MAZURI YA YUDA KATIKA BIBLIA WENGI WANAMJUA YUDA WA MAPOKEO HWAMJUI WA BIBLIA "PASTOR MGOGO

  Рет қаралды 120,219

Pastor Daniel Mgogo

Pastor Daniel Mgogo

3 ай бұрын

Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
KZbin : Pastor Daniel Mgogo kzbin.info/door/eNr...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo

Пікірлер: 144
@rwa877
@rwa877 Ай бұрын
I have got the message: Amen pastor mgogo.
@AlphaBondo
@AlphaBondo 26 күн бұрын
Pasta mgogo wewe nimutumishi wa mungu kweli nami na kubaliki sana apa ni kasedemba toka butembo Nord Kivu
@imanimwandosya370
@imanimwandosya370 4 күн бұрын
Amina mchungaji nimejifunza kitu.
@JaenMukamba
@JaenMukamba 27 күн бұрын
Ubarikiwe mushungaji tunakufuata toka Congo bkv
@RISINGEMPIRETEAM-ux9uw
@RISINGEMPIRETEAM-ux9uw Ай бұрын
Ubarikiwe kabisa
@pascalmwilarhe6699
@pascalmwilarhe6699 2 ай бұрын
Asate baba mchungaji huku Congo tunakufwata vema❤
@Esta-hn9zs
@Esta-hn9zs 13 күн бұрын
Jambo mwalimu tunashukuru kwamafundisho
@user-zg6my5oi9u
@user-zg6my5oi9u 25 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@tumaomeraChristopher
@tumaomeraChristopher 28 күн бұрын
Ujumbe mzuri sana
@KishoshaRobert
@KishoshaRobert 6 күн бұрын
Nimekuelewa pasta
@sebastianmhapa
@sebastianmhapa Ай бұрын
Amen yuda alikuwa kwenye mpango kazi wa Mungu
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 2 ай бұрын
Uko vizuri sana Pastor Wengi Hatujui Tufundishe
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v 2 ай бұрын
Hongera sana mgogo
@peteromukule5012
@peteromukule5012 2 ай бұрын
Pastor Mungu akubariki kwa ujasiri wako
@user-jc3uh2mp8f
@user-jc3uh2mp8f 2 ай бұрын
Mgogo unatsha past❤
@leocrdiadaniel6171
@leocrdiadaniel6171 2 ай бұрын
Unafikir bila yuda nan angemsaliti Yesu.bila Shaka katika mpango wa wokovu Yuda alikua muhim sana ili neno litimie🎉🎉
@upendomtui6544
@upendomtui6544 2 ай бұрын
Biblia alisema ole wake
@urithiardhimedia
@urithiardhimedia Ай бұрын
Yuda ni mwanaume alimsindikiza Yesu kwa mpango wake wa ukombonzi
@user-bf1rm2er5z
@user-bf1rm2er5z 2 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@danielsikuku7596
@danielsikuku7596 13 күн бұрын
Glory to God 🙏
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
hapo apana mjungaji kutubu kwa yuda ni kwakujudia si kwakutoka ndani yake huyo hawezi
@vitalisantony239
@vitalisantony239 3 ай бұрын
Asante Baba twambie maana na Mimi huwa nikiwaambia watu huwa wanamchukia sana Yuda lakini vitu vingine huwa ni purpose hata angeruka Kiasi gani ilikwisha kutabiriwa.
