Huyu mchungaji anaongea ukweli kabisa na Mungu akubariki mnooooo
@vibetz99916 ай бұрын
Mchungaji wala hajui kama anaulizwa maswali ya akina manara 😂😂😂😂
@mungamichael93546 ай бұрын
Maneno yake ni zaidi ya fedha
@nurudinimkumbugo96016 ай бұрын
Umenena vyema sana Allah akubariki
@Siasia2096 ай бұрын
Hana Utu,hana huruma,hana,mapenzi na fasi ya mungu haipo ktk maisha yke maneno ya hekima kbs
@MnangwaOmari19716 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie! Ww ni zaidi ya Mlezi
@hawababy1206 ай бұрын
😂😂😂mchungiji bhana eti unalilia uzinzi😂😂eti wanakicha cha ngono😂😂😂😂😂😂😂😂
@MuhammadHassan-xp6dc6 ай бұрын
yani hapo nimecheka sana huyu mzee ni kiboko alafu wala hatumii nguvu
@DanfordSimon5 ай бұрын
😅😅😅😅
@jafariabdillah85856 ай бұрын
Nakupenda sana mzee kwa busala zako
@user-uo3vh8qf3c6 ай бұрын
Kweli mchungaji huo ni ushamba wa mapenzi
@leylaruhabaye90176 ай бұрын
Uyu mch. Ana akili nyingi sana apewe mauwa yk hata kwa kumsapot kwa hekma zke. Mm ni muislam lkn namkubali sana
@jumapiliissa48356 ай бұрын
Uko sahihi mzee
@casmuiddy73046 ай бұрын
Mtumishi yupo na vitu chanya Sanaa na anawakilisha Kwa njia nzuriii na simple
@hassanbakari45256 ай бұрын
WANA KICHAA CHA NGONO NA MALIMBUKENI WA MADEMU😊,,,,TAFTA MWINGINE OA KIHALALI SONGA MBELE,,,
@fredylucas24846 ай бұрын
watamjibu huyu ajiandae kwa hawa vichaa wa ngono
@ramadhanikashimbiri48516 ай бұрын
Mzee yupo sawa kwa 100% , ukifwatilia ushauri wa huyu baba yetu utaumia kwa muda kidogo ila badae ni furaha tuu❤
@user-eq9hl9vg2x6 ай бұрын
😂😂😂aise nakupenda bulee mchungaji wetu mungu akubaliki sanaa kwakwel upo vzr sanaa 😂😂😂
@MohammedSaid-tf5qc6 ай бұрын
Mzee mm nipo Misri huku na soma nakufuatilia sana mchungaji ukosawa sana ktk maneno yako inshallaah nikirudi nitakutafuta nipate hekima zako
@user-oc8uo9rl3u6 ай бұрын
Acha kufatilia makafiri broo
@josephbonday85106 ай бұрын
@@user-oc8uo9rl3uKWANI hapo amekosea nini alichozungumza?.AU NDIO CHUKI TU ULIZONAZO?
@Giddy-Official6 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi🙏🙏
@user-xy7ir3eg1d6 ай бұрын
Uyu mchungaji ana akili namqubar sana
@user-ls9lc4zu3z6 ай бұрын
Mchungaji uko byeeeee,,,waaaah
@melosta6 ай бұрын
Uwa sichok kumsikilza 😂
@zabrongermanus-co1jj6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@BeullahBujah-lk3sx6 ай бұрын
Ubarikiwe Pst
@wiza23096 ай бұрын
Yaani mnamvunjia heshima Mch kumuuliza maswali ambayo jibu lake unalo. Mambo ya udaku msimtafute Mchungaji, yapo mambo mengi ya maana ya kumtafuta lkn siyo udaku
@user-vr5bi8rb8y6 ай бұрын
Baba nashkur,Mungu akuinue zaid🙏🙏💪🥰
@fabianbenardngatunga27136 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji mpaka ushangae kwa maneno yako
@sallymurembo8155 ай бұрын
Mchungaji wangu umeongea vitu vizuri mno na muhimu sana ❤
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Hananja nakukubali sana mzee
@stellamunisi40386 ай бұрын
Uishi miaka mingi baba..una busara sana...nakuombea heri na utajiri wa afya na mali pia❤
@zephaniazacharia5196 ай бұрын
Fact
@user-zk6mx6de3q6 ай бұрын
Asante mchungaji
@user-ih4kw5eb3d6 ай бұрын
Huyu mchungaji namfagilia sana kwa kuwapa watu ukweli 😂😂😂😂😂😂
@hassanmoalimmuse60146 ай бұрын
Wampe balozi matangazo mzee anafaa
@brigitaassenga52306 ай бұрын
perfect advisor👏👏👏hakika Mungu azid kukup maisha marefu😂😂😂"unalilia usinzi,?"😂😂🤣🤣💯hio imeenda....
