thabiti nimeanza kukufuatilia tangu ulipo toa ile oja ya kununua ndege naomba nikwambie watanzania tunakufuatilia snaa tena kwa makini mungu akulinde sna
@jonasmasinde7603 жыл бұрын
Huyo ndugu yetu kweli yuko poa siyo katika elimu tu bali hata katika hekima na ukalimu katika maongezi yake anavutia mtu kuzidi kumusikiliza hapayuki ovyo ovyo kama watu wengine poa sana ndugu big up 👏👏👏🖒
@kaygreko3 жыл бұрын
Huyu ni hodari sana
@fredrickkagwa88533 жыл бұрын
Big up brother
@wazirie40703 жыл бұрын
Hongera sana Gangana, unauliza maswali mazuri ambayo yanaitaji ufafanuzi kwa kuyajibu. Thabiti ni bora sana kwa kuyajibu maswali yako. Hongereni sana
@marianmartin74833 жыл бұрын
Brother hongera sana, huwa nakufuatilia sana. Mb zangu sina mashaka nazo nazitumia kihalali. Wewe ni hazina, busara nyingi sana. Hawa ndo wanaofaa kuwa bungeni,( genius).
@remawetumi89163 жыл бұрын
Siku hizi tupunguze habari za simba na yanga. .na dimond na Ali kiba.
@kidelenyafundi51673 жыл бұрын
Huyu kijana ni hazina, ni muhimu sana kwa Tanzania yetu
@fahadfaraj64743 жыл бұрын
Ni kweli ni moja katika vijana wanaonitisha ila wananipa imani kwa maarifa yao anauelewa mkubwa sana
@mzalendotz33973 жыл бұрын
Huyu jamaa ni ule mgodi unaotembea. He's well equipped with a vast knowledge from different angles of life. Andika vitabu brother..chora utuachie njia sahihi za kufikiri kwa watoto wa watoto wetu. Maendeleo yoyote ya jamii imara kuna great minds nyuma yake. Keep it up bro.
@stevebupamba50092 жыл бұрын
Genius..... Product of advanced history (A). Political science...with knowledge in strategic management. Hongera mwanazuoni.
@salemsafen11183 жыл бұрын
Mtanzania mwenzetu huyu yupo vizuri sana kupita maelezo na sio sawa hata kidogo kumuacha kuishi maisha anayoishi sasa. Huyu jamaa ni miongoni mwa mgodi wa madini unaohitaji kulindwa kwa kuzungishiwa ukuta yupo vizuri .Sina hakika anafanya nini ila anafaa kabisa kuwa kungwi wa vijana kama wale wa JKT wanaotayarishwa kwenda kulitumikia taifa. Histotia ya mataifa yote Duniani vyanzo vyake kuangauka au kunyanyuka ni matokeo ya akili kubwa au ndogo ya mtu fulani sio watu wafulani.
@stephensigonda99273 жыл бұрын
Kweli inafaa akawafunde vijana
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Huyu jamaa ni Genius haina ubishi. Hata akiwa na kipindi hatuto jutia ilo.
@kaygreko3 жыл бұрын
Nukubaliana nawe 100%
@josephatkiliko25463 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza kaka naamini siku Moja utakuwa mahali fulani
@tomjoseph38093 жыл бұрын
Jamaaa anajaribu kuongea vitu vizuri Sanaa vinavyotakiwa kwa vijana asa kwa walioko katika muelekeo wa kutaka kujua vitu na tunaweza kuimpose kwa walimu itakuwa rahisi Sanaa kuinsipire vijana wadgo
@lupakisyoassa1579Ай бұрын
Hongera sana kwa elimu mhimu.
@katemajr93743 жыл бұрын
Ombilangu Kwako Gangana Mwambie Thabit Atuandikie VITABU Vitatusaidia Sana Watanzani na Africa Kwaujumla.
@alihijiiddi89773 жыл бұрын
KANISA LINABOMOWA MUENDELEZO WA MAKSHA NCHINI MSIKITINI NDIO UNAOJENGA MAISHA YA NATURAL LIFE WEWE MPUUZI SIYO KANISANI NA NDIO SADAKA AKILI FINYU MUONG KAUWA WAISILAMU HAITULII NO. ISLAAM NO LLIFE OF NATURAL 💪💪💪🕌🕌🕌🌎🌎🌎🌎🕌🕌🕌🌎🌎🕌🕌❤️👀
@nickypaul64833 жыл бұрын
Ndoga iko vizuri(radicals)
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Sana taifa letu la kiitikadi na mungu atalilinda sana tunaomba mungu atulinde sana kuwepo amani na upendo mungu amlaze mahali pema peponi amina
@nyamangaking66083 жыл бұрын
Brother uko vizuri,darasa lako linafaa kwa watanzania wote,nimeelewa sema ningeonana na wewe uso kwa uso nitapata mengi zaidi uliyojifunza.unafaa
@jeanfernandez28633 жыл бұрын
Thabiti ni chuma
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
👍
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Unaelimisha sana mjukuu wangu nakukubali sana hata Tanzania magufuli alifanya Tanzania kailetea maendeleo ya haraka sana kwa muda mfupi tumekuwa kama ulaya tunamuombea mama samia afuate nyayo
@dinocastico84953 жыл бұрын
Mchambuzi kachambua vyema billa shaka ana kipaji cha kuzungumza
@stanslauslawa47773 жыл бұрын
Thabiti ni mtu genius sana nampenda sana
@abdallabundala1583 жыл бұрын
Thabit the talent. Hongera bro.
@peterdeus60933 жыл бұрын
Vitabu vip vizur vya uchumi na diplomasia huwa unasoma nas tusome maana kusoma ni njia bora ya kuongeza ufaham
@joshuamwangomo26152 жыл бұрын
Anatoa elimu nzuri sana
@thomasmuyya72213 жыл бұрын
Gangana asante sana kwa kumpa mtaalam huyu nafasi hii. Vyuo vinamhitaji kaka huyu alete mabadiliko chanya.
@kabhikachambala33923 жыл бұрын
Amesoma akaelewa na ili tuseme umeelewa ni pale tu unapoweza kulifundisha jambo hilo likaelewaka.
@nyamwizajoseph62413 жыл бұрын
Hongera sana mchambuzi
@georgemajigwa11773 жыл бұрын
Safi sana nimeshiba kimaarifa ya kimkakati na mikakati.
@gibsonjosephat63523 жыл бұрын
Thabiti si tu amesoma bali anakitu kapewa na Mungu pia.
Jamaa namkubali sana tatizo watanzania uwanashindwa kufatilia mambo yamsingi kama jamaa anavyotutoa kwenye mambo ujinga anatupa vitu kama tungependelea kusoma vitu au kisikiliza mambo kama haya tungekuwa mambo mengi mazuri nchini
@namandamzuma54783 жыл бұрын
Huyu jamaa hakupoteza karo ya wazazi wake shuleni; yuko vizuri sana.
@lumanyalumanya34263 жыл бұрын
Pongezi sana mchambuzi.
@harunking54183 жыл бұрын
Nampataje mchambuzi huyu. please🤲
@japheteliatosha47103 жыл бұрын
Nafurahi sana ninapoona vijana wa namna hii kweli ni vijana wanaostahili
@abdallabundala1583 жыл бұрын
Ww kwel Thabit maana unaongea yalio thabit.
@davidolomi93623 жыл бұрын
Broo Thabit wennoma.
@henryxavery17133 жыл бұрын
Thabit,Ulisomea wapi??Mbona Elimu yako inaoneka Kubwa,,kuliko madarasa Yote..!!! Mr Gangana Una Chuma hapo..Mbarikiwe Sana.
@madirishasimon96923 жыл бұрын
Amesomea Israel
@henryxavery17133 жыл бұрын
Anafaa,Sana Awe Rais Wa Nchi Mh Samia akimaliza Kutuongoza Mwaka 2050,(30 Years for "Mama") Sio mbali Sana. Thabit Hana Dharau Kwa Viongozi Waliopo na Hata Waliopita.Pia Tunataka Viongozi wanasayansi,Ni Funga Domo Kwa,, wajomba zangu"Wakileta Mawashigeri-Unazuia Kwa hiji-hiza Block-then Unashambulia kwa Uchimomo Geri ndani ya Paja kwa nguvu na speed. .Inaitwa Hapa kazi Tu + KAZI Iendelee"=Watu wasiokuwa na Ajira watapewa Posho,100,000Kila Baada ya miezi miwili.Hakuna Ambayo Ataomba Mshahara uongezwe,Kuna Majukumu yatakuwa yamepunguzwa.Hela ni zetu,,wote na Nchi ni Yetu sote.Tuifaidi sasa. Mshaurini "Mh Rais Ma'Samia Hayo Mema''
@allykhery78123 жыл бұрын
Please brother gangana tunahitaji handle ya mitandao ya kijamii ya huyu brother thabit
@shubackmashinga35353 жыл бұрын
Nakubali ✨✨✨✨
@kabhikachambala33923 жыл бұрын
ANASOMA vitabu gani. Muulize
@hassanhassan30212 жыл бұрын
huyu jamaa ananimalizia mb sana yaani mungu akiwaleta kama hawa kumi tu Tanzania ,hatuwezi kurudi nyuma.
