No video

Mfahamu Aunty: "Nimeishi Na Bibi, Kwenye Chumba Kimoja, Sina Rafiki" | SALAMA NA AUNTY PART 1

  Рет қаралды 142,296

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Nikuibie tu siri ya kabatini kuhusu haya mazungumzo yangu na Aunty Ezekiel, kwanza ilikua ngumu sana mpaka alipofika hapa kwenye kiti maana mazungumzo haya yalighairishwa zaidi ya mara tatu mpaka ilipofika siku hii. Kwa imani yangu nisema Mungu ana mipango yake, yaani kila kitu kwa wakati wake na bila ya shaka wakati wa hii ulikua haijafika bado ndo maana haikutokea na kwa kutokea siku hii, huu ndo ulikua wakati sahihi kabisa.
Mimi na yeye tunafahamia ki vyetu, si watu ambao tunakutana kila siku ila ni watu ambao tukikutana tuna click tu vizuri na mambo yanaenda. Marafiki zetu wengi pia wanafahamiana kwahiyo tunaenda tu vizuri. Na nia na madhumuni ya sisi kumtaka kwenye kiti chetu ni kwasababu wote tunajua amepitia mengi na kwa yeye kutusimulia kuhusu makuzi yake na mahangaiko yake yanafaa nafasi kwenye kiti chetu.
Toka mara ya kwanza kusikia jina la Aunty Ezekiel naamini miaka mingi tu ishapita, kama wewe ni wale wa zamani kama mimi basi utakua unamjua toka miaka ya katikati ya 2000 baada ya kuwa mmoja ya kundi la wasichana wazuri ambao walishawahi kushiriki Miss Tanzania. Kwenye mwaka ambao Aunty alishiriki kulikua na warembo kama Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na Irene Uwoya kuwataja tu wachache. Aunty yeye naye alikua kati ya wale waliongia Top 10. Mwaka huo ulikua mwaka wa ushindani sana lakini wengi ambao walimaliza vizuri ndio hawa mpaka leo wanaendelea kufanya vizuri katika nyanja mbali mbali ambazo wao wamezishagua.
Aunty sasa ni Mama wa watoto wawili ambao ameniambia ni kila kitu kwake, wanampa sababu ya kutaka kuendelea kuishi na kuwa bora kwao kila wakati, nilimuuliza siku ya kwanza alipompata mtoto wake wa kwanza, na hisia yake ilikuaje, na anakumbuka jinsi ambavyo aligundua ana ujauzito na mara ya kwanza anamshika Cookie mikononi mwake.
Aunty pia anakumbuka ‘ujana’ wake na mengi aloyapitia mpaka akawa hivi alivyo leo.
Kuna suala la yeye kuwa na mahusiano na wanaume ambao ni wadogo kuliko yeye, au wale ambao alikua nao zamani ambao walikua wakubwa kuliko yeye, Aunty amenielezea maoni yake juu ya hili. Mahusiano yake na Marehemu Mzee wake, Mama yake.. Alivyolelewa na machaguzi ambayo aliwahi kuyafanya wakati anakua na pengine maamuzi mabaya au kama ana majuto katika maisha yake.
Kama binadamu kuna baadhi ya mambo yanakua magumu kuwa nayo wazi au kuyaelezea kinaga ubaga, Ila hata kwa haya ambayo tuliongea nae natumai utapata ya kujifunza kupitia yeye.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 178
@terrychaupole9473
@terrychaupole9473 2 жыл бұрын
Ant nimekupendaaa unajibu vizur mapenz na umri wapi na wap Bora upate furaha ya moyo wako
@TinaTana-i5s
@TinaTana-i5s 7 күн бұрын
Nakupenda sana anti tangu nikiwa mdogo,nikiona movi uko wewe siachi kuangalia
@aishamunezero6840
@aishamunezero6840 2 жыл бұрын
Aunty yani nakupenda mbaka basi tunafanana wousi waku ngaa unashingo nzuru kama yangu MashaAllah ❤️❤️❤️
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
She is so real and Kusah looks good on her. Salama hebu mlete Diamond na muulize hivi hivi mbona anacheza na wanawake
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 жыл бұрын
Haswaaaa kabisa mungu atusaidie wanaoishi na wazee wanachangamoto yanikupelekana mahakamani kisa mali.
