Sehemu ya magari ya msafara Katibu wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa CCM Paul Makonda yakiwa yameegeshwa eneo kata ya Sululu wilayani Masasi mkoani Mtwara baada ya kupata ajali yakitokea mkoani Ruvuma
Пікірлер: 59
@fredyjeremia70747 ай бұрын
Poleni sana msafara wote,,Enendeni mkawaambie binadam wenye imani potofu! Hiyo ni ajali kama zingine,ushauri wangu! Muenende kwa mwendo wa tahadhar hasa maeneo hatarishi kama vile UKUNGU,VUMBI,MVUA,UTELEZI,KONA, NA MENGINE KAMA HAYO🙏 UDEREVA WA KUJIHAMI👍
@JuliusObed7 ай бұрын
Polee xana makonda mungu akuweke mbali na roho za ajali Mimi nakutazama kama raisi wetu wa hawamu wa saba mbele kwa mambo unayofanya
@WistonPhilipo7 ай бұрын
Pole sanaaa ni jambo la kumshukuru sana mungu kuona wametoka wakiwa salama ndugu p makonda mungu azidi kukulinda katk ziara Yako
@adolpheaoci57067 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu. Mungu awaponye wote
@rehemadaudi-r4p7 ай бұрын
Allah awanusur majeruh wote ishala😊
@NicholausAlois7 ай бұрын
Pole kaka japokuwa siipendi ccm lakini upande washida tuoneane huruma
@KiongoziMwandamizi7 ай бұрын
Udereva wa kujihami hakuna hapo, barabara za vumbi lazima mpeane distance kwajili ya vumbi sasa hapo ni uzembe na msisingizie wachawi. Kikubwa watu km wamepona vyuma vina tengenezeka hivyo
Poleni sana wote mliopatwa na hizo changamoto za ajari Mungu azidi kuwapa Neema zake poleni sana wapendwa wetu
@deodartngaiza66647 ай бұрын
Pole sana Mh Makonda na msafara wetu wote.
@ROZITHOMAS-y4q7 ай бұрын
Duh. Anasakwa makonda na ushirikina. Hawawezi. Mungu anamlinda
@pastorhermantv54207 ай бұрын
Makonda unasakwa na washilikina omba sana watu hawapendi ziara zako unawaumbua wanakusaka kwa ndumba usimwache Yesu
@JonasMbuyah7 ай бұрын
Wewe ni zero kabisa! Accident zina husiana nini na ushirikina? Watu kama nyie ndio matatizo
@vincentmushi12477 ай бұрын
Hapa inaonyesha kabisa ni uzembe wa madereva kutokuachiana nafasi ya kutosha...na inaonekana walikuwa wako kasi sana.. hapa hakuna uchawi...wachawi ni hao madereva...mungu akulinde makonda
@chomasongidion60477 ай бұрын
Kama ni mungu basi ashukuriwe kaepusha,kama nguvu za giza ,basi mungu awalaani awaangamize awateketeze wote wenye nia mbaya na viongozi wetu,waangamizwe wote mungu hana mchezo,poleni na makonda mtolee sadaka Mungu,aendelee kukuepusha
@helencyprian87457 ай бұрын
Kodi zetu zinatukika vibaya sana, hizo gari zote za kifahari jilikuwa na ulazima gani wakwenda huko zote hizo? Kwann isiwe gari moja au mbili tu? Kha! Kutuumiza wananchi bila sababu, haya endeleeni tu.
