No video

MCHUNGAJI HANANJA ampa onyo PAPA FRANCIS dini yetu hairuhusu ushoga ,watu wenyewe hela ndio chanzo

  Рет қаралды 221,934

Bongo Touch

Bongo Touch

Күн бұрын

Пікірлер: 833
@halemmmbarak16
@halemmmbarak16 8 ай бұрын
Intelligent Hananja ur no 1 in a million nobody should make u feel otherwise. Keep going Hanaja ur the best.
@AdelinaMethod
@AdelinaMethod 2 ай бұрын
🎉😢🎉🎉😢🎉🎉😢f
@patrickmathiasnsalanga3401
@patrickmathiasnsalanga3401 8 ай бұрын
Wewe ni shujaa, Asante sana baba mchungaji, umesimama katika haki ya Mungu. Sema ukweli ili watu wa Mungu waokolewe, kwa kauli yako maelfu ya watu wataokolewa, na mimi nakuhakikishia kwamba lazima Mungu akulipe kwasababu ya wema huu mkubwa. Mchungaji hongera,. Mungu aendelee kutupa nguvu ili tuendelee kulifukuza giza katika maisha ya watu wake ili siku moja tuvikwe ile taji ya uzima wa milele. Wewe ni kiongozi wa watu wa Mungu.
@monicamollel2899
@monicamollel2899 8 ай бұрын
Kwa kweli Ni shujaa!. Mungu akutunze akupe Manisha marefu ili uendelee kunisaidia jamii yetu ya kiafrika ijitambue na kujikwamua ktk janga hili la aibu, fedheha na uvunjifu wa maadili yetu!. Kupitia mafundisho yako wengi watazinduka na kumgeukia Mungu kwa kufuata maagizo yake!.Thanks slot, be blessed Mchng. Hananja!.
@user-ml6lz4no9p
@user-ml6lz4no9p 8 ай бұрын
Assante sana Mchungaj vipige vile vita vizr vya Iman
@tinapius1865
@tinapius1865 8 ай бұрын
hakika baba umesema ukweli mtupu mungu azidi kukuinua zaidi
@mildredachimpota5877
@mildredachimpota5877 8 ай бұрын
Barikiwa baba na Mungu akutunze Kwa kusimamia ukweli
@saidimnyani3330
@saidimnyani3330 8 ай бұрын
Uchafu
@user-ml8rd7vm5o
@user-ml8rd7vm5o 8 ай бұрын
Napenda tu kukusikiliza baba mchungaji, Mungu akutunze sana.
@YusufMsumi-gx4ih
@YusufMsumi-gx4ih 8 ай бұрын
Mmimi ni muislamu nkupongeza sana mzee wangu mungu na atuongoze sote somo ni zuri sana na linaendana na mafundisho yoote ya mungu na maumbile ya mwanadamu
@hijazhija316
@hijazhija316 8 ай бұрын
Acha kujikomba
@micahlucky5613
@micahlucky5613 8 ай бұрын
Nimependa point yako....kuliko wale wanaodai watu wahamie uislam....cjui ikitokea shehe maarufu akajitambulisha kuwa ni shoga au ikafahamika kuwa ni shoga sasa cjui hapo napo ashauri watu wahame uislam.....maana dhambi haina dhehebu wa dini....uzinzi unafanywa na dini zote...ushoga pia wanafanya kwenye dini ukristo na uislam maana watu wanakuwa wameamua kumwasi Mungu....mfano pwani michezo hii ya kufira ippo sana
@YusufMsumi-gx4ih
@YusufMsumi-gx4ih 8 ай бұрын
Kasome tena uislamu utanielewa nilichoongea na sio dhana unayonijengea ان بعض الظن اثم hivo ndivo Allah anavosema
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 7 ай бұрын
Wewe una roho chafffu mno jitakasae na jik😂😂​@@hijazhija316
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 7 ай бұрын
Kweli kaka
@jacksonkatana5152
@jacksonkatana5152 8 ай бұрын
Mchungaji Hananja mungu akuzidishie miaka ya kuishi ili ulimwengu uelimike kupitia wewe,,i appreciate you daddy
@user-cn1od2mm6c
@user-cn1od2mm6c 8 ай бұрын
Nimebarikiwa na hekima zako umenena ukweli kabisa mafundisho ni muhimu kuliko sadaka zaidi sadaka zinanguvu lakini mafundisho kwanza watu wamjue Mungu washike imani kweli kweli, baba mchungaji barikiwa kwa ushauri mzuri 🙌
@TimotheoBulimwengu
@TimotheoBulimwengu 6 ай бұрын
Aminaaaaaaaah Aminaaaaaaah Aminaaaaah na Ubarikiwe sana na hakika Mungu akuongezee maarifa na uwepo wa nguvu na uweza wake maradufu ,kwajili ya ushujaa mkubwa huo
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 8 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu baba yangu Hananja Mungu akubariki na akuongeze maarifa na na maisha marefu ya kuishi ili Mungu azidi kupokewa mioyoni mwetu Mungu akutie nguvu
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 7 ай бұрын
Hongereni sana baba kwa uvumbuzi ulio na haki ubarikiwe san mtumishi
@EliyaJames-fn3dz
@EliyaJames-fn3dz 7 ай бұрын
Safi sana mchungaji Hananja wewe ni baraka sana katika kizazi hiki.Wewe ni sauti ya Mngu katika kizazi hiki
@denisoruru-yv3fk
@denisoruru-yv3fk 7 ай бұрын
I like the fact that he quotes scriptures to support his arguments. It's our responsibility to speak against any practice that goes against the word of God and our values as a community.
