Aliekuwa mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akizungumza na waandishi wa habari na kumwaga tuhuma kuhusu kuhujumiwa kwenye uchaguzi wa ndani ya chama
Пікірлер: 126
@user-co4li6bn6mАй бұрын
Mchungaji umepamba sana na bado kazi inaendelea.mchungaji yapotezee hayo hata wenzetu ccm yapo hivi ndiyo Afrika.
@PeterIchobe4 күн бұрын
7😢 65th😅 7:46
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
WAHUNI HAWA HAWAWEZI PEWA HII NCHI WOTE WAKO KWA MASLAHI YAO NA UBAGUZI WAO 😮😮😮😮😮
@whatisthetruth.8793Ай бұрын
Kama samia na ccm yake
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
@@whatisthetruth.8793 kama CHADEMA na UDINI WAO🤧🤧🤧🤧🤧
@AdiaMwinyiАй бұрын
Uyo anataka kwenda ccm kwa mda mwingi iyo sio sababu amehaidiwa pesa na njaa inamsumbua ndio tatzo la viongoz wenye tamaa za kupitiliza
@mtimti3912Ай бұрын
Wewe ni mchungaji kumbuka ata Yesu alikubali kufa ili maandiko yatimizwe hivyo kwenye siasa ni zaidi sana kwa mfano wa neno la Mungu
@uredmwasembo8579Ай бұрын
Leo Nimeona unaitwa mchungaji ila kumbe unatamaa ya madalaka kias ivo hamna lolote njaa tu ayo maneno yako kwanini usiite viongozi wako mkayaongea ndani na yakaisha namashaka na uchungaji wako😂
@brightontibenda23466 күн бұрын
Mchungaji Musigwa naomba nikushauri. Rudi kanisani ukamtumikie Mungu wa mbinguni achana na mambo ya kisiasa. Viongozi mnaonyesha kuwa na maslahi binafsi Wala sio kutafuta haki za raia. Rudi kanisani.
@malaryhillary307529 күн бұрын
Msigwa nadhani hapa unachafua chama chako na hauko sahihi. Maana umma unasikiliza upande mmoja . Hauko sahihi hapa unafanya kazi ya uchawa wa ccm kuichafua chadema
@SaidAlly-uh4qwАй бұрын
Ushauri wangu wa bure kwa my msigwa achana na hao wahuni wasiojua demokrasia njoo ccm ktk demokrasia ya kweli
@SmilingFlowerBouquet-hs2hvАй бұрын
Wee ni hewa sana CCM inafanya Kila kuitwapo Leo watanzania wanakua masikini ila safar Kila kuchapo tena mungu anawaona
@PrinceMgambwaАй бұрын
Huyu naee sijui katokea wapi nahisi ni mpumbaaaavu
@zachariamalley7076Ай бұрын
Moyo mzuri= nia nzuri=akili nzuri. Moyo mbaya=nia ovu= akili mbovu. Mungu anaona yaliyo mioyoni mwetu, hata zuia nia ovu inakupa kuwa na akili mbovu kutenda maovu. Mungu ametujalia mioyo, akili na nguvu zetu kuzitumia kumtumikia kwa kutenda kwa haki kwa watu wake. Wasiotenda haki humbuka muda umefika kwa CDM kuomba radhi CCM kama toba kwa maovu ya kusingizia. Maji na mafuta hujitenga muda umefika wa kijua kipi ni kipi.
@zat6311Ай бұрын
Kumbe anadhani jaziba zake zimekomeshwa hivyo, huyo ni mtafuta madaraka asiye na uvumilivu ! Kuita press conference kwa Hilo ni sawa na kutoa Siri ya ndani ya nyumba yako # Anajiumbua na chama chale !
