No video

MFAHAMU ANNA WA JUA KALI ALIYETAPELIWA HELA ZA HARUSI NA IZZO BIZNESS

  Рет қаралды 101,599

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Kutana na Mwigizaji Godliver ambaye ametamba Kwenye tamthilia mbali mbali ikiwemo tamthilia ya Jua Kali ambayo mule ndani anaitwa Anna, ambaye kapitia misuko misuko ya mapenzi. Hapa AyoTV amefunguka mengi ya kumfahamu Bonyeza PLAY kumtazama.

Пікірлер: 211
@lakishagreen9996
@lakishagreen9996 3 жыл бұрын
Sasa hii ndio interview🤝, waingizaji wajifunze kupitia huyu dada Anna. Hana bwebwe zakujishauwa nice one. Love from Germany 🇩🇪🇩🇪
@godlivergordian1481
@godlivergordian1481 3 жыл бұрын
Asante sana
@Itsst4ra
@Itsst4ra 3 жыл бұрын
Sorry dada unaishi ujerumani sehem gani
@Itsst4ra
@Itsst4ra 3 жыл бұрын
Unaweza kuwa jirani yangu
@lakishagreen9996
@lakishagreen9996 3 жыл бұрын
@@Itsst4ra maybe me niko Berlin
@lakishagreen9996
@lakishagreen9996 3 жыл бұрын
@@Itsst4ra mrembo upo sehemu gani ?
@husnajuma845
@husnajuma845 3 жыл бұрын
Ohooo Mayra mama Karina Mrs majid gumbo kwa kweli upo vizuri sana mungu akuzidishie zaidi ya hapo habibty.
@salmaissa8384
@salmaissa8384 3 жыл бұрын
❤️❤️❤️ nakuona kabisaa kwenye maono yangu.... naamini ipo siku kwa mapenzi ya mungu nitafika huko.
@happysurvivor5980
@happysurvivor5980 3 жыл бұрын
Yani uyu Dada nibonge la msaniiii😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@Nzinyangwa
@Nzinyangwa 3 жыл бұрын
Most talented female actress i know,,,,,
@josfinkruki5626
@josfinkruki5626 3 жыл бұрын
The best actress av seen recently...she is soo real...her skills are soo good...nampenda sana jamani...amenifanya nikaipenda jua kali..coz of her
@iddykarumanga2157
@iddykarumanga2157 3 жыл бұрын
Wanasababu ya kujifunza kitu toka kwako unajielewa sana dada Anna
@siahkidolah7862
@siahkidolah7862 3 жыл бұрын
Wooow hyu dada mamkubali mnooo so cute ❤️na anajua kuigiza hongera dada
@withnessemanuely911
@withnessemanuely911 3 жыл бұрын
Ambao tulikua hatumjui huyu dada gonga like
@user-mv8cw2jn5n
@user-mv8cw2jn5n 2 ай бұрын
Kasema muhaya imn wahayaya gonga laik
@fatumamgeni1974
@fatumamgeni1974 3 жыл бұрын
Kiukweli huyu dada namkubali sana kiufupi anaweza sana,mwenyezi mungu akupiganie katika kile ambacho unakipenda.
@leticiamchomvu3623
@leticiamchomvu3623 3 жыл бұрын
Unafanya vizuri sana keep it up Anna😘
@ummysalimujuma8604
@ummysalimujuma8604 3 жыл бұрын
Daah huwez amin leo nimesililiza entaview ya mtu mpaka mwisho my sis ur star like u
@richardsizya1847
@richardsizya1847 3 жыл бұрын
Linajua Kuigiza Hili Dada Aiseee....We Amu Njooo Nikuage😂😂😂😂......Umesikia Tunalima Huku
@joycefelix9047
@joycefelix9047 3 жыл бұрын
Mpenzi wake Beka, hakuna sehemu ameigiza nikaacha kupendezwa na uigizaji wake. You are a true star
@brazanet6916
@brazanet6916 3 жыл бұрын
Sio uyu mpenz wake beka yupo kweny pazia anatumia jina LA brenda
@robinapatrick8479
@robinapatrick8479 3 жыл бұрын
Anaongelea Beka watamthiliya ya haikufuma cyo Beka muimbaji
@rebecajoseph8585
@rebecajoseph8585 3 жыл бұрын
Mungu ataendelea. Kukupigania said na zaid uko vizur kwanza hana skendo mbaya hata uvaaji wake anajiheshim pia nakupenda sana mayra mrs gumbooo
@faridajuma7075
@faridajuma7075 3 жыл бұрын
Mayra, mama karina, mrs majid, mrs salum ndani ya uhuru
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 3 жыл бұрын
