MCHUNGAJI AWAOMBEA WAISLAMU DUA NZURI KWA KAZI NGUMU YA DAWAH WANAYOIFANYA

  Рет қаралды 8,632

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Пікірлер: 59
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 4 ай бұрын
Mashaallah Allha 💖💖💖
@SaidMgeni
@SaidMgeni 4 ай бұрын
MashaaAllah tabarakah Rahman
@kimzymamy6594
@kimzymamy6594 4 ай бұрын
MashaaAllah Allah awahifadhi. Mashekhe wetu kaz nzuri❤❤❤❤
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 4 ай бұрын
Allah akulipe sheikh wangu
@HobBoh-y4r
@HobBoh-y4r 4 ай бұрын
Allah awahifadhi na awape umri mrefu. Na awajaalie wepesi
@Aminedanisman76799
@Aminedanisman76799 4 ай бұрын
MashaAllah
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 4 ай бұрын
Pastor haja towa ANDIKO iki sema UKRISTO ni dini! Na wala HATA TOWA, kwa sababu 'UKRISTO' hai EXIST! Pastor ni mjanja sana! Ame DODGE swali laku towa ANDIKO iki sema Ukristo ni Dehebu! Pastor ana taka ku okota SADAKA tuu, aki jua ana DANGANYA Watu! Welldone Team! MashaAllah.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 ай бұрын
Halipatikani abadan
@omarmuhamud3302
@omarmuhamud3302 4 ай бұрын
Kila alie na roho mzuri Allah amuongoze. Aaameeen
@josemu870
@josemu870 4 ай бұрын
Kwa neema ya uislamu barikiweni Allahamdhulla
@abdalaauame3863
@abdalaauame3863 4 ай бұрын
Mashalla ustaz ramazane kuria 🤲🤲🤲🤲📿
@MwanaidyMwambez
@MwanaidyMwambez 4 ай бұрын
Mashallah pastor anakua muelewa inshaaAllah Allah amuongoze awe muislam amiin ✋
@minaniyasini7834
@minaniyasini7834 4 ай бұрын
Masha allah. Allah awalipe wahadhiri kwa juhudi zeni
@hemedalli4073
@hemedalli4073 4 ай бұрын
Mashallah
@MohamedMeja
@MohamedMeja 4 ай бұрын
Mashallah mungu awajazii herii
@zainabhussain4114
@zainabhussain4114 4 ай бұрын
MashaaAllah ❤️
@adanabdi5249
@adanabdi5249 4 ай бұрын
Masha Allah.
@Fumokale
@Fumokale 4 ай бұрын
Kazi inaendelea na inshaAllah itaendelea hadi ifike saa...Allah awawezese kwa kila namna na awajaalie IKHLAS....aaaaminaaaa
@seifserenge3340
@seifserenge3340 4 ай бұрын
Nawapongeza sana mashekh wetu. Huyo pasta ni mtaratibu sana na anaweza kukufahamuni, ushauri wangu musimwache akatoa tu maneno yake kichwani Kila hoja mbaneni atoe maandiko na kama hajatoa mtoleeni nyinyi haraka, nyinyi ni TX wa maandiko kwani anawazungusha zungusha akwepa kujibu maswali.
@mobutu3884
@mobutu3884 4 ай бұрын
Yote aliyoongea mchungaji maandiko yapo labda useme ni wapi hujaelwa utolewe andiko hapahapa 😂
@AbdullahiFarah-q3s
@AbdullahiFarah-q3s 4 ай бұрын
❤asc Masha'Allah kazi ni ngumu lakini mjikaze nira
@salmaminja7714
@salmaminja7714 4 ай бұрын
Assalam Alaykum. Shekh Ramadhan, na jopo lako sijui km naweza kuwaclisha furaha yngu kwa kaz ya kutangaza dini ya khaq, hakika siwez kwn napata furaha mnoo kwa video zenu Alhamdulilah. Allah azid kuwapa afya nzr na wepec kwn hii kazi ina vikwazo snaa. Namuomba pia hapa na kesho akhera awajalie pepo yke tukufu nac tunaofuatilia atujalie pia. Inshallah. Allahu Maa'ana.
