#MejaKunta #Mamu #SlideDigital MEJA KUNTA SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES: ffm.to/mejakunta Follow Meja Kunta on / mejakuntaofficial Channel Administered by Slide Digital Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 930
@jukiboy7012Ай бұрын
Kama unaangalia nyimbo hii 2024 gonga like hapa
@DanielChaula3 ай бұрын
Umamu 2024 hii ndio flavour kamili ya singeli #meja power
@AllyMaganga-cd8qm4 ай бұрын
Wanaoiangalia hii ngoma mpaka leo like hapa
@halemaalamri39892 жыл бұрын
Hii nyimbo inanikumbusha kipindi nipo tz dah kweli miaka inasonga naipenda hatali
@magangakiyabo34294 жыл бұрын
Kutoka ufaransa nasikiliza singeli najivunia kuwa Mtanzania ♥️ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Big up kazi nzuri
@gracegilbert52964 жыл бұрын
kwa kweli nilikuwa simjui,ila nimekujua baada ya kifo feki kwa kuwa unaimba vizur Mimi kuanzia Leo ni shabiki wako.safiiiiiiiiiiiiiii.
@vitalisneymar70976 ай бұрын
22 MARCH 2024...STILL BEST OF BEST OF MEJA KUNTA💥
@allyhamoud59145 жыл бұрын
Hatari sana hii sengeli si sengeli mdundiko sio mdundiko vanga si vanga nilikua nishaacha sikiliza nyimbo za hivi sema mamu imenirudusha,safi sana Meja piga kazi
@NyandwiJeanClaude-d1i Жыл бұрын
Meja karibuni na kwetu Rwanda unatixha jamani
@stavinemkuumemes45943 жыл бұрын
All the way from Kenya 2021💯💯💯🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda t izo beats mejja kunta ngoma zako napenda t kwanza kwa woofer
@qrrrqtqt99763 жыл бұрын
Mashaallah meja Punta nimependa hii nyimbo nakukubali
@johnsamweli41603 жыл бұрын
Kaka nakuelewa vzur sana kaka😋😋😋😋🙋🏻♂🙋🏻♂🙋🏻♂
@mohammedshaban14985 жыл бұрын
UMEJITAIDI KWA VIDEO 🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏nakwambia kaza buti tu 👏👏👏👏👏
@jabirihalifaonlinetv45115 жыл бұрын
Mohammed Shaban poa sana
@shamilamuhogo75424 жыл бұрын
Meja kunta utaishi miaka mingi, walimwengu wabaya kazi yao kuzusha tu mambo mabaya
@nianaalphonce23095 жыл бұрын
Wewe jamaa noma..... Nyimbo za singeli sizielewagi ila hiii.. Uhuhu yani ina hisia. Mpaka najikuta natoka na chozi 😥😥😥
@semhineshauri34104 жыл бұрын
Yaani hapa Meja umemaliza
@emanuelmhoja24113 жыл бұрын
Sijawahi kupenda ngoma za kihuni hii ya kwanza
@OswardTweve9 ай бұрын
Jamani napenda hi nyimbo ❤❤❤
@sadiknzembe1724 Жыл бұрын
"A talented soul"we r proud of you mejakunta, big up bro,much love from Kenya👍👍👍👍👍👍
@nongwanorbertnongwa88214 жыл бұрын
Nakupenda sana Meja Kunta, endelea kuhit kijana
@jumamkumbi32774 жыл бұрын
Sipendagi miziki ya visingeli ila hapa nimenyoosha mkono , one love bro 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@edwins58044 жыл бұрын
