Subhannah....Dalili zote za kiama zimejitokeza sai ......tumrudie Allah 🙏🙏🙏
@JAPHETHMBUSYA-ms6ro Жыл бұрын
Mimi mkristo hila nakumbaliana na wewe
@hafidhbarau9981 Жыл бұрын
Mungu akuongoze njia iliosahihi, mana mungu amewalaani wanaume wenye kujifananisha na mademu Huu ni mtihani sana kwa vijana wetu wa kitanzania, wenye kumpa kibali huyu msanii kwa kuipotosha jamii muandae majibu ya kwenda kumjibu mungu, Mungu wanusuru vijana wa kitanzania
@mohamedabdallasaid9544 Жыл бұрын
ni kweli uko sahihi
@fatmatuma6631 Жыл бұрын
Mtihani mwenyezi mungu amuongoze yy na Sisi katika kheri
Mwenyezimungu anamlaqni mwanaume mwenye kuvaaa kivazi cha kike laana za allah zikushukiye amin
@NgukuHerbalClinic Жыл бұрын
Ni kweli haifai kujifananisha na jinsia tofauti na jinsia yako kimavazi na vinginevyo. Ila muombee dua Arudi kwa Allah ila usimlaani.
@NgukuHerbalClinic Жыл бұрын
Ni kweli haifai kujifananisha na jinsia tofauti na jinsia yako kimavazi na vinginevyo. Ila muombee dua Arudi kwa Allah ila usimlaani.
@OmanSohar-d7z Жыл бұрын
@@NgukuHerbalClinic alllah amrejeshe katika imani mana amepoteya tunaweza sema mwanzo katuchoreya mahina mikononi saivi tena madera su hanllah allah amtowe shimoni pamoja nasi inshallah na vizazi vyetu
@maliadii4829 Жыл бұрын
SUBHANAALLAH MMNAMKUFURU ALLAH KILA UCHAO NA KUPITILIZA MTT WA KIUME KWENYE NGUO ZA KIKE KISA USTAR NA PESA AMBAZO HAZINA FAIDA MAANA HATA SADAKA WALA SANDA YAKO LAZIMA IKACHANWGE KWA UMMA SIKU YAKO ITAKAPOFIKA OMBA TWAUBA NYINGI SANA KWA MUNGU ILI IFIKIE MAHALI MRUDI KUMUABUDU IPASAVYO
@adinanmkombozi351 Жыл бұрын
Kaka umeuaaaa sanaaa ,KAMA MASHABIKI ZAKO HEBU YUTAFUTIEEEE JINGO LINGINE LA MWAKA KUFUNGAA 🙏🙏🙏🙏🫶🫶🫶🫶🔊
@SuleimanAbdallah-td3hj Жыл бұрын
Jamani mungu ame. Laani mwanaume anae vaa nguo za kike kizazi chetu mungu akiongoze lakini kimeshaelekea pabaya hiii xx ni laaana
@ednahumazi777 Жыл бұрын
Mboso umekoseya hata heri ugefunga kikoi unawapa mashonga nguvu
@MamuMamu-u4c11 ай бұрын
Sasa mbosoo una anza kugua kichaa guo zimeisha au amdukni😮😮
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Siku Allah akikusjika na Asila sijuiutajibu nini nalaana mnazijaza etiumevaadela. Subuhanallah lnalillahi wainailahi rajuun. Jiandae na malipo yahayo unayoyafanya
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Wasafi mnatumika vibaya kuharibu jamii kwa kuingiza mambo ya ushoga
@HalfanKimbay-re7zt Жыл бұрын
Umeamua kuvaa gauni Dunia ileeeeeeeeee😭😭😭😭
@saidabdallah5250 Жыл бұрын
Mwandazimu huyu mbosso siku hizi naona haziko Sawa kidogoo😂😂😂😂😂
@AmuriSaid Жыл бұрын
Kumamazao wasafi munasapoti usenge kweli mboso umevaa kijora cha mwanamke
@MohamedKhamis-x4q Жыл бұрын
Allah akulaani kwa kujifananisha na dadazako
@meddy_upette9511 Жыл бұрын
Unatafuta nini kwenye mziki huku we sheikh ubwabwa nalaana zako zaajabu kisa ulifundshwa na ustadh wako huko. Nina uhakika bro kuna dhambi unazofanya mwenyewe sisi hatuzijui nahakuna aliyekulaani. So usijafanye mtakatifu sana wakati wewe binadamu tu ukamilifu wako upo kwenye kukosea nakuwaona wakosaji ndo waliopotea. Mkamilifu ni Mungu tu . Alilaaniwa firauni kisa kujifananisha na Mungu lakini hao kuna mbosso they are doing their music nakuswali japo mara chache kuliko huyo firauni alafu wewe unalaani hovyohovyo. Usiendeshwe na mihemuko bro kazi za Mungu mwachie Mungu. Nabii Mussa alipewa mtihani mdogo tu alipomtaka Mungu amjaalie uwezo wa kutoa riziki yeye kama yeye. Mungu akampa Missa akaona watu wametoka kuzika binti walipoondoka wakaja wengine wakafukua kaburi kisha kumzini maiti, Mussa akasema angekua anatoa riziki basi wale watu wangekuwa wakwanza kukosa. Mungu akamwambia Mussa rizki haitolewi hivo. Sasa wewe na Janaba zako unajiona mkamilifu sana. Ulitizama video yann sasa wakati ni bid'a. Judge kisomi sio kilevi
