JESUS, THANK YOU LORD 🙏🙏
@nyakatongongo42928 ай бұрын
Mungu atajibu
@nyakatongongo42928 ай бұрын
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@nyakatongongo42928 ай бұрын
Mungu atakutetea
@yustongede26311 ай бұрын
Hata kama wanajiona wameshinda, lakin bado wameshindwa, hata kama upo jela, umeitenda kazi yake aliekutuma. Chakula changu ndicho hik niyatende mapenzi yake nikaimalize kazi aliyonituma. Hongera Sana shujaa.
@bonabonala555911 ай бұрын
wakristo msipo msadia mtumishi huyu nanyi yatawakuta ira sio kwa gwajima wala mzee wa upako wataanyooshwa na mungu wao wa mapesa naa ushetani tumuunge mkono mbarikiwa yuko nyikani mwamakula mungu yupo, nawewe amina
@khadijakahindi89439 ай бұрын
Mungu yuko nawe pastor ,hata yesu alipitia mtihani mikubwa ,mungu yuko nawe mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
@barakamwakisale34318 ай бұрын
Daaa hii nyimbo nasikiliza huku machozi yakinitoka mchungaji wangu mungu yupo ipo siku atazililisha uma kuwa mwacheni mungu aitwe mungu
@user-yy2fn1xf1l7 ай бұрын
mungu peke ndye atakufuta machozi awo mapepo waache TU mungu atawahukumu
@MichaelAbel-v3m10 ай бұрын
Mtumwa wa Mungu,hapo hakuna Roho wa Mungu, unyenyekevu, Eb 12:14-15, Hos 4:6,soma Biblia Ina pande mbili,utabarikiwa.Amen
@priscahkiyondi-om1lt9 ай бұрын
🙏🙏
@BenadetaLatnathael-ri9iu11 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu mung Yuko pomoja nawe mung hufugua njia pasipo njia hope moyo yapita ❤🎉🎉🎉🎉🎉❤
@salahsadi390810 ай бұрын
Tulia tulia hayo yatakua furaha kuu mbele za MUNGU wetu watakapoanza kulia wao hakuna faraja kwa binafs na wasipotubu jehanamu inawangoja kwa moto wa milele,
@AbdonMkinga7 ай бұрын
MUNGU akuone mtumishi Wake
@HILIDAMAKALA8 ай бұрын
Ameen hayo yote ni mapito to mtumishi yanamwisho
@LizybethRaphael4 ай бұрын
duuuuh.!!!!! mungu wa mbinguni hata nyamaza kwa ajili yako mbarikiwa naamini kwamba katika hayo yote TUNASHINDA NA ZAIDI YA KUSHINDA hata nyamaza mungu pia atalipa kisasi kwa wote waliokutendea haya baba angu Samweli anasema kuwa Lakini hata sasa bwana AMETUPIGANIA neno hili litakuwa moyoni hata kinywani mwako kila sikuu utawaambia watu
@pascalpeter69846 ай бұрын
Ufalume wamungu unatekwa na watu wenyenguvu 👏👏✊
@user-ju4mi1qx5b11 ай бұрын
Jipe moyo. Mkuu lazima atukuzwe yesu kupitia we were. Mtumishi wa mungu Atapambana nawo❤❤❤❤❤❤❤
@ngesileanganile37479 ай бұрын
Mungu yu pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu unachikipia ni SWALA muda tuu na kanani nchi ya Ahadi Utaifikia tu
@mamasmartcollection70639 ай бұрын
Jipe moyo mkuu mtumishi utashinda,baada ya dhiki nifaraja, majaribu ni mtaji,usiogope Mungu yu pamoja nawe wala hatakuacha pamoja na familia yako, Mungu akupe uvumilivu 🙏🙏
@UAMSHOTV11 ай бұрын
EEH MUNGU INGILIA KATI BABA, MZAZI WETU TUNAMHITAJI SANA SANA, EEH YESU TUSAIDIE BABA
@user-ku5up6bp4m11 ай бұрын
Pole mtumishi wa Mungu, umevipiga vitavilivyo vizuri atasimama nawe bwana wamabwana kunakusudi la Mungu kwayaliyokupata
@GodwiniMatola-v8w7 ай бұрын
Mungu atawalipia
@evapendoshilamungaya77598 ай бұрын
Tumika hata gerezeni watu wapate kupona.Injili inasonga mbele.Mungu akubariki.
