Mbarikiwa live kwenye ibada. Leo amefafanua kwa upole kuhusu Christina Shusho na ndoa yake?

  Рет қаралды 26,039

Kikosi kazi cha injili🎖

Kikosi kazi cha injili🎖

Күн бұрын

Sisi kwetu injili ni kuongea na kukemea maaovu na uovu na kuwakataza waovu kutenda uovu.
KWA MAWASILIAMO ZAIDI PIGA SIMU
0655436603 au 0769015164

Пікірлер: 160
@isakamwambenja7397
@isakamwambenja7397 9 ай бұрын
Ahsante mtumishi wa Mungu. Umesema kweli. BIBLI NI NENO LA MUNGU
@tobiasolando4467
@tobiasolando4467 9 ай бұрын
Mafundisho nzuri Ngugu. Aki nmeombea sana dada Christina. Mungu amfungue macho aki. Amen!
@stephaniakanka8178
@stephaniakanka8178 9 ай бұрын
Amen Amen Amen baba yangu hubarikiwe sana kwa mafundisho na neno lake bwana. Nuru na giza haipatani kabisa baba 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻
@johngerald4739
@johngerald4739 9 ай бұрын
Ni vema ukahubiri Toba kwa wanaopotea kuliko kuhubiri kumsema mtu sioni kama hiyo ni sawa mbele za Mungu wapo Watu hawamjui Mungu wanahitaji injili sio busara mahubiri ya kumsema mtu binafsi watumiahi siku hizi mnatafuta umaarufu kuliko kufanya kazi ya Mungu. Ee Mungu wa mbinguni tusaidie sana.
@mosessiame7882
@mosessiame7882 9 ай бұрын
Udumu ktk huduma hiyo mtumishi Mungu akubariki sana Ukweli daima unama God bless you
@simonzakaria4770
@simonzakaria4770 9 ай бұрын
Nusu saa nzima unawahubiria wakristo wako habari za mtu badala ya Mungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
@Mbarikiwa_Mwakipesile 9 ай бұрын
Ukimhubiri huyo Mungu hauhubiri watu? Kwani Biblia haijaandika makosa na mema ya watu ndio tunayoyasema ili wengine wajifunze?
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 9 ай бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile kweli kabisa mzee tunahubiri kwa kusema watu wa zamani kwa uzuri wao au ubaya wao.
@tinajoe5487
@tinajoe5487 8 ай бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile hakuna cha kujifunza hapo
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
​@@tinajoe5487Kipo
@JimmyMwakatundu
@JimmyMwakatundu 9 ай бұрын
Mmi ni mtu ambaye sisikilizi wachungaji ila wew nakusikiliza, that your incredible pastor we talk really and immediately
@IpyanaPaul
@IpyanaPaul 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji hakika mimi nime kuelewa sana
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Mstari wa 12 inazungumzia mzazi mwenzako siyo mke uliyokwishaoa. Yesu haiwezi kujipinga. Ukiwa na shaka Muulize YESU mwenyewe.
@edengospeltv4395
@edengospeltv4395 9 ай бұрын
Ni kweli Mtumishi yaani ukiingiliana sana na Dunia lazima uangukie pabaya. Mfano mavazi, misemo ...Natamani watu wa media tupate vipande vya ujumbe huu kuna Hekima zinahitajika watu wazipate ziwasidie. Maana wengi wanapima mambo kwa jicho la Dhambi au siyo dhambi wasijue kumbe kuna mambo mengine ni mtego wa shetani kupoteza IDENTITY ya Kanisa
@nguzoyetugirlscentre6270
@nguzoyetugirlscentre6270 9 ай бұрын
Utajifumaniaje we mtumishi ni mchanga kiroho watumishi wengi wanaume wameanguka mara nyigi.Usijitape jiombee Mungu akusaidie. Hivi unajua maana ya neno malaya au soma yakobo ulimi ni kiungo kidogo na mtakatifu utampima kwa ulimi.