@MichaeSwaiКүн бұрын
Wewe siyo mchungaji unatamaa namadaraka tulia akika ww ni msanitu
@fanuelkitembe74042 күн бұрын
Vipi umehama na mabinti zako
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Msigwa uliingia chadema uliahidiwa cheo cha umwenyekiti wa nyasa. Wewe nenda ccm watakupa uwenyekit wa nyasa
@MichaeSwaiКүн бұрын
Si ukubali kushindwa
@EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын
Umetia aibu tu kila mpiga kula wako anakushangaa miaka 7 huna ofisi jitafakir
@kibundapesamadimba6352Ай бұрын
Tayariiiiiiiiiii speeech ni uchaguzi wa chadema lakini CCM imetajwa mara nyingi mnooooo
@fanuelkitembe74042 күн бұрын
Alisema kweli yule mchekeshaji
@AliSalim-yu4moАй бұрын
Kuanzia sasa nakutangaza rasmi kuwa wewe ni mshindi!
@sifamushi1747Ай бұрын
Some of us we see GREED here.. ULAFI WA MADARAKA.. MIAKA 7 , BADO unatoa Povu.. Sasa here say on ur Chairs,, unconfirmed kwenye vyombo vya abar.. such a joke..
@bonifacemkanga63024 күн бұрын
Ungekuwa umeandika ungeelewekasana ila unapuyanga maana huna kidesa
@josephlugala3182Ай бұрын
Utaamini hata akina halima mdee waliruhusiwa na viongozi wa chadema kwenda bungeni Leo wanajifanye hawawajui chefuuuuuu
@victoriambonde8061Ай бұрын
msigwa wewe unaujumu chama unakula pesa za ccm watu wamekugundua
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
MSIGWA JSMANI NAOMBA NAMBA ZA MBOWE
@davidsilwamba246529 күн бұрын
Mbona wewe mwenyewe kwenye chaguzi zamajimbo namikoa hukutenda haki,kwakuwaondoa makatibu wamajimbo namikoa ambao walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo dhambi zako zimekutafuna,naulikuwa mtoa rushwa nguli hata kwenye chaguzi za majimbo namikoa ili kuwapitisha walio kuwa wanakuunga mkono,tulia hiyo nidozi nzuri sana kwako ili ujifunze nasiku nyingine tena
@user-cj8yz4gk4u20 күн бұрын
Mchungaji kataja team yake ,sasa wengine wasioate team,au naye alitaja abilities nafasi. Mwanasiasa unayejiamini acha iende iko siku nyingine haki yako itakurudia.Cheo nni dhamana tu
@user-cj8yz4gk4u20 күн бұрын
Mimi namshangaa mchungaji eti kuwa hajui au haelewi kuwa haki hajawahi kusimamiwa ndani ya CHADEMA ,tunaijua chadema miaka 10+.Watu wanamiliki nafasi n hata kutengeneza vurugu dhidi ya wenzao.Katiba ya Chama inakataza kudai haki ktk vyombo vya haki,kwa adhabu ya kufukuzwa Chama. 16:14
@simpsonisoe899410 сағат бұрын
Ilikua mpango wa kuenda ccm
@dennisungonella205Ай бұрын
Msigwa alipaswa kuonyesha ukomavu zaidi ...hayo malalamiko kwa nn asipeleke malalamiko chamani? Hatari
@MrKhatibuАй бұрын
Huwezi juwa kama ameyafikisha au laa
@whatisthetruth.8793Ай бұрын
Kani hicho sio chama cha democracy 😂😂😂
@GallusGustavАй бұрын
Hiyo ni laana kutoka kwa Mama yetu Samia Suluhu.NA BADO. MAMA PIGA KAZI KAMA KAWA.
@muddyausi8470Ай бұрын
Sasa si ungesema siku ile ile huo ni ujinga tu Tz Hakuna upinzani ni wapenda madarka na ubinfsi tu wanamch tuachane na wanasiasa me nishasema sipigi tena hata kula ccm tuhjlumieni tu mUK ngaliane musiihalibu tu inch yetu hakuna chama kwa sasa chakuwatoa madarakani mpk Mungu atapotaka yeye wakt utaamua
@user-fk4st8qj2kАй бұрын
Hawa hawajachukua madaraka wanaleteana vurugu wenyewe vipi wakiwa wamechukua dola itakuwaje. Mkataa pema pabaya panamuita. Acha twende na hii ccm tu.