@user-bp6pl8xi8z9 ай бұрын
Mmbarikiwa mtumishi wa mungu huo ndio ukristo I gawa mate so mengi lakini mungu unaye mtumikia atakuokoa hatuwezi kosa kulia but ❤❤❤ ndugu zangu na dada lindeni mama musimuache
@makejamaduhu761811 ай бұрын
Mungu msimamie mtumishi wako.
@AjuaLupembe-px2rb11 ай бұрын
Mungu usiye nyamaza kwa ajili ya jina lako na watoto wako mtoe mtoto wako mbarikiwa gelezani kwa ajili ya utukufu wa jina lako Amen
@rehemachipwaza590710 ай бұрын
Mungu shuka tukuone nyoosha mkono wako kwa mwanao Mbarikiwa shuka Baba tukuone😢😢😢
@emmanueliman740811 ай бұрын
Jipe moyo,Paulo and Sira waliomba,niwatie moyo msilie sana kama wimbo ulivyo hatuna budi kuyapitia haya tulio wateule wa ufalme Mbinguni,familia jipeni moyo mkizidi sana wafilipi 4:6,7.pia Mwenye haki ataishi kwa imani.
@ngugit8810 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu sana vita hivi ni vyake vitamletea Mungu utukufu praising God in a strange land its not easy may Jehovah Elgibor fight this battle
@neemamhongole28019 ай бұрын
UNAJUA ukisema UKWELI,unaonekana MJINGA,POLE SANA MTUMISHI WA MUNGU!MUNGU YUPO NAYO PIA YATAPITA!!YUPO MPIGANAJI WAKO,PLS USIFE MOYO!!
@JosephineDangat-et6nn3 күн бұрын
mungu na awatunze watumishi
@joycendila705911 ай бұрын
Pole mtumishi wa Mungu mateso unayoyapitia pamoja na familia yako ni maombi yangu Mungu aingilie kati asimame mwenyewe bila yeye sisi hatuwezi
@jamesstar17376 ай бұрын
Ameen
@ElimengiridaMugisha-ex6tc9 ай бұрын
Poleni jaman Yesu a liyasema
@PaulKilonzo-mw4ks10 ай бұрын
Mungu teda miujiza kwake
@SundaySteven-bz4yq11 ай бұрын
Mungu awatie nguvu family yambarikiwa mungu ni mwema atafanya jambo juu ya huyu mtumishi wake amina
@dominiqueharerimana553610 ай бұрын
Kbx huyu Babu M.ch Mtumishi wa Mungu kuanza nyimbo ya Kwanza ambapo alianza kuimba nilimufwata ,kwa mateso yooote ambao alipitia kwajili ya injili njema nilimufwata na mpaka leo nimemufwata nawambia ukweli 100%mapito haya ,haya takua yabule machozi haya .Mungu sio means damu Soma kitabu Cha Kuhesabu16:1..........................kumaliza.
@hildakirui1197 ай бұрын
Pole sana mtu wa mungu wacha mungu akufute machonzi 😢😢😢hata nimelia.
@user-lw8nq3je1f9 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ili uweze kutoka gerezani
@samsonanney8 ай бұрын
Hakika mungu ndy mwenye haki atafanya njia pasipo na njia pole mtumishi wa mungu
@upendoshirima-uh7of11 ай бұрын
Ole ,ole,ole Kwa taifa lisilomuhofu Mwenyez Mungu.viongozi munaohusika juu ya mateso ya watu wa Mungu tubuni maana ole ya Bwana ipi juu yenu
@IsaacPhilemon-mt7bkАй бұрын
Pole sana
@DianaMacha-jf8gw9 ай бұрын
Huenda ikawa Mungu ameruhusu aende huko gerezani ili wafungwa nao injili iwafikie
@gosbertmuta54218 ай бұрын
Jamaniiiiiii kwann mmefkia huku lkn KANISA?????