@Neema-m6s
@Neema-m6s 9 ай бұрын
Amen mtumishi kiukweli binadamu hapendi kuambiwa ukweli ubarikiwe kwa kusema kweli.
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 9 ай бұрын
Aliolewa akiwa na miaka chin ya 18 na alilazimishwa ,,,na aliolewa na mtu MZIMA aliaemzidi umrii pakubwa ,so kajitambua kapata pa kuanzia kasepa ,,Hana baya
@patiencekalondji8091
@patiencekalondji8091 9 ай бұрын
Hallelujah hallelujah baba nafikiri Mungu anataka kuzaa kiroho yaani kuaminisha wasio mujua Mungu
@stephaniakanka8178
@stephaniakanka8178 9 ай бұрын
Ame tuvunja moyo kabisa baba yangu tulikuwa tuna penda nyimbo zake kabisa baba yangu hubarikiwe 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 9 ай бұрын
Kwann uvunjike moyo ,Kila mtu Ako na mapito ya peke ake,,so kaa kwa kutulia ,,,,,,huyu mama aliolewa na kwa kulazmishwa na wazazi ,akiwaa na umri mdogo ,na akaolewa na mtu mzma,,,,sasa kajitambua kapata upenyo kasepa ,kosa lake liko wapi??????
@upendochiwa25
@upendochiwa25 9 ай бұрын
​@@jeremiahcharles6027angekaa kimya tu ingesaidia, kuliko kumsema baba wa watu, mm mwenyewe Christina kaniumiza maana nyimbo zake nyingi nikizisikiliza zinanipa unyenyekevu wakuingia kwenye maombi, naumia sana na natamani christina arudi kwa mume wake itapendeza zaidi
@HappyMsuya-og7ok
@HappyMsuya-og7ok 9 ай бұрын
Ukimsema Sana mtu aliyekosea unajichafua muache mungu afanye kazi yake
@AllexNnko
@AllexNnko 9 ай бұрын
Hii ni aina tu ya mfano wa watumishi walio itwa kipindi cha uamsho na msipo amka nyinyi viongozi vipofu wanakuja kaeni tyr upesi
@JescarMwakipesile
@JescarMwakipesile 8 ай бұрын
Mungu atusaidie ili tuishi na kutembea ktk Kweli Yake.
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Mathayo 1:20 [20]Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa RohMtakatif Ndoa ni agano na Mungu anaanza kuitambua wakati wa uchumba.
@consoassenga7153
@consoassenga7153 8 ай бұрын
Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊
@abrahamnyagawa1304
@abrahamnyagawa1304 9 ай бұрын
Baba,ninakushukuru Sana,niko Shinyanga,lakini ninatokwa na machozi kwa gharama ya ajabu ya huduma yako. UBARIKIWE NA BWANA.ninakupenda Sana,mch mwakipesile.
@chancealimasi1946
@chancealimasi1946 8 ай бұрын
Ubarikiwe
@richardthomas4487
@richardthomas4487 4 ай бұрын
Wakristo kwa Sasa dini yetu imekuwa haieleweki unaongeleaje mtu uache kuhubiri neno la Mungu
@rachelmaina3476
@rachelmaina3476 9 ай бұрын
Sio lazima ufatane na mmeo.Lakini kama kulikua na mengine mungu aingilie kati.
@dicksonmlelwa1762
@dicksonmlelwa1762 9 ай бұрын
Binafsi nampenda sana huyu mchungaji
@Graceyusuphh
@Graceyusuphh 9 ай бұрын
Laiti kama Nyumba zingepewa vinywa, basi tungejua siri za wengi. Mungu na wao ndo wanaojua ukweli. Pengne siku ikiwa wazi tutakosa cha kunena. Tuweni na akiba ya maneno.