@HassanKipyego-cs5ff
@HassanKipyego-cs5ff 4 ай бұрын
Sema bismi
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 4 ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate.
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 ай бұрын
SbhanaAllah.kaokoka...a.Allah.AtuongozewooteYaarabi
@Ihsankeizer
@Ihsankeizer 4 ай бұрын
Masha Allah huyo pastor ni mtu mwenye ilmu, utulivu na ana tamaa ya kujua uislami. Namuombeya ALLAH ampe hidaya na apate na kufata njia ya haki baada ya kusoma hiyo Qur'an aliyopewa na ma sheikh. Na kwa team ya straighpath daawa ni ALLAH pekee yake atakayewalipa kwa KAZI mzuri mnayofanya kwa niaba ya waislamu billioni 2 duniani mzima. ALLAH awafanyie kazi yenu rahisi na yenye baraka. Allahibarik na fiamanallah
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 ай бұрын
AaminayaarabiKwasoteUmmati.Muhammad
@bahsansheikh6042
@bahsansheikh6042 4 ай бұрын
Mzee Yusuf umemkaba sana pastor mpaka hana pumzi😂😂
@abdallahjuma2608
@abdallahjuma2608 4 ай бұрын
@MalowhassanMalow
@MalowhassanMalow 4 ай бұрын
Mash Allah
@aliissa-je6gt
@aliissa-je6gt 4 ай бұрын
shekhe wang umenifurahisha sana leo huwaga nasikiliza sana dawah na furahi kuona hivyo mungu awafanyie wepesi insha allah❤sasa kilicho nichekesha leo na nikacheka kwa sauti nikwamba jamaa anasema yy ni mchanganyiko na ww ukamjibu hahahha sasa ilo jibu lenyewe sasa😁😁😄
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 ай бұрын
😅😅😅😅
@mufunyiibrahim3655
@mufunyiibrahim3655 4 ай бұрын
Mimi nilisilimu kitambo natafuta msichana muislamu kati ya miaka 25-28 wa kuoa kabla ya September mwaka huu.akuwe serious
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 ай бұрын
Tupigie simu insha'Allah
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali 3 ай бұрын
Waislamu tunao Wasichana wengi tu. Ila yabidi kumchagua aliye na hofu ya Mwenyezi Mungu mmoja peke yake, kwa kuufuata Uislamu Dini moja ya haki Duniani.
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 4 ай бұрын
Hahahaaa iyo kama dawa kama kawa
@zeharaz4116
@zeharaz4116 3 ай бұрын
Huyu kijana poa kweli na Jina kesha litafuta Ya Rab amjalie asilim
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 4 ай бұрын
Ustadh mukitoa quran muwambie wakieke pasafi nawakisome wakiwa wasafi(twahara)
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 ай бұрын
HawanagaTohara.wanatumiaTishu
@mwanaidiissa10
@mwanaidiissa10 4 ай бұрын
Mbona huyu mchungaji anakwepa swali
@mwangimuhammad-sx9hb
@mwangimuhammad-sx9hb 4 ай бұрын
Justus ole tipis
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 4 ай бұрын
Aadam alipo kuwa hapo peponi hakuwa na sheriya yoyote illa alipo fika Ardhini ndipo alipo pewa uongozi! hivo ndivyo ayah zinavyo sema kwe suratul baqara na surat twaha, na baada kupewa uongofu hakufanya makosa yoyote alio fanya
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 ай бұрын
Maelekezo ya kutokula katika ule mti alipewa akiwa wapi?
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 4 ай бұрын
Ni peponi lakini sio pepo watakao ingia watu siku ya mwisho sababu huko hakuna kutaliwa kula kitu chochote bali hiyo ni bustani la strehe kiarabu ime itwa jannah na maana zaidi ya moja
@martymcfly9232
@martymcfly9232 4 ай бұрын
Hapo ni mji gani?
