Singeli bila matusi inawezekanaaaaaaa.... bonge la ngoma! Jah Blessings
@becabonge4634 жыл бұрын
Bizzy Babilon.....!!!
@barakahchogo55334 жыл бұрын
Kazi nzuri xana walioifanya hii
@issanaseeb76995 жыл бұрын
Aliegundua kuwa ngoma kali nimuone Bayser 🙌🙌🙌
@mgaberobert19905 жыл бұрын
Kweli sapoti pia hutuka kw wasanii wakubwa huyu jamaa sikuwa namjua lakini kupitia Mr blu nimesha mtambua tupia ako ka like twende Sawa
@godlistennassary74264 жыл бұрын
Dah aseh ame ipendezesha
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
Ii nyimbo ukiisikiliza ni kama umekutana jini mwili una sisimka Wangapi wameamini ilo gusa like 👇
@azdarashid55044 жыл бұрын
Sure mwang daah
@moudyhamisi22054 жыл бұрын
du meja umetisha xana
@ashamganga66364 жыл бұрын
Ila kiukweli nimeelewa kaka
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
@@ashamganga6636 akuna namna dada👏🏿
@mickeykibabu69995 жыл бұрын
Blue angeongeza mistari mwishoni hukuu wee umerudia yaleyaleee
@shafihdauda14904 жыл бұрын
We acha katukosesha uondo
@innocentjohn40404 жыл бұрын
Ndiyo ulikuwa unatoka ila Mungu Hana makosa rest in peace Mr.
@husnamkwata27555 жыл бұрын
Sjawai kuelewa hizi nyimbo za singeli ila hii nimeielewa 😘
@kijokombao53455 жыл бұрын
Hii siyo singeli ya kisasa,ni ya zamani walokua wakiimba akina dogo mfaume(mchiriku)
@omarmatuta77094 жыл бұрын
We wakuja dar ila pole
@barakahchogo55334 жыл бұрын
IPO vzr xana hii
@allyramadhan60675 жыл бұрын
Kama unakubali MR Blue ni kirakaaa ktk fani ya music twendee sawa
@venosachalles88335 жыл бұрын
Yaani meja ndo umenifanya nipende mziki wa. singeli nakukubali sana kaka umetufanya sisi wamasai tucheze singeli
@saulisedekiasedekia24594 жыл бұрын
uko vizuri Meja kunta
@mkamakusaga57854 жыл бұрын
B
@cassianbuwa73365 жыл бұрын
Duuuh singeli ya kwanza kuipenda na kui download
@joxiahmendez13255 жыл бұрын
Weka likes kama ujawaona wale wadada wanaotingisha makalio kwenye ngoma nyingi za singeli!..
@hassanshamte14104 жыл бұрын
,@Silvanus Steven
@nationboy25415 жыл бұрын
Kazi nzuri meja ft mr blue
@congestionvikundi51284 жыл бұрын
Rip kantu 😭😭😭😭nkitazama huku wimbo nashindwa kuzuia machozi...mbele yetu nyuma yako😢😢
@iddytmauzo62575 жыл бұрын
Na mi nakupenda wewe MAMU hoo MAMAUUUUUUU mamu mkewangu hooo MAMUUUUI .🎤🎵🎶📲
@godfatheribra86585 жыл бұрын
oyq we blue atabak kua blue ni nomaa mwamba kwenye game kitambo
@lisajackson58674 жыл бұрын
we dogo kazana utatusua kiukwel unajua kuimba sipendgi singeli but ww umenifny nipend unajua kuimba uongo dhambi Mungu akulinde n jicho z husda
@shebername52675 жыл бұрын
singeli sinaga mda nao lakini hii nziri aisee naombeni like
@allymanzi95535 жыл бұрын
Yes
@abdyramadhan6665 жыл бұрын
Nkuba.
@asternjulius8904 жыл бұрын
Huu wimbo Leo unahusika sana kwenye mahusiano yang
@Boaz225 жыл бұрын
Hii nyimbo mtaani Kwwtu ikipigwa lazma usimame ucheze,kazi nzuri sana meja kunta
@keagleeagle8214 жыл бұрын
Lala salama Kunta.Naupenda huu wimbo ila nilikua sipo makini kujua jina la mwimbaji.Nasikitika kukujua kwa kuchelewa baada ya kifo chako.Gone too soon.
@thadeusmahendeka44665 жыл бұрын
Blue Byser fundi sanaa, kapita kwenye kisingeli ki KONTAA ZAiidi.
@habibumtepa64065 жыл бұрын
kinjungaaaaaaa aaaaaaaaaah kusamehew ukweni ni ngumuuu xn
@mudisilimu63785 жыл бұрын
Weka like yako hapa kama umemkubali Mr bru
@sabatodotto90674 жыл бұрын
Anayependa singeli naomba like zakutosha wajameni
@mnomahboybright47435 жыл бұрын
daah ila mie nisiwe mnafka meja unajua ila mie ndio nimekujua leo amenileta mr brue apa baada yakuona amepost katka Insta yake kazi nzuri saana
@karimunjaulesahihi14595 жыл бұрын
Saf
@azdarashid55044 жыл бұрын
Yupo vizur saaan asee
@johnjulius94213 жыл бұрын
Niaj jnj
@salmatamla40314 жыл бұрын
Me sio mpenz wa singeli jaman ila hii kwa mara ya kwanza najikuta naipenda, keep t up meja......
@bonitojo4 жыл бұрын
Rest in peace chalii.. Asante kwa ngoma tamu uliyotuachia
@shabani_rapwi5 жыл бұрын
Mr Blue katishaaaa
@vitalesgalus80045 жыл бұрын
baixha nakubali broo napenda sana Auna kuvimba mzazi noma sana
@angelalfred81284 жыл бұрын
Daaaah kabaisar hatareee fire
@georgejovin22554 жыл бұрын
Uyu jamaa hatar anavyoenda na mdundo unaweza cheza ata class
@MrBandari125 жыл бұрын
Kama unachek video huku unasoma comment gonga like tujuane
@celinakulwa98114 жыл бұрын
Tupoo
@swaibutanzania59244 жыл бұрын
ww ukimlithi mzee yusufu kwa kuimba tarabu itanoga sana
@imbatokamoyoni22095 жыл бұрын
Jamaa ana sauti ya pekee kwenye style hii ya sengeli,, Kaka upige na mnanda sauti unayo tena kali sanaa,, Safi sana