@GallusGustavАй бұрын
Huu ni uroho wa kanda tu. Halima Mdee Leo wametuhakikishia ulionewa. Nenda kwa mama Samia kwani unaupiga mwingi bungeni, usipoteze maelekezo ya Mungu kuwatumikia watanzania kisa chadema
@johntendwa7856Ай бұрын
aaaaah, mkuu hapa hutaeleweka, au kuna lingine nyuma ya pazia?
@japhetringo76886 күн бұрын
Njaaaaaaaaaa sanaa wewe kwani umevumilia manqapi bana umeahidiwa uwaziri
@RomanusRimbaАй бұрын
Yawezekana kinacholalamikiwa kina UKWELI ama laaa!! Ila katiba YETU imasemaje juu !! Ya malalako ama migogolo inayojitokeza ndani ya chama yawezekana ni KWELI ila ungebakia na hiyo HOJA ya kukata rufaa naamini ww umewahikuwa mjumbe wa kamati kuu ungelinda hicho unachosema ni aibu ya chama!!
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
CHADEMA SISI WANANCHI TUNA WATEGEMEA NINYI NDIO CHAMA PEKEE TUNACHO SUBILI KUKIPIGIA KURA KTK NGAZI ZOTE KUNA NINI SASA IVO MUHESHIMIWA MBOWE LISSU DBU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO ILO MWENYE HAKI KM MSIGWA APEWE NAKM SUGU APEWE ILA MSIPENDELEE UPANDE WOWOTE
@henrykabogo4247Ай бұрын
Pole Bwana Msigwa,lakini lisaidie Taifa hili kujua ukweli wa moyoni kutoka kwako 1. Kwa Nini uliamua kukubali kushiriki uchaguzi ambao tayari ulionesha kutoendeshwa kihalali? 2.Matokeo ya uchaguzi yangekupa ushindi ungeyakataa kwa kuwa kulikuwa na figisu toka mwanzo? 3.Malalamiko Yako yanatokana na kukiukwa kwa taratibu za uchaguzi na katiba ama kushindwa kura?
@chamlilemhando74784 күн бұрын
Dont trust the politicians
@pinucykaberegeАй бұрын
Ubinafsi, umimi,ni asili ya ibilisi ridhika mchungaji unatuchanganya waumini
@johntendwa7856Ай бұрын
kakaa, ulishakuwa mjumbe wa kamati kuu na wewe ni kama twiga, iweje ushuke na kula majani ya chini kama swala?
@richarddabryin9126Ай бұрын
Msigwa kalewa
@PelesMlawa5 күн бұрын
Mh ko unataka uwe mwenyekiti miaka yote jani duu
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
WANANCHI CHAMA TUNAKIPENDA CHADEMA
@user-lt1bi5nr1x5 күн бұрын
Msigwa kwaiyo Umehamia peponi
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
MBOWE LISSU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO
@ProductionWinderBulyanhulu27 күн бұрын
Sass wenyewe kwa wenyewe mnahujumiana hivi, kuna dalili ya kutoboa kweli mbele ya CCM?😢
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
MSIGWA MIMI NIPO CHADEMA KWA KUFUATA USHAWISHI WAKO UTAKAPO KWENDA NAMI NIPO
@emanuelurio-ok8yl5 күн бұрын
Nimekupata sana lkn bad haikuwa sababu ya Muhammad ccm.. ungejiuzulu uanachama tu
@ShaabanMfalmeАй бұрын
Ninyi chadema mko kwa masirahi binafsi kwa kifupi viongozi wa chadema mna uchu wa madaraka ndiyo maana mnaitwa watoa taarifa na si wapinzani
@nicksonkamazimo5173Ай бұрын
Kumbe na chadema Kuna maelekezo kutoka juu😢
@renamalima555825 күн бұрын
Siasa ndivyo vilivyo... Msigwa anaijua hyo
@SaidZavallah29 күн бұрын
Mpka wenyewe mnaibiana kura uko hahahaba daaah siasa mm sitaki kabisa mmmmh mwanasiasa siyo mtu wa kumuamin
@EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын
Acha kelele huna hoja umeshindwa kujenga ofic miaka 10 wana nchi wamekuamin au unaamin ulijipeleka bungeni mwenyewe umekosa hoja
Mzee msigwa umeshindwa kubari yaishe ww ulishindwa hata kabla ya uchaguzi wenyewe. Mbona hata kwenye mdahalo sugu alikushinda? Wewe umeshindwa kiharali mzee acha tabia za kukigawa chama
@MOREDI20244 күн бұрын
Bora CCM
@davidsilwamba246529 күн бұрын
Kijiti nikupokezana sasa wewe unalialia nini,au nikweli walivyo sema kua wewe umepewa hela zamama abduli ili ushinde uendelee kukivuruga chama kama vyenye ulifaulu kutengeneza migogoro kwenye chama chetu kila kona yakanda,wewe mwenyewe uli diliki kuwatoa makatibu wamajimbo walio shinda kihalali ukaleta watu ambao hawakushinda kwasababu walio shinda walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo tulia ikuingie vizuri.