@MamasokoWahushi
@MamasokoWahushi 8 ай бұрын
Pastor wafaa kuombea hii familia badala ya kuiponda juu ya madhabau na wewe ni mzazi
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 9 ай бұрын
Acheni kuhukumu watu,,,,,,,kazi ya kuhukumu sio yenu,,hakuna aliekamilika
@johnjohnkipokola5077
@johnjohnkipokola5077 9 ай бұрын
Lazima aelezwe ukweli! Christina amekengeuka na arudi kwa Mungu akatubu na airudie ndoa yake.
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 9 ай бұрын
@@johnjohnkipokola5077 kaka umesikiliza upande mmoja,,, behind ze scene,bint aliolewa katika umri mdogo ,na aliolewa na akiwa bado hajajitambua ,na nikama alilazimishwa ,kapata upenyo kasepa ,,Hana BAYA
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 9 ай бұрын
Sasa si amfate amwambie kwann anamhubir kanisan ​@@johnjohnkipokola5077
@RoseCornel-n8t
@RoseCornel-n8t 9 ай бұрын
Pole lakini neno ni neno. Let's agree to let the Word to wash us... painful but essential.... lets move from glory to glory so that we become "cities set on a hill"...we are in a race
@beatricesamwel8161
@beatricesamwel8161 9 ай бұрын
Tofautisha hukumu na maonyo.anapo potosha watu na kuukwepesha ukweli wa neno la YESU lazima akemewe ili asihalibu wanaotaka kuokoka.tofautisha hukumu na maonyo
@irenemuia2718
@irenemuia2718 9 ай бұрын
Kweli kabisa ,Amina Amina 🙏
@DanielSaria
@DanielSaria 8 ай бұрын
kazi ya watumishi ndio hiyo kuwasaidia kuona mabaya yanapokuja ili mjiepushe nayo .wewe ukiona hayakuingiii kaa kimya kwa maombi na mafunuo lakini kunawengine wanakombolewa.nadhan tuwe wasikikizaji kwanza Mungu atatupa hekima nanma ya kuyajua hayo.
@AnnaNgobola-pm7fz
@AnnaNgobola-pm7fz 9 ай бұрын
Mbona ma Mbonambona mnamponda mme mwenzemwenzenu mnazidi kumpoteza christina
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 8 ай бұрын
Mchungaji umeongea ukweli mtupu baba, sema watu waelewe Alichounganisha mungu binadamu asitenganishe.
@michaelwanyanga
@michaelwanyanga 9 ай бұрын
Katika hizo sababu mbili tu naunga mkono kabisa hotuba hii 1.Kumfumania mtu kwa sababu za uzinzi/uasherati 2.Kuzuia imani
@KennedyNgusa
@KennedyNgusa 9 ай бұрын
Kristina amekuwa biblia ,waumini wa huyu jamaa ,nawaonea huluma mngehubila injili ingekuwa njema sana
@ceciliakongani9299
@ceciliakongani9299 9 ай бұрын
Aminaaaa
@agnessmrema8906
@agnessmrema8906 9 ай бұрын
Lakini Cristina Shusho hajasema ameachana na mume wake wala mume wake hajakiri kuachana na mke wake mimi nina imani Cristina bado yuko na mume wake ila katika kumtumikia Mungu kila mmoja anawito wake
@priscadanielscappuccinolov3925
@priscadanielscappuccinolov3925 9 ай бұрын
Nimekuelewa sanaa baba japo ukweli unauma usiogope kemea karipi na urudi
@CharlesKayungi
@CharlesKayungi 8 ай бұрын
😊mtoto
@patiencekalondji8091
@patiencekalondji8091 9 ай бұрын
Mungu ni siri kwa sababu hatumuone kwa macho ila kwa imani tu
@saidsanga3981
@saidsanga3981 9 ай бұрын
Binafs nakuelewa mtumishi, mungu azidi kukalia kusema kweli siku zote,
@abrahamnyagawa1304
@abrahamnyagawa1304 9 ай бұрын
Safi kabisa,wewe tuko Pamoja.nampenda sana mch mbarikiwa.
@ATHANASLUKEHA-ui7pq
@ATHANASLUKEHA-ui7pq 9 ай бұрын
Kwamba Mungu anaitambua ndoa kama mumezaa mtoto!SIYO KWERI HATA KIDOGO.
@FridayMwassa
@FridayMwassa 9 ай бұрын
Weka wewe hiyo kweli tujifunze kwako
@ceciliakongani9299
@ceciliakongani9299 9 ай бұрын
Kweli kabisaa
@tinajoe5487
@tinajoe5487 9 ай бұрын
Ni mahubiri?
@CharlesKayungi
@CharlesKayungi 8 ай бұрын
Lakini,Mtumishi.Wanandoa kama hawakuzaa moto, ndoa yao itakuwa feki?
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 7 ай бұрын
Ni vyema ukahubiri nguvu ya msalaba kuliko kupambana na shusho wako watu wana hirizi viunono ,hawajui wanaziachaje we unahangaika na shusho ambaye anaujua ukweli
@mpingasaidi4493
@mpingasaidi4493 9 ай бұрын
Sipendi tena nyimbo zake
@jimmymasebo6642
@jimmymasebo6642 9 ай бұрын
Hii comment ni kwa wale tu wanao amini biblia ju ya ndoa naomba mjisomee Kwa mwanaume Malaki 2vs14 Kwa mwanamke Mathayo 19vs3-12 nawapendo wote ndugu zangu
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 9 ай бұрын
Pst ninaomba unijilishe hapo panasema kuhusu kufumania na kuachana plz
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 9 ай бұрын
Mathayo 19:3-
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Huyo wakumfumania ni katika uasherati mpendwa yaani mchumba. Usije jaribu kumuacha mkeo kwa uzinzi hata awe anajiuza huyo ni wako. Yesu amesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asitenganishe.
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 9 ай бұрын
Saw
@FridayMwassa
@FridayMwassa 9 ай бұрын
​@@DawsonDumawaalimu wako wamekupoteza
@jimmymasebo6642
@jimmymasebo6642 9 ай бұрын
Kunaneno ameongea point ya kutuzana na kuwa wazi kwa vile unavyota mwezako aonekane hiyo kwisha mambo yote
@venancerutta6875
@venancerutta6875 9 ай бұрын
Tunakatazwa kuhukumu mwacheni hana kosa maswala ya ndoa mwachie yeye na mume wake kitu ambacho amekifanya cha kutisha ni kipi? Hili si swala la geni christna christina swala hili likome tumechoka mahubiri hayo hawezi kulaaaniwa kwa hilo vitisho (ndoa ni siri ya watu 2) hawawezi kujiumbua (famili wana watoto watangaze ili iweje? (Mtumishi wa mungu huwezi kuyapanga maisha hata ww hujui la kesho
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 9 ай бұрын
Kwa hali hii ni bora nokae bila zehebu usilu nikolaa nimtukze mungu na kumsifu kwa kuniuba na kunijaloa akili kufafanua
@NiyizigamaClaudine
@NiyizigamaClaudine 9 ай бұрын
Ana myaka 50 alizaliwa 1974 Unembe
@vukasuvukasu9335
@vukasuvukasu9335 9 ай бұрын
Yawezakana Mzee wa Christina ni violent Kuna kitu inaitwa emotional abuse
@carolinenyemba2412
@carolinenyemba2412 8 ай бұрын
It's time to put someone in prayer,when the devil want to destroy he uses people,this woman doesn't know what she is doing,she is blinded she needs help please
@judycheruiyot5414
@judycheruiyot5414 9 ай бұрын
Kwani mahubiri ni shusho tu? Bure kabisa
@abrahamnyagawa1304
@abrahamnyagawa1304 9 ай бұрын
Wewe ndiyo bure kabisa, yaani,injili hiyo ilivyo bora na ya thamani.? Hovyo kabisa.