Sijawah kupenda mziki wa singeli but this one is incredible!!👏🏾👏🏾
@mourinej10223 жыл бұрын
We are the same
@BrantonixAfrica5 жыл бұрын
Kali sana yaani Konki fire 🔥🔥❤️ pambana baba ... Sisi kina dogo twaja. muziki wa singeli Ndo nyumbani Mamu
@hawafredy43214 жыл бұрын
Big up sanaaaaaah
@maryamkyando39565 жыл бұрын
Hakika umejua kuomba msamaha wa dhat kabisa ngoja mamuuu nirud kama unataka nirudi gongaaa like za kutosha hapaaa Ila usirudie Tena makosaa mume Wangu
@stevenurioofficial41654 жыл бұрын
Maryam Kyando kaomba adi uruma jamani rudi tu mke
@omarmatuta77094 жыл бұрын
😃 we chiz ujue
@maryamkyando39564 жыл бұрын
Steven urio Official narud hakika kajutia makosa sana kwel Mume Wangu kachakaaa ngoja nikamng`arishe
Aaah mi sio mpnz wa hiz song ila meja kunta we ni fuuuuundiiiiiiiiiii....unajua mzee baba... @team meja kunta
@doreenjamhuri39855 жыл бұрын
😍😍Umejua kunikosha jaman Ww ngoma tamu sanaa big up😜😜
@jiggamanqatada9115 жыл бұрын
Tisha sana mwanang tunatarajia makubwa zaid ya haya tunaka kuwa elimisha km singel si mzk wa kihuni bal ni mzk wa kila sampuli... Jah bless dam yang
@CRMEDIA-yd7dp4 жыл бұрын
Uzusha umekufa unaonekana unapenda sana kufa usijali utakufa tu karibuni kwa uwezo wa mungu
@jumannemfaume5 жыл бұрын
Mimi sio mpenz wa singeli kabisa, ila nimesikiliza huu wimbo wako nimeona mabadiliko makubwa kwenye aina hii ya uimbaji umeleta changes bigup wimbo mzuri unaelimisha pia
@nasibuahmedy2438 Жыл бұрын
29/07/2023 Still #Hit hii ngoma asante #Meja_kunta
@eviepretty26463 жыл бұрын
Nimerud kuona kaziba pengo kias ganii😂😂😂 meja bwana
@linnadeo40564 жыл бұрын
Meja kunta hilo deni kubwa sana inabid utoe nyimbo kubwa zaidi ya hii maana umeanzia levo za juu sana SISI TUNAKUDAI
@monikisongo27715 жыл бұрын
Meja wauweeeeeeh 🙌🙌🙌
@daudseleka43574 жыл бұрын
Meja wauweeeeeeh
@rebeccamnenge40914 жыл бұрын
R.I.P Meja pumzika kwa Amani
@khalidmgante8524 жыл бұрын
R.i.p
@victorisaya82965 жыл бұрын
Dah saf sana Mwanangu sauti unayo na unaitendea haki sambamba na kipaji chako NAKUONA MBALI sana aisee ongeza juhudi zaid support zetu kwako 100% mzee
@jamesdelicious39575 жыл бұрын
Video is Very Gooooood nilichokiwaza ndicho kilichokuwaaa Hongera 😍🤗🔥🔥
@rajabukarimu78605 жыл бұрын
James Delicious umetisha kinoma noma
@salmamshana19284 жыл бұрын
singeli ya kwanza kupendwa namimi haswaaaaaaaaa
@selebobo87764 жыл бұрын
Sawa
@selebobo87764 жыл бұрын
Hey bro uko vzr
@khadijasarahani58673 жыл бұрын
Tamuu kamaa nn!!!
@partypatriez48712 ай бұрын
Who's watching this in 2024
@mahmoudaziz47174 жыл бұрын
Ooh mamuuuu.oooh mamuuuu.mejakunta.love from Zanzibar.
