MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...

  Рет қаралды 52,446

Global TV  Online

Global TV Online

21 күн бұрын

MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 41
@allymwamba
@allymwamba 20 күн бұрын
Misumari ya moto maoni mazuri
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 20 күн бұрын
Omba omba ni tishio kweli,umeenda zako village supermarket umebeba kamkate Kako unakuta mabinti wazuri wako watatu na vikombe vyao wanaomba ,haohao wakifanyiwa vitendo vya kikatili ndio tunakuja kujua kumbe hata wazazi wapo
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 20 күн бұрын
Kweli kabisa gwakisa nimtu kwa kutowa msaada
@thomastemu3332
@thomastemu3332 14 күн бұрын
Safi Sanaa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 16 күн бұрын
Hivi kunawaandishi wa habari tena. Mimi nilidhani Nyerere aliondoka na akafuta waandishi wa habari. Kwa sababu wakati huo waandishi walikuwepo. Lakini toka hapo naona wachawa tu.
@jonasmbala1326
@jonasmbala1326 20 күн бұрын
Huyu Mwandishi ajue kwamba huyo mlemavu hakuomba ulemavu lakin pia nao ni binadamu hivyo jitafakarin sana kuwa zungumzia walemavu nao wengine walikuwa wazima kama yy hapo ni kuomba Mungu aepushe ajali na mengineyo ili kuwepo na uzima zaidi
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 20 күн бұрын
Hayo ndio maono yako sio? Walemavu kukaa barabarani kuomba omba umeona ni sawa na kuchafua taswira ya nchi si ndio? Je unaonaje wakatafutiwa utaratibu wa kujitegemea kuliko kuwa omba omba? Je unawazungumziaje wale walemavu waenda bajaji hapa dar feri mbona wao sio omba omba? Mtazamo wangu serikali iwatafutie vituo maalumu vya kupakia abiri kwa ajili yao tu kama vile feri na hata posta halafu wawe kwa vikundi wakopeshwe bajaji na walipe kwa mkataba usiopungua miaka miwili ili baada ya hapo hizo bajaji ziwe zao na wasiojiweza kabisa yaani vilema wa mikono na miguu wawezeshwe watu watu wao wahudumia mbadala wa hao walemavu na wawe na vibali maalumu vya kuweza kupakia sehemu za walemavu.
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 20 күн бұрын
KilaHali.mwenyezimungu.ndyo.mwenye.makadirio.tuombetumunguHakunamjanja.mbeleyake
@cavoo4get649
@cavoo4get649 19 күн бұрын
Wewe naona hujui unacho kitetea nyamaza tu, wenzako wanachukuliwa kutoka mikoani kwaaji yahiyo kazi, kwa ufupi nimitaji ya watu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 20 күн бұрын
Zunguuuu
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 19 күн бұрын
Omba omba kwa ARUSHA ni kweli wamezidi sana
@user-xe4vh8nw3v
@user-xe4vh8nw3v 20 күн бұрын
Kaka makonda Fanya Kaz kama mungu alivyo kuagiza mana utabarikiwa zaid yahapo ulipo
@kibabysaid6692
@kibabysaid6692 19 күн бұрын
Jamani na venye Faiza aliwasema wa Kenya kuwa wengi ni masikini...ety Tz nyinyi n matajiri ...sasa hao omba omba mnao wazungu mzia hpo wametokezea wapi?..
@mpefu_4936
@mpefu_4936 16 күн бұрын
Wawe na ustarabu mbona Kuna walemavu wanajishugulisha wamefanya kuomba ni sehema ya kazi
@HumanBeing-pj4hm
@HumanBeing-pj4hm Күн бұрын
MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''... (TURUDI SHULE KUU YA UANDISHI WA HABARI TUKAJIFUNZE KUANDIKA CAPTION)
@JumaAthuman-bk6hx
@JumaAthuman-bk6hx 19 күн бұрын
Habari ya kutokupokea simu ni janga kubwa kwa watu waliopewa dhamana hasa ma_RPC karibu wote wanadharau sana hata ujumbe hawajibu mbaya sana.Sijui kwa nini wanatangaza namba zao!Vilevile baadhi ya ma_RC.wanatabia hiyo,badirikeni mpo kwa ajili ya wananchi.
@BasiliClement-ql1yg
@BasiliClement-ql1yg 17 күн бұрын
Hawo jamaa kwenye hizo trafic lights ni tatizo kubwa wanaingia katikatia yamagari na bodaboda nijambo la hatari sana na ukiwaeleza km nimishawaeleza kwamba mtagongwa lakini wapi wala hawajali
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 20 күн бұрын
Duuuh mtihani. Omba omba ni changamoto. Kamanda ujumbe wako hupokei cm. Yani viongozi wengi kupokea cm ni changamoto km hawaoni vile
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 19 күн бұрын
