Kongamano la Pentekote na Roho Mtakatifu Tarehe 30.05 mpaka Tarehe 05.06 katika kanisa la GOSPE CAMPAIGN CENTE TAG Majumbasita Ukonga Dar es salaam chini ya Mch Moses Magembe
Пікірлер: 59
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Aminaa Mungu atukuzwe kwaajiri yako mtumishi kutoka Oman
@gladysfatma48222 жыл бұрын
Gladys fatuma nikiwa Saudi Arabia 🇸🇦 napokea kwa jina la yesu
@AmosKapinga-jg4ve8 ай бұрын
BWANA Yesu apewe sifa mtumishi
@user-fu9dg3xx4j Жыл бұрын
Mung akubariki mchungji Sanaa nimependa mafundisho Yako ya kweli yameendelea kuninua kiroho
@YovinaNyabwinyo-wz5sv Жыл бұрын
Ubarikiweee sana Baba nakupendaa sana maisha yangu ya kiroho yanasapotiwa na wewe namshukuru Mungu kwaajili yako
@upendosfamily72102 жыл бұрын
Amen Amen Amen Mtumishi nakupata nkiwa Qatar
@ezekielpandisha Жыл бұрын
Barikiwa sana BABA.Tupo pamoja!
@sayunikasimiri5092 жыл бұрын
Asante mchungaji nilikuwa sijui maana ya dhiraa nimejua ss
@husseinjohn5322 жыл бұрын
Amen mchungaji
@user-re3mr6xy7u2 ай бұрын
Nimeupokea nguvu uuu ubarikiweeee
@youtob903410 ай бұрын
Utajuaje kama ROHO mtakatifu Yuko ndani yako
@ayoubmwalewela3062 Жыл бұрын
Ameeeeeen pastor
@juliusmollel8597 Жыл бұрын
Be blessed man of God
@luambanotv7796 Жыл бұрын
I appreciate your preaching then I feel so much better may the almighty father bless you all days of your life
@janenonge83202 жыл бұрын
Asante mtumishi Bwana azidi kukutia nguvu 🙏
@kornelioaloyce46712 жыл бұрын
Pastor kornelio aloyce mbulu manyara hakika baba umenigusa sana tupo pamoja
@mashughulikaguo-di5mu8 ай бұрын
Asante baba
@annsophyombasa30193 ай бұрын
Glory be to GOD
@luambanotv7796 Жыл бұрын
Your too few whom you tell us what God want us to do, when the church is nowadays lacking power to change the world, Please pastor retell the people don't give up, I miss you so much I feel if I could be your church member but I am distant away, God bless you,
@davidbirorero5285 Жыл бұрын
Ubalikiweesanaa
@chanzoninini68182 жыл бұрын
Amen mchungaji ubarikiwe saana baba
@beatriceamissi57652 жыл бұрын
Amena amena mtumishi tunashukuru kwa mafundisho mazuri sana
@davidbirorero5285 Жыл бұрын
Wajuwayotee birakuyatajaa
@davidbirorero5285 Жыл бұрын
Nakupamoyowanguu
@joackimmbonde41252 жыл бұрын
Nime nena kwa lugha leo kwa mara ya pili kwa mda mrefu,, sifa na utukufu kwa Bwana Yesu ,, nimependa sana Mara ya kwanza nilikua nasali kwa kuugua lakini leo ndio kwa mara ya kwanza nime nena kwa lugha ambayo si ijuhi hata Nimebarikiwa sana Amina
@chrismassawe3262 жыл бұрын
Umenena kwa luga?ikawaje baada yakunena kwa luga
@joackimmbonde41252 жыл бұрын
@@chrismassawe326 umeangalia ibada hiyo
@joackimmbonde41252 жыл бұрын
Mwishoni mchungaji alituombea tujazwe nguvu za roho mtakatifu na mimi nikapokea,, hasa habari za kuloga zinatokewa wapi ndugu?
@chrismassawe3262 жыл бұрын
@@joackimmbonde4125 unasomaga NENO?
@joackimmbonde41252 жыл бұрын
@@chrismassawe326 chakula changu
@luambanotv7796 Жыл бұрын
Nani awahurumiaye wanadamu, Tena NI Nani awaliliaye wanadamu waangamiao kwa dhambi, Nani atakaye waokoa wanna watch Yakobo Mch Usiache kusema ukweli pengine Mungu atauona ulimwengu na kuusamehe
@davidbirorero5285 Жыл бұрын
Aminaaa
@davidbirorero5285 Жыл бұрын
Woooow
@peterkyagila4111 ай бұрын
Tuombe sana sana wa miaka ya 1980 na kuendelea huyu mzee anamalizia nani atasimama tena kama yeye? Tumejitahidi sana roho ili atufikishe kiwango cha kumjua MUNGU sana na kumtii,,,walikuwa babu magembe nakuombea uwepotu tu,,,duniani
@davidbirorero5285 Жыл бұрын
Babawawezaayoteetee
@josephlukumay48252 жыл бұрын
Ubarikiwe mwinjilisiti wetu Mungu anipe uwezo wa kuelewa jambo kubwa namna hii nakupata hapa nikiwa Nairobi Kenya