MCHAMBUZI THABIT AFAFANUA UONGOZI WA KIDIKTETA / AFRIKA INAUMIA SANA

  Рет қаралды 21,965

Gangana Info Channel

Gangana Info Channel

Күн бұрын

Пікірлер: 139
@endrewmhina3371
@endrewmhina3371 3 жыл бұрын
Dah! 😭😭😭 Yanapoongelewa yote hayo namkumbukasana hayat J-P-M.. Apumzike kwa amani..
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 3 жыл бұрын
Unamkumbuka kwa lipi. Alifanya mabaya yasiyooongelewa
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 жыл бұрын
Safi sana kwa uchambuzi mzuri. Mimi nataka Madikteta kama Magufuli, Gadafi na Wazir wa sasa wa Ethiopia. Hawa watu ni mashujaa
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 3 жыл бұрын
Maguful alikuwa syo dicteta bali. mzalendo wa kweli
@jordanclassic7849
@jordanclassic7849 3 жыл бұрын
Kabisa nauhakika
@harounzuberi8179
@harounzuberi8179 3 жыл бұрын
Allah mlaze mahala pepo kipenzi chetu Dr Magufuli
@ramadhanimandoa4058
@ramadhanimandoa4058 3 жыл бұрын
Wew ni jahil unamuombeaj dua mtu aliye kufa na ukafiri
@harounzuberi8179
@harounzuberi8179 3 жыл бұрын
@@ramadhanimandoa4058 uelewa wako mdogo nakukumbusha Mtume S A W alimuombea dua baba yake Abu Tarib wakati hakutoa shahada ila Allah alimwambiaje Mtume wetu? Kwa hiyo usiwe na chuki anapoombewa dua mtu Allah anaweza akapokea au kutokupekea hata wewe unaweza kukesha unamuombea dua mzazi wako na motoni akaenda tuu
@dominickndomba4474
@dominickndomba4474 3 жыл бұрын
@@ramadhanimandoa4058 wewe ni pimbi na inaonesha umeishia la pili tena ukome kumtukana magufuli wetu
@josephineswai5330
@josephineswai5330 3 жыл бұрын
Aise ata yericko nyerere hakutii huu moto...,thabit anajua sanaa
@godifalsafa6956
@godifalsafa6956 3 жыл бұрын
This man ni 🔥🔥🔥🔥🔥 hachochi masikioni tumuongezee muda
@sophiasophia6945
@sophiasophia6945 3 жыл бұрын
Mi nikianzaga kumsikiliza hua nasikiza clip zake zooooote zingine narudia hua napata utulivu nikimsikiliza
@raheryjoel9211
@raheryjoel9211 3 жыл бұрын
yani ebu wsmshe walio lala wengi hawajielewi wala hawaelew mtu sahihi niyupi muda mwingine unaweza kukufuru magu alikuja kama maraika tu kafanya kazi yake kaenda wenye akili mbaya wametutudisha kule aliko tutowa mzee wetu mpumzika kwa amani
@pauloqaymo8925
@pauloqaymo8925 3 жыл бұрын
Mimi sielewi kuhusu DEMOKRASIA Kwa maana ya chama chenye dola na vyama vya upinzani kwani imekuwa kawaida mfano jimbo linaloongozwa na upinzani inaweza isipewe kipaumbele ktk shughuli za maendeleo na serikali ya chama tawala na pia vyama vya upinzani kupinga kila kitu kinachofanywa na chama tawala hata km ina maslahi mapana kwa taifa KWAKWELI NASHINDWA KUELEWA NINI FAIDA YA DEMOCRASIA YA VYAMA VINGI
@Pedeshee01
@Pedeshee01 3 жыл бұрын
Demokrasi ya sasa ni magumashi tu yaani uchakachuaji mwingi,maana halisi ya demokrasia ni wengi wapewe,kama mimi wewe na mwengine tukanya uchaguzi kama wawili wao wapo sawa kimawazo basi wanastahili kupewa,Africa hakuna demokrasia ni ubabaishaji hakuna upinzani wala chama tawala.
