MCH.DANIEL MGOGO - MCHUNGAJI UNAAGIZA POMBE ,KUMBE UNAYEMWAGIZA MSHILIKA WAKO

  Рет қаралды 299,201

Uhai Online Tv

Uhai Online Tv

4 жыл бұрын

#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...

Пікірлер: 129
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 4 жыл бұрын
mie ni muislam ila huyu mchungaji ni mfano wa kuigwa na wachungaji wote, mafundisho yake anafundisha hadi wasiokuwa wakristo, binafsi namuelewa sana MGOGO
@farajamhenzi9037
@farajamhenzi9037 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sanaa mtumishi ni me barikiwa saana
@zakiarama9909
@zakiarama9909 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@datiuskaroly7571
@datiuskaroly7571 3 жыл бұрын
ubarikiwe
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 2 жыл бұрын
Naam hata mimi hunifundisha.. Mtu muhammad (s. A. W) alisema kuna wakristo na mayahudi wazuri... Mfano najashi
@jamilakelota6033
@jamilakelota6033 2 жыл бұрын
Fact
@kevokipanya4808
@kevokipanya4808 3 жыл бұрын
mtumish Amen kwel unayo sem naumen fumbua sasa asnt mtumish mungu asid kukup upeo wakutufundish sisi kondoo wako
@marketphone6353
@marketphone6353 4 жыл бұрын
amina na mm namuerewa san mungu awe naye na ampe miaka 20000000000000
@lucasleonard5290
@lucasleonard5290 3 жыл бұрын
Nime kufuatia sana mchunguji,mahubiri yako yapo tofauti sana wewengine,waleee mahubiri yao ni yamaari
@sophiemulebinge3350
@sophiemulebinge3350 3 жыл бұрын
Mafundisho aya Yana tujenga saaana. Mungu akubariki baba. Nakufata, nikiwa Congo
@asentusodhiambo9621
@asentusodhiambo9621 3 жыл бұрын
Bwana Yesu apewe sifa, tunashukuru Sana mafunzo ya dharura tunaiyoipokea
@amosbuzaniye2331
@amosbuzaniye2331 Жыл бұрын
Ubalikiwe mch
@brigithaassenga5191
@brigithaassenga5191 3 жыл бұрын
Ni kweli baba nikikumbuka mapito niliyopitia Mungu mwenyewe anajua kwa sababu yeye ndo aliyenipigania; Asante Jehova shama kutupa Mchugaji mgogo.
@catherineeliah8446
@catherineeliah8446 Жыл бұрын
Hongera sana Mtumishi usiogope mawe.
@kizandume3015
@kizandume3015 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba mchungaji nikweli kabisa
@jaclinsimon9999
@jaclinsimon9999 Жыл бұрын
Asante ubarikiwe maana najua utafanya wanaume wengi
@tituskhaemba654
@tituskhaemba654 3 жыл бұрын
Napenda mahubiri yako pastor 🙏❤️
@apolinayusuf3838
@apolinayusuf3838 3 жыл бұрын
11q11
@esperancekavira8548
@esperancekavira8548 2 жыл бұрын
Mungu akupee maoni zaidi na zaidi mchungaji
@bahatimmependezamwanginda5202
@bahatimmependezamwanginda5202 3 жыл бұрын
Kupitia mahubiri yko wengi wanaponywa, wanaosema husomi maandiko wanakuonea wivu Achana nao, piga kaz baba songa mbeleeee
@irenesimon9107
@irenesimon9107 3 жыл бұрын
Kweli muchungaji ingekuwepo kipimo sijiwi ingekuwaje kweli Mungu atuhulumie
@annamrima5507
@annamrima5507 4 жыл бұрын
Ameen mchungaji mungu akubariki na akuinue zaidi
@sengebasenga6665
@sengebasenga6665 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awabariki
@beatricenjoki283
@beatricenjoki283 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Amen Amen Kwa neno barikiwa Sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏
@anethkalokola5777
@anethkalokola5777 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi injili yako ya ukweli mtupu sema tupone
@martinenestory7829
@martinenestory7829 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa hili neno.
@dorcasmukhanji272
@dorcasmukhanji272 4 жыл бұрын
ubarikiwe pastor
@nyaxx38
@nyaxx38 3 жыл бұрын
Ama Kwa kweli neno hili ni la kweli kabisa. Mungu atusaidie
@tituskhaemba654
@tituskhaemba654 3 жыл бұрын
Hongera pastor 🙏
@martinantary1174
@martinantary1174 4 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mtumishi
@frankruremesha1476
@frankruremesha1476 3 жыл бұрын
Amen Barikiwa sana Mchungaji
@celinahguru8326
@celinahguru8326 3 жыл бұрын
AMINA barikiwa Sana mchungaji
@everlinsalano97