@ceciliakongani9299
@ceciliakongani9299 9 ай бұрын
Hana mahubiri huyu....empty debe
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Uasherati na uzinzi ni tofauti. Uasherati ni tendo la ndoa la watu ambao hawajaoa /kuokewa na wachumba ambao hawajafanya tendo la ndoa na mmoja akafanya nje tendo hilo Uzinzi ni kufanya tendo la ndoa nje baada ya wanandoa kuwa wailiisha fanya tendo hilo..
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 9 ай бұрын
Wewe uasherati ni kwa walio ndani ya ndoa, uzinzi ndiyo wale ambao hawajaoa au kuolewa
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Marko 10:11 [11]Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;
@nkhomagodfrey4789
@nkhomagodfrey4789 9 ай бұрын
👏👏
@doreensamwely8740
@doreensamwely8740 9 ай бұрын
Sasa kwan inakuhusu nn, ubrii injili tuu mwacheee afanye yake
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
1 Wakorintho 7:8,10,12 [8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. [10]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe; [12]Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
@consoassenga7153
@consoassenga7153 8 ай бұрын
Nyie viongozi wa dini kwani hamjui biblia inasemanye kuhusu kumuonya mtu aliyekosea kama mnahisi kakosea? Na je! Mmemsikiliza huyo dada akaeleza sababu ya yeye kusema alichokisema? Na je! Ninyi ndoa zenu ziko salama? Ninawashauri viongozi wa dini wafundisheni waumini yale yanayowapasa kuhusu Imani na Dini na sii mipasho.
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 9 ай бұрын
Je ukimtafuta ukamhuliza vizuri ukaongea nae ana kwa ana mi naona ingekua hekima sana kuliko kumhubili madhabahuni kila siku. Maana Biblia imesema mwite umuonye akikosea.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
@Mbarikiwa_Mwakipesile 9 ай бұрын
Wewe umemtafuta Mbarikiwa? Au nawe umeandika comment ya kumkosoa hadharani?
@carolinenjoroge9092
@carolinenjoroge9092 8 ай бұрын
Mahubiri ya neno yataanza saa ngapi?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
@Mbarikiwa_Mwakipesile 8 ай бұрын
Kabla na baada ya hapa. Ingawa hata haya ni sehemu ya mahubiri ya neno la Mungu
@majaysjrmtitu5300
@majaysjrmtitu5300 9 ай бұрын
Asante sana baba.
@gracesanga6489
@gracesanga6489 9 ай бұрын
mchungaji nakupendaga sana ila nini Leo ibaada yako kumhubiri mtu wakati MUNGU anawajua walio wake habar za huyo dada ziacheni watajuana na MUNGU,au mfuateni mwambieni. yeye mwenyewe
@lulumatawalo7805
@lulumatawalo7805 8 ай бұрын
Haya ni mahubiri au ni umbea madhabahuni??!!
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 9 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lovenessmtei2476
@lovenessmtei2476 9 ай бұрын
Hakika mtunishi umenena kweli
@heriettarazo5705
@heriettarazo5705 9 ай бұрын
Inatosha mchungaji kwanini mnaendelea kumuongea kwanini msimuete .kuliko kuendelea kuongelea maana haibadilishi chochote
@abrahamnyagawa1304
@abrahamnyagawa1304 9 ай бұрын
Umechoka Sana
@AnnaNgobola-pm7fz
@AnnaNgobola-pm7fz 9 ай бұрын
Wanaenda vizuri tu ila tukumbuke kuwa shetani yuko kazini na wewe mwenyewe ujiangalie hujui mke wako anakkufikiliaje
@vukasuvukasu9335
@vukasuvukasu9335 9 ай бұрын
Baadala ya kusema mengi mbona usitafute ukweli tena hiyo vedio ya Christina kuondoka ni ya zamani IAM sure wako pamoja kwa sasa!
