Aisees nimesachi sana mzee saidi bila mafanikio chagamba vpeeee yupo wp huyo mzee bhana kwa usajiri huu wa mnyama sijamsikia
@CharlesKatuli15 күн бұрын
Interview mlikuwa mnafanyia ukutani saizi ni sehemu moja hivi imejaa matangazo balaa ,hongera chagamba na miraji kwa kudaka madili
@stevenobure824115 күн бұрын
Mimi nimekuwa mwana finest online kwa sababu Mzee Saidi na Miraji ila hasa hasa Mzee Saidi
@user-zd3wy8dd6w15 күн бұрын
chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2
@Sebastianrichard25315 күн бұрын
Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote
@jamesmaneno228115 күн бұрын
Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga
@malietamaliet15 күн бұрын
😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana
@saltechnologiesco.ltd.237714 күн бұрын
Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni
@user-uh2em3og8w14 күн бұрын
We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama
@mathiasdaud784214 күн бұрын
Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂
@FatumaSwaleh-it4qq15 күн бұрын
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅
@user-wc2gs5xs1r13 күн бұрын
Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother
@moiseszacariasmoisesmoises14 күн бұрын
miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊
@abelimaganga41715 күн бұрын
Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha
@mansoursaid815 күн бұрын
Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣
@ngwilunyiga244714 күн бұрын
Simba nguvu moja💥🔥🔥
@malietamaliet15 күн бұрын
Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi
@ChristianeMahendekaJr-mo6ze15 күн бұрын
Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana
@wilemajani15 күн бұрын
Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake
@athumanhusen600814 күн бұрын
Matola mbna amumzungumzii
@elizabethywinnie109015 күн бұрын
Mzee Said yuko wapi jamn😢
@kaizermgawa15 күн бұрын
anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bf14 күн бұрын
Ww chagamba tupe Mzee saidi bana
@leonardmabula947212 күн бұрын
Mwananchi
@huseinbusaba506415 күн бұрын
Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
@samsonlusheleja880915 күн бұрын
Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa
@stevensosipita15 күн бұрын
MAKOLOOOOOOOOOOO 😂😂
@hoseadyson447415 күн бұрын
Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba
@mr.lawimagupa391414 күн бұрын
UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE
@msongeomary619515 күн бұрын
Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa
@mosesnjenga-jc2to15 күн бұрын
Namba ya miraji ama chagamba tafadhali
@jamesmarumbo682015 күн бұрын
Mzee said yupo wapi chagamba
@MzeeMzee-lv7sv15 күн бұрын
Shabalala asije kumroga mwenzake
@BinbbasBinbbas15 күн бұрын
Chagamba unazingua nenda kwa mzee said
@JANE-jv4eq15 күн бұрын
Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi
@user-tg7vq3ty8p15 күн бұрын
Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.
@JeniphaRobert15 күн бұрын
Mzee saidi yuko wapi chagamba😭
@samwelingasa163815 күн бұрын
Kramo yupo jamani
@fatumasophu585515 күн бұрын
Si tusiokuwa maarufu tunasubiri liggi ianze tuone
@MchanaLive15 күн бұрын
milaj nakukubari sana
@Shadia54415 күн бұрын
Chagamba mlete mzee saidi sasa ili tucheke jamaniii maana azizi ki yupo Kwa makolo 😢 😂
@josephmandala222515 күн бұрын
Chagamba watu tumetoka Shinyanga au Kigoma huko tunatafuta banda hata tuwasalimie hata simu hupokei . Sisi ndio familia ujue sio poa
@user-eh6wn9qf4b15 күн бұрын
Mzeeee said wapiii mbn hatumuoni 😢😢😢😢
@josinatrderss15 күн бұрын
Chagamba mkisimama ndiyo maongezi yanakuwa na mzuka! Ukipigwa pigwa kidogo
@ManjaHisani15 күн бұрын
Chagamba miraji haipendezi tunataka msimame maana kunavitu tunavikosa juu yenu ukipigwa pigwa makofi sisi huku tunafurahi kweli