@stephansabas2157 ай бұрын
Ni ujinga tuu
@aronmtui5977 ай бұрын
Mungu anawaona
@AndrewNdabigeze-ir9pj7 ай бұрын
Makonda wetu mungu anampnda
@KingBuddah-nx3ui7 ай бұрын
WATANZANIA GARI HIZI NI BEI MBAYA SANAAA ZIMEALIBIWA KODI ZETU ZINAPOTEA
@exaverysimon10647 ай бұрын
JINGA SANA KO WE UMEONA GAR NDO YA THAMAN KULIKO MAISHA
@KingBuddah-nx3ui7 ай бұрын
HICHI KILIKUWA KIFO CHA MAKONDA SEMA DAMU YAKE KALI
@rodasanga13127 ай бұрын
Mgesubiri kwanza tumzike mzee lowasa
@KingBuddah-nx3ui7 ай бұрын
WANACHEKA PESSA ZA WANANCHI WANAFANYA SILAA ZA KUMUULIA MAKONDA
@makibadatela78657 ай бұрын
Magari ya serekali kwenye misafara ya Chama yanafuata nini huko?! Makonda sio mtendaji wa Serekali kama ilivyo Rais au Waziri Mkuu , Na chama kina Ruzuku yake , Mwazidi kututia umasikini, Poleni kwa ajali.
@sadikhussein31587 ай бұрын
Jamani poleni sana mungu awalinde
@KassamaliKassam7 ай бұрын
Driver's are not professional Very painfull
@azizali57597 ай бұрын
Kweli haukuwa na lazima wa magari yote hayo, ufisadi ndio huo
@JonasMbuyah7 ай бұрын
Kwanini ana hitaji magari yote hayo kwenye msafara? This is a waste of money, and stupid!
@eliangikundimlay30847 ай бұрын
Mwendo kasi
@DianaMafuru7 ай бұрын
Poleni jamani
@ShalafiTitto7 ай бұрын
Mtwara matukio
7 ай бұрын
Yaan hii nchi basi makonda analipwa posho kubwa saana na hayo magari kuna mafuta yanatumika na yatanyooshwa kwa garama kubwa je hasara hio serikali haioni ? Huku watu hatuna sukari ,umeme nk
@SelijusiMalambo-q2u7 ай бұрын
Hawataweza. waendelee TU lakini hawataweza
@justinealistides51467 ай бұрын
Mbona kama movie 😨
@issaalfani10307 ай бұрын
Pesa zetu zinateketea wachache wakisha zikamata sisi walipa kodi tunakua maadui M/mungu nae kwakua anaona anafanya yake
@richardjuma23637 ай бұрын
Hakuna madereva hapo udereva wa kujiham ukowapi hapo??
@lilhydon4527 ай бұрын
Hizi gari ni za nani?🤔
@naturelle10977 ай бұрын
Over speeding
@nichoojr.67477 ай бұрын
Kodi ZETU ndo zinatumika hivi kweli....
@AbdallahHamisi-s4h7 ай бұрын
Duh magar yot hayo kam movie
@AlHamra-k4u7 ай бұрын
@jumaramundi kinywa hicho ipo siku utakuja kupata ajali ndipo utajua km ajali ni mipango ya Mungu.
@ShabanJinga7 ай бұрын
mhuuu...haya ..bc 2kupepole...maaana wewe si ndio c c m? una2kilisha pole saaaaaaaaaaana
@KingBuddah-nx3ui7 ай бұрын
AWA MADEREVA C WATU WAZURI HUU NI MCHEZO WA MAUAJI MAKONDA MUAMINI MUNGU C BINADAM
@PaulEnos-pn6vc7 ай бұрын
Pole
@AndreaMasengo7 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@exprodigitaltechtv55717 ай бұрын
mlikua mnaenda wapi na umeme hakuna
@exaverysimon10647 ай бұрын
HUMU KUNAWAPUUZ WANAANGALIA MAGAR BADALA YA KUSHUKURU MUNGU HAKUNA VIFO HAYO MAGAR SI YAPO TU KIKUBWA N UHAI EE MUNGU ENDELEA KUMLINDA MAKONDA WETU
@eliasmedutieki75787 ай бұрын
Kpdi zetu kwisha ila bora watu wamebaki
@HusenNdwata-yb6nw7 ай бұрын
Izi ni laan zinawatafun na bado
@SamwelKuray7 ай бұрын
Bahati yenu wengine wanaomboleza nyie wasambasa ombea .
@gmmatelephone35977 ай бұрын
Mfee
@CHRISTOPHERKIMARO-d2w7 ай бұрын
Ela zawalipa kod zinateketea awana asara hao asara ni roho tu mali amna shida walipakodi tutanunua nyingine