@عليمحمد-و6ي9غ4 жыл бұрын
Upo vizur😍😍sauti MashaAllah
@antonymassawe37754 жыл бұрын
Nilipata huzuni et umekufa duh!! Mara ya tano natazama video hii ,pata maisha marefu meja
@saadakiyungi64374 жыл бұрын
Meja kunta ana sauti nzr balaaa. Ni firee
@jumajumajuma15924 жыл бұрын
Meja Kunta yuko juu kinoma
@khaithamrubea51094 жыл бұрын
Nimekuja kuona nyimbo zake baada ya kuskia amekufa
@baynittv88044 жыл бұрын
Fundii!!!! meja junta n kama #mondi
@saidisaidi43414 жыл бұрын
Walio kuja bahada ya kusikia kunta mzm bado gonga like twende sawa😭😭😭😭😭😭😭😭
@selinalangu50454 жыл бұрын
Rip
@mwahijaa16504 жыл бұрын
VP ujambo
@mwahijaa16504 жыл бұрын
@@selinalangu5045 meja
@nuruspicy39685 жыл бұрын
Kazi kubwa sana,, Shout out to the Big Boss #Dozeeeeee
@witnessfikiri55284 жыл бұрын
Love you meja kunta
@babagaddafi83494 жыл бұрын
hongera
@tamimthuwentamim65283 жыл бұрын
Nuru hujambo?
@mwandegeplaza65045 жыл бұрын
Dogo unajua saaana, hii ngoma inabamba sana huku mtaani kwetu
@jamesjonh44715 жыл бұрын
Aiseeee ngoma kaliiiiii sanaaaaaa .Huyu jamaaaa akitulia ,he can bring changes kubwaa sanaaa kwenye singeli .
@richardtungaraza75093 жыл бұрын
Sahihi kabisa,anajitahidi sana
@aishakamau20852 жыл бұрын
You can do better
@ambaely234 жыл бұрын
Kila mmoja aende kwa mamuu wake akaombee msamaha 😀😀😀now 2020 like twende sawa
@jeneralAthanoel2 жыл бұрын
Mashairi yamesimama hatari..., beat sasaaa, ni kurudia tu nyimbo
@danielkaristo16975 жыл бұрын
**"""dundo kari ile mbaya respect sana boy ...all the best ...🎤🎧📻📢📣📯🎺🎻📞🎶🎶🎶
@lackube58744 жыл бұрын
Daniel Karisto
@lackube58744 жыл бұрын
No coment
@floraleonard90952 жыл бұрын
Meja chanzo cha mm kupenda singeli💞💞💞.,
@wilsonnyitika64544 жыл бұрын
Hatari Sana umenikumbusha mbali sana
@mariamhuhossen33524 жыл бұрын
Daaah kaka angu siamin macho yangu kama aupo duniani
@nemnem74314 жыл бұрын
This is a comedy wallah...😂😂Nmcheka yangu yote. Someone take me to Dar this 2020... Inshallah.
@eltajir3 жыл бұрын
Hey
@abdallajkhalfan12024 жыл бұрын
Mamu ajitokeze hapa na amsamehe huyu mtu, maana nyimbo kali hii
@mosiwaziri16214 жыл бұрын
Jimbo pambe sana bonge la song ww mkali wao
@henerikomico9483 жыл бұрын
Wa Tabata Dar es salaam Kazi kuu mbili za Fasihi ni 1- Kuelimisha 2- Kuburudisha Kazi zote tunazipata kwa Meja Kunta hapa 7/11/2020 Mungu ibariki Tanzani🇹🇿
@DJMwangaDotCom5 жыл бұрын
KAZI NZURI Meja Kunta
@nginjapradaa21885 жыл бұрын
mbon aipo hii kwako
@innocentboykid2445 жыл бұрын
Oi mbaba
@DJMwangaDotCom5 жыл бұрын
@@nginjapradaa2188 ipo Muda sana.. VIDEO > www.djmwanga.com/2019/07/video-meja-kunta-mamu.html AUDIO > www.djmwanga.com/2019/05/meja-kunta-mamu.html
@edithpaulo3995 жыл бұрын
DJ Mwanga ✔✔✔
@falidahilali34604 жыл бұрын
DJ Mwanga nice
@fatmazullu49333 жыл бұрын
Basi tuu vingoma vya humu vinanifurahishaga!