@sifamushi1747Ай бұрын
KARIBU CCM. ila utanza na kufagia fagia. You gotta earn position . Sio kwa povu..
@josephlugala3182Ай бұрын
Kimeumanaa
@EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын
Unakijalibu chama ww huna lolote hata ubaroz upewi bora arud jeska
@fadhilimsafiri216Ай бұрын
Hii kauli ni ya kwenda CCM. Kwa kauli hizi CDM watakuelewa? Unakiu chama wazi wazi! Unakipenda chama wewe?
@mwombekiflorian5203Ай бұрын
Mchungaji Peter msigwa unalalamikia kutoshinda kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kanda mpaka unaita press conference na waandishi wa habari kweli .Nafikiri hili ni jambo linalotakiwa limalizwe ndani ya chama lkn kama unavyofanya sasa .Naona kama vile unataka kuvuruga chama as if umepewa kitu kidogo .Vilevile usiwe mroho wa madaraka kwani muda uliiongoza kanda ni mchache ? Mchungaji rizika na kuwa na kiasi kwa kile ulichopata .
@saidalhinai11316 күн бұрын
Chadema ni ya wachaga hao wabaguzi
@user-wl8ns6hh8l6 күн бұрын
Wacha ujiga ww lisu ni mchaga heche
@fadhilimoshi5754Күн бұрын
Wewe mamluki umeshindwa kulipa madeni ukaona ukawaangukie CCM. Huo ni umalaya wa siasa Aibuuu
@mbwanahasan2971Ай бұрын
Anaenda CCM huyoo
@IsaacLobsonАй бұрын
Mimi sijapenda kabisa wewe kulalamika
@nyembobea7285Ай бұрын
Kulalamika ndo asili ya wapinzani ila ni haki yake Kulalamika
@fidelmbai3642Ай бұрын
😅😅😅😂😂 qmamake chaguzi zenu za ndani wenyewe mnalalamika😂😂😂😂 Mama SAMIA NJIA NYEUPEEEE 2025... Serikali za mitaa ndiyo msiseme😂😂😂😂
@MalandoJamesАй бұрын
Nimegundua kawaida ya hiki chama in kulalamika. Ccm ikishinda wanasema wameibiwa kura. Sasa huu uchaguzi wao wameibiana kura? Wanaodai katiba na time huru ni hawa? Kama ndo hivyo waanze kwanza kurekebisha katiba yao. Kumbe hata katiba yao ni mbovu.
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Sasa ndiovwataongoza nchi hawa
@kwandiwageorge2826Ай бұрын
Kwani lazima uongoze wewe so unalalamika nini boya
@saidomary8796Ай бұрын
Siuhame
@drkalokola5861Ай бұрын
Ulijuaje kama nakatibu wote wangekypigua wewe? Kumbe ndani ya chadema uchaguzi sio wa Siri?