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 2 жыл бұрын
Aunt mineno hyooo👌👌👌wazee wanachosha jamanii 😆😆😆😆🤣vijana wana radha zao mzee ana koroma huyoo kama injin ilyokosa majiii🙄🙄
@annamsuluja228
@annamsuluja228 2 жыл бұрын
Akhiiiii nimecheka kwa nn lakini Cathy🤣🤣🤣🤣🤣
@asia9930
@asia9930 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@elmasroj9712
@elmasroj9712 2 жыл бұрын
Nampenda aunt, napenda perceptions zake, anaridhika na maisha
@kashindijohn5145
@kashindijohn5145 2 жыл бұрын
I wish this interview could be longer than it is, Salama you’re professional I like your show, Aunt also is so kind, I didn’t expect her to answer those questions deeply also politely.I LOVE YOU Aunt❤️❤️❤️❤️❤️🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@aminasaid7456
@aminasaid7456 Жыл бұрын
Yeah
@shadyaloaf8694
@shadyaloaf8694 Жыл бұрын
Mashaallah km mzuri utafatwa na wtt ht uwe umri mkubwa kasbbu analipa ant zeki mzuri hajachuja
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 2 жыл бұрын
I love her, she's proud of herself 💋
@deusdedit789
@deusdedit789 2 жыл бұрын
Ni kweli ukiwa na marafiki wa kiume wanakua na msada kuliko wanawake. Wanawake wengi ni wanafiki... wambea... waongo sana.. wezi wa mab....na wengi wachawi 🤐🤐🤐🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
@janebernad3349
@janebernad3349 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye uchawi
@jamesmugala8944
@jamesmugala8944 2 жыл бұрын
I love the way she is straight up 😍👌 I gatch u aunt
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Huwa nampenda sana ant Coz mkwel sanaa
@Interracialcouple.
@Interracialcouple. 2 жыл бұрын
Mimi ni Nicky kutoka Rwanda, nawapenda sana
@christinenzobambona456
@christinenzobambona456 2 жыл бұрын
Yani Aunt ww ni 🔥🔥🔥
@BGHaule
@BGHaule Жыл бұрын
Aunt ezekiel is very matured kuliko nilivyokuwa namfikiria
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 жыл бұрын
Nampenda sana aunt, kwanza n muwazi an interview zake na enjoy 🥰🥰
@alvinmbugua9830
@alvinmbugua9830 2 жыл бұрын
Salama I love your project...aunty is too matured. Your very passionate about everything. Nairobi tuko rock
@abedkarume9088
@abedkarume9088 2 жыл бұрын
Mdada unty anaakil kubwa na busara zaid ,na salama ana busara zaidi kupindukia
@TheMastertz
@TheMastertz 2 жыл бұрын
Auntie, Mungu akuzidishie. Nimependa SANA uwazi wako. Hii nitaicopy nimtumie mtu wangu. Nitamwelekeza asikilize hapo ulipoongelea kuwa namba 1. Na unavyoridhika na hapo ulipo. Akisikiliza na kuelewa sawa. Akiona mchosho poa pia. Mimi na wewe tumeshavuka mengi. 😉Leo umenipa sababu ya kuishi zaidi niwe MIMI. Ahsante.
@njeringugi7939
@njeringugi7939 2 жыл бұрын
Aki my favorite venye nilikua namuandika kwenye Kila vitabu vyangu nikiwa shule 🤣🤣🤣🤣🤣
@eddobiz9452
@eddobiz9452 2 жыл бұрын
Natamani siku moja dada na me nije kwenye hiyo interview #@swahili vibes tz
@anthonymathias6442
@anthonymathias6442 2 жыл бұрын
Salama aisee you are very smart
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
💯
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 2 жыл бұрын
She is thankful ❤️❤️❤️
@esthermasolwa1340
@esthermasolwa1340 2 жыл бұрын
Nakupenda ant ezekiel upo muwazi sana ktk maongez yako nahisi pia hata kwenye mahusiano migogolo inapotokea nahc hao jamaa ndo wanaokukosea
@roseafrael75
@roseafrael75 2 жыл бұрын
Penda kile kinachokupa amani,,,🥰☺️👌
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 2 жыл бұрын
Salama maswar yako tu ukwer unafunguka wenyewee nakukubar sanaa
@asmajuma618
@asmajuma618 2 жыл бұрын
Salama allah mungu akuweke salama km jina lako Mrs kusah ni mwanamke bora nampenda allah amrinde na kila dhira la dunia ampe kila hitaji la moyo wake lililokuwa la kheri
@rafikiyangu34
@rafikiyangu34 2 жыл бұрын
Salama nuff respect ✊ Interesting interview it’s love all the way 🇰🇪
@noru9028
@noru9028 2 жыл бұрын
🇴🇲🇴🇲❤️show number one
@mussanchimani4839
@mussanchimani4839 2 жыл бұрын
Noma sana
@Tigressnjoki.