@kisautijudith34094 жыл бұрын
Dah! Kumbe ni huyu kaka..May his soul rest in peace 🙏
@sophiaali58132 жыл бұрын
Meja hajakufa
@anasaratoga58064 жыл бұрын
Vile moyo huwa inaniluka nikiisikia hii nyimbo mngenionea huruma Ngoma tamu hii jamn
@erickcantonxnomahiingomada37424 жыл бұрын
Mwanangu hii nyimbo ulipatia kinoma inasaidia sana hii 😂 Kwenye migogoro
@jumajuma37103 жыл бұрын
unatakiw uwe na moy wa hurum kam haun haot kaa na wt
@WinneyEmmas4 ай бұрын
Naipenda sana hii nyimbo ❤❤❤❤
@muniramunira4013 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
@danielmathias1603 жыл бұрын
Hongera kwake kwa aliyepiga biti hii
@ridahmainde75085 жыл бұрын
Waoooh nzur sanaaaa nasauti pia imetulia hadi raha.
@barakathomas78144 жыл бұрын
Sichok kuskiza huu winbo,,, mashair mazur
@reginamjema19974 жыл бұрын
Can't believe the way I love Ur music, wale tulioletwa huku baada ya kuskia kifo chake tujuane
@tausizuberi68985 жыл бұрын
Nyimbo tamu hii tangu niiskie day one mekuwa kama mtumwa wake any time naiskiliza
@frankmhamed6585 жыл бұрын
Imetisha boy
@hamzafedha40324 жыл бұрын
Mfalime wa singeliii mejaaa
@masoudsaid76703 жыл бұрын
Mej km mej massallah kw kpj chk
@maryamisa97435 жыл бұрын
Wanao ombwa msamaha wote kama mm na meja kuntu jamani tutafutane
@kareemkassim23195 жыл бұрын
mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥hapana chezea mam
@bakarrashid64744 жыл бұрын
Singel yangu Bora huuu
@husseinkundan19643 жыл бұрын
From Cape Town South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇹🇿🇹🇿2021
@ZainabMohammed-id1db4 жыл бұрын
Mamuuuu huyoo
@alexiswamillazo65204 жыл бұрын
Kama umekuja huku baada kusikia kifo chake gonga like kisha muombee kwa Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi 😢
@aishaismail87044 жыл бұрын
Innalillah Wainnaillaih Rajighuun 😢
@christinamsuya51504 жыл бұрын
Hajafa
@angelsalum21444 жыл бұрын
Alexis Wamillazo umejuaje
@rahmakhassani41484 жыл бұрын
Alexis Wamillazo nikitu kischojulikana
@kalundehassan91214 жыл бұрын
Yaani nilikua hata simjui wala sijui huo wimbo, 😂😂😂ametuweza maana hajafa kweli
@joniblak72673 жыл бұрын
Buloooo apa umetishaaaa kinomaa
@asamunique51745 жыл бұрын
nlkua naisubr kwa hamuuu... big up kwako Mr mamu😂😂
@abdallahsadiki18764 жыл бұрын
Inaumaaa sanaa japo wote njia yetu moja ila inauma sanaa kutangulia 😭😭😭😭😭😭Rest In peace Meja kunta 😭😭😭😭😭😭😭
@josephsanga4745 жыл бұрын
Hiii ngomaaa nitam sanaa kama nini gonga like sema tam kama nn
@tabiayusuph84064 жыл бұрын
Joseph Sanga Yan we acha tyu jamaa ametisha htr
@rashidikipae16994 жыл бұрын
@@tabiayusuph8406 K
@fatmakiruwasha23784 жыл бұрын
Duu mpaka midadi Inanipanda
@frankmyamba1224 жыл бұрын
I love you
@semhineshauri34103 жыл бұрын
Meja wa kitambo mwenye pengo bana huyu mwenye jino sijui itakuaje kama anapotea vile lakini mapema kutabiiri
@feysalismail47685 жыл бұрын
tunaomkubali meja tujuane kwa kugonga like
@mwanahamismwanahamis38695 жыл бұрын
ata mm namkubr san
@mwinyijumasupportmytalent76985 жыл бұрын
Uyu sio Omary mtoto wa Mbagala au namfananisha
@jacksonritte64005 жыл бұрын
Feysal Ismail mkn
@abedishaban47025 жыл бұрын
maja ndio bigwa wasingel
@oscaredward12884 жыл бұрын
Team mamu tupo pamoja
@saidsamwel71534 жыл бұрын
Wewe noma sana
@nalingacomedian32515 жыл бұрын
HUYU MEJA SINGELI BIASHARA SIO KAMA WALE WASE**WENGINE
@kuruthumuhamad41954 жыл бұрын
mbele yako nyuma yetu
@kuruthumuhamad41954 жыл бұрын
😭😭😭😭
@allykhamis99054 жыл бұрын
Nalinga Comedian ygbooppkjkkkjybjgbgm
@saadakiyungi64374 жыл бұрын
Dogo fundi huyu
@keifatuke994 жыл бұрын
Kweli Wolper alienda HAPA, pombe mbaya
@vee1939 Жыл бұрын
The love I have for mejja ❤️❤️❤️❤️
@frankbujiku9496 Жыл бұрын
Odoe
@rehematukai608411 ай бұрын
Ishi sana chaliangu umeuwaaaa
@jackcosmas42775 жыл бұрын
😘 bonge la video
@aminahassan65365 жыл бұрын
Nkupenda bure yani we kaka❤❤❤❤😘😘daaah
@edithpaulo3995 жыл бұрын
Amina Hassan ❤❤❤
@bukharykhassim93593 жыл бұрын
We noma sana meja kunta
@babymansouth11645 жыл бұрын
sipendani miziki hii Lakin huu 💯💯🔥🔥
@khdijaahmed84583 жыл бұрын
Huu nomaa na nusu 🔥🔥💪💪
@richardtungaraza75093 жыл бұрын
Kweli kabisa,huwa siikubali sana ila dogo anajitahidi sana
@richardtungaraza75093 жыл бұрын
Mpambanaji sana mbunifu
@josephjaphet8253 жыл бұрын
bonge la ngoma hapa mjini linabamba kichizi
@cyborgmatumula6504 жыл бұрын
Nilikuja hapa baada ya kusikia kafa Nilikuwa simjui hata nyimbo zake na nilikuwa sijui singeli sasa nilikuwa najua chakacha tu. Sasa Mimi babu wa singeli from UK
@pascalandrea90535 жыл бұрын
Naipendraa sanaa safi sana kaka
@AlexMbilinyi-su5nc5 ай бұрын
Meja ni atengwe
@aminiahamadi27105 жыл бұрын
jamani mimi sipatagi hata like kila siku
@charleskisanga68224 жыл бұрын
Unataka laiki umeimbawewe
@elizabethkayege39204 жыл бұрын
Ongela kaka unajua mkakaka
@fellyjs78254 жыл бұрын
Unazipeleka wap hzi likes
@irenegodson84073 жыл бұрын
Ngoma kali sana god bless u
@khalidhamka95674 жыл бұрын
Walio kuja baada ya kusikia amefariki like hpa
@salamarajab79334 жыл бұрын
Imebidi nije tu mana cmjui
@khalidhamka95674 жыл бұрын
@@salamarajab7933 mwenyewe nilikuwa simjui
@fainessjeremiah44914 жыл бұрын
Tupo wengi
@maryamiry14154 жыл бұрын
Katuweza kwel lazima aongeze followers sababu wengine tulikuwa hatumjui