@jephitermagara3222
@jephitermagara3222 29 күн бұрын
may God protect uy
@elisechance5553
@elisechance5553 3 ай бұрын
much love from DRC Goma
@francisphilipo5749
@francisphilipo5749 2 ай бұрын
Yuda ni shujaa ilikuwa lazima neno litimie yesu asurubiwe had kufa ili na kufufuka kwake ni ni uzima wa milele kwa ajili ya sisi wanadam
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt Ай бұрын
Amina
@KubarikaMoses
@KubarikaMoses 2 ай бұрын
Ur very right pastor
@jacobpeter99
@jacobpeter99 11 күн бұрын
Amen
@GladnessGadau
@GladnessGadau 26 күн бұрын
barikiwa sana mtumishi mwanaume nawanawake kula chuma hicho
@user-rj1ti3pt7r
@user-rj1ti3pt7r 3 ай бұрын
Tuna barikiwa baba uku Lubumbashi
@niyobuhungiroEric-kg1cw
@niyobuhungiroEric-kg1cw 3 ай бұрын
God bless you
@ElkanaBoniphace
@ElkanaBoniphace Ай бұрын
Yuda hakutubu usihubiri uzushi
@richardsk5316
@richardsk5316 13 күн бұрын
Love from USA
@ruthmunyao363
@ruthmunyao363 3 ай бұрын
Nambarikiwa nikiwa kenya
@wallarickymutua6120
@wallarickymutua6120 3 ай бұрын
Pia mm
@saraasatenisanasimlizimixc9232
@saraasatenisanasimlizimixc9232 2 ай бұрын
🙏🙏
@brownmasai774
@brownmasai774 2 ай бұрын
Uko sahihi mtumishi. Yuda aliwezesha (facilitate) utambuzi (identification) ya Yesu. Na nia yake yuda alitaka Yesu akatendewe haki - akajitetee mbele ya Pilato, akiwa anajua hana kosa kwa hiyo, kama Pilato atahukumu kwa haki, Yesu angeahiwa huru. Na hiyo fedha hakuwa amepewa kabla, bali baada ya kufika kwa pilato - "takrima"; na aliikana fedha hiyo; na ikachukuliwa na hao walafi wa fedha.
@upendomtui6544
@upendomtui6544 2 ай бұрын
Nyie watetezi na mawakili wa Yuda, kama ndivyo mbaona Yesu mwenyewe alimlaumu Yuda?
@user-sr5hn4bl5d
@user-sr5hn4bl5d 2 ай бұрын
Nabarikiwa nikiwa saudi pastor
@francisphilipo5749
@francisphilipo5749 2 ай бұрын
Yuda kumsarity yesu kristo ulikuwa mpango wa mungu ili neno litimie damu ya yesu ilikuwa lazima imwagike ili tutakaswe kwa damu yake yesu iliyomwagika kwa hiyo mimi namuona yuda ni shujaa
@DialloAmissi
@DialloAmissi 2 ай бұрын
Ninakushukuru Baba kwa haya mahubiri ukisema kuhusu Yuda nimejengwa sana kiroho
@kasaranimrudi7310
@kasaranimrudi7310 Ай бұрын
Tuiache biblia iseme kama neno la Mungu...hakika Yuda alikufa bila toba kwa sababu kujiua ni dhambi...
@tuitangazeinjiliyakweli8180
@tuitangazeinjiliyakweli8180 Ай бұрын
Dhambi ya kujiua hakutubu ila ya kuchukua hela ili amsaliti Yesu alitubu
@GladnessGadau
@GladnessGadau 26 күн бұрын
Yuda alifanya hivyo ili sis tupate wokovo
@GladnessGadau
@GladnessGadau 26 күн бұрын
​@@tuitangazeinjiliyakweli8180😅
@jameskaboyi5644
@jameskaboyi5644 28 күн бұрын
Muchungaji ubarike sana tunakufwata hapa Kenya saika Estate
@PequeninoBar
@PequeninoBar 3 ай бұрын
Ame
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 12 күн бұрын
Tangu Mwanzo MUNGU Ali andaa Wokovu Kabula ya Misingi ya Dunia Ali andaa Hata Yuda Aliandaliwa kwa ajiri ya Wokovu
@mtimti3912
@mtimti3912 3 ай бұрын
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@RogerMathe
@RogerMathe 2 ай бұрын
Asante sana baba
@startonengineering7343
@startonengineering7343 2 ай бұрын
Toba sio kutubu hadi ujinyonge,toba nikutubu ukawa MZIMA soma hapa (Kwa maana huzuni ya kimungu huleta toba iletayo wokovu na wala haina majuto. Lakini huzuni ya kidunia husababisha mauti.) | 2Wakoritho 7:10 | Mwanampotevu,Daudi nk ni mfano wao Kujinyonga hukimbii matatizo,unajitia kwenye point ya no return.... Guys,hata uwe na stress kiasi gani,usijinyonge tafadhari sio suluhu...
@PastorMwakisambweMwakisa-hr2wt
@PastorMwakisambweMwakisa-hr2wt 12 күн бұрын
❤❤❤
@petermoshi
@petermoshi 3 ай бұрын
Mtumishu tupe madini tusio kua tunayajua tukae chini tunyooshe miguu tule chuma
@eliasshukuru6316
@eliasshukuru6316 2 ай бұрын
Uyu mtumishi bwana hacha nipite
@ChrisaugustineMusyoka
@ChrisaugustineMusyoka Ай бұрын
@wanjiku Judas was the devil personfied !!
@johnmligo6966
@johnmligo6966 18 күн бұрын
Mark 14:21 [21] Kwa maana Mwana wa Adamu aenda zake kama alivyoandikiwa; lakini ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu; ingekuwa heri kwake mtu yule kama asingalizaliwa. PASTA MANENO YA YESU KWA YUDA NI HAYO!!!!
@kalimbachristopher8410
@kalimbachristopher8410 18 күн бұрын
Sasa kutokana na maandiko haya nauliza uzuri wa yuda ni upi! Sunaona amepoteza muda bure kuleta ufunuo usiofaa?
@johnmligo6966
@johnmligo6966 17 күн бұрын
@@kalimbachristopher8410 ndugu Yangu,,,, siku izi kwakuwa biblia imeandikwa kwa kiswahili basi kila mmoja anajifanya kuijua!!!! 😅😅😅😅
@chrismedah2133
@chrismedah2133 2 ай бұрын
Ijapo nyekundu kama damu ukitubu zinasameheka tumsifu yesu kristo wapendwa
@zubedamae-ro1jx
@zubedamae-ro1jx Ай бұрын
😅😅😅nimecheka sana MM APA BIBI YA JUDA'S 😅
@JudyOdabu
@JudyOdabu 2 ай бұрын
Kapisa
@kaninimuindi6470
@kaninimuindi6470 Ай бұрын
Pastor napeda sana kukusikiliza hata nikiwa na mawazo yanaisha kabisa hasa hasa kule kwa kupokea magari mashamba na hauna hera na unapokea tu barikiwa pastor unaodoaga stress mtu akisikiliza mahubiri yako hawezi boeka
@matendofoma3262
@matendofoma3262 2 ай бұрын
Nabarikiwa nikiwa Malawi ila mimi ni mukongomani.
@mwaminikambale6689
@mwaminikambale6689 2 ай бұрын
Pale naye IKO Congo butembo
@DismasVenus
@DismasVenus 2 ай бұрын
Kweli yuda alitubu ila ana ole
@Sirden_i
@Sirden_i 2 ай бұрын
Mimi naponywa na furaha iliyojaa mafundisho
@ElkanaBoniphace
@ElkanaBoniphace Ай бұрын
Hao ulionipa nimewalinda isipokua mwana wa upotevu
@mycoolkadusa6603
@mycoolkadusa6603 22 күн бұрын
Neno ili na lipenda sana niko Congo Lubumbashi
@FideleLisha
@FideleLisha 2 ай бұрын
Shalom Mtumishi wa Mungu, haburi maandiko tuu, acha kuhubiri mawazo. Maandiko ndo yako nauzima Yohana 6:63. Mawazo yanaleta kifo
@francisongubo2914
@francisongubo2914 17 күн бұрын
Roho mbaya wewe. Angalia pande zote mbili.