@UlimbokaMwaipaja-uo9wt9 ай бұрын
Hakika Mungu akusaidie mtumishi.ila Mimi naamini Mungu anakuandaa kwa namna furani
😂pole sana baba lkn lazima tujue kuwa 1wakoritho 10:13-14 imejieleza Amina hope moto mkuu
@jeniphermyingajeniphermyin80299 ай бұрын
Mungu nimwaminifu nawahaki,Yeye hufanya njia pasipo nanjia,Mungu aliyefanya kwa Paulo na Sila hata kwako ATAFANYA.
@user-jh3pi2nu7v7 ай бұрын
Mungu pekee ndie mwenye uweza,.... Kuna wakati mungu ametufumba.. Hatukujua saa wala majira kama ipo siku utayapitia.... Lakini Mungu hafananishwi.... Atabaki kuwa mungu...... Kibinadam ni vigumu kukubali
@user-hh6bu9jr9x10 ай бұрын
Ulimwenguni mnayoziki jipeni moyo hakika mungu atakushindia mjakazi wa mungu Mbarikiwa nasi tunakuombea kwa bwana hili nalo liwe na mlango wa kutokea
@user-ie5wx8ls2v8 ай бұрын
Mungu aibaliki familia na Maisha yako amen
@user-uz4kv9vl3m9 ай бұрын
Mungu anakusudi mtumshi wa Mungu huko uliko ichape injili wafungwa waokoke
@markojoseph80918 ай бұрын
Mungu akusaidie.shujaa wa Imani
@user-kp5wj7su8m8 ай бұрын
Mungu afungue njia zako mtumishi
@DanielMpagama-p5q8 ай бұрын
Usife moyo mtumishi. Mungu atafanya njia pasipo na njia. Utatoka salama kabisa. Mungu yupo
@thomasmatagi735911 ай бұрын
Mungu amewaamini kwa imani yenu kwa kuruhusu mpite katika majaribu hayo makubwa
@alphoncekagezi495010 ай бұрын
Majaribu ni mtaji wa imani isiyotindikiwa Jipeni moyo mkuu Mungu hajanyamaza anetoa mda Watesi wako wajifunze kupitia wewe,watende haki kabla ya ghadhabu ya Mungu ile kuu.
@user-nk9vp4dt5f9 ай бұрын
Mungu asiye lala wala asinzii, ipo majira na nyakati atajiziilisha kwa ukuu wake.
@sophiamakani613311 ай бұрын
Mungu akufunike kwa damu ya YESU Christo aliye hai
@vallemankini-yf6fb11 ай бұрын
Mwenye haki wa Mungu ajapopita ktk uvuli wa mauti cyo kwamba Mungu haoni anaona anakuandaa kwa majira usiyoyajua bado Glory to God
@FahariMahenge-ub7ex9 ай бұрын
Mungu yupo
@lekungatoroka91947 ай бұрын
Barikiwesana ❤❤❤
@JumaMohamed-ps6zo10 ай бұрын
Acheni kuhubiri uongo, ili mambo ya kama hayo yasiwakute, sasa kama Yesu anaokoa na akuokoe tuone
@alice-sd1sv9 ай бұрын
Amen very touchable song
@yusternachilima588811 ай бұрын
Mungu shuka na shusha haki yako japo mala moja ☝️ nakuomba 🙏🙏🙏 😭😭😭😭
@user-ob6qy8py6l10 ай бұрын
Jua kabisa MUNGU kaluhusu,ayubu alisema nikipata mema tu na Malaya yaende Kwa nani
@BerthaMaganga9 ай бұрын
Imani iliyo kubwa kama hii tuipate wapi je tupate mema tu na tusipatwe na mabaya Imani kama ya ayubu yesu ni mweza
@EliaMwaijumba11 ай бұрын
Umehubiri wauni wameiacha bangi unatumwa kama yusufu gerezan ubiri na huko kuna watu wa mungu
@AvelinaChiute11 ай бұрын
Pole sana mtumishi ,hakuna marefu yasiyo na ncha