@user-mo6uv5ew9h
@user-mo6uv5ew9h 8 ай бұрын
"Tupate wapi tena mtu kama huyu, ambaye Mungu anakaa ndani yake! Mungu akutunze Mchungaji Hananja.
@kennix6457
@kennix6457 8 ай бұрын
Siku izi ni kutoa to kanisani ndo Cha muhimu watu wanatoa na Bado wanaendelea kuwa maskini mpaka mwisho maana hamfuzwi mambo ya maisha ,kazi mapenzi .watu wataendelea kuteseka .Asante sana mchungaji
@bekabakari7394
@bekabakari7394 8 ай бұрын
Ubarikiwe Hananja Wapo watu hata kama Kuna jambo la haki Lakini kwa sababu ya imani yake Anageuza haki kua batil
@nyansilujoseph-pm8im
@nyansilujoseph-pm8im 8 ай бұрын
Kama umesikia vizuri dakika ya 7:52 gonga like 😂😂😂
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 8 ай бұрын
Umenena vyema ukweli wote hongera sana Mchungaji. Hii dunia imeporomoka vibaya sana. Hata kama amesema nani mbona nature tu haipo hivyo, hapo ndipo ule ukweli wa imani utakapokuja kubaki suala la mtu binafsi na Mungu. Dunia inaenda wapi kutetea ushoga live!!
@cyprianmgogo7625
@cyprianmgogo7625 8 ай бұрын
UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGANI UMEKEMEA KWELI KWELI ,UPO SAHIHI KOMALIA KAULI ZAKO,HULE MZEE AMEZEEKA VIBAYA HATA AMESAHAU KAMA SIKU SI NYINGI ITABIDI ATOE MAHESABU, KATIKA HILI MZEE AMEFULIA CHOONI.
@ammaherman3391
@ammaherman3391 8 ай бұрын
Kama uliskiliza vizuri kwenye dakika ya 7:52 gonga like😁😆😂🤣😄😃barikiwa sana Mch. Hananja.
@sofetybilali349
@sofetybilali349 8 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂
@nyansilujoseph-pm8im
@nyansilujoseph-pm8im 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@nassorally8139
@nassorally8139 8 ай бұрын
Mchungaji nakukubali Sanaa japo mimi ni muislamu tena no Ustadh kabisaa lakini unauelewa mzuri na ufafanuzi mzuri wa mambo yenye kutatiza natamani wakristo wapate ufahamu na kujitambua kwa maneno yako ya hikma
@user-py9yl9bf5k
@user-py9yl9bf5k 8 ай бұрын
Tumia neno baadhi,usijumuishe wakristo wote
@user-zw6hk9rl8d
@user-zw6hk9rl8d 5 ай бұрын
Roho matakatifu na imani ndo muongozo wa mwanadamu katika ulimwenguu huu, ubarikiwe sana mchungaji Mungu akutie nguvu zaidi Ameni kwa hakika umenena sikuweza kuamini kama kiongozi mkubwa vile angeweza kusema kauli ya vile Kuna mikoa kama mara hatujui kabisa kama mambo hayo yapo kwa hakika MUNGU ATUONGEZEE IMANI,AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@damiankilyenyi5367
@damiankilyenyi5367 8 ай бұрын
Yesu hakuleta dini alileta wokovu na hata waliomuua walikuwa ni viongozi wa dini ya kiyahudi. Kwa watu wengi kuabudu dini na kufuata mapokeo ya wanadamu dini zimekuwa magereza ya kufungia watu wasiujue ukweli wa neno la Mungu na wote watakwenda motoni.
@abdallahmtula9467
@abdallahmtula9467 8 ай бұрын
Tunashukuru sana kwa maneno yako mazuri na yenye baraka tele ndani yake.