Nampenda saana G.. Tangu siri ya Mtungi...Uku kwenye Haikufuma beka amekuroga mama.. Be blessed 😘😘😘
@sarahlupy7668
@sarahlupy7668 3 жыл бұрын
Hahahahaha Yan beka anaboa🤣🤣🤣🤣
@sahlamussa8538
@sahlamussa8538 3 жыл бұрын
Hhhhh
@himnasalum2424
@himnasalum2424 3 жыл бұрын
Kama kawaida yako unaongea htr we love u
@leonidawilliam5525
@leonidawilliam5525 Жыл бұрын
Mama Kalina nakupenda bure muhaya mwenzangu wa Katoma Mungu azidi kukupa afya na maisha mema🙏
@SamiraBhazizane
@SamiraBhazizane Жыл бұрын
Hats mie nampenda saana Hana malingo na ulimbukeni Kama wasanii wengine wa kike natani afike anakotaka
@mariamsolomon6821
@mariamsolomon6821 3 жыл бұрын
Dada yangu mayla nakupenda Sana katika uingizaji ,wako harfu sasa napenda uingize na faridi kila sehemu mke na mme,natamani siku nikuone tu nikukbatie
@fhvbvgkvgc8073
@fhvbvgkvgc8073 3 жыл бұрын
Huyu dada cjaona mfano wake ako na kipaji kikubwa xaana yaani akilia kama ana cheka anachanganya yaani Mashallah, dada Anna uko powa big LOVE from Kenya.
@sophieponera3136
@sophieponera3136 2 жыл бұрын
Kwel unafanya kitu kutoka moyoni ndio maana hukosei... kaz nzur bbygal❤️❤️...yan unavaa uhusika adi raha, kifup hauboii
@akinyilucy953
@akinyilucy953 3 жыл бұрын
Muaya hongera sana dada kwakutuwakilisha
@nassraal-riyyami8387
@nassraal-riyyami8387 3 жыл бұрын
Nilimpenda kwenye Uhuru una gharama zake
@josephphilip6108
@josephphilip6108 Жыл бұрын
Nomoo
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 3 жыл бұрын
Waoooh nimependa kumfahamu zaidi waooh love you Anna ( juakali)
@neemaipas2750
@neemaipas2750 3 жыл бұрын
Nakupenda dada anna🥰🥰🥰🥰
@neemaipas2750
@neemaipas2750 3 жыл бұрын
Nakupenda dada anna🥰🥰🥰🥰
@sikudhanjuma3987
@sikudhanjuma3987 3 жыл бұрын
Mm nakupenda from Kenya nakuaminia htr.tena uliniumiza mbavu w na yule doctor
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 3 жыл бұрын
Siri ya mtungi ulikuwa my favorite actress mpaka sasa ubarikiwe sana
@sarahhassan2857
@sarahhassan2857 2 жыл бұрын
Yessss Anna nakukubali zaman tulikua tunaangalia akina wema akina jakline na Irene na kusema hawa n wasanii wakubwa lakini sasa wamepoteza ,wewee Anna ndie mtegemez wetu katika sanaa ya uigizaji kwa sasa pambana zaidi na zaidi epuka tu. Skendo chafu na umtangulize Mungu I love you anna
@foibecharles
@foibecharles Жыл бұрын
Nakupenda sana dada Anna, Yani hata ongea Yako inakutambulisha umeokoka, hongera sana
@neemaibrahim679
@neemaibrahim679 3 жыл бұрын
Hongera Sana mwaya
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Anna anasimama na mungu Kila konaa alipo yupo, ajishaui ye a ajal Kaz zake mwenyew yupo simple
@bilalbizimana980
@bilalbizimana980 3 жыл бұрын
Umejibu vizuri saana, uhandishi ni ur real profession
@christinemangaza6303
@christinemangaza6303 3 жыл бұрын
I love u 😍 Anna from 🇺🇸❤️💯🥰
@rahmatuwano5346
@rahmatuwano5346 Жыл бұрын
Nakupenda sanaaa❣️❣️
@elyshaedward2528
@elyshaedward2528 3 жыл бұрын
Nakupenda sana Dada Anna
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 3 жыл бұрын
HONGERA SANA...NAKUKUBALI SANA.NIMEKUFAHAMU KWENYE JUA KALI.
@beatricejs2144
@beatricejs2144 3 жыл бұрын
Nampenda sana huyu dada jamani,Mama kalina
@Officialshadrackjohn
@Officialshadrackjohn 3 жыл бұрын
Huyu anatakiwa awe hollywood huko na manetflix.