@geregoniyanizigama60617 ай бұрын
Yalitabiliwa kuwa mtapelekwa magelezani nimwanzo tuombe tu yalio andikwa yatatimia lakini mtetezi wetu yupo usivunjike moyo
@IlakozeJoshua11 ай бұрын
Mung anasikia tuyaombay tunapasw kuvumilia hay tunayopitia
@-lameckvitalis11 ай бұрын
Baba upo mlango wakutokea mungu atafanya😢😢😢😢
@user-yd3gq6wm6q10 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu mungu akutetee
@Annah-m8r10 ай бұрын
Jaman alifungwa kwasababu ya nini
@timotheosaimon61699 ай бұрын
Kamanda Pole sana MUNGU hatanyamaza wala kukaa kimya. Hakika MUNGU ingilia kati katika hili
@adrophinamwanguse151011 ай бұрын
Mungu akuone mtumishi pole sana
@user-ix7cs9vr4b11 ай бұрын
Machozi ya mwenye haki hayamwagiki bure
@RoziNkind-kk8re11 ай бұрын
Mungu akusaidie muchungaji
@wemamanikana979111 ай бұрын
Ee Bwana Yesu Kristo onekana katika hili tunakuomba 😢🙏
@user-gi7dr8sk4h9 ай бұрын
Sijajua sababu ya yeye kuw magereza hebu wenye habari hii naomba munisimlie ninj shida
@trizafrances43049 ай бұрын
Mungu Mungu ingilia Kati Jehova kupitia huyu mtumishi wako muondole Hii mi sukosuko Jehova
@sarahmwakipembe503311 ай бұрын
Jamani Wengine tunaumia Sana Jehovah ingilia Kati Mbarikiwa achiwe huru haya machozi wengi yatawagharimu pole Sana watoto wa Mbarikiwa pole mama mbarikiwa
@ElishadaiSam-rq3hl11 ай бұрын
Tutakutoa hivi punde Mtumishi wa Kristo. Tupo kwenye huo mchakato.
@cosmasnjawa724911 ай бұрын
Mungu awatie nguvu kikosi kazi Cha injili mungu yuko pamoja na ninyi yuko anaona hatakaa kimya atetenda wana wa mungu
@karumelaahuu80759 ай бұрын
Polesa
@rosemarenga83211 ай бұрын
Mungu atakutetea mtumish jip moyo
@njiaya683311 ай бұрын
Mungu akiamua kuingilia kati kila jambo tz litakuwa ndivyo sivyo kama ardhi ilifunuliwa wana wa israel wakafunikwa itashindikana je kwa taifa ambalo ana agano nalo.
@user-tp5he4cq9s10 ай бұрын
Neno la MUNGU linasema ole atendaae Hila ila Hila hukutendewa mungu😢 yupo na we mchana na usiku amini hilo neema ya MUNGU ikufunike
@ukumbushoadam569110 ай бұрын
Mungu upo wapi kwani jaman mbna hivoo Fanya jambo basi Mungu Nakuomba
@irenenanjala324211 ай бұрын
Jina la bwana litukuzwe milele 🙏🙏
@PendoBajuta-gp1bp7 ай бұрын
🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️
@PrescahJohsee10 ай бұрын
Hayo ni mapito ya watumishi wa bwana
@malitapius78347 ай бұрын
Tulia.mtumishi haya yatapita 😂😂😂
@emmanuelmgowella82288 ай бұрын
Mungu anena juu Yao nadhambi hii hakika mungu ataihukum
@esaumoiseselias-gs4py11 ай бұрын
Mungu akurinde Mchungaji tunakuombea
@alfredmchilo643810 ай бұрын
Sina shaka mbarkiwa kwan moyon mwako umemjaza crsto hivyo uyapitiayo mnapitia pamoja ningumu kibinadam caa utakatifu hakika utapita