Pole mchambuz wetu naona koo haliko sawa mungu akufanyie wepes saut yako ni muhim sana kwa watanzania mungu akuponye
@mtakatifutv21014 күн бұрын
Yaan wewe😊
@rwegoshoramichael31442 күн бұрын
Mzee wa data uko safi sana
@ericsallu32375 күн бұрын
Mzee wa Data Nakukubali sana, Sio wale wengine mpaka wasikie wenzao.
@abdulhalilaly29066 күн бұрын
Pole sana wangu ,big up xn
@drallan68796 күн бұрын
we love you Mbwaduke tumia pia strepsil lozenges for this throat issue
@RizikiSaidi-cq7vc5 күн бұрын
Kaka huwa nakukubali sana kuliko wachambuzi wengine wote kwanza unaujua mpira na sheria zake huwa hupepesi kwenye ukweli unasema bigup sana kaka mungu akufanyie wepesi upone haraka kabla michuano haijanza
@AllyHemed-g5h2 күн бұрын
Simba kwa uchambuzi na takwim tuko mbli msim huu
@rwegoshoramichael31442 күн бұрын
Wewe ndo umebaki mtu wa Hali Naamini kwa uchambuzi huu wengine waje kujifunza kwako. Wale mamluki kama kina mpenja, na wengine waje waone unavyojuwa mpira kaka. Uko sawa sana
@FrankDaud-vf2vy5 күн бұрын
Tuchambulie na huyu sijui costarting
@atupelemsyani74115 күн бұрын
Dah! Bonge la mchambuzi aisee 👋👋👋
@AbutwalibuMohamedy6 күн бұрын
Sukutua maji yenye chumvi kutwa mara 3 maji hayo yaishie kwenye Koo halafu unayatema Insha Allah utapona kwa muda mfupi pia punguza sana kuongea ingawa ndiyo kazi yako ya uchambuzi pole sana
@ZuberiHuseni5 күн бұрын
Nakubal San kaka huongei ushabik,huchagui Wala haubagui timu unaongea ukweli
@kareemibrahim18925 күн бұрын
Sheikh asali muhim maan sauti imekauk san
@AllyHemed-g5h2 күн бұрын
Peter capeter ubalikiwe mchambuz tuko pamoja kaka
@mnyongeiddi24546 күн бұрын
Mbwaduke tumia dawa kaka mana sauti inazidi kupotea
@OjinoKipingi6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉mungu akuponye mchambuz wangu maili
@Simbacstanzania5 күн бұрын
unafaa kuwa mwalimu wa wachambuz wetu hapa tz mana nakuona huna mapenzi na timu yeyote hapa nyumbani inatakiwa hivyo
@khalidmwakabuta50456 күн бұрын
Kweli kabisaa maana anapata taabu hata kuongea asee afanye mpango wa matibabu haraka
@ayubukiuya6695 күн бұрын
MIMI NAKUKUBALI KINOUMAH BABA
@DavidPaul-vn9io5 күн бұрын
Mtumie pesa akanunue hata maji koo limekauka
@HappyCatfish-cs2yn6 күн бұрын
Usijali mwamba sauti IPO kazini,piga kazi
@thomasiboniventure89695 күн бұрын
Poooleh san kkk
@rwegoshoramichael31442 күн бұрын
Mbwanduke wewe ni analyst mzuri mno. Unaweza kuchukuliwa hata EPL😊
@Simbacstanzania5 күн бұрын
lekebisha myck hakuna saut
@seifsefunga32286 күн бұрын
Mchambuzi bora africa
@mwitamalwa27736 күн бұрын
Mzee wa data pole naona saut imegoma mchambuz wetu
@GaberJabeh6 күн бұрын
Bas nilikukuwa najua spika ya simu yangu kumbe weye shekhe
@mswakisaid23205 күн бұрын
😂
@GabrielAmma-jp1oo5 күн бұрын
Huna baya mchambuzi umenyooka
@houmdmajid-ur9dp5 күн бұрын
Wengesubr ukapoa sisi tupo t bwanduke
@withowilliam90576 күн бұрын
Million Mia nane tu Kuna mabululu wa billion
@SleepyAlpineSkiing-qi8gq6 күн бұрын
Tumia mayai sauti inapote mtalamu
@TimothyJuma-pp6gm5 күн бұрын
Tunajivunia watanzania kuwa na mchambuzi Kama wewe
@davidsimbeye15486 күн бұрын
Sauti imekumbwa na nini siku hizi
@MbwadukeStats6 күн бұрын
Maradhi Kk. Ni mapenzi yake Muumba...tuombeane dua tu ili Mola amfanyie wepesi Mzee wa Data apone haraka. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!!