@RossaRutasha
@RossaRutasha 9 ай бұрын
Bado ndoa ya mke wako itakavyoondoka ndio uchanganyikiwe zaidi
@musatibeti
@musatibeti 9 ай бұрын
Hata ww unaonesha ninamnagan kristo hayupo ndaniyako maana unazungumzia sana mamboyamwilini .mbonamtumishi hujatumwa kuwatangazia vituhivyo
@KennedyNgusa
@KennedyNgusa 9 ай бұрын
Neno hapo amna
@abrahamnyagawa1304
@abrahamnyagawa1304 9 ай бұрын
Katika hayo asemayo,huoni Neno hapo? Pole Sana,hovyo kabisa!
@ceciliakongani9299
@ceciliakongani9299 9 ай бұрын
Hana neno kabisaa huyu mchungaji...ana kiangazi Cha neno
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 9 ай бұрын
Acheni kurukia kila jambo ili kupata umaarufu,,huyo mwanamke anajua anachofanya siyo mtoto
@joachimchacha3228
@joachimchacha3228 9 ай бұрын
Kumbukeni na Hera za nabii mkuu jodev alizoenda kupewa Arusha nalo ni anguko kubwa
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 9 ай бұрын
Ela ilikuwa suala la baaae,ila alianza kuomba nguvu,nanukuu maneno yakee"baba nipe nguvu"nabii akaamka akasema"nikupe nguvu"?akaimba wimbo wake na kumwambia aimbe hata beti moja kisha ndo akampatia milioni kumi.
@patiencekalondji8091
@patiencekalondji8091 9 ай бұрын
Kuna andiko inasema Yesu ni bwana harusi atafunga ndoa na nani?
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 9 ай бұрын
Ayoo ni mambo ya kiroho zaidi ndugu autaolewa maana c dini yakoo heshimu iloo
@angelsulle7177
@angelsulle7177 9 ай бұрын
Hivi wewe kazi Yako ni kumhubiri Christina au injili ni mchungaji Gani??? Injili utahubiri lini huna adabu umetamka matusi makubwa makubwa hadharini wewe si Nuru mkwazaji mkubwa
@NixonGerson
@NixonGerson 9 ай бұрын
Hata mkeo ipo cku.... matatizo ya ndoa hayana ujanja....
@BarakaSmollel
@BarakaSmollel 8 ай бұрын
Iyo sio hukumu Bali kukanyana
@babadee4785
@babadee4785 8 ай бұрын
Judging others doesn't make us perfect.
@hatiagk4447
@hatiagk4447 9 ай бұрын
Hueleweki hata kidogo
@jacksonmkuye7739
@jacksonmkuye7739 9 ай бұрын
Una matatizo binafsi
@ashelikilele167
@ashelikilele167 9 ай бұрын
Nazani unajini sharifu linakutesa
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Kama unaelewa zaidi ya nilivyoelezea kwanini usininieleze kwa upendio? Sisi ni viungo vya mwili wa kristo. Tafuta neno la Mungu na uelezee bila chuki.
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
​@Yoram_Changala upendo upo wapi kwa jibu hili
@Ukristohalisigizani-d3d
@Ukristohalisigizani-d3d 9 ай бұрын
Kwa kweli kwa wewe hata ukisikiliza huwezi kuelewa; lakini maelezo yako wazi kabisa kwa mtu yule aliyetaka kuelewa.
@VunjabeiVunjabei
@VunjabeiVunjabei 9 ай бұрын
Binti Gani anamezaa na anamabinti mtoto wake anaiaka20
@konexenon5051
@konexenon5051 9 ай бұрын
mtu akiwa na dhambi huwa Mchungaji hasimami madhabahuni na kumsema ingekua hivo makanisan asinge baki mtu
@innocentkanyata9923
@innocentkanyata9923 9 ай бұрын
Fanya yako achana na Christina Shusho
@filbertkalenga
@filbertkalenga 9 ай бұрын
Tutambue kuwa hata shetani alikuwa mwimbaji baadae akabadilika awa muovu
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Ndoa ni agano hata mke umemfumania mara mia au haitaki imani Yako agano hilo halivunjiki. Ndoa inavunjika pale mmja anapokufa TU.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
@Mbarikiwa_Mwakipesile 9 ай бұрын
Shika wendawazimu huo uje ufe kwa kujinyonga.