@simongalahenga68583 жыл бұрын
Nilikuwa na maswali mengi kuhusu shirika la ndege kupata hasara ulipolifafanua nikashiba na kuachana na wapotoshaji
@kudrachristopher46403 жыл бұрын
Mtalaamu 😎
@kajirumsangi80863 жыл бұрын
Ungechaguliwa uwe ata balozi wanchi ungefiti cn mkuu
@pendael023 жыл бұрын
English hiyo ya misemo watz wengi hawaelewi
@ilampahamisi57773 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri Sana, Azungumuzie kuhusu azimio la ARUSHA. Na kwa sasa taifa linamwelekeo gani mahususi?
@changarawemichael55563 жыл бұрын
Mimi bado nalia na TISS chombo chetu Cha usalama tunaitaji watu wa namna hi wengi zaidi kwenye mfumo wetu wa serikali maana serikali ni mfumo na TISS ndio waangalizi nguzo wa mfumo sasa tuleteeni wazalendo na watu wenye muono wa mbali kama huyu
@cosmasevarist62213 жыл бұрын
Huyu jamaa ana elimu
@erickmwakipesile25073 жыл бұрын
Akili Kubwaz
@aliychukachuka10612 жыл бұрын
Daah madini yapo
@stephensigonda99273 жыл бұрын
Duh! Kweli Elimu haina mwisho yaani madini yakutosha toka kwa mchambuzi
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Huyu jamaa mtandaoni anatumia jina gani
@ndamarevocatus49183 жыл бұрын
JINA LAKO LINASADIFU NIMEKUELEWA SANA TU
@uhurunyereremusa85923 жыл бұрын
naamini siku Tume ya Uchaguzi Tanzania itakapotoka chini ya mfumo wa CCM naamini ndio itakua kifo cha CCM kwa maana entryism kati ya instruments of power na ccm
@emanuelhassani61413 жыл бұрын
Bwn Thabiti wewe ni mtu muhimu kwa taifa. Tunakufuatilia.
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Watu Kama Hawa serikari haiwaoni hata kuwatumia.kwa manufaa ya nchi Hadi mtu apotee duniani wanaanza kujikanyaga tumepoteza mtu mhimu Africa tubadilike
@michaelbenedicti67933 жыл бұрын
Aalikwe kujadili mfumo wa Elimu utakaoharakisha Tanzania kupata maendeleo ya haraka
@richardkaiza743 жыл бұрын
Raisi wetu mpendwa Mama Samia Suluhu. Huyu jamaa Mr. THABIT ni hazuna za taifa. Akili ya hivi haipashwi kupotezwa hivi hivi. Anapashwa kuwekwa mahala hii ni Hazina. Kweli Mr Thabit Big up ( Hiki ni kipande cha Tanzanite . ). Serikali isione ukakasi kuwajenga na kuwapa nafasi serikalIni ,anaweza kutoa mchango mkubwa kwa taifa letu ,kutoka tulipo na kwenda hatua nyingine. Mpeni nafasi naye atoe mchango wake kwa Taifa.
@peaceisrael81583 жыл бұрын
Alifaa kuwa waziri wa mambo ya nje
@ramadhanchenga46066 ай бұрын
Ww ndg yangu hii nchi ina watu wengi wana akili wengi lkn bahti mbaya hawapei nafasi
@januaryanthony40623 жыл бұрын
👏👏👏👏
@amonntanguye39423 жыл бұрын
Anapatikana kwa majina gani kwenye mitandao ya kijamii?
@amonntanguye39423 жыл бұрын
Gangana tunaomba bwana Thabit aandike vitabu, maana ana Mambo mengi anajua. Kufanya hivyo kutasaidia kuongeza uelewa hata kwetu wengine.
@shubackmashinga35353 жыл бұрын
Thabit nakubali ✨✨✨✨✨✨✨
@nyembomajidi30273 жыл бұрын
kama Congo haikujengwa hata kiutikadi wala kiimila wala kidini hamna ki farasa nyingi Lakini kichwa hamna kitu.