@pauloqaymo8925
@pauloqaymo8925 3 жыл бұрын
@@Pedeshee01 Kwakweli huu mchezo uliojificha kwenye Demokrasia siuelewi kabisa
@onesmojeremia9713
@onesmojeremia9713 3 жыл бұрын
Mpe salamu nyingi huyu mwamba yuko pouwa sana , Ndiye msomi akiongea unafeel kwamba anachoongea anajua pia Anaweza akakiweka kwenye matendo .kikafanya kazi,. Naomba siku nyingine akija aongelee mfumo wa elimu tulio.nao unaweza kuzalisha watu wanao fikria kwa akili zao na tunaweza kuwa na mfumo upi ili kuwa na watu bora kabisa kwenye taifa.?
@ramadhanrashid8536
@ramadhanrashid8536 3 жыл бұрын
Kwamaelezo ya thabit mchambuzi jpm alikuwa sahihi kwaungozi wake ilatu wenyeuchu wa madaraka ndiowaliokuwa wanatuposha Mimi mpaka Sasa sijawai kusikia utajiri wa jpm ,
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 3 жыл бұрын
Naomba aongelee maswala ya ujasusi na upelelezi. Alafu mwambie aandike kitabu kuhusu maswala ya uongozi na mbinu zake
@samchris8216
@samchris8216 3 жыл бұрын
Khalid,siku nyingine muongeze na Roy Sarungi..Ila kama kawa Thabit ameendelea kutema madini endeleeni na kazi nzuri 💪🏾
@onesmojeremia9713
@onesmojeremia9713 3 жыл бұрын
Mimi mwenye roy waga namkubali kwa tatifi zake ,ile kichwa ikopouwa sana.
@johnampelius6985
@johnampelius6985 3 жыл бұрын
Sarungi ameiva aisee pia kwa uchambuzi
@DawsonKiwia-qt6zf
@DawsonKiwia-qt6zf 11 ай бұрын
Tufafanulie mlengo wa kushoto na kulia.
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 жыл бұрын
Hujui kitu dikteta hajali maisha ya wananchi wake haeng nchi wala kusaidia kama kule Zanzibar viongozi wake ni dikteta amani karume na sheni
@AliAli-lu7or
@AliAli-lu7or 2 ай бұрын
Sisi waafrika ningumu kuendea sababu wamagaribi bado wanatukoni kitaalam nakama hutaki watakizimgua hebu wewe mwenyeakili mimi ninaemdesha nyumba yangu bila kuomba msaada inakuaje serikali kilasiku kukopa lazima uwe mtumwa
@mashirimathias6006
@mashirimathias6006 3 жыл бұрын
Na Hawa wanaowaita viongozi wetu Kuwa ni madikiteta ni hao makuhadi tunaishi nao wachumia matumbo yao na familia zao mfano mtoto wa kiongozi muuza unga / kiwanda cha kuzalisha mateja unategemea nn apo
@emmapaul1766
@emmapaul1766 3 жыл бұрын
Utakua unaish kwa mashoga maana maneno yako ya uswahili swahili
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 3 жыл бұрын
Hujaeleweka
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
Unapoongea na public jaribu kuainisha hoja yako vema ili ueleweke, vinginevyo utakuwa unajitukanisha bure tu, "mfano hapa umebwabwaja tu" Hujaeleweka mkuu
@venanceselegebu8566
@venanceselegebu8566 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius
@alisele5299
@alisele5299 3 жыл бұрын
GANGANA usimcheleweshe sana Thabit, muulize next time North Korea ni udikteta au watu wamagharibi wanaponda na ni maskini au tajiri, nchi za magharibi zinasema ni maskini, kama ni maskini mbona wanatengeza mabomu ya nyukria ambayo kuwa nayo hiyo nyukria wewe ni tajiri. Kweli maskini au propaganda
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 3 жыл бұрын
Nimejifunza pia kwako
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Nakuunga mkono kidogo, lkn. Mm loves my country, ya nchi nyngine tujifunze tukiwa tunasherekea I
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 4 ай бұрын
Safii
@onesmojeremia9713
@onesmojeremia9713 3 жыл бұрын
Mpe salamu nyingi huyu mwamba yuko pouwa sana , Ndiye msomi akiongea unafeel kwamba anachoongea anajua pia Anaweza akakiweka kwenye matendo .kikafanya kazi,. Naomba siku nyingine akija aongelee mfumo wa elimu tulio.nao unaweza kuzalisha watu wanao fikria kwa akili zao na tunaweza kuwa na mfumo upi ili kuwa na watu bora kabisa kwenye taifa.?