@isaacmakori3645
@isaacmakori3645 2 ай бұрын
Much love from Nairobi Kenya
@AminiSafari-ch9ym
@AminiSafari-ch9ym 2 ай бұрын
Yuda alitimiza mandiko,alafu alikuwa sawa muhigizaji
@FrolianCharles-yt8qd
@FrolianCharles-yt8qd Ай бұрын
🎉
@phillipngano101
@phillipngano101 2 ай бұрын
Yuda alijinyonga.. Akapasuka matumbo yake yakaliwa na mumbwa
@phillipngano101
@phillipngano101 2 ай бұрын
Yuda hakutubu
@user-ls6co6fr7h
@user-ls6co6fr7h 2 ай бұрын
Wenoma
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 12 күн бұрын
Yuda Alikua Njia ya kutupatia Wokovu
@chrismedah2133
@chrismedah2133 2 ай бұрын
Hakika kila jambo ni mpango wa mungu lakini kwakua tukio lilifanyikia kwa yuda isiwe kikwazo lilipngwa hivo kwa ondoleo la Dhabi ili mimi na wewe tuokolewe lakini
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 2 ай бұрын
Hafadhali yuda kapata mtetezi
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 ай бұрын
Katetewa au kasimuliwa !?
@eliakatabengwa3357
@eliakatabengwa3357 Ай бұрын
nakufa toka bukavu
@user-hw2du2ze7l
@user-hw2du2ze7l 16 күн бұрын
Usife katika jina la Yesu alie hai....amen
@user-uz3it6li6u
@user-uz3it6li6u 3 ай бұрын
Jambo Mzee wa mawe Mara hii nimesikia uko hapa kwetu butembo uko upande gani hapa mjini kwa kanisa gani? Tafazali mcungaji niambie nikuje kukuona Mzee wangu nakufatilia sana tangu Siku nyingi mtandaoni
@stevesostenes1389
@stevesostenes1389 24 күн бұрын
Huyu sio Mchungaji Hiyu ni mtu wa taarabu
@LucyLulu-mc5rp
@LucyLulu-mc5rp Ай бұрын
Unaongea na mimi kabisa jamani 😂
@edwardwangombe2358
@edwardwangombe2358 Ай бұрын
Tunamhukumu yuda kwa dhambi zile zinatawala kanisani
@user-xw9bu2ij2q
@user-xw9bu2ij2q Ай бұрын
Yuda mbona alijinyonga
@kaninimuindi6470
@kaninimuindi6470 Ай бұрын
Yesu alisema heri huyo mwennye kumusaliti atajuda na heri asijezaliwa nimelewa hivo na hio neno na inasema tu hivo heri agezaliwa
@arishi2021
@arishi2021 3 ай бұрын
Good good good
@BowasiNDAYIZIGAMIYE
@BowasiNDAYIZIGAMIYE 2 ай бұрын
Nafulahitu ila samahani Pasta kama inawezekana nipate nambayako ya WhatsApp Asante Sana.
@magrethmbasi275
@magrethmbasi275 2 ай бұрын
Chang'ombe
@nkwabimaduhu
@nkwabimaduhu Ай бұрын
You can't find Yuda in the heaven
@kennedysalanomashairi7187
@kennedysalanomashairi7187 2 ай бұрын
Poor exegis leads to speculative theology.
@SilasNyongesaMunialo-ic8uv
@SilasNyongesaMunialo-ic8uv 22 күн бұрын
Kila kibaya kumbe kina uzuri wake!
@user-ez6jr4um6v
@user-ez6jr4um6v 2 ай бұрын
Hdhsg❤
@masomotv1695
@masomotv1695 2 ай бұрын
Yuda hatskwenda mbinguni arikuwa Mwekupenda feza hakuokoka
@user-fe8gq8dy1g
@user-fe8gq8dy1g 16 күн бұрын
Mbona hakuzitumia kama alikuwa anapenda fedha?