@AfricanFilmProductionALEX Жыл бұрын
Hawa wanaoshangilia wanaweza kutoka hapo wakazungumzia maendeleo ya nchi yao.....!?
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Subuhanallah ujinga mnashangilia nn mwanaumekuvaa nguo yakike si sawa
@marryshamale288211 ай бұрын
Shetani ni baba wa uongo, nina hakika ni mashart amepewa na babake ili afanye, your lost brother kama unataka kutoipoteza nafsi + roho yako njoo kwa Yesu ni njia pekee ya kweli iendayo uzimani.
@WilliamIha Жыл бұрын
Kama huo ndo mtindo mpya wenu wakuvaa nguo za wanawake haufurahishi,mnatuaibixha
@edwardsamilee2330 Жыл бұрын
Mwanetu kafanyiwa lile jambo. WCB for life lakini jameni sasa naanza kuwaogopa. Ushoga sasa ndio kageuka mtindo. In music industry you have to humiliate yourself in front of people for you to be elevated to the next level of success. Those who control the entertainment industry give you options. Look at Rema. Mbosso is on transition. What is happening here is an initiation. Many will be against my point but that's the bitter truth.
@rachaeljumba1943 Жыл бұрын
Me l agree .....pity all over
@AsanteChuga Жыл бұрын
Big up
@davidsanford7843 Жыл бұрын
😥😓
@shajjaraimmu7122 Жыл бұрын
Truth be told, he just embarrassed himself, typically his manhood, I'm seeing nothing than squandering his talent
@Sayd-pi5lq Жыл бұрын
Really brother
@abubakarmbwana8112 Жыл бұрын
Hii ndo nn wengne kwenye majeneza na wengne wanapaka rang za kucha wengne nao wanajiingixa kwenye majeneza... ikifikia alikiba amefanya upuzi wwte wakumkufru Mungu hiyo ndo itakua mara mwisho kuskiliza bongo washenzi nyinyi
@noelynjelekela5406 Жыл бұрын
Sjui unapenda sana kutiwa mbooo nyuma seeeee azalani kabisa hv
@giugliojuma4600 Жыл бұрын
Madera kabisa Mbosso daaaaaah, nyie wcb mumezidi juzi juzi tu mwenzio diamond kaingia stage akiwa kwa coffin sai ww pia dera
@aliawadh9825 Жыл бұрын
Kavaa dera kesho ataingia na handbag...grow up mbosso
@BJM-j2t11 ай бұрын
Tz wanapenda mziki kuliko Mungu hadi waume wanavaa madera
@saidmussa9587 Жыл бұрын
Kwel shetan anawatu wake katisha kwel mwanammekuvaa Dela ndio kitisha kwel mwenye Lana sii sele TU pia wanaosapot mwanammekuvaa nguo za kike wanalaana kubwa😊
@BJM-j2t11 ай бұрын
Mwanaume unavaa dera kweli Uswahili kazi
@chingamedia2842 Жыл бұрын
ama kwel hii ni dunia ya mwisho inafika wakt wanaume wanava nquo za wanawake daa😞
@Shariphashabani Жыл бұрын
Dunia simama nikachimbe dawa😢😢😢
@AnordSkamboka Жыл бұрын
Umetisha my brother mungu aipiganie kazi ya mikono yako Kaka eee mwenyezi mungu mlinde mbosso na umbaliki afike mbali zaidi ya hapo alip
@dulatizo2970 Жыл бұрын
mwanaume hajigezi kuvaa kijora msenge hajifichi live tunakuona
@KeykasMan Жыл бұрын
Wooooooh😂😂😂😂 from drc
@sumeyaadan-rt7fd Жыл бұрын
Umeharibu mboso Kwa dera😢😢
@AfricanFilmProductionALEX Жыл бұрын
Kuna wapumbavu wanashangilia... Halafu kuna wapumbavu wanalalamikia bandari.