@shamirahkantengwa6018
@shamirahkantengwa6018 3 жыл бұрын
Huu ni ufafanuzi mzuri kabisa, wapinzani wa Afrika ni dhairi watoe mafunzo !! Hata ktk familia, udikteta unatakika ili mambo yakae sawa ! 🇺🇬
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 3 жыл бұрын
Najifunza sana.
@mrmhenipm
@mrmhenipm 3 жыл бұрын
Huyu jamaa namkubali sana kwenye uchambuzi ,,,,,,,nakupa salamu Mr Gangana
@annemwangoka7756
@annemwangoka7756 3 жыл бұрын
Aa kumbe nawewe unamfatilia huyu Jamaa! Kwakweli namuelewa sana huyu Mchambuzi Thabit! Anajua kwakweli
@matheomwakisole6819
@matheomwakisole6819 2 жыл бұрын
Namba yake kwenye ya simu ni muhimu aiweke
@josephatkiliko2546
@josephatkiliko2546 3 жыл бұрын
Nafurahi kukuona Thabiti Mlangi nakukubali Sana kaka,wewe ni hazina kwa taifa Ili.
@raphaeljuma6843
@raphaeljuma6843 3 жыл бұрын
Madini ya hatariiiii
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
Hakuna taifa liloendelea bila nidhamu ya udikiteta. Sheria zote wanazotuletea ni za kuturudisha nyuma. Nchi za Ulaya zina fedha zetu kwawo zilizotoroshwa na viongozi wetu, na wameziweka kimya. Hayati Magufuli hakuwa dikiteta walimuita dikiteta kwa kuwa alitaka kuibadirisha Tanzania kwa kupigania mali zetu na kutufunguwa macho kuwa sisi sio masikini. Kwa sasa Samia wamemukubali na kuanza kumpa vijisenti. Wanasema ukiona unasifiwa basi jiulize ni kwa nini. Hivi vijisenti na sifa wanazomutupia ni Rais Samia ni za kutufanya sisi ni masikini. Mawazo ya Chadema ni ya watu wanaotaka tusiendelee. Rais wa Singapore, alikikataa hayo mawazo ya Marekani na wakamuita dikiteta. Leo Singapore imekuwa nchi yenye kujitoshereza.
@burnmotto1876
@burnmotto1876 3 жыл бұрын
Kweli
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 3 жыл бұрын
Kuvamia maduka ya bureau na kuchukua mapesa magari na Mali zao ni kufufua uchumi au udikteta?
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
Ni kutimiza sheria
@JapharyBBudal
@JapharyBBudal 3 жыл бұрын
Hiyo ndiyo elimu ambayo tulitakiwa kuwa na Tanzania na Afrika nzima, Siyo hii ya kuchoshana tu madarasani na ukimaliza unakuta msomi hajuwi chochote kile,ila kwa elimu ya brother hapo inazihirisha wazi kama ni mwanafunzi ameenda darasani kwa niaba ya sayansi au uchumi au fani yoyote ile lazma awe sawa.Kazi ya naikubari sana bro mr Gangana ,siyo kama vyombo vingine vinaandika vichwa vya habari tofauti na mada kisha vifungiwe eti nao wananyimwa uhuru wa habari.kuna wewe Gangana ,Millard ayo na Denis Mpagaze ninawafuatilia sana si kama hawa wengine .
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏 hii ni kubwa kwangu
@JapharyBBudal
@JapharyBBudal 3 жыл бұрын
@@ganganainfochannel Ndiyo hivyo bro mm naikubali sana kazi yako maana nimeshafuatilia channel nyingi za KZbin wewe upo poa sana ,unauliza maswali ambayo yapo smart sana na mada .
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
@@JapharyBBudal shukrani sana sana
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
SOMO ZURI SANA. NA HV NDIVYO DUNIA INAVYO ENDELESHWA NA MATAIFA MAKUBWA YALIO ENDELEA
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 3 жыл бұрын
Thabiti mrangi ww ni chafu one kwenye uchambuzi wa politics
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
Marais wa Africa lazima waiunge mukono Ethiopia. Thabiti anajuwa kabisa kinachoendelea duniani. Serikali ya Tanzania tukitaka kuendelea watu jama serikali inabidi wawe na watu kama Thabiti wenye ujuzi wa siasa za dunia kuwafunguwa viongozi wasiojuwa mambo yanavyoendelea duniani.
