MBWEMBWE ALLY KAMWE BAADA YA AZIZ KI KUSAINI MKATABA MPYA YANGA

  Рет қаралды 80,643

Yanga TV

Yanga TV

19 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 185
@JitihadaRashidi
@JitihadaRashidi 17 күн бұрын
NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki
@saidilindukwa
@saidilindukwa 17 күн бұрын
Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans
@bodyaman
@bodyaman 17 күн бұрын
Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa. Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K
@amaniomar1755
@amaniomar1755 17 күн бұрын
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.
@MoajGraphics
@MoajGraphics 17 күн бұрын
Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰
@RamadhaniMangwira-s6w
@RamadhaniMangwira-s6w 17 күн бұрын
Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma
@hawamasanje9589
@hawamasanje9589 17 күн бұрын
Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana
@user-gf2jq8mf8j
@user-gf2jq8mf8j 17 күн бұрын
Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@upendogidion5167
@upendogidion5167 17 күн бұрын
Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 17 күн бұрын
Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤
@Maryc2G
@Maryc2G 17 күн бұрын
Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 17 күн бұрын
Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu
@user-hu2sf3so9c
@user-hu2sf3so9c 17 күн бұрын
Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya
@MikidadiKambinda-tr6rl
@MikidadiKambinda-tr6rl 17 күн бұрын
Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.
@joojombi2341
@joojombi2341 17 күн бұрын
Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli
@user-ql2hc7zt6b
@user-ql2hc7zt6b 17 күн бұрын
Semaji mwenye cv kubwa
@HusnaOmarry
@HusnaOmarry 17 күн бұрын
Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺
@ndakijoseph8341
@ndakijoseph8341 17 күн бұрын
Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️
@user-eo8tb2js5v
@user-eo8tb2js5v 17 күн бұрын
Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu
@martingodfrey7105
@martingodfrey7105 17 күн бұрын
Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko
@HusnaOmarry
@HusnaOmarry 17 күн бұрын
Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,
@HoseaNguge
@HoseaNguge 17 күн бұрын
Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅
@hyy4114
@hyy4114 17 күн бұрын
Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika
@JohnAlfred-k8f
@JohnAlfred-k8f 17 күн бұрын
Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 17 күн бұрын
Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 17 күн бұрын
Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛
@AbubakarKales
@AbubakarKales 17 күн бұрын
Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia
@batilda4920
@batilda4920 17 күн бұрын
Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉
@HusseinJumahussein-lf1xk
@HusseinJumahussein-lf1xk 17 күн бұрын
Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏
@AMIRIRAJABU-ld5ry
@AMIRIRAJABU-ld5ry 17 күн бұрын
Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever
@SalomeEdward-ch4pk
@SalomeEdward-ch4pk 17 күн бұрын
Naipenda yanga
@HawaAlznezbar
@HawaAlznezbar 17 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 17 күн бұрын
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,
@user-jb5ct7su8n
@user-jb5ct7su8n 17 күн бұрын
Hongera kwa raisi
@LukindoMchome-qv3vo
@LukindoMchome-qv3vo 17 күн бұрын
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
@EsterKindoli
@EsterKindoli 17 күн бұрын
Aho wagaya avae....
@LukindoMchome-qv3vo
@LukindoMchome-qv3vo 17 күн бұрын
@@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,
@EsterKindoli
@EsterKindoli 17 күн бұрын
@@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo
@SanziNzige
@SanziNzige 17 күн бұрын
Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini
@candidamuhanika8328
@candidamuhanika8328 17 күн бұрын
Roho imekuuma.....😮😮😮
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 17 күн бұрын
Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali
@AmiriMalenge-kc5jk
@AmiriMalenge-kc5jk 17 күн бұрын
Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga
@TausiKitundu
@TausiKitundu 17 күн бұрын
yanga daima mbele nyuma mwiko
@CharlesDanielnyanda
@CharlesDanielnyanda 17 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS SAIDI
@emanuelromanrc9782
@emanuelromanrc9782 17 күн бұрын
Wa kwanza Leo💚💚💚
@user-jb5ct7su8n
@user-jb5ct7su8n 17 күн бұрын
Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 17 күн бұрын
Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri
@emmanueljohn4571
@emmanueljohn4571 17 күн бұрын
Yanga🙌🏻🙌🏻
@user-kk7ni6cp7p
@user-kk7ni6cp7p 17 күн бұрын
Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan
@Justinaombay
@Justinaombay 17 күн бұрын
Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛
@SalomeEmanuelimpalasinge
@SalomeEmanuelimpalasinge 17 күн бұрын
Hongera yako president Kwa aziz ki
@JayWizzy-iq8ed
@JayWizzy-iq8ed 17 күн бұрын
Naipenda yanga yangu❤
@BabatStarkid
@BabatStarkid 17 күн бұрын
Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅
@vinnyjr-n1g
@vinnyjr-n1g 17 күн бұрын
Yanga mpaka nakufa❤❤
@samwelsanyura-iw9nr
@samwelsanyura-iw9nr 17 күн бұрын
Yanga for life
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 17 күн бұрын
💛💚💛💚yanga
@MwaniPh
@MwaniPh 17 күн бұрын
Yanga bingwa
@tonymwakalenga388
@tonymwakalenga388 17 күн бұрын
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
@KimSaidi
@KimSaidi 17 күн бұрын
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa
@nurhatkheir1935
@nurhatkheir1935 17 күн бұрын
Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛
@anyisilejaphet2658
@anyisilejaphet2658 17 күн бұрын
Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme
@KondoNgoma
@KondoNgoma 17 күн бұрын
Yanga hii mwaka huu litakufa jitu
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f 17 күн бұрын
For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏
@AntidiusiZindemba
@AntidiusiZindemba 17 күн бұрын
MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k
@habibuabuu9609
@habibuabuu9609 17 күн бұрын
Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi
@rogersiddy
@rogersiddy 17 күн бұрын
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
@Justinaombay
@Justinaombay 17 күн бұрын
Ulimsainisha ww au
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 17 күн бұрын
Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅
@rogersiddy
@rogersiddy 17 күн бұрын
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@rogersiddy
@rogersiddy 17 күн бұрын
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 17 күн бұрын
Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 17 күн бұрын
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 17 күн бұрын
Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 17 күн бұрын
HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU
@KizingiliRamadhani-gh5gq
@KizingiliRamadhani-gh5gq 17 күн бұрын
Wambie hawooo manyonyo fc
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 17 күн бұрын
Nakubali sana ❤
@islamsaid9587
@islamsaid9587 17 күн бұрын
Onger eng hers said na menejiment yote
@Abdul-jj6lq
@Abdul-jj6lq 17 күн бұрын
nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm 17 күн бұрын
Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@GraceFesto
@GraceFesto 17 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 17 күн бұрын
Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂
@kasandabulilo564
@kasandabulilo564 17 күн бұрын
Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂
@abuumfunda
@abuumfunda 17 күн бұрын
Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤
@barakahmichaels1631
@barakahmichaels1631 17 күн бұрын
Author✌🏿✊🏿❤️
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 17 күн бұрын
MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢
@GodfreyLipumba-ds6jl
@GodfreyLipumba-ds6jl 17 күн бұрын
Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚
@aziziabeid6052
@aziziabeid6052 17 күн бұрын
The first one, today
@DieudonneNdiho-yf5sq
@DieudonneNdiho-yf5sq 17 күн бұрын
Safi sana
@faidhasaid4084
@faidhasaid4084 17 күн бұрын
mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa
@julietmshana1962
@julietmshana1962 17 күн бұрын
Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛
@Dartonjuma
@Dartonjuma 17 күн бұрын
Nice
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 17 күн бұрын
Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv
@EsterKindoli
@EsterKindoli 17 күн бұрын
Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona
@sulehyanajma3399
@sulehyanajma3399 17 күн бұрын
Moyo wangu umetulia sasa
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 17 күн бұрын
Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K
@eliudmwanalusi3907
@eliudmwanalusi3907 17 күн бұрын
Huyu jamaa huwa anaongea fact sana
@jivankulikwa24
@jivankulikwa24 17 күн бұрын
Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂
@twaribuidrissa9900
@twaribuidrissa9900 17 күн бұрын
Asalam aleykum wananchi wenzangu
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m 17 күн бұрын
Walaykum s laam
@tatalyzer382
@tatalyzer382 17 күн бұрын
#Yanga ni lidude kubwa sana😂
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 17 күн бұрын
💚💛💛💛💚l Love You yanga
@tumainimremi3461
@tumainimremi3461 17 күн бұрын
Ushindi muhimu
@husseynomar9523
@husseynomar9523 17 күн бұрын
Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉
@KonjiKabasa
@KonjiKabasa 17 күн бұрын
Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 17 күн бұрын
Kivip kolo
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 17 күн бұрын
Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂
@JumaJabibu
@JumaJabibu 17 күн бұрын
Hongera rais
@BhutemiMapalala
@BhutemiMapalala 17 күн бұрын
Injinia apewe maua yake jamaani,daah Hadi laha❤😂🎉😢😮
@julietmshana1962
@julietmshana1962 17 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛
@jumamzelela4207
@jumamzelela4207 17 күн бұрын
Sure😢
@mitinjemaziku
@mitinjemaziku 17 күн бұрын
Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!
@user-jb5ct7su8n
@user-jb5ct7su8n 17 күн бұрын
Tujipongeze wana yanga wote.
@mansouromary9246
@mansouromary9246 17 күн бұрын
Ila Ali kamwe anajua kucheza na akili za hao wanaoHojii😂😂🙌
@eliadahmhina4125
@eliadahmhina4125 17 күн бұрын
3 one today😊
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 17 күн бұрын
Hahahaaa😂😂😂😂 wasaga sumu wanaloooo,chuma kama chuma bado kipooo🎉🎉🎉🎉
@SuleimanIbrahim-lp7qs
@SuleimanIbrahim-lp7qs 17 күн бұрын
Sasa ww dogo mchezaji yupo frre sasa mchezaji hahotaji ushawishi
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 163 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 28 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
VIBE LA WANANCHI WAKIWA MAKAO MAKUU KUNUNUA JEZI MPYA
11:18
Yanga TV
Рет қаралды 24 М.
SESEME AFUNGUKA KUIFATA YANGA SOUTH AFRICA KESHO
2:57
KARIAKOO CONGO TV
Рет қаралды 213
Dad's disbelief turns to pride as daughter scores as a boy #shorts
0:32
Fabiosa Animated
Рет қаралды 1,1 МЛН
🤯ОН ЖДАЛ 4 ГОДА ЧТОБЫ ОТОМСТИТЬ…
1:00
Дерек
Рет қаралды 1,8 МЛН
that time Khabib knocked Conor down! 😳 #nocommentary
0:59
that time Khabib knocked Conor down! 😳 #nocommentary
0:59