Mbwaduke Mungu akubariki sana kwa kazi yako uko vema sana, piga kazi mkuuu
@NGULYANGAI-matelePHONEАй бұрын
Amina🙏🙏🎧
@yohanadavid8055Ай бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri unafanya kazi kama mchambuzi na sio shabiki, ni hatari sana kufanya kazi yoyote bila kukosolewa, wafuasi wako wote wasipokukosoa ujue unakundi la wanafiki na wakati wowote watakukimbia, kukosolewa ni muhimu kwa ajili ya kuboresha maisha yetu
@SittamasaruАй бұрын
Nakufatiria sana mzee wa data uko vizuli sana
@user-kt3ro2zt5iАй бұрын
Hatali sana master 💚💛💚💚💛💛🏆🏆🏆
@edisonkatunziАй бұрын
Mbwaduke Mimi nakukubali sana kwa data zako unanikumbusha enzi za Mzee kashaha ongera sana bro
@AngeloKigulaАй бұрын
Hakuna wa kufananisha na mbwaduke
@sallyeliya5213Ай бұрын
Mbwaduke,tunayo kazi😅😅😅
@paulmasunga1754Ай бұрын
Mzee wa data uko vizur sana kazi nzur👏👏👏👏
@AngeloKigulaАй бұрын
Unajua sna mzeeee🫡🫡
@AyubuTozzoАй бұрын
Nakukubalii sanaa kaka
@perepetuajohnАй бұрын
Hakika unamjua kuchambua mpira vizuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@danmbizo3472Ай бұрын
Uko vizuri sana Mzee wa data, nakufuatilia kutoka Kenya 🎉🎉
@MbwadukeStatsАй бұрын
Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@StevenKapugiАй бұрын
Jamaa anajua sana
@NGULYANGAI-matelePHONEАй бұрын
Kaizer kama Azam tu 😊😊
@ErickSwai-k1fАй бұрын
❤unakuja kuni kumbusha mzee kashasha
@user-bi6bo2hh9oАй бұрын
Jamaa anajua kuuchambua mpira kama mwalimu kashasha
@MbwadukeStatsАй бұрын
Ha ha ha ha haaaa..🤣🤣😅Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono Kiongozi!
@maxezeaguttu7821Ай бұрын
Teacher la Ball
@ErickSwai-k1fАй бұрын
❤❤
@user-ix3ml6dm6yАй бұрын
Mbwaduke unajua saaana hata ukocha unaweza
@ommyhatib7331Ай бұрын
Pamoja sana
@odilomwemeziernest646Ай бұрын
Yanga hii yenye hawa watu mbele Dune,Aziz Ki,chama,professor P,Nzengeli,Muda,Mzize,ni mauaji ya Kimberley. Mimi ni simba ila uwazi tuuseme pamoja nakusajili vizuri.
@josephngwega7398Ай бұрын
Aisee😂😂
@MicJorlАй бұрын
yanga bigwa
@MbwadukeStatsАй бұрын
Majibu ya ki-GSM😅🤣
@GodloveMyakaАй бұрын
BWADUKE unatisha tukimuondoa Mungu hakuna aliye kama wewe❤
@saidmlemeta8083Ай бұрын
Eng wa data nakuelewa mno
@IfahamuTanzaniaАй бұрын
Kinachowafanya Kaizer Chiefs hawafanyi vizuri kwenye Ligi Yao na Ligi ya Mabingwa ni nini?Mbona Wana uchumi mzuri!?,Timu zetu Zina uchumi wa kawaida na bado zinafanya vema,sababu ya jamaa kufanya vibaya ni nini?,Nilitegemea Kaizer iwe miongoni mwa timu 5 tishio barani Afrika
@MbwadukeStatsАй бұрын
Ni kweli inashangaza sana. Lakini ni kawaida kwa sababu fedha hazichezi uwanjani bali mipango mizuri ya kuzitrumia kwa usahihi kupata timu bora. Man Utd wana hela lakini tangu aondoke Fergie hawajagusa taji EpL, Pyramids kule Misri, PSG UEFA wanaisikia tu na hela zao e.t.c
@filibetifilibeti534Ай бұрын
hakuna tim
@gasperelasto8842Ай бұрын
😂😂😂kaka Ramadhani, hivi hayo 'mavuma' huwa unayasoma saa ngapi ndugu yngu!?
@MbwadukeStatsАй бұрын
Passion Bro...!😊
@NGULYANGAI-matelePHONEАй бұрын
Nimejikuta nacheka😅😅
@Yuleyule-u6cАй бұрын
Acha uzembe ww mbaduke kweli umeangalia kaiser chief sahivi wanafanya vibaya sana kwenye ligi yao tu Wapo nafasi ya 10 Sasa si afadhali hata mashujaa. Ww unachambua history siyo fact.
@MbwadukeStatsАй бұрын
Msamehe Bure Bro.. maana yaelekea Mzee wa Data hajui kitu. Angeongea kwa facts angejua kuwa ligi iliyomalizika PSL Bingwa ni Kaizer Chiefs😂😅
@subiriabdulrahmani2343Ай бұрын
Huna hata aibu kuwa tofauti na wenzako
@LucasHaile-dy9kdАй бұрын
Kaka nadhani history ndiyo hujenga mpira wetu wa leo, na anachokichambua huyu jamaa sio history ya mda sana bali ni Kaizer Chief ya sasa, au wewe unataka kutwambia Kaizer ni wabovu sana mpaka ulinganishe na mashujaa? au na wewe mpira hujui?
@Yuleyule-u6cАй бұрын
@@LucasHaile-dy9kd Shida yetu tukisikia Timu ya nje ya nchi unaamini ni Bora Sana ww kama mashujaa ilicheza na Simba na yanga na ikawasumbua unaamini haiwezi kuwa Bora kama kaiser chief. Fatilia takwimu za kaizer Chief Sasa hivi Alafu ndo uje ucomment.