@emmanuelbunuma5471
@emmanuelbunuma5471 3 жыл бұрын
Mchambuzi yuko vizuri
@hassanhassan3021
@hassanhassan3021 2 жыл бұрын
brother Thabit Anzisha ka platform ambacho kitatupa nafasi sisi tulikua hatuja soma utpime brain wash ata kwa fedha
@japheteliatosha4710
@japheteliatosha4710 3 жыл бұрын
Thabit hongera sana,huu ndio utajiri wa nchi watu wanye Think Tank ya kutosha
@hamismabula5813
@hamismabula5813 3 жыл бұрын
Kwa maelezo hayo, nikilinganisha Katiba ya Tz imekaa kidikteta! Rais amepewa maamuzi makubwa mno! Akiteleza kidogo tu ktk kuamua, nchi nzima inaangamia na hakuna wa kumzuia! Anaamua anachotaka kiwe na kinakuwa, hakuna wa kumhoji! Yy ndo mwamzi wa mwisho!
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 жыл бұрын
Mbona hujaisemea Marekani na ilivyotetereka wakati wa Trump? Ni rahisi kuongelea Afrika bila kuangalia nchi zingine za magharibi.
@kisalaTV
@kisalaTV 3 жыл бұрын
Jmp
@jastinekanjost8073
@jastinekanjost8073 3 жыл бұрын
Hapo kwenye Mlengo👍
@matheomwakisole6819
@matheomwakisole6819 2 жыл бұрын
Nimekukubali andika kitabu"
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
HAKUWAI KUTUANGUSHA MR. GANGANA...UBARIKIWE SANA KIONGOZI.
@mutayengelwamasatu2384
@mutayengelwamasatu2384 3 жыл бұрын
Naomba mjadala wa BRI na kupigwa kwake na nchi za magharibi.Pia ahusishe na issue ya bandari ya Bagamoyo.Thabit itapendeza zaidi
@willymwasakyeni4393
@willymwasakyeni4393 3 жыл бұрын
We jamaa inabidi upewe ulinzi maana
@deusisindwa616
@deusisindwa616 3 жыл бұрын
Huyu jama nmekuwa nkimfatila kiukweli yuko vzr.Mungu aendele kumpa afya njema ili aendele kutuelimisha,,😭😭😭RIP JPM
@willymwasakyeni4393
@willymwasakyeni4393 3 жыл бұрын
@@deusisindwa616 yuko vizur kwa kweli
@deusisindwa616
@deusisindwa616 3 жыл бұрын
@@willymwasakyeni4393 anavitu vingi vyakujifunza kweke Mungu amjalie afya njema
@lgffumbuka183
@lgffumbuka183 3 жыл бұрын
Anesema vixuri, katumua naneno BILA KUFUATA NAONI YA WALIO WENGI. Ingefaa kama angerudinyuma akaeleza ANAPATIKANAJE na pili ANAONDO.EWAJE. Kama anapatikana kwa kura, maana yakw hawezi kuwa dictator kwa sababu atatolewa kwa kura hizohizo.
@juliuskaheza4927
@juliuskaheza4927 3 жыл бұрын
Kwa kweli una faa kuwa mshauri wa Raisi awamu 6
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 3 жыл бұрын
CCM imelifanya jambo hilo kwa awamu. Nyerere alikuwa Solid Mwinyi alikuwa Lakini Mkapa Solid Kikwete Laini. JPM solid Samia Laini. AJAE ATAKUWA SOLID. HII NI FALSAFA
@kavumanicholas564
@kavumanicholas564 3 жыл бұрын
Unataka kumtaja majaliwa au😆
@zawadijoel7516
@zawadijoel7516 3 жыл бұрын
Asanteni sana
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 жыл бұрын
Mbona hauiongelei Marekani na ilivyoyumba wakati wa Trump. Ni rahisi sana kuwaongelea viongozi weusi, wewe mwenyewe ukiwa mweusi kwa sababu umefundishwa kukariri waliyokuambia na wala hujajikwamua kimawazo. Sionie yeyote anyeiongelea Singapore wala Thailand hata Korea ya Kusini. Ila kwa Afrika mtapayuka sana, think out of the box and decolonize yourself.
