Somo: MBINGU MPYA NA NCHI MPYA Andiko: UFUNUO WA YOHANA 21:1-8 Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE Tarehe: 21.08.2024
Пікірлер: 30
@JastFinancial0216 күн бұрын
Natamani nifikie Imani isiyopungua hii
@JanethKeiser19 күн бұрын
Amen Baba, Mungu akutunze sema kweli.
@JastFinancial0216 күн бұрын
Balikiwa sana mtumishi wa Bwana Mungu aongeze viwango zaidi na zaidi
@FunnyDarypink23 күн бұрын
Amen amen amen amen and amen
@DorisLuvanda-z3q19 күн бұрын
Baba nahitaji maombi yako
@zenaahmed436513 күн бұрын
Amina🙏🏼
@THOBIASVITALICE14 күн бұрын
thanks
@rosemarymwanitega792623 күн бұрын
Amen Hallelujah damu ya YESU KRISTO ikufunike Mtumishi wa Mungu
@NicholasMasambe-w7w13 күн бұрын
Amina
@apostleemmanuelmabuga814823 күн бұрын
😂 😂 Pole Sana Baba kwa kukutoa machozi pepo mmoja Watu 30 hii hatari sana Wafunge na kuomba sana wasipende kula kula sana
@JohanesJester23 күн бұрын
Karibu mtumishi geita
@butotogentil229522 күн бұрын
Mungu akubariki mucungaji
@RutoneshaSadock-ii4qc12 күн бұрын
Amen
@ashambena691022 күн бұрын
Mungu akutunze
@jepemedia23 күн бұрын
Tuvumilie wapendwa these material things are man made haviko 💯
@apostleemmanuelmabuga814823 күн бұрын
Mungu aingilie kati Tu Tatizo la Sauti na picha kukatika kila wakati
@ellymwand772823 күн бұрын
Nawapenda toka Kenya
@HarryMbale23 күн бұрын
AMEN 🙏🙏
@bernadetteshukuru915422 күн бұрын
Amen amen amen ubarikiwe baba tuko pamoja baba amen
@mirindiabeli319523 күн бұрын
Namna gani ,Tuna weza fatiliya masomo kwa njia ya Kuwa mbali?
@richardsalala914723 күн бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@mirindiabeli319523 күн бұрын
Tuna wafata tukiwa Bukavu ,Congo .Baba Mchungaji ana Weza ata kuwa Bukavu mwaka gani?
@liberathmashuwe23 күн бұрын
Mchg wangu hata wakikusanyika 2 hubiri maana njia ile ni nyembamba na waionayo ni wachache.
@THOBIASVITALICE21 күн бұрын
muache utapeli fanyeni kazi ilyohalali na MUNGU atakubariki usiwadanganye watu na uponyaji wenu, uponyaji na matengezo ya nn hv unaelewa unachokifundisha. walokole wa sasa mmechizika!!!!!!
@GideonMnzava18 күн бұрын
Hizo ni habari njema
@GideonMnzava18 күн бұрын
Sio utapeli
@JastFinancial0216 күн бұрын
Thobias vitalice kama kitu ukielewi acha ku comet na kutoa ukumu kua anakosea wewe ukawa mungu kuona Yuko sahii au sivyo, jifunze kunyamaza usijione kua mtakatifu ukadharau Neno la mungu