@PaulVotebinbalola-bf9uu
@PaulVotebinbalola-bf9uu 3 ай бұрын
acha ku danganya watu n'a injili ya uongo, yesu mwenyewe anasema, ninyi nyote mumekwisha kua Safi ila si nyote isipokua huyo mwana wa upotevu, sasa unasemaje kwamba yuda alitubu? na aka tubu kwa Nani? Wewe ni muongo,yohana8:44
@MatildaWanga-io1yp
@MatildaWanga-io1yp 3 ай бұрын
Kama Yuda akuwa na hatiya angejinyonga? Sai n wangapi wanatenda dhambi hadi wanawauwa watoto wao lakini hawatubu. So usilalamike bure
@luizahkiptoo9736
@luizahkiptoo9736 3 ай бұрын
Matthew 27:3-4
@kafundijohn
@kafundijohn 3 ай бұрын
Sikiza mahubiri ila lugha huielewi
@user-zk2dn7gs7u
@user-zk2dn7gs7u 3 ай бұрын
Kama mahubiri ya mchungaji yanakukwaza tafadhali jitoe nauache kuogea matope
@user-ff5jt4rp9n
@user-ff5jt4rp9n 3 ай бұрын
Jiulize kwanini huhubibili
@Faraja-qe3bp
@Faraja-qe3bp Ай бұрын
Mze wakurusha mawe
@mathayomarco9172
@mathayomarco9172 2 ай бұрын
Yuda hakutubu, Alijinyonga, Sawa na Pilato nae alijua kuwa Yesu hakuwa na hatia, ila hakuamini.
@petromsangi6856
@petromsangi6856 2 ай бұрын
Alitubu. Kasome vzur neno
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 ай бұрын
Biblia haisomwi kama gazeti la udaku. Tulia kwanza kabla ya kutoa hoja.
@user-bf1rm2er5z
@user-bf1rm2er5z 2 ай бұрын
Ubarikiwe baba
@salaita2829
@salaita2829 2 ай бұрын
Kwani kutubu maana yake ni nini,kutubu maana yake ni kujutia kosa,alijutia kosa ndio maana akajinyonga.
@eliashibundabalinze2754
@eliashibundabalinze2754 2 ай бұрын
Mbona ameeleza mathayo 27:3 Yuda alitubu ila alichokosea ni kujiua
@user-be9pt9qv3x
@user-be9pt9qv3x 21 күн бұрын
Hiyo ili kuwa introduction changa moto ,
@johnmligo6966
@johnmligo6966 18 күн бұрын
Duhhhh hii sasa ni commedified bible.... 😂😂😂
@T-Fellow
@T-Fellow Ай бұрын
😂 😂😂😂
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 2 ай бұрын
WE COMEDIAN, MKRISTO HATAKIWI KUWA NA MSIMANO WAKE BALI WA KRISTO. JIANGALIE UMELEWA SIFA.
@kalimbachristopher8410
@kalimbachristopher8410 2 ай бұрын
😂😂😂😂 usitishe watu kwa sauti bwana, mazuri ya mutu yaonekana mwisho wake bwana hakuna mazuri kutoka huko kwa yuda. Siyo wewe utamfanya kuuwa mzuri.😅
@elikanahsuku6589
@elikanahsuku6589 3 ай бұрын
Na kujinyonga aliitubia wapi?
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 ай бұрын
Mada iliyopo siyo uiulizayo.
@elikanahsuku6589
@elikanahsuku6589 2 ай бұрын
Unapotuambia tutaweza kupokelewa na yuda mbinguni ndo ninapakataa . BAADA YA KUFA MTU NI HUKUMU
@janewanjiku607
@janewanjiku607 3 ай бұрын
Yuda iskarioti hata patikana mbinguni kabisaa 😢
@luggagecouriertz9238
@luggagecouriertz9238 2 ай бұрын
Wewe Usimhukumu Yuda, Kwanza Ana Kitabu Kitakatifu Kwenye Biblia Takatifu Ya Mungu, Pili Alikuwa Mtumishi Wa Kuhubiri Injili Ya Yesu, Tatu Alikuwa Mwema, Ndiyo Maana Alikubali Kutubu Na Kujutia, Wewe Umewahi Kuwa Mtumishi, Mwenye Moyo Huo?