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
Haikua dhima ya huo mjadala. Tunaishi Afrika kaka, anza na yanayokuzunguuka. Mumihu zaidi ni kutoa wazo unalotaka lidajiliwe si kulaumu.
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
Na kama ikikupendeza tuje kwako utupe elimu hiyo ,tuhojiane nawe.
@namandamzuma5478
@namandamzuma5478 3 жыл бұрын
Waafrika wivu ndiyo wetu. Achana naye huyu Gangana. Yawezekana form four fighting for food. Hana lolote.
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
MADA: "Ufafanuzi kuhusu Udikteta/Afrika inaumia sana." US , Korea, Singapore na Thailand ziko Afrika ya wapi vile.!? Nikumbushe tafadhali, wengine hatujui Ramani ya Dunia....!
@johnfarayo6699
@johnfarayo6699 3 жыл бұрын
Thabit uko vzr mshauri rais samia
@mohamedymussa4075
@mohamedymussa4075 3 жыл бұрын
.Kwa kweli kupitia kipindi hiki najifunza mengi kuhusu siasa naomba mboreshe zaidi !
@floriankiiza2890
@floriankiiza2890 3 жыл бұрын
Jamaa hyo uko vizur,acha na wabongo wanaojidai ni wasomii
@hamidumwaibingila4294
@hamidumwaibingila4294 3 жыл бұрын
Siku nikiwa raisi wa nchi nitamchukua Thabit kua mshauri wangu, ili nifanye jambo lolote nitahakikisha amelipitisha
@lotionetv2833
@lotionetv2833 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii makara na mtayarishaji, ahsante kwa ufafanuzi mzuri japo ndio ivo mashujaa wetu,watetezi wetu wengi wa Afrika tamewapoteza kwa njia za ovyo na kwa sababu ya wengi wapinzani wa ndani
@hajihismaili4031
@hajihismaili4031 2 жыл бұрын
Iko poa Sana
@taetommy8343
@taetommy8343 3 жыл бұрын
Khalid uwage unawapa kiti wakae wanachoka kusimama
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
🙏🙏
@casmirygregory4990
@casmirygregory4990 3 жыл бұрын
Daah naomba watanzania wa pewe elimu jmn tuendelee maana kuna watu wanajua kupinga hadi ukwel
@mashirimathias6006
@mashirimathias6006 3 жыл бұрын
Big up Mr gangana uko vzr
@amirlehao8945
@amirlehao8945 3 жыл бұрын
@gangana naomba unieleweshe bwana thabiti anasema mlengo wa kushoto hapo sijaelewa tafadhali
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
Somo linakuja soon
@amirlehao8945
@amirlehao8945 3 жыл бұрын
@@ganganainfochannel shukran saana kaka jamaa yuko sawa saana
@amirlehao8945
@amirlehao8945 3 жыл бұрын
@@ganganainfochannel pia natamani aje na uchambuzi kuhusu bunge letu, kuna viti maalum ziko kamati kibao pia kuna wakati spika anasimama kama mwenyekiti ni sheria zipi zinazomfanya awe hivyo
@sidodeni3468
@sidodeni3468 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka ongeza juudi kutuelimisha
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 3 жыл бұрын
Nsaidiwe namba ya thabitii
@joshuamwangomo2615
@joshuamwangomo2615 3 жыл бұрын
Gangana unatupa elimu bombs mno
@floriankiiza2890
@floriankiiza2890 3 жыл бұрын
Anafaa kua mshaur wa rais
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 3 жыл бұрын
Alikuwa raisi mzuri
@kudrachristopher4640
@kudrachristopher4640 3 жыл бұрын
Mtalaamu 😎
@hamisiausi6083
@hamisiausi6083 2 жыл бұрын
Umenielimisha vya kutosha na nimegundua magufuli ni mzalendo ila washenzi walimchafua rais wetu mungu ampumzishe kwa amani tutamkumbuka daima
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 3 жыл бұрын
Km na huyu rais wetu Yuko kwenye orodha ya madictator km ndo hivyo hao wengine siyo madictator
@amzamrid3571
@amzamrid3571 3 жыл бұрын
Nic
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 3 жыл бұрын
Ulianza vizuri lakini nilijua lengo ni kumsafisha nanii...nanii hakuwa mtu mzuri...tungeangukia pabaya...mungu amesaidia...utaongea Sana na lengo lako kubwa siku zote ni kuonyesha yule nanii alikuwa BorA kuliko huyu...Yulia yamepita tugange yajayo...
