Mchambuzi Mwandamizi wa mpira wa miguu Tanzania. Ukimaliza hii zungumzia uboreshaji wa kikosi cha wananchi na hatma ya ushindani na kukua kwa ligi yetu msimu ujao.
@rizikylaizer16024 күн бұрын
Mzee wa data 😊 nakukubali sana achana na wale wachambaji
@GeogreMwakapombe3 күн бұрын
Hakika uchambuzi wako ni WA uweledi wewe ni mchambuzi WA uhakika asante sana
@ShafiiHungo4 күн бұрын
Nice
@mohdothman58884 күн бұрын
Jimmy floid hassalbank wa chelsea kabla kununuliwa chelsea alikua mfungaji bora wa league ya England wakati team yake ya Leeds ilishuka daraja msimu huo...
@TittoMholwa4 күн бұрын
Ww ndo umekariri mwenzako anachambua soka asilia
@Johnmalekela4 күн бұрын
Namkubali sana mwaduke
@AllyMuhando4 күн бұрын
Huyu ndiye mchambuzi sahihi anatoa data siyo wachambuzi wengine wanabwabwaja tu
@luqiron82004 күн бұрын
Nilikua nasubili kwa hamu kubwa kukusikiliza ,hatmae nimekusilikiza vzur
@MatricxDj4 күн бұрын
Bigg up
@lonesomekabora55474 күн бұрын
Geita imeshuka Daraja lakn Valentino Mashaka kapanda Daraja ni kiwango cha juu sana na juhudi binafsi za mchezaji
@allyabdi70384 күн бұрын
Mimi bado nalia na viongozi wa simba kama makocha wakigeni wanakosea alafu analetwa mgunda timu anaiweka sawa kwanini mgunda asipewe timu hata kwa msimu 1 tu
@user-ry7kg7sv2x4 күн бұрын
Kwan mgunda amefanya lipi zuri zaidi ya kuifunga azam 🤣
@JosephTemba-sk4hy4 күн бұрын
Uhakika..
@wardalwena58464 күн бұрын
Huyu jamaa hzo namba anakariri vp
@hamzanamahala62014 күн бұрын
Ana nyota ya kushusha timu
@mohdothman58884 күн бұрын
Jimmy floid hassalbank wa chelsea kabla kununuliwa chelsea alikua mfungaji bora wa league ya England wakati team yake ya Leeds ilishuka daraja msimu huo...