Nakupenda kupita kiasi jamani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏
@daughterofthemoon74133 жыл бұрын
Haki huyu mchungaji mi hunibamba saana😂😂😂😂😂😂.much Love mchungaji 💪💪
@johannes41273 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana
@janetemba28444 жыл бұрын
Akili ya MUNGU haichunguziki, kila kitu alikiweka kwa makusudi yake, Nabarikiwa sana na mahubiri yako Pastor.
@euphemiaoyori6064 жыл бұрын
The first pastor in the whole world who preaches the truth
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Exactly
@lazarodulle84982 жыл бұрын
Nakukubali Sana na balikiwa Sana ninaposikia mahubili yako nadhani kabisa lako ni ukweli njia uhakika
@athumaninyagali8582 Жыл бұрын
ubarikiwe sana mchungajii
@monicaisaya61433 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mtumishi Mungu akulinde Amina kubwa nabalikiwa Sana iseee sindano zinatuingia🙏🙏🙏
@KalengeClement-sk7in Жыл бұрын
❤❤❤ ubarikiwe kwautele mutumishi wa bwana
@agneshassan47123 жыл бұрын
Mgogo wanipa raha sana mahubiri yako
@barakamollel9922 жыл бұрын
Mungu Ana makusudi na kila kiungo
@johnouma57815 жыл бұрын
Ubarikkwe sana mchungaji Mkenya aliye Uarabuni nabarikkwa sana...napenda sana mafunzo yako
@neemajosephati84035 жыл бұрын
Naomba namba yako ndg
@johnouma57815 жыл бұрын
Nitafute Facebook,,siezi peana number yangu hapa ni public,,tafuta Oyoko John facebook.
@wardawarda34275 жыл бұрын
Mchungaji umenishinda tabia neno lako ni upanga ukatao kuwili barikiwa na Mungu.
@estherwilliam51254 жыл бұрын
Warda Warda NENO lake?, la Mungu
@joachimujohn22472 жыл бұрын
Barikiwa
@marystella16624 жыл бұрын
A true man of God watching from Kenya God bless you.
@JuniorGaddafi39784 жыл бұрын
Tupo pamoja
@cleahmsavi99824 жыл бұрын
Mm pia
@davisfungo44814 жыл бұрын
HALELUYAAAAAA.............MUNGU AKUBARIKI....
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
mchungaji wewe si mchezo,MUNGU Kaweka vipaji kwa baadhi ya watumishi, DANIEL NI MMOJA WAPO,,,,,,,big up father GOD
@kid_daniel53814 жыл бұрын
Haki huyu mchungaji anifurahishaga afu ananielimisha hapo ,naamini waumini hawachoki ibada ubarikiwe mzee Baba
@danfordmartin18173 жыл бұрын
Tumshukulu mungu kutuletea mchungaji anaeelimisha jamii bila kujari dini zao ubarikiwe sana
@sidemathias17005 жыл бұрын
Mchungaji nakupenda sana aiseee unanikosha sana mm mwisilam lakin unaniflaisha mno napenda sana stailiyako yakuhubili ubalikiwe sana mgogo mtani wang
@akhiikassimallimakame86575 жыл бұрын
Side Mathias
@felicianluvanda96725 жыл бұрын
Wote niwa Mungu mmoja tunatofautiana tu mavazi
@nguombagalalang3jfashioncl1504 жыл бұрын
Ndiyo wotee ni kitu kimoja
@anasiamacha25434 жыл бұрын
Felician Luvanda Hahhahahh
@irenemassawe72914 жыл бұрын
Mchungaj mungu akutunze milele 🙏
@danielorango58755 жыл бұрын
Mchungaji Mgogo. Ujumbe wa kusawazisha wanadamu wote. Nimebarikiwa mno baba Mchungaji.
@esterbarinaba58915 жыл бұрын
Mungu ni wezeshe niwaone wenzangu Ni watu wako Bora kuniliko Asante mchungaji
@kuyanjulius39784 жыл бұрын
Mch, Baba tunakuelewa vizuri Sana, Mungu akuongeze,
@masigomhoja51825 жыл бұрын
dah huyu analihubili taifa na sio kanisa lake tu hakika huyu kaletwa na mungu atusaidie
@roinajohnson97885 жыл бұрын
Kabisaa yaani mahubili yke mi nayaita no stress yaan unatoa mawazo
@mbaembae77894 жыл бұрын
Ukweli mtupu Kenya twapenda mgogo sana
@euniestherwilliam15133 жыл бұрын
Ni kweli. Ila neno Mungu tuanze na herufi kubwa
@amankajuna50645 жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na ujumbe anaoutuma Mungu wetu kupitia kinywa chako Baba Mchungaji
@lydiamwaniki1572 Жыл бұрын
Mchungaji you say as it is much love here in Kenya
@byamungujeanvie95142 жыл бұрын
Mungu akubaliki kwamaonyi yenu
@shaymohd65472 жыл бұрын
Hakika na kweli pastor asante sana
@danieljohn38365 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kwa mtumishi wa ukweli
@felicianluvanda96725 жыл бұрын
Huyu mchungaji hakika kaletwa na Mungu ....lengo nikuokoa dunia hii na hasa Tanzania nampenda sana Mgogo yupo kuponya watu waaina zote...... ...