@beninigabo769
@beninigabo769 3 жыл бұрын
Mwanaume wa kweli hawezi kuwa mnafiki kama wewe. Kudhihirisha kuwa wewe ni "Low Life/Lowest of the Law" unashindwa hata kusimama nyuma ya maneno yako i.e unatumia jina la uongo hapa. Ukweli ni wazi kuwa Thabit ni mtu makini na mwenye akili nzuri na siku zote chambuzi zake zinakuwa zinafikirisha sana na huwa haziegemei upande wowote. hayo uliyoyaandika ni wewe ndiye ulieyasema na wala usitulete Siasa hapa.
@kubakema
@kubakema 3 жыл бұрын
Wewe unayejiita "Mbwana Kiting" acha kumuwekea Mchambuzi Ugoro Kinywani mwake. Siku zote Thabit amekuwa makini na mchaguzi wa maneno yenye tahadhari katika chambuzi zake. Sipingi mawazo yako, ninachopinga ni jinsi ambavyo unataka kujifanya umeusoma ubongo wa Mchambuzi na kugundua eti anataka "kumsafisha mtu". Kwa ufupi tu ni kuwa wewe jamaa ni Mshirikina, Mchawi, Una Husuda, Una Wivu wa Hinda na zaidi ya yote ni Kilaza wa hali wa hali ya juu na una upeo finyu sana. Vijana wengi wa Kibongo mpo hivyo
@siwamasokolo4782
@siwamasokolo4782 3 жыл бұрын
Mbwana Kiting wewe ni Choko bila wasiwasi. Mwanaume wa kweli hawezi kuandika huku anatetemeka. Peleka ungese wako wa machoko wenzako. Umetumia vibaya uhuru wa Mawazo
@siwamasokolo4782
@siwamasokolo4782 3 жыл бұрын
Kwa faida yako tu, hakuna kitu kibaya kama kumuwekea mtu maneno mdomoni au kutumia dhana kwa mtu. Hata Shetani hana uwezo wa kujua anachofikiria Binadamu, itakuwa wewe binadamu?. Mambo ya Siasa peleka kwenye majukwaa ya kisiasa. Huyu Mchambuzi siyo mwanasiasa, huyu ni mtaalamu.
@majabumndolwa2766
@majabumndolwa2766 3 жыл бұрын
Eti "Ulianza vizuri na nyoko nyoko kibao" Uchi wewe. wewe Kiting amabe hata jina lako la shule umelificha unaweza kweli kuchangia la maana katika mada nzito kama hizi?. Wewe una HUSUDA na THabit, kama unataka kuwa kama yeye mfate pembeni muombe akuoneshe njia. Ulichoandika hapa kinakera sana. Thabit siyo Mwanasiasa, huyu ni mtendaji. Matako wewe
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 3 жыл бұрын
Kwani hiyi Sheria ya kutakatisha fedha ilisaidia Nini wkati was utawala was nanii...eleza madhara yake ya Sheria hii wakati wa utawala huo...wangapi waliasirika na Sheria hiyo
@beninigabo769
@beninigabo769 3 жыл бұрын
Mbona unachanganya mambo we jamaa?. Kwanza huyo "nanii" unaemtaja hapa ni nani?, Kama unayo hoja jiamini kuliko kuleta ushirikina katika mambo ya maana. Mfano ambao mchambuzi ameutoa kuhusu Sheria ya Kuzuia Utakatishaji wa Fedha haramu ni kuhusu Mwinyi. Hayo mengine yametokea wapi?.Ni dhahiri kuwa kiwango cha uchambuzi huu siyo kiwango chako, nenda kachangie kwenye hoja za kienyeji.
