MashaaAllah Allah awahifadhi. Mashekhe wetu kaz nzuri❤❤❤❤
@hamzafishten95604 ай бұрын
Allah akulipe sheikh wangu
@HobBoh-y4r4 ай бұрын
Allah awahifadhi na awape umri mrefu. Na awajaalie wepesi
@Aminedanisman767994 ай бұрын
MashaAllah
@Sai.Mo694 ай бұрын
Pastor haja towa ANDIKO iki sema UKRISTO ni dini! Na wala HATA TOWA, kwa sababu 'UKRISTO' hai EXIST! Pastor ni mjanja sana! Ame DODGE swali laku towa ANDIKO iki sema Ukristo ni Dehebu! Pastor ana taka ku okota SADAKA tuu, aki jua ana DANGANYA Watu! Welldone Team! MashaAllah.
@StraightPathDawah4 ай бұрын
Halipatikani abadan
@omarmuhamud33024 ай бұрын
Kila alie na roho mzuri Allah amuongoze. Aaameeen
@josemu8704 ай бұрын
Kwa neema ya uislamu barikiweni Allahamdhulla
@abdalaauame38634 ай бұрын
Mashalla ustaz ramazane kuria 🤲🤲🤲🤲📿
@MwanaidyMwambez4 ай бұрын
Mashallah pastor anakua muelewa inshaaAllah Allah amuongoze awe muislam amiin ✋
@minaniyasini78344 ай бұрын
Masha allah. Allah awalipe wahadhiri kwa juhudi zeni
@hemedalli40734 ай бұрын
Mashallah
@MohamedMeja4 ай бұрын
Mashallah mungu awajazii herii
@zainabhussain41144 ай бұрын
MashaaAllah ❤️
@adanabdi52494 ай бұрын
Masha Allah.
@Fumokale4 ай бұрын
Kazi inaendelea na inshaAllah itaendelea hadi ifike saa...Allah awawezese kwa kila namna na awajaalie IKHLAS....aaaaminaaaa
@seifserenge33404 ай бұрын
Nawapongeza sana mashekh wetu. Huyo pasta ni mtaratibu sana na anaweza kukufahamuni, ushauri wangu musimwache akatoa tu maneno yake kichwani Kila hoja mbaneni atoe maandiko na kama hajatoa mtoleeni nyinyi haraka, nyinyi ni TX wa maandiko kwani anawazungusha zungusha akwepa kujibu maswali.
@mobutu38844 ай бұрын
Yote aliyoongea mchungaji maandiko yapo labda useme ni wapi hujaelwa utolewe andiko hapahapa 😂
@AbdullahiFarah-q3s4 ай бұрын
❤asc Masha'Allah kazi ni ngumu lakini mjikaze nira
@salmaminja77144 ай бұрын
Assalam Alaykum. Shekh Ramadhan, na jopo lako sijui km naweza kuwaclisha furaha yngu kwa kaz ya kutangaza dini ya khaq, hakika siwez kwn napata furaha mnoo kwa video zenu Alhamdulilah. Allah azid kuwapa afya nzr na wepec kwn hii kazi ina vikwazo snaa. Namuomba pia hapa na kesho akhera awajalie pepo yke tukufu nac tunaofuatilia atujalie pia. Inshallah. Allahu Maa'ana.
Masha Allah huyo pastor ni mtu mwenye ilmu, utulivu na ana tamaa ya kujua uislami. Namuombeya ALLAH ampe hidaya na apate na kufata njia ya haki baada ya kusoma hiyo Qur'an aliyopewa na ma sheikh. Na kwa team ya straighpath daawa ni ALLAH pekee yake atakayewalipa kwa KAZI mzuri mnayofanya kwa niaba ya waislamu billioni 2 duniani mzima. ALLAH awafanyie kazi yenu rahisi na yenye baraka. Allahibarik na fiamanallah
@SalmanMughal-lq5lt4 ай бұрын
AaminayaarabiKwasoteUmmati.Muhammad
@bahsansheikh60424 ай бұрын
Mzee Yusuf umemkaba sana pastor mpaka hana pumzi😂😂
@abdallahjuma26084 ай бұрын
❤
@MalowhassanMalow4 ай бұрын
Mash Allah
@aliissa-je6gt4 ай бұрын
shekhe wang umenifurahisha sana leo huwaga nasikiliza sana dawah na furahi kuona hivyo mungu awafanyie wepesi insha allah❤sasa kilicho nichekesha leo na nikacheka kwa sauti nikwamba jamaa anasema yy ni mchanganyiko na ww ukamjibu hahahha sasa ilo jibu lenyewe sasa😁😁😄
@StraightPathDawah4 ай бұрын
😅😅😅😅
@mufunyiibrahim36554 ай бұрын
Mimi nilisilimu kitambo natafuta msichana muislamu kati ya miaka 25-28 wa kuoa kabla ya September mwaka huu.akuwe serious
@StraightPathDawah4 ай бұрын
Tupigie simu insha'Allah
@HamzaAkilimali3 ай бұрын
Waislamu tunao Wasichana wengi tu. Ila yabidi kumchagua aliye na hofu ya Mwenyezi Mungu mmoja peke yake, kwa kuufuata Uislamu Dini moja ya haki Duniani.
@iddyjuma80364 ай бұрын
Hahahaaa iyo kama dawa kama kawa
@zeharaz41163 ай бұрын
Huyu kijana poa kweli na Jina kesha litafuta Ya Rab amjalie asilim
@Nora-v1m3p4 ай бұрын
Ustadh mukitoa quran muwambie wakieke pasafi nawakisome wakiwa wasafi(twahara)
@SalmanMughal-lq5lt4 ай бұрын
HawanagaTohara.wanatumiaTishu
@mwanaidiissa104 ай бұрын
Mbona huyu mchungaji anakwepa swali
@mwangimuhammad-sx9hb4 ай бұрын
Justus ole tipis
@hythamhashiem44584 ай бұрын
Aadam alipo kuwa hapo peponi hakuwa na sheriya yoyote illa alipo fika Ardhini ndipo alipo pewa uongozi! hivo ndivyo ayah zinavyo sema kwe suratul baqara na surat twaha, na baada kupewa uongofu hakufanya makosa yoyote alio fanya
@StraightPathDawah4 ай бұрын
Maelekezo ya kutokula katika ule mti alipewa akiwa wapi?
@hythamhashiem44584 ай бұрын
Ni peponi lakini sio pepo watakao ingia watu siku ya mwisho sababu huko hakuna kutaliwa kula kitu chochote bali hiyo ni bustani la strehe kiarabu ime itwa jannah na maana zaidi ya moja
@martymcfly92324 ай бұрын
Hapo ni mji gani?
@StraightPathDawah4 ай бұрын
Mariakani
@kennodhiambo4 ай бұрын
Aliwaumba majini na watu wamuabudu... dini inayowatukiza majini (mashetani). Mbona msiwatukuze malaika ambao ni viumbe vya nuru bali mnawatukuza majini ambao ni mashetani. Waislamu fungueni macho! Hakika Allah ni Al-Makir, Al-Muzil
@StraightPathDawah4 ай бұрын
Aliowataja ni mwenye kuwaumba na amewataja malaika vivyo hivyo. Ukifungua akili utaona
@mobutu38844 ай бұрын
@@StraightPathDawahSiku zote majini hukaa sehemu wasiyosumbuliwa na hawapati madhara yoyote ndio maana huwezi tenganisha majini na uislamu,
@kennodhiambo4 ай бұрын
Soma Luka 4:16 katika lugha ya Kiingereza halafu msome maelezo kama itasema ni msikiti. Uwongo itawasaidia na nini? Biblia iko na majina kama Shehe na kadhi kwa sababu ya tafsiri kwa wakati huo
@isaa_ogutu4 ай бұрын
So ya kiswahili hakieleweki sio na unajaribu kusema ya kiswahili walio tafsiri uko na elimu kuwashinda sio? Kaka wacha ubishi bana.
@mobutu38844 ай бұрын
@@isaa_ogutumbona sasa quran haitambui kuwa sinagogi ni msikiti? Kwa hiyo unakubaliana na Biblia kuliko quran?😂 Soma quran 22:40 halafu utwambie sinagogi ni nini
@hamisikassimmwatamu79494 ай бұрын
Lugha ndio inakutatiza msikiti ni kiswahili sinangogi ni kibrania kwa kiarabu ni masjid na nyumba ni hiyo hiyo mmmojy
@mobutu38844 ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 kama lugha inanitatiza ndio maana nikasema basi soma quran 22:40 halafu uniambie kati yangu, wewe na quran ni nani lugha inamtatiza?
@kennodhiambo4 ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 Hebu nikuulize ndugu yangu, kisawe cha msikiti ni sinagogi? Soma Surah 22:40 mbona sinagogi na misikiti zimetajwa kando kando
@IgabireRamadhani3 ай бұрын
Nina swali hivi niseemu gani kwenye biblia au kwenye koroani imehandikwa wanahume kuhowa wana wake 2 au 4