@ASALABOY
@ASALABOY 8 ай бұрын
Bongo Touch umefanya Jambo lamana sana kutuletea mchungaji kutupa Helimi mzuli asante.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇲🇿
@baoussenesombair8007
@baoussenesombair8007 8 ай бұрын
🇲🇿🍎
@petsmore9955
@petsmore9955 8 ай бұрын
Misinterpretation! Kubaruki alikozungumzia papa siotafsiri Hiyo.! Alisema waombewe kwa maana hiyo! Haujamwelewa papa. Acha povu!!!
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 8 ай бұрын
@@petsmore9955 kuwabari ni kuwatambua,wewe ni mbumbumbu,utakwenda jehanamu
@petsmore9955
@petsmore9955 8 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 wewe na chungaji wako wapumbavu sana. Kwa akili na elimu yenu ndogo mnafikiri Mungu ni babu yenu na tayari mko mbinguni na mnapanga was kuingia mbinguni na wale was jehenamu. Pumbavu tena wanafiki wakubwa! Kile kisa cha mwanamke aliyefumaniwa kwa uzinzi Yesu alimfanyaje Kama hakumbariki? Someni biblia vizuri na muombe kueleweshwa pale ambapo mnapelea hamna kitu mnachoelewa nyie! The Catholic church is not a mushroom church like that of the pastor you claim to have spoken sensibly. In fact he is just speaking emotionally out of his little biblical knowledge.
@bravesilubonde4350
@bravesilubonde4350 8 ай бұрын
Shusha namba pasteri sadaka inakuhusu
@MaryAmaiza-th2fo
@MaryAmaiza-th2fo 8 ай бұрын
Napenda huyu pastor,jasiri naungana na ww huo ni ushetani tu 🇰🇪🙏.
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 8 ай бұрын
Mungu akuinue mtumishi wa Mungu ,kweli cha Mungu kibaki kuwa cha Mungu na cha binadamu kibaki kuwa cha binadamu ,mm pia sikubaliani na suala la ndoa ya jinsia moja.
@ustadhsaidi3801
@ustadhsaidi3801 25 күн бұрын
Vijana Wanaopandana wao kwa wao, Wanataraji Nini Baada ya Maisha ya DUNIANI? Ubarikiwe Mch. HANANJA
@yusuphwella9651
@yusuphwella9651 8 ай бұрын
Mi ni muislam ila haya ni maneno ambayo hata mungu mwenyewe anafurahi kuyasikia... mungu ni mmoja tuu na wote tumetokana na adam na hawa au adam wapili Nuhu.
@SmilingJellyFish-vf6xy
@SmilingJellyFish-vf6xy 8 ай бұрын
Bwana yesu. asifiwe. Kuomba Mungunibidii yeye papa Anataka Kudupotez Sisitunaelewa mungu Haduhamgaliye papa Atoke hapo mujinga Bwana yesu Asifiwe
@ConfusedDaisies-rb5
@ConfusedDaisies-rb5 7 ай бұрын
Binafsi napenda sana mahubiri ya mchungaji R. Hananja, Mungu akubariki sana mtumishi
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 8 ай бұрын
Pastor Hananja...naomba uheshimiwe🙏
@LovenesyMhame
@LovenesyMhame Ай бұрын
Amina mchungaji wew n kioo ch jamii unafaa kuingwa n jamii kwa mafundish yak n elim uliy nayo
@masoudymichael
@masoudymichael 8 ай бұрын
Mwaka umeisha vizuri kwa kuwa na watu ambao wanaweza kumchallenge kiongozi wa dini❤
@endrewmwasomola6506
@endrewmwasomola6506 8 ай бұрын
Mungu akulinde pastor wangu
@sarambise
@sarambise 7 ай бұрын
Thanks,it is fact.. tumrudie Mungu hakika
@robertevarist1595
@robertevarist1595 8 ай бұрын
Baba mchungaji Hananja unasema ukweli Mwenyezi akubariki sana, japo si wakamilifu kwa kila kitu lkn kwa hili la ndoa za jinsia moja halijubariki kamwe.
@user-qt5uy9mt4y
@user-qt5uy9mt4y 8 ай бұрын
Nashukuru sana kwa kumea uchafuo kwakweli tuungane sote wenye kuelewa SoMo la mchungaji kukataa kwa maneno na kwa Sala atuondolee janga hili nashauri mtu atakayefanya ushoga ktk jamii atengwe Kila aina ya kijamii ya msingi maana mtu kama huyo ni shetani kabisa mchungaji mungu akitunze
@kitonkamanase2529
@kitonkamanase2529 7 ай бұрын
Mungu yupo kazini Wote mnaunga mkono mambo ya ovyo ambayo biblia imeshasema ni dhambi Mungu anawaona sana ipo siku mtamjua tu Mungu baba wape nguvu watu wako wote wanaokuamini na kukutumikia kwa roho na kweli Mchungaji uliyefukuzwa kazi simamia haki ya neno la Mungu. Mungu yupo upande wako usihofu Kaza macho yako kwa Bwana atakupigania !!
