Aliyewahi kuwa mbunge wa Iringa mjini na mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa amebainisha namna ulivyo ukaribu wake na Tundu Lissu huku akibainisha sharti litakalomfanya kuhamia Chama kingine
Пікірлер: 9
@tibbsminja25752 ай бұрын
Mheshimiwa MSIGWA heshima yako itaendelea sana kuimarika ukiwa ndani ya CHADEMA. Na ukiwa na LiSsu na Mbowe. Heche . Mnyika ni majembe
@JohnsonBagambi2 ай бұрын
Sawa msigwa
@AnosisyeMwaigomole-i5s2 ай бұрын
Mrafi wa madaraka hafai
@benjamalila9942Ай бұрын
Ma tepeli sio watu
@mertus.nestory.bishirangon46242 ай бұрын
Good
@joachimkalungwana86542 ай бұрын
Jamani mtu kushinda ubunge sio kwa ajili ya nguvu ya mtu mmoja tujue watu wengi wamekuwa wamepambania chama
@saidmtetwa43632 ай бұрын
Nenda huko CCM kibaraka mkubwa wewe
@JohnsonBagambi2 ай бұрын
Tatizo la nchi kuna watu wengi wenye uwezo mdogo wa kufikili na kutafakali mambo kama wewe ndo wengi aijalishi elim ya mtu kudhani mtu mkitofautiana mawazo uyo ni mpizani wako maendelea duniani kote yanakuja kwa kutofautiana namna ya kufikili msiwe kama nyumbu hii nikwa vyama vyote na taasisi zote
@JohnsonBagambi2 ай бұрын
Chadema mnapambanua kuwa ni chama cha demokrasia sasa utakuaje na demokrasia ukiwa unazuia mawazo tofauti ndani ya chama chako au taasis yako?tatzo lenu mnakua kama nyumbu