@jessymalembeka6181
@jessymalembeka6181 3 жыл бұрын
unajua DADA,HONGERA SANA
@aishaomary4498
@aishaomary4498 3 жыл бұрын
Nakupenda we Dada
@patrickmwavipa3042
@patrickmwavipa3042 3 жыл бұрын
Nilikuelewa kwenye Uhuru na gharama zake
@glorykarim1570
@glorykarim1570 3 жыл бұрын
Godliver godlian anafanya vizur Sana anaingiza saut Kama valden sultana kwenye sultan na kwenye etrugrul pia saut ya mama etrugrul anawakilisha yeye shivangi pia nagnee aliweka saut yeye na nyingine nyingi Sana Yuko vizur Sana uyu mwanamke jamani noma🔥🙌🥰
@emmanuelgabagendi3169
@emmanuelgabagendi3169 3 жыл бұрын
Hongera xan dada
@amour5535
@amour5535 3 жыл бұрын
Nimempenda hajichubuwi huyu dada nampenda kwenye uigizaji
@mimiapa8436
@mimiapa8436 3 жыл бұрын
Wee nawe ongea point
@subiraomari5908
@subiraomari5908 3 жыл бұрын
Nimefurahi kukufaham anna
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 3 жыл бұрын
Unajua sanaaaa lakini unaeza fanya vyote unasauti tamuuuu unaweza pia kuwa kwenye screen Yani full package na shule imo.. Matamshi Yani duh umenyoookaaa 👏👏👏👏
@josephkomba64
@josephkomba64 3 жыл бұрын
Uko vzr mumy
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 3 жыл бұрын
Nakukubali sana dada
@leahsamwel1931
@leahsamwel1931 Жыл бұрын
Itoshe kusema tunakupenda sana
@idrissaomba8803
@idrissaomba8803 Жыл бұрын
NAMPENDA SANA KUPITIA HALI ANAYOPITIA, ANAVYOISHI NA BI.ZAI KAMA MTOTO MKUBWA
@jasinthamchina953
@jasinthamchina953 Жыл бұрын
Nampenda uyu jmn, kwanza anajua kuvaa vzr
@hidayachanga4774
@hidayachanga4774 3 жыл бұрын
Daah nampenda huyu dada
@witnessmsokwe9241
@witnessmsokwe9241 3 жыл бұрын
Uhuru nakuelewaga sana pale ulivo track cm ya mmeo
@annatariq5378
@annatariq5378 3 жыл бұрын
Waooo cogratulation
@jamesnaftal2725
@jamesnaftal2725 3 жыл бұрын
Anna anajua sana jua kali Jua kali nzuri sana😘😘
@jasminesebe761
@jasminesebe761 3 жыл бұрын
Hongera sana Dada
@aloycemasele7236
@aloycemasele7236 3 жыл бұрын
Esther wa Beka, Mama Carina
@davidsimiyu1573
@davidsimiyu1573 3 жыл бұрын
Hahaha ninunue jaman albat
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 3 жыл бұрын
Jamani ,mayla, au mama faridi nampenda sana huyu kwa kuigiza yaani huyu ni fundi
@beatricetoye3660
@beatricetoye3660 3 жыл бұрын
Sanaaa yaani alikuwa ananifurahisha Tena Ile ya uzeeni
@monicamollel1689
@monicamollel1689 3 жыл бұрын
Kiukweli Yuko vizuri
@bellogregory7175
@bellogregory7175 3 жыл бұрын
Sanaaa anajua uyu dada jmn🤗
@Itsst4ra
@Itsst4ra 3 жыл бұрын
Unaongea vizuri mpaka nimekuonea wivu hongera
@msaysha5886
@msaysha5886 3 жыл бұрын
yaani ww dada na kupenda sana 💕💕 wajuwa ma sha Allah 🇴🇲 from 🇹🇿
@heshamagaga7299
@heshamagaga7299 3 жыл бұрын
Nakupenda saaana
@azizaedina8088
@azizaedina8088 2 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️
@zainabugawaza1042
@zainabugawaza1042 3 жыл бұрын
Safiii ni wakujiamini🥰🥰🥰
@bigjizee4130
@bigjizee4130 3 жыл бұрын
Huyu anajua sana namfahamu vizuri sana
@roviykamage5423
@roviykamage5423 2 жыл бұрын
Dada anajua sana hasa pale beka anapomwambia akaagwe aaaaah dada fundi
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
Manshallah 🧡🧡
@farajalucas2742
@farajalucas2742 3 жыл бұрын
Love dad anna
@fadraj6899
@fadraj6899 3 жыл бұрын
I love you❤
@fadraj6899
@fadraj6899 3 жыл бұрын
Unanivutia sana dada kwa sanaa yako
@jemmyduke4438
@jemmyduke4438 2 жыл бұрын
Nice