@majidswalehe38543 жыл бұрын
Asantee baba Sema tupone
@japhetkenga68614 жыл бұрын
malindi twakungoja pastor
@tinamsengi5703 жыл бұрын
Waooo nnakukubali mtumishi
@ramadhankijana94423 жыл бұрын
Yaani mafunzo yako huwa nayapenda sana
@rosestephano76572 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji
@christineamukoye99695 жыл бұрын
AMEEEEEN jina labwana liimidiwe na penda mahubiri yako sana baba mchungaji Daniel Mgogo
@mwipagiesthermalemi44695 жыл бұрын
Ameen mgogo tupa mawe
@edghamoses61894 жыл бұрын
Ahsant mch. Naomb mawasiliano yako nahitaj kuonan na wew nin tatz
@stevenmajoge46445 жыл бұрын
Mchungaji nakupendaga,sanaaa tunaomba ufungue taw mwanza
@thobiasmboje15064 жыл бұрын
Mgogo barikiwa sana Mungu awe pamoja na wewe unahubiri ukweli mtupu huna upendeleo wa kumlea mtu hawa ndo wahubiri wanaotakiwa mbele za Mungu ni kuomba na kusali ili kupambana na majaribu mda wote Mungu Mkuu
@jayrosbajungu79544 жыл бұрын
Naipenda injili ya matumishi
@lumumbagustave52824 жыл бұрын
Rwanda tunakuelewa Mgogo
@veeJesus4 жыл бұрын
Salimia Rwanda
@frankongete93965 жыл бұрын
I like your real and true Gospel in this Generation of watapeli!
@anasiamacha25434 жыл бұрын
frank ongete Yaani daah
@elizabethmussa31113 жыл бұрын
H
@ceciliamusembi72264 жыл бұрын
Mtumishi uinuliwe na Mungu,kuubiri kwako baraka nyingi kwangu,BwanaYesu aonaye Kwa siri Akubariki
@emabreefraim91415 жыл бұрын
Amina!.Mungu atuwezeshe atuokoe na hili pungufu.
@ndayisengatheoneste58982 жыл бұрын
Pastor Daniel i love your teaching very much even I don't understand very much swahili but the little i understand it bless me much.ilove you and i pray for you. God bless you.
@emmanuelmuthui30815 жыл бұрын
Muchungaji you are the best. Much love from Kitui East, Kenya. Barikiwa.
@hadijaomary79823 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Ana muunda kuku kweny sahani🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jaman pastor nakupenda mnooo
@ezraemuria73974 жыл бұрын
This is the true man of God
@erickurio66373 жыл бұрын
Sina Cha kusema ila mungu akubariki
@happymwinami32873 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubili yako mchungaji wangu kweli mungu atuwezeshe
@chotandege79264 жыл бұрын
Hata mungu anamsahau
@t7zkc5tpxgim285 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki sana pastor
@angelamukami25114 жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji Naomba uje kwetu kanisa ulete huo ujube full gospel church of Kenya joska ,karibu sana kwetu
@drrobertkibagendi55562 жыл бұрын
From Kenya,Dr Robert,am practically touched
@ngunochugga87615 жыл бұрын
Ukweli Mwanadamu ni kiumbe mbinafsi sana. Yaani hata mkipiga picha ya pamoja, cha kwanza ni kujiangalia mwenyewe kama upo na ndo uwaangalie wenzako.....
@kijiwenikijiweni91185 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastar piga injili namabomu lipua mm nakupenda sanaa
@maidamatinya49055 жыл бұрын
Hicho ni kipaji cha pekee babaangu! Kitumie Mungu amekupa!
@ndenitoriakimaro96315 жыл бұрын
AMEN baliķiwa mno Baba
@margaretshiru45904 жыл бұрын
AMINA AMINA AMINA AMINA AMINA AMINA AMINA
@maryalphonce76534 жыл бұрын
Mungu akutunze
@elishasemhomba3245 жыл бұрын
Mungu akubariki na mahubili yako.
@albertludago73745 жыл бұрын
Mungu akibark sana mtumishi wa Mungu naipenda sana injili yako unasema kweli
@simonmwakyusa77153 жыл бұрын
Mungu awe nawe daima najifunza mengi kutoka kwako
@deborasantonia34523 жыл бұрын
Asante Sana mtumishi wa mungu yaani unatusaidia Sana mungu akuongezee uishi miaka mingi
@willingtonejohn19295 жыл бұрын
Mchungaji umenifanya nicheke,,,et kilicho kufanya kusoma ni kuongopa kulima....