@elizabethkongani3705
@elizabethkongani3705 2 ай бұрын
Bila yuda labda tungechelwa kuupata wokovu
@JudyOdabu
@JudyOdabu 2 ай бұрын
.​@@luggagecouriertz9238
@edwardwangombe2358
@edwardwangombe2358 Ай бұрын
Yuda labda kaenda mbinguni zamani, ukimlinganisha na ukristo wa sasa.
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 Ай бұрын
Kwahiyo wewe ndo unayebeba hukumu yake sio ??
@user-hw2du2ze7l
@user-hw2du2ze7l 3 ай бұрын
,😂😂😂😂😂😂😂
@sirjore9202
@sirjore9202 29 күн бұрын
Andiko umelisoma haliendani kabisa na hadithi unazopiga.
@ElizabethMisunza
@ElizabethMisunza Ай бұрын
acha kupotosha watu mjinga ww
@joelrotich3991
@joelrotich3991 11 күн бұрын
Did you just abuse him😢
@petermwanjala3286
@petermwanjala3286 8 күн бұрын
Usitukane wa tumishi wa Mungu..wala usihukumu utakuja kuhukumiwa
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 2 ай бұрын
ACHA COMEDY WE COMEDIAN. ACHA KUFUNDISHA MAWAZO YAKO POTOFU. FUNDISHA BIBLIA. NDUGU TUSIWE WALIMU WENGI.
@user-wp1wz9ew8f
@user-wp1wz9ew8f Ай бұрын
Hebu hubiri wew tukuone
@kasaranimrudi7310
@kasaranimrudi7310 Ай бұрын
Nimependezwa na comment yako...biblia inasema siku za mwisho yatatokea makristo ya uongo
@onesmohmasuka3720
@onesmohmasuka3720 Ай бұрын
You are the great comedian but not a preacher
@AlfredCherop-bx5im
@AlfredCherop-bx5im 2 ай бұрын
Amen
@JudyOdabu
@JudyOdabu 2 ай бұрын
Kapisa
@ElkanaBoniphace
@ElkanaBoniphace Ай бұрын
Yuda hakutubu usihubiri uzushi
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 Ай бұрын
njoo uhubiri wewe
@tuitangazeinjiliyakweli8180
@tuitangazeinjiliyakweli8180 Ай бұрын
Kwanini unasema hakutubu kwa kosa la kumsaliti Yesu?
@ClovisMupoleMuhima
@ClovisMupoleMuhima 2 ай бұрын
Amen
Sililiza Kisa Cha Baba Huyu Utajifunza Kitu | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
7:18
Umoja Wetu Nguvu Yetu | Ibada ya Jumapili | Jun 16, 2024 | Rev. Dr. Eliona Kimaro
1:12:36
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 7 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 17 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
MABINTI WENGI NI MAMA WAFIWA MANA BAADHI YAO WAMETOA MIMBA SANA "PASTOR MGOGO
1:06:38
NYIMBO ZA KUABUDU/SWAHILI WORSHIP SONG WITH LYRICS NONSTOP 2023
43:05
NYIMBO ZA KUABUDU
Рет қаралды 1,6 МЛН
Mfano wa Kaini - Pastor Daniel MGOGO
59:33
Église El-Shaddaï RDC
Рет қаралды 7 М.
UKITAKA KUJUA MWANAMKE NI KIUMBE CHA MAANA AONDOKE NYUMBANI "PASTOR MGOGO
1:33:17
MUNGU NA MWANAUME ? | Pr. Peter John
19:52
Hope Channel Tanzania
Рет қаралды 20 М.
#mahubiri MAISHA YA ANAYE BEBA AGANO |PR.DAVID MMBAGA | SIKU YA 4
1:12:11
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00