@PaulinaEdward-zb6li
@PaulinaEdward-zb6li 10 ай бұрын
Kiukwel dada Yuko vizur
@petrojoseph8480
@petrojoseph8480 3 жыл бұрын
Hongera sana Dada napenda uigizaji wako
@jamilasaidi1020
@jamilasaidi1020 3 жыл бұрын
Nakupenda xan
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
KidogoufananenaAntyEzekiel
@user-pt5xf6gc9u
@user-pt5xf6gc9u Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
Dah ' kweli Sanaa mwanzo ni mgumu sana 😪🤦‍♀️uwii naijuwa sana ila hongera sana !!!! anna
@beautylicious6165
@beautylicious6165 3 жыл бұрын
Anna❤❤❤
@fadhilkasongo3129
@fadhilkasongo3129 3 жыл бұрын
Nakupenda sanaaaa Anna
@mwanidulurichard7549
@mwanidulurichard7549 3 жыл бұрын
Mimi nipo Tanzania naomba kuongea na dada anna naomba kuonana na huyu dada please mtangazaji nakuomba Sana hili unisaidie brother
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 жыл бұрын
Nenda Instagram, tafuta: @godliver_gordian
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Hongerasanakwajuakali
@lucianicolaus1179
@lucianicolaus1179 3 жыл бұрын
Nimekupenda bure alafu ni kama tumefanana sura😀😀
@stevezach8218
@stevezach8218 3 жыл бұрын
Mimi nakujua kama mrs Cheche wa mtungi... hayo majina mengine baadae😂👊🏾
@peteveprosper7186
@peteveprosper7186 3 жыл бұрын
Uhuru na gharama zakee
@annambosa5059
@annambosa5059 3 жыл бұрын
Aaah uhakikaa 😘😘
@stellah3844
@stellah3844 3 жыл бұрын
Anajua sana huyu dada
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Ana unajua sana
@nurathsaidy4379
@nurathsaidy4379 3 жыл бұрын
Ester unanikera na beka wako ,ila nakupenda sanaaa
@baruthmussamuslim3434
@baruthmussamuslim3434 3 жыл бұрын
Yan uyu dada kwenye jua kali ananitia hurua et nusu nilie
@martinnsunza7288
@martinnsunza7288 2 жыл бұрын
Kweli dear Kama Mimi kunavitu matukio yako yananiliza sana jamani
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 3 жыл бұрын
hongeraa saaan mmy hata ongea yako tuu ni kwamba unajua unachokifanya.
@theodosiakanimba4562
@theodosiakanimba4562 3 жыл бұрын
Wao Mayila
@magrethkessy9013
@magrethkessy9013 3 жыл бұрын
Nampendaaa
@jacklinemutheu5690
@jacklinemutheu5690 3 жыл бұрын
Mama Karina ... miss Majid
@chunaally1735
@chunaally1735 3 жыл бұрын
Estar wa aikufuma mchumba ake beka😍
@siasamweli372
@siasamweli372 3 жыл бұрын
Uhuru
@faridajuma7075
@faridajuma7075 3 жыл бұрын
Don adela pia
@mmadiausiy9810
@mmadiausiy9810 3 жыл бұрын
She is good!
@pettyjongera1295
@pettyjongera1295 3 жыл бұрын
Anna wallah nakupenda mno
@rwechungulamtungilei1865
@rwechungulamtungilei1865 3 жыл бұрын
Naenda kumuangalia sir ya mtungi
@asmatabdallah1368
@asmatabdallah1368 3 жыл бұрын
Yan Kwenye falamu ya Aisha tulikuwa wote jaman UZIKWASA moja dah 🙏🙏🙏
@prisilaathuman2868
@prisilaathuman2868 3 жыл бұрын
Nakupenda sana godriva
@joycechaz2840
@joycechaz2840 3 жыл бұрын
Yani huyu dada jaman tangu nimemjua hanaga ujingaujinga na skendo za 💩💩 kama wenzake, love u G😍
@fatmaismail7683
@fatmaismail7683 3 жыл бұрын
Mermbo sana Dada anna
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 17 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 35 МЛН
BREAKING NEWS: UMMY MWALIMU ATUMBULIWA USIKU HUU.
11:12
Ngasa Tv
Рет қаралды 1 М.
ANNASTAZIA WA JUA KALI AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE
24:28
Dina Marios tv
Рет қаралды 96 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 17 МЛН