@user-mh2nk6oi7p6 ай бұрын
Nakupenda baba❤❤❤
@VeronicaRugoyi6 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu Baba❤❤❤❤❤❤
@neemacharles98486 ай бұрын
Uko sahihi mchungaji Mungu akulinde uzidi kutufundisha
@mercymichael4766 ай бұрын
Kweli kabisa mchungaji.Mungu akubariki sana.Makanisa mengi yanazuka sio kwa lengo la kuponya roho za hao waumini ila ni kwa ajili ya wamiliki kuwapokonya fedha waumini wao.
@husseinmaula49656 ай бұрын
Ktk maisha yangu mwanamke akinikataa naona kanipunguzia mzigo.
Ameongea vzr na kwa hisia adi imenigusa, vijana wanaumia sana
@benjaminshayo326 ай бұрын
Baba kwanza nikushukuru, ila mimi nipende kuchangia kitu, Kwanza ckuiz watu hawawazi kuoana...na huo ni ukuzimu kabisa... Watu wanataka tu kuwa na mahuciano ya kizinaa..... Wengine wanataka kuwa na rekodi ya kuwa na mahuciano na mabinti wengi wazuri, Wengine wanataka tu kwasababu ya tamaa, tena hasa tamaa.... Wengine wanaona kuoa ni uzamani, yaani mambo ni mengi...na kwa utafiti wangu mdogo nloufanya nkaja kugundua ustaa ndio unachochea sana uharibufu wa kizazi hiki...mastaa wengi wameharbika kimaadili na wao kwa kujua ama pasipokujua wamesagau kama wao wameinfluence sana kizazi hiki...tukifanikiwa kucontrol mastaa naamini tutaweza kuokoa kizazi hiki sana.
@Dullz-yt9gk6 ай бұрын
Yaaan hiyo ni bonge moja la elimu watu wengu awajui hilo
@ilynpayne74916 ай бұрын
Usi lilie uzinzi 😂😂 hilo neno zuri sana
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
Umeonaee unae unaulilia,moto
@user-bv2oe6iv3e6 ай бұрын
Nakukubali San mchungaji
@siwonikewilliam91466 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi haujakosea
@dennisezakiel33806 ай бұрын
Mimi nataka kuonana na mchungaji,nitampata wapi Huyo mchungaji
@user-vu2th5fe6y6 ай бұрын
Kwr mchungaj huyu namwerew
@MuhammadHassan-xp6dc6 ай бұрын
eti nyumbu wa mapenzi😃😃😃😃
@edsonmlelwa58145 ай бұрын
Ukweli kabisa umegusa Kila Kona Yani ukweli mtupu ubarikiwe ameni udumu
@helenpeter55226 ай бұрын
Amen
@VeronicaRugoyi6 ай бұрын
Asanteee Babaa umetishaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rehemarwanda60396 ай бұрын
Utafikiri tumetoka mbinguni juzi😂😂😂😂😂
@mwanaishaabubakar50135 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti bila ya kukusudia. Umenena wote wanawake
@user-ho8gk9os7f6 ай бұрын
Uko vizur mzee
@mwanzangafesto71106 ай бұрын
Ukweli nakuelewa sn mchungaji uwa nakufatilia maelekezo yako yapo vzuli sn mungu azidi kukupa uzma utuelimishe
@solomoneglesias97526 ай бұрын
I dont want peace i want problem any time🤣🤣🤣🤣hiii imeeendaaa🙋🙋🙋
@NeemaDesheshe5 ай бұрын
Ameen
@emmanuelakutulaga97566 ай бұрын
Pastor kuanzia Leo nakuelewa.
@TheAlman6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kweri kabisa
@burhanhusseintv48796 ай бұрын
I'm from England I don't understanding that language but mchungaji kasema ukweli🙏
@khadijamohamed33896 ай бұрын
😂
@user-vk8pv8gg6k6 ай бұрын
😂😂😂😂
@aminatanzanya74756 ай бұрын
😂😂😂
@user-yn2lr9qh9y6 ай бұрын
😂😂😂 Shenzi kabisa
@hudhaimarajab91036 ай бұрын
Kwaiy dula na manara nyumbu 😂
@AfricaYangu6 ай бұрын
Uzinzi ni mapokezi ya jehanamu 😂
@user-up2ix5vq1o6 ай бұрын
❤❤❤
@user-gu6en8ct4m6 ай бұрын
😂😂kichaa Cha ngono😂😂😂kabisa wote wanawake..
@user-zv5ny8np8d6 ай бұрын
Hananja nimchungaji mzuri ❤❤❤❤
@user-sb5du8rv9g5 ай бұрын
Uchungaji unahitaji elimu kubwa kwel unafaa kuwa kioo Cha jamii kwa elimu bora
@salimashambi70476 ай бұрын
Tuna mdemu wa tatu 😂😂😂😂chukua maua yako🎉🎉🎉🌹🌹
@bushbabytz6 ай бұрын
huyu mchungaji alishawahi kuvuta bangi
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
😂😂😂kwanini
@user-zv1xc1cv7p6 ай бұрын
😂😂😂 anasema.kweli
@user-gu6en8ct4m6 ай бұрын
😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂
@maryam4va5386 ай бұрын
Mchungaji big up😊😅
@user-kn8tp6lk6i6 ай бұрын
Kweli😂
@BarakaMwaikenda-ty1bt6 ай бұрын
Huyu mchungaji wa kweli kutoka moyoni
@user-tl9zq4ue5g5 ай бұрын
Reception ya jehanamu😂😂😂😂
@emmanuelshila98855 ай бұрын
kijana mbonyeza kinanda na wabeba spika hata kodi ya nyumba hawana wanatia huruma
@user-li1lx9fi9h5 ай бұрын
Waelimishe mzee wangu maana wamekuwa limbukeni sana hawa vijana
@suleimanmohd24516 ай бұрын
Mimi Suleiman ila ninampenda sana huyu jamaa nimkweli sana
@user-du4dt5gz3t6 ай бұрын
Huyu mzee hanaga kupepesa macho anachana live na haogopi lolote😀😀😀
@yohanamazengo32426 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-zv1xc1cv7p6 ай бұрын
😂😂😂 mchungaji unichekesha mpaka
@MuhammadHassan-xp6dc6 ай бұрын
huyu mzee ananifurahisha sana yani nacheka tu kama mazuri vile
@user-up1py2tk9x6 ай бұрын
Unasema kweli mchungaji
@ramadhanikiseko22262 ай бұрын
Achana nayeeeee😅😅😅
@kulwasuleiman27986 ай бұрын
Mademu watatu nimecheka sna aisee.
@mohammedsarehe68576 ай бұрын
Uyu ndo hiribd awe mwamposa namuerewaga sana japo razima ucheke
@greatwallhotelandktv2666 ай бұрын
Mchungaji uishi sana
@user-kn8tp6lk6i6 ай бұрын
Kabsa mchungaji😂😂
@aminatanzanya74756 ай бұрын
Mchungaj umesem kweli kabisa kwa wenye akili ndio wataelewa
@davidtry4ne6 ай бұрын
😂😂😂😂asee hii kali
@khamisjuma38416 ай бұрын
Mchungaji hananja punguza ukali wa maneno dah, yaani unasema wanaume wanaogombana kwa ajili ya wanawake nao wote ni wanawake uuuuwi umeua hiyo. Imefika hiyo sent.
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Umemalizaa BABA
@user-ur3pw2rw8r6 ай бұрын
Uko poa Mzee
@jacklinetimothy16416 ай бұрын
Ukweli mtupu baba
@rahmaabdalla76435 ай бұрын
Chakula cha mbiguni hakina chunvi wala bizari 😂😂😂.
@sifandayisaba93606 ай бұрын
😂😂😂wanawake watatu
@angellomarcel56776 ай бұрын
Duh😂
@user-jz1mc5qg1j5 ай бұрын
Baba niombee na mm niolewe
@dennisezakiel33806 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 unakaa mapokezi
@oscarjohn4776 ай бұрын
MADEMU WA TATU YAN.. manara demu wa kwanza zaylsa demu wa pili dula demu wa tatu 😂😂😂