@celebritytv254 Жыл бұрын
riswa,,, shikarabababababa mapepooo shindwee!!! kijana tafuta maji ya pastor Ezekiel
@KulsumRamadhan-dj2fb Жыл бұрын
Hii nayo ni mtihani mungu atuondole
@MasuruliGeorge-wi1nd Жыл бұрын
Dela tena,kama sio kupromote ushoga,ila ngoma kali mzeee
@Godmaletz Жыл бұрын
Fact let us keep silence 😢to our God
@Truthinjecttv Жыл бұрын
Mbosso mbona unavaa Dera kama wamama
@HamisiJumaa-n1n Жыл бұрын
we have lost another man
@OmarMussa-dt9or Жыл бұрын
Dalili za mwisho hzo .....kiama Allah atuhifadh
@erickkatana496111 ай бұрын
Mbosso unatuaibiasha ban😂😂
@Bigfmedia Жыл бұрын
Waooh umependeza😂😂 Huyu mbosso huyu ni wayaa ya umeme aaah bhasiii ndio yupo katika ruti ruti za ma introduction weeèeeh! Maridadi pozi kabishaaaa😂😂
@jawaheer1030 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@durgastvshow5453 Жыл бұрын
Some love from Kenya this is nice Khan 💘 love za Kenya zikuje 🇰🇪🇰🇪
@aliabubakar914411 ай бұрын
Mmmh 😂😂😂😂 hii kali wale ma kaka Duuu ndio haoooooo.😅😅😅
@shafikarzai3214 ай бұрын
Kuvaa Dera Tena ? Mbosso khan umeniangusha
@jamesmia839 Жыл бұрын
Mbosso h apana zae
@Saidi.mbuto36 Жыл бұрын
mmm brother sele I like it
@radaonlinetv1922 Жыл бұрын
Mtoto wa kiume hatakiwi kuvaa nguo za kike... Unajidhalisha
@RosemaryHall-ov5lv Жыл бұрын
Yassss I love your music bro ❤❤❤
@ShujaaKitsao-dg2dc Жыл бұрын
Huu ni ushoga hakuna chakutisha ata niufala..itavaa vipi dera mwanaume...ogopen jehanam
@valentinenyanganyimakori1148 Жыл бұрын
Mbosso on another level.The outfit was a surprise ❤🥰
@rahmaabdalla7643 Жыл бұрын
Siku hizi ni madera mboso 😂😂😂
@Subrahassan-bz8sn Жыл бұрын
Allah akuongoze inshallah
@barakamshefa6426 Жыл бұрын
Umeamua bro noma isay😂
@YohanaChuwa11 ай бұрын
Acha ushoga we mbosso
@CynthiaMutiso-c1h Жыл бұрын
❤❤noma san khan watching from.kenya
@ShujaaKitsao-dg2dc Жыл бұрын
Acha aibu mbosso bana..acha dadazako madera
@salummzee9739 Жыл бұрын
Watoto wa kiume wana vaa madira hatar tunaelekea wapi sasa