@kubakema
@kubakema 3 жыл бұрын
Wewe Mbwana Kiting utakuwa na matatizo mawili makubwa au moja kati ya hayo, ni kwamba uko na Taahira ya Akili au Umetumwa. Vyovyote itakavyokuwa ni kwamba hufai kuchangia kwa sababu haupo katika uwiano ulio sawa wa kufikiri. Mchambuzi ametoa mifano mingi sana katika uchambuzi wake. Kwa upekee ametoa mfano wa mwinyi. Hayo mengine ni ya kukosa fikra chanya ni ya kwako
@siwamasokolo4782
@siwamasokolo4782 3 жыл бұрын
Kiting sijajua umri wako, lakini inavyoonekana wewe ni dogo sana so kakojoe ukalale. Au inawezekana hukusikiliza hii Clip yote, hebu sikiliza tena halafu ujione ulivyokuwa mjinga.
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 3 жыл бұрын
Nakubali ✨✨✨✨✨
@chumawambura3375
@chumawambura3375 3 жыл бұрын
tuamnie maana ya okomnist sio wote wanao erewa ni itikadi gani maana unatumia luga tofauti
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 жыл бұрын
pamoja kaka
@rusakanyohenry6932
@rusakanyohenry6932 3 жыл бұрын
Anatumia jina gani mitandao ya kijamii
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
Hatumii
@bilalison-studio_tz4977
@bilalison-studio_tz4977 3 жыл бұрын
Unatubaniaa sio kharid
@jozymmasy2768
@jozymmasy2768 3 жыл бұрын
Duh! Kwa hali hii magu alikuwa dikteta
@TheBlkk100mk
@TheBlkk100mk 3 жыл бұрын
Si kweli, huwezi tu kuja na mapesa yako UK bila kuonesha umezitowa wapi.. kwa mfano UK unaweza kusafiri na kuingia na pesa zaidi ya £3000 kwa US mpaka $10,000
@nurisahim7898
@nurisahim7898 3 жыл бұрын
Hajasema uk kasema usa na china
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 3 жыл бұрын
Aeleze vizuri maana ya udikteta hsitoshi hiyo
@abras3479
@abras3479 3 жыл бұрын
Hivi kwa nini Thabiti kila anapotumia neno la kiingereza analiita neno la kitaalam? ni neno a kiingereza tu acha ku brain wash watu kwamba Uingereza ndo taaluma. tubishane kama anataka.
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Coession ni neno la kingereza? Ni maneno ya kitaalam ndiomaana anasema hivyo, ILA wewe hujui tu kingereza ni kipi na sio kingereza ni kipi...... Mfano life ni kingereza, bios ni kitaalam
@abras3479
@abras3479 3 жыл бұрын
​@@loner_wolf
@abras3479
@abras3479 3 жыл бұрын
@@loner_wolf what is bios? hizi ni synonyms tu.
@abras3479
@abras3479 3 жыл бұрын
@@loner_wolf check kwenye English dictionary utagundua hilo
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 3 жыл бұрын
kwa akili yako inavyokutuma naona kama upo sawa, na nafikiri utakuwa umeshashinda tayari ivyo hawezi kushindana na wewe, jambo la msingi fanya na wewe kipindi chako na utumie maneno yako yaliyosahihi,,, KUMA Weeee.......
The most important country you’ve never heard about, Mapped
28:13
Johnny Harris
Рет қаралды 2,8 МЛН
MHE TUNDU LISSU AZUNGUMZA NA WATANZANIA KUPITIA MKUTANO WAKE NA WANAHABARI
39:11
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
MCHAMBUZI THABITI, AIBUKA VITA BARIDI, MAWASILIANO KIMKAKATI, TAARIFA ZA CORONA
29:00
MCHAMBUZI THABIT TENA,HUU NI USWAHILI
13:44
Gangana Info Channel
Рет қаралды 2,2 М.
Convention on the Rights of the Child: Educational Resource
9:26
Noam Chomsky - Why Does the U.S. Support Israel?
7:41
Chomsky's Philosophy
Рет қаралды 6 МЛН
NARGIS MOHAMED MREMBO WA ZALI LA MENTALI AFUNGUA KIWANDA
36:22
Gangana Info Channel
Рет қаралды 64 М.