@ZaycargoMovers-vx6lf
@ZaycargoMovers-vx6lf 8 ай бұрын
Mchungaji uko vizuri. Ubarikiwe
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 8 ай бұрын
Mchungaji tunakuombea Mungu akuwekee ulinzi katika maisha yako mimi niliroma lakn nimehama kwasababu kuna ushetan umejificha ndan yake Kilichonisikitisha zaid ni papa kuruhusu ndoa za jinsia moja inasikitisha sana kuwa maamuz ya aajabu sana kiongoz mkubwa wa din anaruhusu ushetan
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 8 ай бұрын
Roma hauna kama wewe
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 8 ай бұрын
Alikufungisha wewe hiyo ndoa
@micahlucky5613
@micahlucky5613 8 ай бұрын
Kimsingi wakristo na waumini wengi ni bendera fuata upepo...wengi huwa hatuchunguzi imani zetu tunabugia tu kisa tumezaliwa tukakuta wazazi au ndugu ni waumini...we don't take time to study the history behind....ikitokea mtu mmoja anajaribu kututoa matongotongo ya imani fake tunakuwa wakali na hata kutukana matusi...sasa huwa najiuliza kama kweli mtu unaufaham ukristo wa kweli unatoa wapi mashiko ya kuanza kumtukana mtu kisa kapingana na mtazamo wako au na kile unachokiamini...kwann usichukue muda kuchunguza madai yake.kwa roho ya upole na maombi ili Mungu akufunulie....tujifunze kunyenyekea...Ukristi na imani sio vita
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 8 ай бұрын
Mungu akuzidishie ujasiri na kujiamini zaidi. Wachungaji wengi WAOGA. Ee Mungu inua na wengine waweze kujiamini. Siyo kila jambo ". OH! HESHIMUNI WENYE MAMLAKA, KILA MAMLA IMETOKANA KWA MUNGU"
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 8 ай бұрын
Mimi ni muislamu lakini kwa kweli mzee uménena maneno mazuri sana ndugu zangu wakristo msipende kufata maneno ya wachungaji ambayo hayako katika kitabu chenu cha biblia na pia ulizeni maswali kwa wachungaji hachani kuburuzwa kama mkokoteni hacheni ujinga Mungu atawachoma moto fateni dini ya yesu.ni dini ipi msifuate dini ambazo Mungu haja ilita zindukeni hacheni hujinga someni biblia hacha kuimba sana mnapenda kuimba kuliko kupenfa Mungu
@micahlucky5613
@micahlucky5613 8 ай бұрын
Mungu akubariki ww jamaa umenena vyema hujataka kupalilia udini kama wengine....maana dhambi ni dhambi tu haina dini nq inapaswa kukemewa
@rosemwangi-yp9ol
@rosemwangi-yp9ol 8 ай бұрын
Nataka kuwaelezea ukweli kwamba watu wengi na media wamyongea vibaya lakini kama hujaelewa usiongee vitu usivyovijua. Utajikosea mwenye na wengine wasiolewa. Katika mafunzo ya katoliki yatuelezea vizuri Mungu kaumba mke na mume waishi pamoja kama familia yake Kikristu. Papa kasema hawa watu wapo kanisa mtu akija abarikiwe ili Mungu amusaidie kujielewa na kuishi maisha inayofaa kama kama
@user-jq1ny9lx4e
@user-jq1ny9lx4e 8 ай бұрын
We pia ni shoga
@donjb3178
@donjb3178 8 ай бұрын
Tatizo una udini mwingi ndio mana hata kama jambo la hovyoo likisemwa huwezi fanya maamuzi kwasababu akili yako ishachukuliwa mateka fata njia ya Yesu ndio uzima pekee uliobakia ulimwenguni mana dini zimekuwa njia za kuruhusu mambo ya hovyoo kuwa ya heshima kitu ambacho sio sawa
@veeJesus
@veeJesus 8 ай бұрын
Acha udini wewe papa atakupeleka kuzimu. Acha kumtetea shetani. Mfate Mungu Soma bible papa wenu hayupo na nyie tena
@foroforoy2554
@foroforoy2554 8 ай бұрын
Wanagapi wamebarikiwa wakaacha ushoga?
@veeJesus
@veeJesus 8 ай бұрын
@@foroforoy2554 swali zuri
@JumaMnyonge-js7db
@JumaMnyonge-js7db 7 ай бұрын
Unadanganya yesu si mwaanzilishi wa ukristu muanzilishi uyu hapa Matendoe ya mtume 11:28 Wakorintho WA Kwanzaa 4:15 Mathayo 22:26 Paul ni Mrumi wakuzaliwa Usimsemeye Yesu uongo tafadhali
@victoriamumwi1769
@victoriamumwi1769 8 ай бұрын
Unapotoa comment ufikirie mara mbili, uelewe zaidi mwenzako alikuwa anamaanisha Nini, nampenda sana kumsikiliza Ananja, lakini katika hili kakurupuka kumkashifu mwenzake, arudie kusoma au kumsikiliza mara mbili hakuna sehemu Papa amekubaliana na ushoga Wala usagaji, anakemea vyote na kanisa linakemea
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 8 ай бұрын
huwa nakuelewa sana mchungaji hananja mwenyezi mungu anakuona atatenda muujiza kwako ili sauti yako ikawaguse watu wote na waache
@JaphetBigirimana-hp8ir
@JaphetBigirimana-hp8ir 7 ай бұрын
napenda huyu baba wetu hongera sana
@rosendubi5207
@rosendubi5207 8 ай бұрын
Amina , Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli, endelea kusambaza ujumbe kwa nchi yote.
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mzee Yani papa anatureteye ushoga na yeye mwenyewe ni shoga papa kenge kahaba mwana Haram amelaniwa God help us God bless Africa 🌍 God bless 🙏
@levinachuwa7622
@levinachuwa7622 8 ай бұрын
Mshenzi sana wewe mwenye mihemko, ukome kumtusi na kumdhihaki kiongozi wetu wa kanisa Papa Fransis. Uwe na adabu. Pope anaongea kuhusu kubariki yeyote, kuwaelekeza na kuwaombea. Hukumu ni juu ya Mungu. Wewe kama nani umhukumu! Shuwaini 😞
@NeemaSulle
@NeemaSulle 8 ай бұрын
Pole mwananyamala umeumia sana
@hassanyohna6121
@hassanyohna6121 8 ай бұрын
Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍
@hassanyohna6121
@hassanyohna6121 8 ай бұрын
Pastor uishi sana continue to multiply beyond measure.....👍
@yusuphsitta2400
@yusuphsitta2400 8 ай бұрын
Isa 58:1-4 SUV Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 8 ай бұрын
Hivi lini wokovu iko kwenye kanisa la katoliki!! Kule hamna wokovu.
@angelsulle7177
@angelsulle7177 8 ай бұрын
Wewe ni mbwa mbwekaji hakuna anaye kuhitaji Wakatoliki ni wengi mnooooo!!!! Ukabweke huko Barabarani
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 8 ай бұрын
@@angelsulle7177 sawa naweza kuwa mbwa!! Sina mbaya!! Sijazangumzia uwingi, hilo sio sababu. Nazungumzia wokovu. Haipo kwenye hili kanisa la katoliki. Endelea kunitukana, ila ukweli ndo hivohivo!! Cheki ulivyo, mtu wa Mungu hawezi kumtukana mtu!! Bado hujaokoka. Ww+katoliki hamna wokovu. Oky?
@hilarybenedicto3621
@hilarybenedicto3621 7 ай бұрын
Nzuri sana huyu papa ni mtu atakufa tu.... Biblia haisapoti ushoga na usagaji kabisa papa kachanganyikiwaaaa anakwenda kupata pigo kutoka kwa MUNGU.
@user-zw6hk9rl8d
@user-zw6hk9rl8d 5 ай бұрын
Mimi ni mkatholic lakini kwa imani yake hiyo mimi nitabaki kuwa mkatholic kupitia imani yangu ya biblia Amen
@salehothman6144
@salehothman6144 8 ай бұрын
Wenye Dini yao washaamua ndugu zanguni ,kila mwenye akili sasa atajua wapi pa kuelekea!
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 8 ай бұрын
SISI hatuendi kokote alieanguka kiimani ni YEYE mwenyewe UKRISTO ni sahihi
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 8 ай бұрын
Waroma sio wakristo
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 8 ай бұрын
@@user-kx7ob5rx4p Hata biblia ipo mikononi mwao na wao ndio waandishi wa mwanzo, na wamarekani, Wagiriki na Kiingereza Waingereza, Sasa ukristo umetokana na wao na hata Paul mwenyewe alikuwa Mroma au hujui yeye ndio chimbuko la ukristo Wa mataifa? Tena Paul yeye hakuwa na maono au wahai zaidi yeye alikuwa na barua na waraka, Sasa unategemea barua au waraka wa Paul kwa wagaratia iwe neno lake MUNGU? Yeye ndie mtume Wa kwanza mzungu tena Mroma
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 8 ай бұрын
​@@josephwilliam5813Ameshaukana ukatoliki maana ukatoliki ni lazma uwe MTII KWA PAPA. Kulila na na imani ya kikatoliki Papa hakosei na wakili wa Kristo hapa dunia ni.
@Secondborn_
@Secondborn_ 8 ай бұрын
Dini zote zina wenyewe mzee 😂...
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 8 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi, hawa maajent tuwapinge kabisa
@hawa6052
@hawa6052 8 ай бұрын
Hananja ukweli daima usihofu nani anasema nini hapa ukweli tu Hadi mwisho wa Dunia
@user-wq6er3ux5r
@user-wq6er3ux5r 8 ай бұрын
Ibada ya jumapili pia aliweka papa.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 7 ай бұрын
Mimi kama muislamu nakuunga mkono sana mchungaji. Wazungu wamepotea njia, wasikupotezeni ndugu zetu wakristo wa Africa.
@user-nz4ff6dq4t
@user-nz4ff6dq4t 7 ай бұрын
Watanzania simameni kidete mkikuli tu kurusu ushoga huyi ngie Tanzania mumerusu lahana maana hiyo nilana kubwa, tangu lini mwanaume kwa mwanaume wakaowana, huo papa mjinga sana tena sana
@pacsnomventures8016
@pacsnomventures8016 8 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@catjnyang423
@catjnyang423 8 ай бұрын
You are one of my heroes
@user-xl5xi1uq9z
@user-xl5xi1uq9z 5 ай бұрын
True ,waambie ukweli mchungaji,viongozi wengine wa dini wanaona aibu kukemea ,wamekaa kimya
@stevenlugano7888
@stevenlugano7888 8 ай бұрын
Ukristo nikumfuata kristo,,,,,Huku ukiubeba msalaba wako,,wakatoliki hamkeni mfuatane yesu,,🙏 acheni USHOGA😢😢
@fahadrashid9754
@fahadrashid9754 8 ай бұрын
Kwn papa amejiweka? Leo ndo mnalijua hilo
@leahdaniel1117
@leahdaniel1117 8 ай бұрын
Amen neno la Mungu lipo pale pale na kwa hilo tutahukumiwa kwalo
@denismugisha2
@denismugisha2 8 ай бұрын
Asante mchungaji kukemea kabisa kabisa uchafu wa huyu wakala wa ibilisi
@user-nz6xy1vs5i
@user-nz6xy1vs5i 5 ай бұрын
Sema kweli baba na Mungu akubariki
@JohnmasesalutandaguraJohnmases
@JohnmasesalutandaguraJohnmases 4 ай бұрын
Kwer tuchane pastor vijana tumekuwa washenzi no 1
@marymule1678
@marymule1678 7 ай бұрын
I am a Catholic bt I pray the Lord to strengthen me in my faith bt not to follow people opinion
@Patience763
@Patience763 8 ай бұрын
Mafundisho mema mchungaji MUNGU akubariki ❤❤
@JohnmasesalutandaguraJohnmases
@JohnmasesalutandaguraJohnmases 4 ай бұрын
Kwer tuchane pastor kwer nimekubali
@mmeagroup-TV
@mmeagroup-TV 8 ай бұрын
Hananja welcome to islam we will train you for free about islam the only and one true religion in the world no one will dare to say something like that in our religion
@jasonbella7733
@jasonbella7733 6 ай бұрын
Ukiona mtu yeyote anampinga mch hananja kwenye hii mada ujue uyo ni shoga na anapenda kuingiliwa na wanaume wenzie.
@JackobGalish-ky3no
@JackobGalish-ky3no 7 ай бұрын
Mzee yuko vizuri. Japo huwa anaongea kama masihara. Tunakataaa!'😂
@trecygohy7847
@trecygohy7847 8 ай бұрын
Papa hajaluhusu ndoa ya jinsia 1 ila ameruhusu baraka zitolewe kwao bila ubaguzi na sio ndoa n sawasawa wewe mtenda dhambi unavyo kwenda kwa mchungaji wako kumuomba kuibariki nyumba n.k chako
@KandidoLuvanga
@KandidoLuvanga 3 ай бұрын
Ananja ukosawa munguakubariki sana
@user-ey6ip5lf4p
@user-ey6ip5lf4p 8 ай бұрын
Amina uko sawa maama watu wanakubali kumheshimu Binadamu kuliko Mungu.... HII NDIO SAWA NA KUKUBALI CHAPA 666
@user-wq6er3ux5r
@user-wq6er3ux5r 8 ай бұрын
Acha waseme na bado..Daniel 7:25..papa alibadili sabato,leo amebadili ndoa,kesho anabadili biblia..
@user-xl5xi1uq9z
@user-xl5xi1uq9z 5 ай бұрын
Kutoa baraka ni kuhalalisha kitu kiendelee ,baada ya kukemea dhambi ww unahalalisha dhambi iendelee, Yesu alikaa na wanadhambi kwa lengo la kuwapa neno la Mungu ili waache dhambi na kumjua Mungu vitu vipi hapendi ,vitu gani anapenda sio alikaa nao kwa lengo la kubariki uovu wao .Achen kutetea mambo ya kipumbavu ,Mungu hapend
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 8 ай бұрын
Pastor weka namba tuwe tunakuchangia sadaka, maana unafundisha ukweli
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 8 ай бұрын
Kupinga tunaweza kupinga ila chamhimu nikuomba sana tena sana kama twamuani mungu ,tunajuwa shetani yuko na hatutakii mema tusali tuombee tumririe mungu atatusikia,na kingine viongozi wa nchizetu nawao watusaidie kutokubari ujinga wa ushoga.
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 8 ай бұрын
Wakiingiza Ushoga kupitia dini ni ngumu kuzuia hiyo hali, kwahiyo makanisa yaendelee kupinga hiyo hali
@user-mg2yn7pj1y
@user-mg2yn7pj1y 7 ай бұрын
acha inyexhe tuone panapo vuja
@tuponearon7368
@tuponearon7368 7 ай бұрын
Ninachojua Yesu hakuleta dini duniani, alileta wokovu kwa kila amwaminie, dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, mpango wa Mungu ni kumwamini Yesu apate ondoleo la dhambi (kuokoka)
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 8 ай бұрын
Asante Mtumishi. Ubarikiwe sana
@kazinzangonda230
@kazinzangonda230 8 ай бұрын
Safi sana mchungaji aisee ninakukubali sana
@bonfacethepreacherinthehou7567
@bonfacethepreacherinthehou7567 7 ай бұрын
Ndio Yesu ni mwenye imani
@user-um2rx7or2k
@user-um2rx7or2k 6 ай бұрын
Watumishi wa Mungu wafundishe ukweli waache kueba kitabu cha mambo ya walawi 20:13 na hicho cha walawi 16:1-34,17:1-16,18:1-30,19:1-37&20:1-27
@mathiasjames
@mathiasjames 8 ай бұрын
Barikiwa sana
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 7 ай бұрын
Shukran sana mchungaji hananja
@kasigababa8596
@kasigababa8596 8 ай бұрын
Asante sana Mzee wangu, Mungu akutunze
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 8 ай бұрын
Hamkumwelewa papa. Someni vizuri waraka wake. Habariki hizo ndo. Watu wamechukulia juu juu na kukurupuka. Anachomaanisha ni kwamba kama wanahitaji baraka, ambayo itawatoa huko walipo hawazuiwi kupata msaada huo.. wao ni wadhambi kama walivyo wengine
@HildaPaul-hm4jk
@HildaPaul-hm4jk 8 ай бұрын
Baraka zipi fafanua
@wokovumwazembe3505
@wokovumwazembe3505 8 ай бұрын
Anakubali kubaliki mashoga unaseama hawakuelewa shetani wewe na yeye usikubali ushetani wake ametenda dhambi
@elephant141182
@elephant141182 8 ай бұрын
Yesu mwenyewe hakubariki Dhabi bali alikemea na kutangaza msamaha kwa anaetubu
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 8 ай бұрын
INAFIKIRISHA SANA...HIVI KWELI HAO MAASKOFU WOTE NA WAKRISTU WANAOPINGA HILO TAMKO WA NCHI MBALIMBALI DUNIANI 'HAWAKUMUELEWA' HUYO PAPA!
@KubwaKuliko-dk4bm
@KubwaKuliko-dk4bm 7 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema imani yao kaiyanzisha yesu kwahio kabla ya yesu haikuepo imani yao,,,, Hao walio pita walikua na imani tofauti FIKIRI
@user-md3le4ri5e
@user-md3le4ri5e 7 ай бұрын
Tena afe mapema huyo pop. Mungu amusdhibu mapema POP FRANCIS
@user-jl1cn4ke5j
@user-jl1cn4ke5j 7 ай бұрын
Mnakwepa Ali za Mungu ,mnashika ysliyo mafundisho ya katoliki mamayenu
@andreamayengo966
@andreamayengo966 7 ай бұрын
Mungu aendelee kukupatia maisha marefu uzidi kutoa na kufundisha elimu na neno la Mungu Biblia Iko wazi na tunashukuru kwa kuelezea baadhi ya vifungu,,,maana alichokiongea huyu mtu ni ushetani.
@lordorcas9344
@lordorcas9344 7 ай бұрын
acsente Mutu wa Mugu Ubarikiwe Kamwe 🙏🙏🙏
@makusaro2289
@makusaro2289 8 ай бұрын
Hata Hananja hajaelewa maana ya baraka na sakramenti kwa kuwa si kiongozi wa dini kwa hiyo asipotoshe barua ya PAPA FRANCIS. Kiongozi Mkuu wa Wakatoliki hawezi kubariki ushoga.Mgonjwa akienda kwa daktari kutibiwa daktari hamuulizi kwa nini umeugua. Anamtibu kisha anamshauri na kumuonya kuepukana na chanzo cha huo ugonjwa.
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 8 ай бұрын
Unashindwa kujiuliza makaomakuu ya yesu ulikua Israeli kwanini sasaivi makaomakuu iwe vatikan dini ya nabii Musa nuhu daudi yesu muhammadi ilikua dini mojatu ukitambua Hilo huwezi kupata ttabu
@SAM_163
@SAM_163 8 ай бұрын
HUNA SHULE TULIA .
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 8 ай бұрын
Papa fransics atawatumikia mafreemason sio mungu.
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 8 ай бұрын
uwo ndyo ukwel
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 8 ай бұрын
Yes Roman’s
@fahadrashid9754
@fahadrashid9754 8 ай бұрын
Atlist umewapa cha kujifajiri wakristo wenzio...ndo mjue dini yenu ipo kimaslahi n inaendeshwa kutokana n matakwa ya watu fulani.kwnn musibak n maneno tu ya yesu adi mumueke papa..kama ni dini ya mungu mungeacha tu maneno ya biblia yakafanya kazi.saiv ndo mnajua kama papa n mungu bora mungu wakt yeye ndo mnafata kila analosema...im proud to muslim wallah tena
@MarywamboKanyara
@MarywamboKanyara 7 ай бұрын
Woo great baba nitazidi kkusikiza
@zenahussein2242
@zenahussein2242 8 ай бұрын
Dah ukaipokea milioni kabisaa kwa utulivu huku ukiuacha ujinga wao lakin sio pesa 😂😂😂 Ahsante.
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 8 ай бұрын
Asante sana mchungaji
@alsam4881
@alsam4881 8 ай бұрын
Kuna baadhi ya binaadam ni viumbe wakorofi sana japo wamepewa akili ya kufikiri na kutafakari na kujuwa kipi kizuri na kipi kibaya, lakini bado wanafanya mambo ya kijinga na ya hovyo kabisa yasiyompendeza Mungu, Na ukiwangalia wanyama hayawani hawana akili kama ya binaadam lakini hatuoni dume akampanda dume mwenzake, au jike akampanda jike mwenzake.
@ananiaszinns7324
@ananiaszinns7324 8 ай бұрын
Hapo Papa hamnazo
@Zakayo-px3sh
@Zakayo-px3sh 8 ай бұрын
Taarifa hi ni sahihi na wale maaskofu waliokua against kama Bishop Joseph Strickland wa huko texas amewafuta kazi mwezi uliopita(November). Na moja kati ya agenda za majadiliano kwenye synod; 1. Abortion 2. Blessing same sex marriage 3. Ordination of women etc Kweli tue makin na hawa viongozi wetu
@kingsolomoni-xp3dv
@kingsolomoni-xp3dv 8 ай бұрын
esu ndie bwana na ndie binadamu aliyekuwa amefunga ufahamu wote kwenye kiganja chake yani siri yote na ndio mwenye ile ishara ya sita kiganjani yani ukikunja kiganja ukanyanyua dole gumba unapata herufi 6 ambayo ni yeye aliye umbwa siku ya 6ndio mana hamuezi kuacha kumuita mungu mkuu mmeenda mbali zaidi mkamuita yeye ni chanzo cha uhai wenu siwashangai kwasababu ndio kusudi lake au kusudi la neno nandio maana kila anae soma biblia akiongozwa na roho mnaemuita mtakatifu lazima umuone yesu nichanzo cha uhai wako (REHEMA SEMFUKWE)
@ajgasharia1247
@ajgasharia1247 8 ай бұрын
Muongo ukristo kajanao Paulo yesu hakuwahi kuingia kanisani hata siku moja
@Ngongongalimedia
@Ngongongalimedia 8 ай бұрын
​@@ajgasharia1247 Unaangaika na Paul na kristo badala ya kuelewa maana
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 45 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН
Harley Quinn's revenge plan!!!#Harley Quinn #joker
00:59
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 26 МЛН
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 938 М.
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 45 МЛН