@osman19681leje4 жыл бұрын
Mmmm kusoma ni kuogopa kulima.....!!!🙄
@ruthnyaudo50343 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 nakuambia nimecheka yangu yote, that part imenimaliza kabisa
@jeniphamkada2584 жыл бұрын
Nakupenda sana mchungaji mungu akulinde mana mafundisho yako yananifanya niwe furaha mda wote ubarikiwe sana
@trophainamagogwa79665 жыл бұрын
Kwa kweli hata wazungu Matajiri wanakula kwa mahesabu mno ili wasizidishe Karolis mwilini,ila tunaovipata kwa shida ndo tunataka vingi saana kupita kiasi
@GidionEmamuel5 жыл бұрын
Mchungaj wwewe n mtumish wa mung halali man unahubiri sana na unatia maneno ya kwak n ya mung big up like kam umependa
@nicolauskaaya28905 жыл бұрын
amina
@jastinetv76795 жыл бұрын
Amen! Ubarikiwe sana Mchungaji.
@lilianzishwapaul15575 жыл бұрын
Safi sana mchungaji waambie,, all of you the same... God bless you👏👏👏👏
@oprahwilliam76394 жыл бұрын
👏👏👏👏
@nicholaskhainza48025 жыл бұрын
Huo ni ukweli mchungu mchungaji.Barikiwa.
@siateshanapokebaba37574 жыл бұрын
Mtumishi unazid kunifurahisha
@fransicochunji3274 жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki sana
@emiliankomba85505 жыл бұрын
Barikiwa sna mchungaji
@kuyanjulius39784 жыл бұрын
Baba mchungaji, tunaomba somo la ndoa hasa wake zetu Baba mchungaji tunaomba.
@katiilight15175 жыл бұрын
Mungu niokoe na hili pungufu
@hobokelanyaluke60714 жыл бұрын
Mafundisho yako nayapenda sana
@mpollrose54465 жыл бұрын
ubarikiwe sana baba kwaujumbe mzur tumebarikiwa
@augustinondabeda77305 жыл бұрын
very fantastic messages pastor my Almighty God may lift you highest
@robartalembe99095 жыл бұрын
Nimejifunza kitu barikiwa sana Mtumishi
@andrewmajita64375 жыл бұрын
Asante baba mchungaji neno limepenya
@jacobezekielhoya16264 жыл бұрын
Sema tupone baba yangu,,,,,wewe ndo kiboko ya wachungaji matepeli na manabii wa uongo.
@karimally39604 жыл бұрын
Wote jola moja tofauti mxhonooooo
@jeremiarogathe39165 жыл бұрын
Angalia pakua yake amina mtumishi
@gracekim24813 жыл бұрын
True gospel Many years ahead of you Man of God.
@dianakibunyi4 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki,nimecheka sana
@blandymassawe28505 жыл бұрын
Ety upate kansa pastor barikiwa sana
@tabithawambui39044 жыл бұрын
Pastor nakupenda bure.
@arexmerck23244 жыл бұрын
Yani we mchungaji nakupenda sana eti mtu anaunda kuku kwenye sahani 😂😂😂😂😂😂
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Nmecheka mno leo🤣🤣🤣🤣
@lukamwakosya66765 жыл бұрын
Hahahaha....ameeen.nabarikiwa sana mtumishi kwa maubiri yako
@miriamwaithera27424 жыл бұрын
Kweli kabisa pastor napenda vile unaongea dhahiri
@clementinespertoniyitegeka68204 жыл бұрын
Jamani lewo, nimesahau kufanya homewark yangu 😂😂😄👌you have med my evinig super
@rehemamkanda56524 жыл бұрын
Amen
@eliaspetro43413 жыл бұрын
Nakubal
@siateshanapokebaba37574 жыл бұрын
Mtumish barkiwa sana
@lydiahann17375 жыл бұрын
Napenda naninafuatilia mafundisho yako huwa yanifariji barikiwa sana
@erikaingabire26764 жыл бұрын
Hahahahaaa wanapanda Na Yooo Na kushukanayooo 😂😂😂 Barikiwaga sana Muchungaji najifunza mengi kupitia mafundisho yako
@ibrahimdickson97495 жыл бұрын
Nimefurahi sana barikiwa sana
@floreemichael28154 жыл бұрын
I wish tugekuwa na wahubiri kama hawa, hapa kenya
@ikipkoechk4 жыл бұрын
utawala number 33 or 34 ni Kenya
@emmakulatamulongo67044 жыл бұрын
Your the best paster god bless you very much I like your gospel.
Yaan kuna watu mnachekeshaga kwa hyo kuwa muislam ndo nn
@hajihassan54333 жыл бұрын
@@solomonnyaholoti4340 Mimi sijuwi ndio nini wala sitaki kujuwa ndio nini lakini dua ninayomuomba Mungu kila wakati ni kunifisha (kufa) nikiwa Muislamu. Ni hasara kubwa kufa na Imani isiyokuwa ya Kiislam.
@mirianeyohana1485 жыл бұрын
Amen mchungaji wetuu
@sylvestermhojaaron96594 жыл бұрын
YESU akupe neema zaidi ya hiyo
@stevenkipara93105 жыл бұрын
Duuu...Mungu akubariki Mchungaji!Yani usipoona raha kwa Yesu basi umerogwa kwa namna hii 😁
@denisokumu.blondy68215 жыл бұрын
Hehe
@pensevnyos38455 жыл бұрын
Mimi Kama mkenya pia nafurahia hata nikiwa nje ya nchi Mungu akubariki sana