Mbunge wa zamani wa Mbeya Joseph Mbilinyi (SUGU) amepiga stori na Clouds 360 kuhusu maisha yake baada ya Ubunge na masuala mbalimbali ya kisiasa na kijamii
Пікірлер: 85
@peterjosephat66853 жыл бұрын
Mjadala nimeupenda sana uko vizuri sugu kwenye mchango wakupigania uhuru wa tanzania dhidi ya wakoloni wa ccm
@williamgeorge1503 жыл бұрын
Me sioni tofauti ya ccm na ukoloni labda tu ukoloni wa ccm Ni mbaya sanaaaa
@prospermalala66362 жыл бұрын
Mh, sugu Hongera sana Kwa kuwatumikia wananchi wa Mbeya
@georgealila70033 жыл бұрын
Big up bro siro amekuskia
@jitulakalemastr76363 жыл бұрын
Sawa mzee sugu nakubali sana bos
@josephngonyani44063 жыл бұрын
Hatar sana inter view za sugu wamepola tittle tumabaki na respect.
@osodowilberforce23213 жыл бұрын
Mhe.Sugu,unaelewa siasa,uchumi na hata muziki.Napenda mawazo yako sana.
@saidcontractor33153 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mr sugu
@abelianraphili51503 жыл бұрын
Yaan ..mtu uchoki kusikiliza yaan .dah... Big up... Mr Sugu...✌️✌️✌️✌️
@clintonmwaisaka71173 жыл бұрын
Sugu ni motooooo 2025 bungeni tena
@baravuga6223 жыл бұрын
Wanakwita SUGUUU nani..Wanakwita SUGUUU..SUGU SUGU SUGUUU🤜🤛
@lucasmfaume823 жыл бұрын
Amen
@omanss2683 жыл бұрын
Good interview
@benjaminpaschal7593 жыл бұрын
Mbeya boy chuma
@christophertarimo50473 жыл бұрын
Wananiita sugu..
@dominicfrancis40732 жыл бұрын
Respect kaka mkubwa
@lutenganomwannyalu33663 жыл бұрын
Usiyoyajua ni sawa na usiku wa giza
@josedickson68043 жыл бұрын
You got brains bro
@vidothlema71313 жыл бұрын
Safi sugu
@giriadsyalama42833 жыл бұрын
Tuta kukumbuka sana jembe letu mbeya baba letu na rais wetu
@joelmdeke70523 жыл бұрын
Much respect bro 🙏🙏🙏
@user-ys4qx6if9k8 ай бұрын
Mheshimiwa 2proud a.k.a Jongwe the himself
@ramadhaningalemba23773 жыл бұрын
Kija alijuta sana hii siku anaonekana hana furaha kabisa kuona ccm yake inapondwa🤗🤗
@Byondorujulika173 жыл бұрын
Safi sana muheshimiwa sugu, from USA 🇺🇸.
@gratianustindazesile5743 жыл бұрын
Big up bro
@verdianabanabi59433 жыл бұрын
Kamanda sugu tunakuaminia.
@hendrycomonsiwenga10843 жыл бұрын
Mhe, nje ya bunge uwa nakuelewa sna.
@stevensteve75193 жыл бұрын
Nakukubali Sana mheshimiwa Sugu.
@georgesikazwe59143 жыл бұрын
Best interview...🙌🏻
@mabenatv85543 жыл бұрын
Mr ii
@crctmwamshotv11203 жыл бұрын
Mjadala bora kabisa , content na fact za kutosha kabisa
@kikariantandi48333 жыл бұрын
I RESPECT YOU MR SUGU WELL SAID
@emeldamulukuzi8883 жыл бұрын
Lakini umepoa sana bana SUGU.
@mirajikisuda43413 жыл бұрын
KAMANDA SUGU TUKO PAMOJA SANA
@ukendemasangya79633 жыл бұрын
Yaan Sam mfupi jaman
@solobennymwanshinga67143 жыл бұрын
Ccm bwana et selikari emeamua
@bundukitv13223 жыл бұрын
Dondoo za afya TATIZO LA MKOJO👉kzbin.info/www/bejne/rne6gZZ9j7qjhq8
@frolamlila20963 жыл бұрын
Nakukubali Sugu
@easymapetv3 жыл бұрын
Huyu jamaa, wakimuandaa vizur aweza kucheza party ya mbowe hata kwa robo
@renathaapollo31243 жыл бұрын
Nakubali Sugu
@mandaluukali96293 жыл бұрын
Ipo vizuri sugu tunakuelewa
@mandaluukali96293 жыл бұрын
Zugu oyeeeee
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
wewe ujapoteza cheo ww umenyang'anywa ubunge na haw wasenge, na heshima ipo palepale
@nelsonngemera98323 жыл бұрын
Hahahaaa eti anapaisha..