@mlekwaАй бұрын
Wajumbe sio watu wazuri
@edwinmbelle4207Ай бұрын
Asiyekubali kushindwa sio mshindani mtumishi !😅😅😅
@exseviangaeje1158Ай бұрын
Mch unajiondolea heshima WATU awakuelewi una ndimi mbili una nini kilichojiri cha?
@twahaanyoni9120Ай бұрын
Msingwa wacha kulalama ungeliangalia masilai yako kwa jicho la tatu Enzi za mjomba magu wala usingekuja shupaza mishipa ya shingo hapa umasikini unautaka mwenyewe buana tuachie kelele uko
@gideon5466 күн бұрын
🇹🇿 MCHUNGAJI Peter MSIGWA, Ukishindwa kwa UCHAGUZI si utoroke CHAMA ni Kuangalia kwaninj ULISHIDWA.⁉️❓🤫 👉SOMETHING IS WRONG WITH YOU NOT WITH CHADEMA. Wewe ni MNAFIKI.👈 ❌
@drkalokola5861Ай бұрын
Hicho ni kitabu Cha wahuni sio kitabu Cha Baba wa Taifa. Sera za Baba wa Taifa as likuwa akizotoa kama Meongozo wa CCM katika Halmashauri kuu ya Taifa.
@drkalokola5861Ай бұрын
Mbona anatetea mashudhushu?
@abrahamrubeni5905Ай бұрын
Kumbe ulikuwa na idadi ya wanakuunga
@drkalokola5861Ай бұрын
Personality ni Mila ya ufalme. Unataka chadema iendeshee kifalme?
@gmknews792929 күн бұрын
Kiukweli mmi sionag uwezo wa sugu kulinganisha na hyu mwamba
@drkalokola5861Ай бұрын
Uongozi ni kupokezana mjiti
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
NAOMBENI NAMBA ZA MBOWE
@AngerusLijuja-bg6sbАй бұрын
Uliingia namatokeo iyo imeisha
@claudchristopher8416Ай бұрын
Komaa nao au kibomoe chama,hawa akina mbowe ni wanafiki tuu,ondoke nenda ccm wadhoofishe hawa
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Hao makatibu niwatu wako
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Huo ni uchafu msigwa ni mchafu wala hakuna kupitia lufaa yakoo
Hunalolote ww nimbinafsi mpigie makofi sugu kubar kushindwa
@bakarindemanga2318Ай бұрын
hiki ndo chama kinachojinasibu kutaka kuitoa ccm madarakani??
@ZuhuraMwanafunoАй бұрын
🤣🤣🤣🤣
@DaydreamHimselfАй бұрын
personality ya Mbowe kuruka na chopa...?!
@alphoncehanura3255Ай бұрын
Kamanda komaa nao .ufuatwaji wa katiba . John Mrema ajiuzuru....... siku nyingine Chadema azimeni Padri Kitima awe mkuu wa uchaguzi.... siyo hao.... akina Kigaila.
@cyprianboniphace-oz5lwАй бұрын
Wanaodhani Msigwa atatoka Chadema wanaota ndoto
@williamkavishe397Ай бұрын
Mwambie huyu jamaa awache Mara moja kuaibisha chama kweli Katia chama doa kubwa Sana aibu hii kahahirishia Cham mharo mkubwa Sana hayo yalitakiwa yasiwe hadharan Peter umeharbu Sana yani hata Mimi Sasa chadema kwaheri kumbe Ni Walarushwa wakubwa hivi duuuuuuu
@kuyajr1lanyoru903Ай бұрын
Nenda Tuache Acha Kupoteza Muda Wewe? Yaani Kiongozi Muandamizi Ulishindwa Kupeleka Malalamiko Yako Kwenye Vikao Husika? Hii Siyo Sahihi!! Huyu Ni Mwendaji Muacheni Aende Zake? Yaani Umekata Rufaa Ya Haujasubiria Majibu Ya Rufaa Alfu Unalalamika. Stop Nonsense
@godfreymasele8853Ай бұрын
KESI YA NGEDERE UNAMPELELEKEA NYANI UTAPATA HAKI? CHADOMOÒ