Ukiona hushiki simu ni hofu tu wala sio bize...
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 17 күн бұрын
Tanzania akuna waandishi wa abar akuna media zote zimeegemea upande frn
@pastoreliwkimaroni8332
@pastoreliwkimaroni8332 19 күн бұрын
Ombaomba nitatizo sana
@EmanuelIsaya-sg8bk
@EmanuelIsaya-sg8bk 15 күн бұрын
Kusags TV sijakusikia. Rpc hapokeagi sm .ungeenda kumtuanga
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 19 күн бұрын
Mworeka uko sawa omba omba wamezidi
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 15 күн бұрын
Upande wa kina bwakisa wote waondolewe wahamishwe waje wapya hapo itakuwa sawa wezi wote kwa sasa hawaogopi kabisa police kuna maswala ya rushwa sana upande wa upelelezi
@pastoreliwkimaroni8332
@pastoreliwkimaroni8332 19 күн бұрын
Ombaomba wanao wa sukuma ni vijana wenyenguvu wa naweza kufanya kazi na kuwa saidia
@DanielMasaki-q1m
@DanielMasaki-q1m 12 күн бұрын
Bwakisa ni mashine kweli kweli
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 15 күн бұрын
Swala la uizi na vijana wanaoiba iba kila siku tatizo upande wa upelelezi wilayani kuanzia ocsd na wenzake upelelezi wahamishwe mara mmoja waje wengine wenye hari kubwa wataweza kuwaotokomeza kabisa lakini ikibaki hivyo kama ilivyo hakuna kitu kitabadilika maana ni rushwa sana
@JumaAthuman-bk6hx
@JumaAthuman-bk6hx 20 күн бұрын
WEWE NWANDISHI UKISEMA MASHIRIKIANO WATU WA MTAANI WASEMEJE? JARIBUNI KUOGEA KISWAHILI SANIFU.HAKUNA NENO MASHIRIKIANO,BALI USHIRIKIANO.
@jamalibeya2527
@jamalibeya2527 19 күн бұрын
Omba omba ni walemavu ni WA Tanzania wenzetu waondolewe waende wap tungelee jinsi ya kuangamiza tatu mzuka
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 20 күн бұрын
KWELI NIMEAMINI MBONA WAANDISHI WA HABARI HAWANA CONFIDENCE KABISA??????? YANI MIMI NIMEWAONA WOTE HAMNA KITU. MBONA WAANDISHI WA HABARI MMEMKUA WAOGA HIVO?? YANI HAMNA CONFIDENCE KABISA! Shenzi 😡😡😡🤬😠 yani Hapo nimemuona ni mwandishi Mmoja pekee wa Millard Ayo Ndio ameongea Kwa Confidence Wengine Wote Amna kitu Hovyoo hovyo kabisa 😁😠
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 20 күн бұрын
Kweli ombaomba wamezidi hasa Dar, ni mradi mkubwa, utaona mtu anamleta mtu ambaye asiyekuwa na ufahamu kabisa na huwatembeza barabarani
@khadijakimana8809
@khadijakimana8809 20 күн бұрын
Omba omba, watafutie vitega uchumi, wanaomba kwasababu ya shida!
@alsam4881
@alsam4881 19 күн бұрын
Badala ya Serikali kutatua matatizo ya Omba Omba na kuwapa mitaji ya biashara na kuwaweka sawa ili wasiwe Omba Omba tena na waondokane na umasikini, lakini badala yake wanapewa misaada wasanii na kwenda Korea na kugharamiwa mamilioni ya pesa.
@RobertLyimo-vj3up
@RobertLyimo-vj3up 19 күн бұрын
Omba Omba haiwezi kuacha kuomba hata akipewa mtaji utamkuta barabaran
@user-sj8hn7jt7g
@user-sj8hn7jt7g 16 күн бұрын
Sifa mnambaya
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 20 күн бұрын
Waandishi wengi hawasema kadhia ya polis Barabarani kusimamisha daladala na kuomba ela hiyo ni nchi nzima
@VeredianaKalembi-gs4vs
@VeredianaKalembi-gs4vs 20 күн бұрын
Hilo halikuwemo kwenye KIKAO hicho
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 20 күн бұрын
Global mnaleta udwanzi
@aloycesamba998
@aloycesamba998 17 күн бұрын
Moleka umeongea point sana kweli ombaomba wamekuwa kero sana na kinachokera zaidi Ni Bora hata wangeomba watu ambao hawajiwezi,kwa sababu ingiangalia wengi wao ni wanaojiweza
@karimmveyange280
@karimmveyange280 19 күн бұрын
MSIWAFUKUZE OMBA OMBA MANJIANI,TAIFA LINA MALI NYIGI,ZINACHUKULIWA NA NANI? JIFUNZENI KWA BOTSWANA,SOUTHI AFRIKA NA LIBYA YA GADAFI. MMEWEKA VIONGOZI MASHTANI MATAIFA YANALAANIWA.
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 19 күн бұрын
Miji mikuu yote dunian wameondoa hao watu, ndio wanashida lakin wanapunguza hadhi ya jiji
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,1 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 33 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /22/ #love
38:39
BabaJoan
Рет қаралды 26 М.