@Alimahrooi3 жыл бұрын
The solution is to reshuffle the ministry of enterio and all higher police ranks plus cheking what they have in the banks and other property and send them home or in prison they are giving bad name of the best contry in East Africa and olso you have to know TZ is not a poor country.
@jenniphermwakasita68303 жыл бұрын
Kwa Zambia Sugu asiongee hakainde ni mwanasiasa mtifu kwenye serikali yake na nitajili hawa wa kibongo ni wababaishaji wanavurugu matusi na kuizarau serikali yao wanasiasa wa kibongo wanafanya siasa ni kwakujipatia utajiri
@boscomfundo79533 жыл бұрын
Inaonekana hujui lolote kuhusu Hakainde. Kajifunze tena uone alivyonyanyasika kwa kupewa kesi ya uhaini.
@salimali54573 жыл бұрын
Sirro AJIUZURU ? Duh nyinyi wazembe kweli.
@fidelludemwa29433 жыл бұрын
Sugu jibu maswali vizuri mbona unachanganya
@davidkawesa3594Ай бұрын
Sikiliza vizuri kama anajibu na unavyotaka kausha
@stellamwakatulile32023 жыл бұрын
Sugu Kama sugu
@khatibabdallah61853 жыл бұрын
Tatizo chadema wanalalamika mnoo cha kujua hakuna mkamilifu unaloona wewe dhaifu kwa mwenzio ni imara kwake.
@gratianustindazesile5743 жыл бұрын
Truth is not subjective. It is objective/ universal.
@tonyaron853 жыл бұрын
Akili za matakoni hzo pole xn
@giriadsyalama42833 жыл бұрын
Au sio ko umeisia hapo tu au karudishe ule ulith aliokuachia babu yako huo ndo unakuchanganya
@jumannentimizi90003 жыл бұрын
TUNAKUPENDA TANZANIA SIYO MBEYA TU TUNAKUOMBA TUTAFUTE KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI SIYO HAWA WANAOITWA WABUNGE WA SISIEMU HAWA SIYO WABUNGE NI MAKADA WA SISIEMU LEO MARA WASEME UGAIDI MARA UTAKATISHAJI WA PESA TUMECHOKA NAO
@fridaymwaseba58483 жыл бұрын
Aliyeskia IFM aniambie, hivi ni IMF au IFM
@isayakiiza47083 жыл бұрын
Sugu akili kubwa
@anthonywashokera35003 жыл бұрын
Sugu bado unakubalika sana
@majosamalundi36873 жыл бұрын
Sunche nakuona
@johnsinyinza74503 жыл бұрын
Rais rungu aliagiza vifaru washawasha bunndukilakini ameanguka vibaya
@boscomfundo79533 жыл бұрын
Sugu Kaka mkubwa
@effayanga9033 жыл бұрын
Nakukubar jembe lang
@edwinmwandete45253 жыл бұрын
mwongo kabisa Zambia inaenda kufilisika tangia waanze mabadiliko ya vyama
@kareisindilo27763 жыл бұрын
mb zangu zimeenda kihalali
@sadockmhinza6993 жыл бұрын
Crash nikof Ak47
@abelgodfrey85423 жыл бұрын
Wanamuita nan huyu jamaa
@mwlpierre3 жыл бұрын
Ni Sugu
@paulebby15523 жыл бұрын
We don't entertain for Free 😂😂
@labilowabiikongo93383 жыл бұрын
True nice
@johnsonbagambi19083 жыл бұрын
Jamaa yuko poa
@stanfordjeremiah89433 жыл бұрын
Kumpigia mkuu wa IFM au IMF?? 🤣🤣🤣
@salimali54573 жыл бұрын
Yani nyinyi munahoji muheshimiwa kila mara munapekua simu zenu ?!
@asifiwenenula73243 жыл бұрын
Hakika huyu alikuwa mbunge mbeya ulikuwa jembe,, wakati huo 🇹🇿
@fundifundi83283 жыл бұрын
Nanyie mbona waongo sana?huyu hakufanya kitu chochote huku mbeya kazi yake nikuongea ujinga tu hana jipya huyo
@Jal2103 жыл бұрын
Jembe bovu
@benswai80993 жыл бұрын
Wewe dada kazi ya uandishi wa habari ulilazimishiwa? Nakuona unakasirika kweli hasa pale unapoona jibu ulilotarajia halitolewi
@jeromemdoe68163 жыл бұрын
Kuna Wakati alitaka amkatishe sugu amuulize swali alivyostopishwa kauchuna
@nantaembanusurupia56743 жыл бұрын
Huyu ni ccm damu alishawahi kwenda kugombea mahali anaitwa Kijakazi