Mchngaji mungu akupe maisha marefu ili kutuelimisha siku zote
@abuuashyam84174 жыл бұрын
Na allah ampe nuru ya uislam ajekwetu uislamuni
@godloveadamu43794 жыл бұрын
Nimeamini alicho kisema bwana Yesu,kuwa mtawatambua Kwa matendo yako,hakika we we uko upande Wa Yesu,Baba Mungu akubariki sana,maana kupitia kinywa chako roho za Mungu zipo kuponywa.Bwana YESU akubariki sana uendelee kuponya nafsi zetu.