Nampenda Sana Mchungaji Hananja anasema ukweri kabsa
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny9 ай бұрын
Ubalikiwe sana mzee wangu mungu akuzidishie marifa kuzidi kupewa mafunzo
@johanesneema5919 ай бұрын
Ubarikiwe baba unawaokoa wengui,,,, nami nabarikiwa sana kwa uchungaji wako
@ASALABOY9 ай бұрын
Dah Napendaga aya Madini uwa nainjoy sana, mchungaji hananja Oyeee
@andreamayengo9669 ай бұрын
Cog nyingi pastor 🔥🔥🔥
@edesaron90709 ай бұрын
Mch unanyoosha Mungu azidi kukupa hekima🙏
@InnocentLuvanda9 ай бұрын
Mtumishi Hananja,nimependa mafundisho Yako.
@matatamwaipopo-rp4vz9 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wa madini
@ModextaModexta-on7mi9 ай бұрын
👌👌👌👌👌
@Adventure-d4z9 ай бұрын
Ubarikiwe
@estherwaringer46649 ай бұрын
Ni Kwari
@kingsolomoni-xp3dv9 ай бұрын
a lina maanisha tamaa mtu anaetaka ukuu ila mungu ambaye ni chanzo halisi cha kila kitu hana tamaa na ndiomana alimuumba binadamu kwa mfano wake huyo mwanadamu sasa ndio akaingiwa na tamaa akataka yeye ndio awe bwana ndio maana kwenye kitabu cha mwanzo 1 mstari 1 mpaka 31 huwezi kuta neno bwana neno bwana linakuja kutokea kwenye mwanzo 2 mstari wa 4 na kuendelea mpaka leo anaeabudiw ni bwana iposiri kubwa sana
@elegantdox80749 ай бұрын
Hananja Anaufahamu mkubwa sana wa akili
@BM_Smart2-69 ай бұрын
Uwiii mbavu zangu mchungaji unauwa watu huku na vicheko aisee nimecheka mpaka machoziii
@sheisunstoppablelucy86189 ай бұрын
Deliverance ya nini ? Hapo umechemka mtumishi , basi wana israeli wangebaki misri maana wao walikuwa taifa teule
@meckmbilinyi60779 ай бұрын
Ukiokoka derivarance ya kitu gani tena, maana ya kuokoka ni nini