@everlinsalano97 2 жыл бұрын
Lovely message.long live pastor
@irinewafula1557
@irinewafula1557 3 жыл бұрын
Waaaaaa!!!ukweli kabisaa unasema,, maji moto ya kuoga hahaha kweli mchungaji
@eliasmsese7694
@eliasmsese7694 4 жыл бұрын
Yes bshop Daniel mgogo nakbal Sana mahubili yako bless
@robaisitatishow1607
@robaisitatishow1607 4 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 4 жыл бұрын
Mchungaji mungu akubariki sana
@salomemunuo1883
@salomemunuo1883 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana mchungaji 🤣🤣
@hilgathjoshua8804
@hilgathjoshua8804 4 жыл бұрын
Uko sawa kabisa mtumishi 😁😁😁
@andrewalute3085
@andrewalute3085 2 жыл бұрын
Yes my friend
@focuseric4109
@focuseric4109 3 жыл бұрын
Yan upo sahihi ata mm niseme ukwel wa mungu nilikua ivo ivo lkn ss kwasababu yako nimebadilika yani nasema kwel yamungu kasoro tu kumuamsha asubui lkn mengine nimo na nungu anisamehe.
@mwajumahmkali9557
@mwajumahmkali9557 3 жыл бұрын
Eti Kama mdoli😁😁😁😁😁😁😁😁💃💃💃
@evangatima3377
@evangatima3377 2 жыл бұрын
Mungu akubariki baba
@christinadaud4538
@christinadaud4538 2 жыл бұрын
Barikiwa
@abdulijumaa496
@abdulijumaa496 2 жыл бұрын
Una maubir mazuri nakufatiliag san
@lekiajuvenary9080
@lekiajuvenary9080 2 жыл бұрын
God bless u
@selestinebiyake3838
@selestinebiyake3838 2 жыл бұрын
Hahaaaaaa pasha moto mzee
@agneswaitherero4053
@agneswaitherero4053 3 жыл бұрын
Be blessed for this msg
@ruthmulei9977
@ruthmulei9977 3 жыл бұрын
Hyo lnjili kali sana
@lubungaetienealmasi1059
@lubungaetienealmasi1059 3 жыл бұрын
Nipo Canada ila wanga nakufatilia sana Mungu akubariki
@jacklinelucas3021
@jacklinelucas3021 3 жыл бұрын
Barikiwa sana maana nishida ulijuaje ?mwanaume nishida yan mwanamke unachoka sana sana yan huku mtoto analia anataka kunyonya baba nae nitegee net mara muda mwingine umeandaa chakura mezani anakwambia nipakulie ×punguza kingi sana ninawishe yan ss unachoka huku umepa nguo ataaza kuzitimua mojahd nyingine hoo hii sijaipenda ulinunuaje? Yan tunatabu
@fideskalalu341
@fideskalalu341 3 жыл бұрын
Baba umetisha sana
@emmanuelineuwizeye3097
@emmanuelineuwizeye3097 2 жыл бұрын
ubarikiwe sana baba
@irenemacha7457
@irenemacha7457 4 жыл бұрын
Jmn wanaume wanatunyanyasa sana Tukwila na Mumbai
@irenemakokha7615
@irenemakokha7615 3 жыл бұрын
Barikiwa Mchungaji
@ebadimyenda2739
@ebadimyenda2739 3 жыл бұрын
Mungu akuinue
@djmanywele7252
@djmanywele7252 3 жыл бұрын
Mmmmh mgogo umebarikiwa kiukweli
@lameckhansuliteremuka4493
@lameckhansuliteremuka4493 2 жыл бұрын
mgogo nijje
@gracelauzi9746
@gracelauzi9746 4 жыл бұрын
Sema tupone
@MuhindoMurabazi
@MuhindoMurabazi 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@lanisterchuga4068
@lanisterchuga4068 Жыл бұрын
Amen amen
@mathewandrew3761
@mathewandrew3761 3 жыл бұрын
Nimeipenda iyoo
@magrethndambo7684
@magrethndambo7684 3 жыл бұрын
Nimekuelewa baba
@seng2511
@seng2511 Жыл бұрын
😂😂😂😂huyu mchungaji
@jacksonchiwalanga4817
@jacksonchiwalanga4817 3 жыл бұрын
😅 barikiwa
@kadiihanjari710
@kadiihanjari710 3 жыл бұрын
Kabisa nikweli baba muchungaji
@Petro757
@Petro757 Жыл бұрын
Ni kweli
@irenemacha7457
@irenemacha7457 4 жыл бұрын
Mgogo sijui nikununulie soda??? Hujawai kukosea
@naomymaraanaomy1752
@naomymaraanaomy1752 3 жыл бұрын
Amina sana mchungaji umekua wa baraka sana kwangu aki umeponya moyo wangu🙏🙏🙏
@hildamasonda3243
@hildamasonda3243 3 жыл бұрын
Ameni mchungaji
@sumadavid3240
@sumadavid3240 2 жыл бұрын
Haminaaaaa
@ankogeorge8972
@ankogeorge8972 4 жыл бұрын
Wanaume hapa wametulia kimyaaaaaaa!!!
@jamessila3219
@jamessila3219 Жыл бұрын
Sasa Kama maisha ya doa ni hivi nitaoa
@wagisimasabahi1533
@wagisimasabahi1533 3 жыл бұрын
Safi sana
@christinekituyi9826
@christinekituyi9826 2 жыл бұрын
Ile hekima uko nayo pastor si ya kawaida
@elizabethchalesi2829
@elizabethchalesi2829 2 жыл бұрын
Ndio kweli
@hanningtonedagwa8636