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Je tubadili neno la Mungu kwaajili ya kuogopa kujinyonga?
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 9 ай бұрын
​​@@DawsonDuma mathayo 19:9 ielewe vizuri hiyo usitafsiri kwa mihemko. Ukifumania unamwacha
@Mbarikiwa_Mwakipesile
@Mbarikiwa_Mwakipesile 9 ай бұрын
@@DawsonDuma neno la "wazungu" tunalibadili macho makavu (mchana kweupe). Hicho unachofahamu ni neno la wazungu. Yaani umetafsiliwa maandiko kama wazungu walivyolenga kumuangaisha Mwafrika. Ndio maana watu kama wewe huwa choka mbaya kwa kila kitu.
@DawsonDuma
@DawsonDuma 9 ай бұрын
Mtumishi, hili neno 1kor 7 : 12 nimefundishwa na Bwana Yesu mwenyewe kwa sauti kabisa. Uwe makini mtumishi maana km unashaka Muulize Bwana atakujibu tu km alivypnijibu mm.
@princessjj8298
@princessjj8298 9 ай бұрын
Wewe baba...Huna biblia???. Maandiko ya kufundisha yameisha mpaka kila siku madhabahu yako unaitumia kuongelea watu. Hubiri Injili acha kujadili watu.
@ceciliakongani9299
@ceciliakongani9299 9 ай бұрын
Hujawahi kuwa na lolote la maana la kumwambia yeyote yule...
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 9 ай бұрын
Hakuna mahali panasema mke akimfumania mme wavunje ndoa isipo kuwa inamlenga mke akifanya uasherati.toa andiko
@FridayMwassa
@FridayMwassa 9 ай бұрын
Hivi na wewe ni mkristo
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 9 ай бұрын
Huyo dada hapungui miaka 53+
@SabastianRaymond
@SabastianRaymond 9 ай бұрын
HAPO NAPO HAUKO SAWA. UZINZI NA UASHERATI NI VITU VIWILI TOFAUTI.
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 9 ай бұрын
Lakini vyote ni dhambi na vinahusisha kuingiliana kimwili kati ya ke na me
@saruninaisministries1213
@saruninaisministries1213 9 ай бұрын
Useless statement
@neemarosedawson3154
@neemarosedawson3154 9 ай бұрын
Mwache huyo dada wewe hubiri Injili tu.
@abrahamnyagawa1304
@abrahamnyagawa1304 9 ай бұрын
Hiyo siyo injili? Hovyo kabisa.
@tinajoe5487
@tinajoe5487 9 ай бұрын
Huo ni umbea
@ceciliakongani9299
@ceciliakongani9299 9 ай бұрын
😂😂😂kweli kabsaaa
@ceciliakongani9299
@ceciliakongani9299 9 ай бұрын
Tena wa Hali ya juu
@RebeccaAmisi
@RebeccaAmisi 9 ай бұрын
Peya watu neno acha chouchou MUNGU ana juwa ya kesho please ama hauna neno?
@consoassenga7153
@consoassenga7153 8 ай бұрын
Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
Christina Shusho - Je unadhani unaroho ya kukataliwa?  hekima za BITINA
9:38
TANZANIA 🇯🇲 IMEZIZIMA NABII WA AJABU ANZA KUITIKISA DUNIA.
8:33
Senior Anold Fanuel
Рет қаралды 570
UCHUMI HAUKO KWENYE VITU, UCHUMI UKO KWENYE NYAKATI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
11:06
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 155 М.
NDARO LEO STEVE KAPATIKANA  MUONE
10:02
Steve Mweusi
Рет қаралды 451 М.
MAOMBI YA KUJINYENYEKESHA NA JINSI YANAVYOTENDA KAZI 13-08-2023 FULL VIDEO HD
52:14
MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.
41:08
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 393 М.
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН