Рет қаралды 451
Mbunge wa Buchosa, Erick Shigongo ameeleza bungeni namna anavyouchukia umaskini huku akieleza jinsi alivyoangaika kwenda maeneo mbalimbali kwa ajili ya kupambana nao.
Shigongo ameyasema hay oleo wakati akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo.