Ole Sendeka alipuka bungeni akitaka shingo ya mtu, Venant akichangia; Mwigulu na Mhagama wasimama

  Рет қаралды 33,698

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Mbunge wa Simanjiro (CCM) Christopher Ole Sendeka amewataka Mawaziri ambao Wizara na taasisi zilizochini yao zimetajwa katika ubadhirifu, wawajibike wenyewe.
Ole Sendeka amesema kama hawatawajibika basi bunge liondoke na alichokiita shingo ya yule ambaye wanamamlaka naye kwa alichosema “wanachezea sana.”
Mbunge huyo ametoa kauli hiyo bunge leo Alhamisi Novemba 2,2023 alipokuwa akichangia kwenye taarifa za Kamati za bunge kuhusu ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Mkongwe huyo ametoa kauli hiyo alipoomba kutoa taarifa wakati mbunge wa Igalula Venant Protas alipokuwa akichangia.
“Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba kumpa taarifa mzungumzaji ambaye anachangia vizuri sana, napendekeza kuwa, mawaziri wote ambao taasisi zilizochini yao zimetajwa wawajibike haraka lakini wasipowajibika twendeni na shingo ya yule ambaye tuna mamlaka naye, wasituchezee,” amesema Olesendeka.
Katika mchango wake Protas amemuomba Naibu Waziri Mkuu kwenda na kalandinga (gari la polisi) akabebe watumishi wote wa kampuni ya Tan Oil isipokuwa mhudumu pekee ndiye anastahili kubaki.
Protas kwenye mchango wake amesema kuna mashaka hata katika ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo nayo amepombe ifanyiwe ukaguzi maalumu.
Kwa mujibu wa mbunge huyo, kwenye kesi ya Escrow kampuni ya IPTL ilichukua mabilioni ya fedha lakini Mwanasheria alisimama hadharani na kusema kuwa fedha hizo hazikuwa za Serikali lakini inashangaza muda mfupi imekuja taarifa kuwa Serikali inadaiwa.

Пікірлер: 67
@tusajigwe7491
@tusajigwe7491 11 ай бұрын
Best speech mbunge, Mungu akulinde
@DianaDaud-b1f
@DianaDaud-b1f 11 ай бұрын
Jizi kubwa et Tàarifa
@musayohana3274
@musayohana3274 11 ай бұрын
Ongera sana kiongozi olesendeka
@SimeonCharles-j5x
@SimeonCharles-j5x 11 ай бұрын
Kazi kumfungia mwambukusi
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 11 ай бұрын
Asante sana mh mbunge wa igalula
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g 11 ай бұрын
Wacha mungu aitwe mungu wapinzani hawamo.
@mlumez
@mlumez 11 ай бұрын
Kwa bunge hili, wakichukua hatua nmekaa palee👉👉
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 ай бұрын
Hvi kweli kwastaili hii Nchi hii kwa uongozi wa CCM hatutoboi na hata hivyo Bunge hili haliwezi tena kuishugilikia Serikali hata KIDOGO! Watanzania tujipange tu kupata Bunge lingine!
@ErickJohn-c3h
@ErickJohn-c3h 11 ай бұрын
😂😂mzee wa tozo,trab na trat, kodi ya stoo. 😅 😅 mwigulu mwizi wa kutupa.***Mwigulu mwizi afukuzwe kazi huyooo....kazoea kuhamishwa hamishwa.
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 11 ай бұрын
Mwigulu mwigulu mungu anakuona
@AgustinJustin-j9e
@AgustinJustin-j9e 11 ай бұрын
Ni vizuri tukienda hvi
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 11 ай бұрын
Halafu mwigulu angetuacha kabisa tukimkamata kwenye kumi na nane we ngoja
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 11 ай бұрын
Ole Sendeka asante
@bahatiangle4424
@bahatiangle4424 5 ай бұрын
Ongea baba
@chademaelfhasmolell
@chademaelfhasmolell 11 ай бұрын
Apo funika kikombe mwanaharamu apite wapigaji ni ccm haohao
@partysekemi5
@partysekemi5 11 ай бұрын
Mbona wabunge wote kwenye ripoti ya CAG ya mwaka huu wote wamenyooka uchaguzi imekaribia e tunawaona vizuri sasa kila mwaka watanzania wenzangu kamati ya CAG inaleta taarifa za wizi na hakuna hatua kana kwamba mnafanya chombo hicho cha CAG na takukuru ndio zinatoa ripoti za uongo na kama ni wao sio waaminifu tuanze na hao!!!
@aud548
@aud548 11 ай бұрын
Mliye na mamlaka naye ....😂😂😂😂 yani mumpige chini Majaliwa
@francismwantolwa2329
@francismwantolwa2329 11 ай бұрын
Wezi wakubwa hawa
@benedictchagula8739
@benedictchagula8739 11 ай бұрын
Safi sana! Wote wangekuwa na mtazamo kama huyu mbunge tungekuwa mbali
@alexkatama4341
@alexkatama4341 11 ай бұрын
Kuchekacheka kwenye vitu serious ni ujinga
@kristiankitali5505
@kristiankitali5505 11 ай бұрын
Huyu Mwigulu huyu sijui
@LUKASKALEY-y7s
@LUKASKALEY-y7s 10 ай бұрын
Serikali wenyewe ndio wezi wetu sasa
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 ай бұрын
Huyo Jennifer anaongea nini?
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka Ай бұрын
Mbunge Venant nimekupenda gafra misjawahi mpenda mbunge waccm ila wewe umeongea point sana tunachangishwa michango kila cku alafu watu wachache wananugaika nahela zanchi hii
@HusseinseifSachirama-tn2fj
@HusseinseifSachirama-tn2fj 11 ай бұрын
Mwigulu yani simpendi
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 11 ай бұрын
Hongera ole sendeka
@patrickngumbi2766
@patrickngumbi2766 11 ай бұрын
Mwigulu kumbuka hapo hukujiweka, kwa nn mnadharau hivi au mnafikiri hatuon wala kusikia?!!! Au mnahisi hatuwezi chukua hatua za ghafla endeleeni tu
@ChristerShao
@ChristerShao 11 ай бұрын
Akina Tundu Lisu wakisema juu ya mikata mibovu mnawatukana mlikuwa wapi.
@robertphilip385
@robertphilip385 11 ай бұрын
Kabisa mkuu
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka Ай бұрын
Mwiguluu acheni kuiibia nchi hii mwigulu nakundi lako muache kuiba nchi zawananchi
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 11 ай бұрын
Hamnalolote kilasiku hayohayo mbona enzi zamagufuli yalikoma raiya hatuna Imani nawabunge ninyi ibenitu kulenitu sisi hatuna chakufanya
@joelramadhan6062
@joelramadhan6062 11 ай бұрын
Mambo ya system nchi hii ya wandwale😂😂😂😂
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 11 ай бұрын
Huyu mwigur ajinyamauie tu maana kwenye wiz wa serekalini ni Nr 1, alafu hanaga huruma kabisa kwenye swala hilo.
@SimeonCharles-j5x
@SimeonCharles-j5x 11 ай бұрын
Pesa kapeleka fountain gates
@epiphanmsolina5321
@epiphanmsolina5321 11 ай бұрын
CCM wote ni wezi watupu
@MungaOlekukule
@MungaOlekukule 8 ай бұрын
Paulo siria
@MatelephonLukumay
@MatelephonLukumay 10 ай бұрын
Sekali ya ahamu ya tano inanyanyasa masikini kama ngombe zinauzwa efu kweli ni halalo tungalie hila
@marymchina6557
@marymchina6557 11 ай бұрын
Kwani huyu Mwigulu nyuma yake kunanani? Subirini 2025 mtatujua vizuri
@raymondkafyulilo6636
@raymondkafyulilo6636 11 ай бұрын
Wote mliokaa hapo ni wezi tu. Mwigulu ndiyo mwizi mkubwa huyo. Mbunge Venant yupo sahihi
@CharlesKapuga
@CharlesKapuga 11 ай бұрын
Mnaheshimika kwa wizi tokeni huko ndio maana mnatia Aibu sana
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 11 ай бұрын
Kazi iendelee
@robertphilip385
@robertphilip385 11 ай бұрын
Weusidanganywe na Hawa kuku niporojotu
@amizatibakari7385
@amizatibakari7385 11 ай бұрын
Hatujawahi ona hatua zote zinachukuliwa juu ya ufisadi mna kazi yakupia kelele tu Kila siku kumeibiwa matilion ya hela wakati huku mtaan mtu Hana hata buku ya kula hanjui ni dhambi kubwa lkn mjue Kuna kufa na hukumu ipo Kodi za masikin Kila kukicha zinaibiwa watu wenye vyeo wale Bata na familia zao hii ni haki
@patrickngumbi2766
@patrickngumbi2766 11 ай бұрын
Mbunge anaongelea wizi , huyu mama anataka kutufunika na maendeleo ya mchongo bado mnafikiri kuna watanazania wa hivyo kweli?!!!
@ChristerShao
@ChristerShao 11 ай бұрын
Mwigulu muogope mungu.
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 ай бұрын
Tuanze na mwigulu!
@azizakiswili9063
@azizakiswili9063 10 ай бұрын
Yaani utafikiri nchi hii ni mali yake😢😢
@KashindyeGidion
@KashindyeGidion 6 ай бұрын
Tudamani
@MatelephonLukumay
@MatelephonLukumay 10 ай бұрын
Mali ya masikin tu ndiyò ya selikali lakin majiri niyakao
@geraldadolf4928
@geraldadolf4928 11 ай бұрын
Uyu jamaa kiboko
@IsraelMgilitwe
@IsraelMgilitwe 11 ай бұрын
Sisi wananchi tunapambana kutafuta msosi kwa jasho ninyi mpo kivulini tusaidieni
@IsraelMgilitwe
@IsraelMgilitwe 11 ай бұрын
Tunaomba wabunge mtusaidie wananch
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 ай бұрын
Mwigulu katubu umetuibia sana
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 ай бұрын
Tuwapeni Chadema hii Nchi
@IsaacSengunda
@IsaacSengunda 11 ай бұрын
Wewe mwigulu ni mpumbavu tu mwehu,watanzania wanaumia halafu unaleta ushuzi wako we mwehu
@robertphilip385
@robertphilip385 11 ай бұрын
Huyu sendeka nae hajui chochote mlarusha wa simanjiro
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 11 ай бұрын
Bunge la chama wanachoongea hata hakina utekelezaji hayo maneno ya hapo
@frankpeter4178
@frankpeter4178 11 ай бұрын
....among the worst Govt ever this country got, never even foreseen
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 11 ай бұрын
Sasa mmeanza kazi
@robertphilip385
@robertphilip385 11 ай бұрын
Hamna kazi yeyote hawaniwapigaporojo hamna bunge hapa kazi Yao ndiyoooooo
@HappinessminjaHappysiami-xx4df
@HappinessminjaHappysiami-xx4df 11 ай бұрын
Tunaomba mheshimiwa sendeka uweze kuongelea swala la Barbara ya simanjiro ni mbaya mno
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 ай бұрын
We mama umechanjwa chanjo ya korona hakuna kizuri
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 11 ай бұрын
,🤣🤣🤣🤣
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 11 ай бұрын
Ninaamini muda si mrefu bandari mtajirarua nyie wenyewe, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 ай бұрын
Mwiguru nchemba wewe chanjo ya korona inakusumbua mwizi wewe
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 18 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 108 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 57 МЛН
Dkt. Nchimbi, Ole Sendeka baada ya kuteuliwa
15:23
Millard Ayo
Рет қаралды 53 М.
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
Mossad's Deadliest Mission: The Hunt for al-Wazir | Real Crime
48:45
Real Crime
Рет қаралды 1,1 МЛН