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 ай бұрын
Mariakani
@kennodhiambo
@kennodhiambo 4 ай бұрын
Aliwaumba majini na watu wamuabudu... dini inayowatukiza majini (mashetani). Mbona msiwatukuze malaika ambao ni viumbe vya nuru bali mnawatukuza majini ambao ni mashetani. Waislamu fungueni macho! Hakika Allah ni Al-Makir, Al-Muzil
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 ай бұрын
Aliowataja ni mwenye kuwaumba na amewataja malaika vivyo hivyo. Ukifungua akili utaona
@mobutu3884
@mobutu3884 4 ай бұрын
​@@StraightPathDawahSiku zote majini hukaa sehemu wasiyosumbuliwa na hawapati madhara yoyote ndio maana huwezi tenganisha majini na uislamu,
@kennodhiambo
@kennodhiambo 4 ай бұрын
Soma Luka 4:16 katika lugha ya Kiingereza halafu msome maelezo kama itasema ni msikiti. Uwongo itawasaidia na nini? Biblia iko na majina kama Shehe na kadhi kwa sababu ya tafsiri kwa wakati huo
@isaa_ogutu
@isaa_ogutu 4 ай бұрын
So ya kiswahili hakieleweki sio na unajaribu kusema ya kiswahili walio tafsiri uko na elimu kuwashinda sio? Kaka wacha ubishi bana.
@mobutu3884
@mobutu3884 4 ай бұрын
​@@isaa_ogutumbona sasa quran haitambui kuwa sinagogi ni msikiti? Kwa hiyo unakubaliana na Biblia kuliko quran?😂 Soma quran 22:40 halafu utwambie sinagogi ni nini
@hamisikassimmwatamu7949
@hamisikassimmwatamu7949 4 ай бұрын
Lugha ndio inakutatiza msikiti ni kiswahili sinangogi ni kibrania kwa kiarabu ni masjid na nyumba ni hiyo hiyo mmmojy
@mobutu3884
@mobutu3884 4 ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 kama lugha inanitatiza ndio maana nikasema basi soma quran 22:40 halafu uniambie kati yangu, wewe na quran ni nani lugha inamtatiza?
@kennodhiambo
@kennodhiambo 4 ай бұрын
@@hamisikassimmwatamu7949 Hebu nikuulize ndugu yangu, kisawe cha msikiti ni sinagogi? Soma Surah 22:40 mbona sinagogi na misikiti zimetajwa kando kando
@IgabireRamadhani
@IgabireRamadhani 3 ай бұрын
Nina swali hivi niseemu gani kwenye biblia au kwenye koroani imehandikwa wanahume kuhowa wana wake 2 au 4
MCHUNGAJI ASHANGAA KUONA MAKATAZO YA ULAJI NGURUWE KWENYE BIBLIA
1:00:32
Straight Path Dawah
Рет қаралды 12 М.
ROSÉ & Bruno Mars - APT. (Official Music Video)
02:54
ROSÉ
Рет қаралды 182 МЛН
WAKRISTO WENGI WAMEANZA KUIONA HAKI NA KUANZA SAFARI YA KUUAGA UKRISTO
1:01:06
Polygamy Debate Between Brother Dahud & A Bishop Part 2
1:01:04
The Early Church of the Lord Yeshua Nairobi
Рет қаралды 1,1 М.
Muhadhara kakara kukuru ujumbe wafika kisawasawa kumeeleweka
1:01:17
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 4,3 М.
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU, 28 OKTOBA, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 1,7 М.
MAZINGE NA MCHUNGAJI
18:15
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 96 М.
WAKAZI WA KATITO WAULIZA MASWALI KWENYE DAWAH MITAANI
53:00
Straight Path Dawah
Рет қаралды 4,2 М.
NDACHA AKUBALI KUSOMA MADRASSA
1:00:22
Straight Path Dawah
Рет қаралды 26 М.
WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA
57:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 17 М.