@hanningtonedagwa8636 4 жыл бұрын
Mahubiri yako bishop yatosha umehubiri ukweli kabisaaa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Tuwe na yesu
@koshnmjomba3702
@koshnmjomba3702 3 жыл бұрын
Hapa Mchungaji, umetupiga goal kumi bila. Lakini heri akuambiaye kweli ukakasirika kuliko rafiki anaye kudanganya na ukapotea miondoko
@sifaeliyesayamakala7483
@sifaeliyesayamakala7483 2 жыл бұрын
S sifaeli Junio
@amanindiyogi2167
@amanindiyogi2167 2 жыл бұрын
Amena 🙏🙏🙏
@vemchannel2018
@vemchannel2018 2 жыл бұрын
Ameeen
@josephineabedi8100
@josephineabedi8100 3 жыл бұрын
Uwambiye wale wa baba walisha tutesa wala hawajuwe kuomba msamaa kama wamekosa
@peterkatwale1794
@peterkatwale1794 2 жыл бұрын
Apo sasa
@sifaeliyesayamakala7483
@sifaeliyesayamakala7483 2 жыл бұрын
Natamani nifike kanisan kwako
@bujucommedys2920
@bujucommedys2920 2 жыл бұрын
Nikweli mchungaji
@andrewalute3085
@andrewalute3085 2 жыл бұрын
Yes
@godb8111
@godb8111 3 жыл бұрын
👍👍👍✊
@mathisjosefu2350
@mathisjosefu2350 3 жыл бұрын
Waongo ao
@annemwande6807
@annemwande6807 4 жыл бұрын
That's my pastor 😂😂😂
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 3 жыл бұрын
Nakuelewa baba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@annageorge7712
@annageorge7712 3 жыл бұрын
Mchngaji naomba uniombee
@benadetaalbati6612
@benadetaalbati6612 3 жыл бұрын
❤️❤️
@zabibusaid1473
@zabibusaid1473 3 жыл бұрын
Dah mulemule
@elizabethchalesi2829
@elizabethchalesi2829 2 жыл бұрын
Ndio
@pillydenis8211
@pillydenis8211 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@priscammassy6725
@priscammassy6725 2 жыл бұрын
WhatsApp
@mathewandrew3761
@mathewandrew3761 3 жыл бұрын
Jamani hahaha
@SirdickOmondi
@SirdickOmondi 4 жыл бұрын
Emeeeeeeeee.....n
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 4 жыл бұрын
Waambie tu baba ili usije ukaulizwa kwa nini uliona ukanyamaza
@ellypoul2952
@ellypoul2952 3 жыл бұрын
Hahahaha
@sharonke7442
@sharonke7442 3 жыл бұрын
Hivi huyu mchungaji yuko Kenya au tz?
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 жыл бұрын
ni wa TZ ila huwa anaenda hadi Kenya kufanya mahubiri
@muhumuzaerenest1947
@muhumuzaerenest1947 3 жыл бұрын
Tz
@kennyken4215
@kennyken4215 4 жыл бұрын
😀😀😀😂
@moseschacha4417
@moseschacha4417 3 жыл бұрын
Indian movies
@yustakasingila4356
@yustakasingila4356 3 жыл бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@fadhililyenje1332
@fadhililyenje1332 2 жыл бұрын
Michezonbc
@phylisnyamburagatua1596
@phylisnyamburagatua1596 3 жыл бұрын
R
@gracelauzi9746
@gracelauzi9746 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mathewandrew3761
@mathewandrew3761 3 жыл бұрын
😜😜😜😜😜😜
@albeleenalberto158
@albeleenalberto158 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pendomatiku1655
@pendomatiku1655 3 жыл бұрын
Jkhk
@magrethchipalo7221
@magrethchipalo7221 3 жыл бұрын
Amina baba nakuelewa sana
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 жыл бұрын
🤣🤣😁😁😁😁😁
@muhumuzaerenest1947
@muhumuzaerenest1947 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Mfano wa Kaini - Pastor Daniel MGOGO
59:33
Église El-Shaddaï RDC
Рет қаралды 9 М.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 32 МЛН
MCH.DANIEL MGOGO - MSHUKURU SANA MKEO HUJUI KAZI ANAYOFANYA
34:05
Uhai Online Tv
Рет қаралды 155 М.
NGUVU YA UMOJA KATIKA FAMILIA SEHEMU YA TATU - PASTOR DANIEL MGOGO
1:12:11
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 31 М.
Rev Moses Magembe- MTAJI WA MWINJILISTI NI WENYE DHAMBI.
5:03
EVANGELIST KANANI
Рет қаралды 23 М.
MCH.DANIEL MGOGO-UZINZI WAKO  UNAWATESA WENZIO ,PAMBANA MWENYEWE
25:13
Uhai Online Tv
Рет қаралды 179 М.
SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE
31:10
AINA HIZI TATU WEWE UKO WAPI? - PR. DAVID MMBAGA
50:15
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 12 М.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 32 МЛН