@hassanmassaga24763 жыл бұрын
Tukipata kama huyu 900 ivi ingependeza
@madirishasimon96923 жыл бұрын
Jamaa yuko poa sana
@elibarikimollel71493 жыл бұрын
Bw.Thabit hongera sana kwa ufafanuzi wa entrism ya Nyerere ya kuimarisha Serikali ya itikadi ya ccm, tunaomba uendelee kupitia Gangana usipotee ili vijana wajue wako wapi,na wapi wanatakiwa kwenda... Ccm itatoka tu
@abdallahmuttaq73063 жыл бұрын
Huyu jmaa kiukweli ni azina kubwa sana yaani mama ytu angemchukuwa na kumfanya ni katika washauri wake wakubwa we maswala mengi tu ya kulijenga taifa letu hyu hata ukiondoa elimu aliyonayo kichwani bado kutakuwa na kilichobakia kichwani
@josephatkiliko25463 жыл бұрын
Brother Gangana uwe unamleta Thabiti hapa kila mara
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Sawaa
@francokamugisa2963 жыл бұрын
Huyu jamaa kwann asiingie kwenye siasa akagombea urais kura yangu atapata
@abdallahmuttaq73063 жыл бұрын
Kwenye siasa siafikiani nae hyu awe mshauri wa mama ytu tna wa karibu mmno
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Mr. Gangana naomba Ndg Thabit aongelee juu ya mfumo wa elimu yetu kuanzia awali mpaka vyuo ...Hv ni sawa kutumia lugha 2 kiingereza na kiswahili ??kwann tusijikite na lugha moja na moja iwe kama somo linalo jitegemea??na nini madhara yake kama tutaamua kufanya hv kama taifa?? Au je haiwezekani na tukaendelea na mfumo huu huu ambao mwisho wa siku kingereza hatujui na kiswahili hatujui.
@loner_wolf3 жыл бұрын
ALAFU PIA AONGEZE NI SAWA KUWA NA MULTIPLE CHOICE KTK MATHEMATICS ILHALI TUNAHITAJI WATAALAM WA HESABU?
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Sawa
@rajabushahshah68703 жыл бұрын
Kaka upo vizuri Sana ,tufundishe maprofesa ,kwasababu tunajichanganya
@solomonadams63373 жыл бұрын
Wewe unadanganya Watu tuu hapo Nyerere Kichogo hajatumia mfumo huo unaoelezea wew kabisa kabisa sawa¿,Nyerere alitumia mifumo miliwi ya kikristo inayo fanana kwa kujificha ficha sawa¿Roman catholic and Anglican okay¿thanks
@sylverjosiasy85362 жыл бұрын
Salomon Adam, huna akili kwelikwel
@anthonymwilu2393 жыл бұрын
Gangana, kaka muulize thabiti kwa nn leo kunajitokeza maneno kama sukuma gang, team msoga , watu wakusini na watu wa Kaskazini, je , ndio ukabila na ukanda umeota?
@josephzitto48703 жыл бұрын
Ninakubali kwa yote wewe ni mkali
@saynabmohammed62633 жыл бұрын
Andike wap mama anatupeleka
@jumamulimba28073 жыл бұрын
KIJANA Thabit, KWELI KWELI umebobea katika TAALUMA yako. Ipo siku UTAKUWA KIONGOZI MZURI KATIKA TANZANIA. MUNGU AKUTANGULIZE. HAKIKA, NCHI YETU YAHITAJI VIJANA KAMA WEWE.... WAZALENDO HALISI
@sannycpaul94233 жыл бұрын
GANGANA NASHAURI FUNGUA ONLINE TV AU HATA HII KZbin BT FANYA MAPATANO NA HIKI CHUMA THEN KUWE NA TOPIC EIDHA KILA WEEK WATU WAJUE NA ISIWE YA KUMVIZIA!! HUYU JAMAA ANATAKIWA SANA
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
🙏
@hassankurwa4643 жыл бұрын
Huyu mtu Gangana amempata wapi? Jamaa natamani nikutane nae na nimsikilize na anisikilize. Very portantial guy
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Mtz mwenzetu huyo, yupo dsm
@TamuzaKale3 жыл бұрын
@@ganganainfochannel Akili kubwa!
@mrmhenipm3 жыл бұрын
Gangana nitumie namba yako hapa 0714548645
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
🙏
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Nitakuchek bro
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Ccm ni zaidi hao vyama vingine vya mashoga wakina tundu lisu hatukutaki hata ofisi zinawashinda kupaka rangi
@kevinchalamila60683 жыл бұрын
naomba mawasiliano ya jamaa huyu
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Fuatilia hayo maongezi utapata mawasiliano yake
@peterlugomoka36053 жыл бұрын
Mmh
@rispernyakaka84423 жыл бұрын
Thabit Mungu akulinde mno wewe ni wapekee mzalendo wa kweli
@mosesjuhudi71173 жыл бұрын
Hongera sanaa Thabit. Tunaomba azungumizie mfumo wa elimu ya Tanzania.
@andrewmuganyezi61613 жыл бұрын
Rubish
@remawetumi89163 жыл бұрын
Tujadili ila akili za kuambiwa changanya na zako. Utamaduni wetu ni uvumilivu. Tuvumiliane ss kama ss watanzania. Na kuheshimishana iizie kwa viongozi kwenye sera za uwekezaji lazima mikataba yote ya uwekezaji isiyokua ya wazawa ufunuliwe hasa masharti wanayokuja nayo wawekezaji. Yawe wazi hapo ndipo tutapunguza mijizi na Wala rushwa.