@Tigressnjoki. 2 жыл бұрын
I love Aunty she is so real😍😍💕💕
@AfiSoul103
@AfiSoul103 2 жыл бұрын
Nampenda 🤗🌻 Aunt since with marehem kanumba.. young bilionea
@fatumaomary9635
@fatumaomary9635 2 жыл бұрын
Nakupenda sana mama kuki 🥰🥰
@ndayiragijehassan6086
@ndayiragijehassan6086 Жыл бұрын
muwa journaliste wa tzn salama anajuwa kuhoji ongera sana
@desirenathan3734
@desirenathan3734 Жыл бұрын
Aunt ume nifilahisha. Nakupenda. Sana😂😂😂❤❤❤
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 жыл бұрын
Nice salama kutuletea mpenzi wetu
@nasrashami5853
@nasrashami5853 2 жыл бұрын
Salama mtafute tea....ndumbangwe misayo plz...
@imgiven7584
@imgiven7584 2 жыл бұрын
This is good I request for navykenzo
@desirenathan3734
@desirenathan3734 Жыл бұрын
Nakupenda sana Anti😊
@chimezd5502
@chimezd5502 2 жыл бұрын
Bien parlins😍
@rabielfadhili994
@rabielfadhili994 2 жыл бұрын
mwalike Mrisho Mpoto na Odama.
@julianamaganga4803
@julianamaganga4803 2 жыл бұрын
👌
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 8 ай бұрын
Ilove you so much mama anty❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
@ab3ab313
@ab3ab313 2 жыл бұрын
Maman kuki nakupend bure❤❤❤❤
@jacklinemhina8337
@jacklinemhina8337 Жыл бұрын
Mbavu zangu hoi
@shadyaloaf8694
@shadyaloaf8694 Жыл бұрын
Safi cna upo sahihi majibu yko ht dini inaruhusu mwanamke mkubwa kuolewa na mwanaume ht km umemzidi umri hakuna kitu tofauti au mabadiliko ni sawa
@victoriakhatibu2288
@victoriakhatibu2288 2 жыл бұрын
Nakupenda shoga
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 жыл бұрын
Sallam iknw you from long time kunasikuu nita uliza shwahil ngumu
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 2 жыл бұрын
Nakupenda sana twin wng #Anty
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 2 жыл бұрын
Jamani nampenda anti anajielewa
@dayana5513story
@dayana5513story 2 жыл бұрын
Aunt love you 💗
@eshasozy69
@eshasozy69 2 жыл бұрын
Asante sana anty uko vzr nakupenda tuu jmn
@janetlasoi4918
@janetlasoi4918 2 жыл бұрын
I love her so much please bring wolper
@namsifumihungo8504
@namsifumihungo8504 5 ай бұрын
Wewe ni Mimi kabisaa😂😂😂Rehema Luwanja anajua😂😂😂
@cristinasofla5090
@cristinasofla5090 2 жыл бұрын
Wow
@halemmmbarak16
@halemmmbarak16 2 жыл бұрын
Gud vibes
@tigerclassic7340
@tigerclassic7340 Жыл бұрын
Nampenda sana auntie Ako poa naomba kufanya kazi na yy
@jaquilinekivunge331
@jaquilinekivunge331 6 ай бұрын
Smart
@bonphacesaha864
@bonphacesaha864 2 жыл бұрын
I love u auntie😘😘😘
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 2 жыл бұрын
Aunt ulipoacha kugandana na wema ndio ukaacha ku fake 😅
@airashpopa2960
@airashpopa2960 2 жыл бұрын
I love you aunty
@joycemollel7698
@joycemollel7698 2 жыл бұрын
Safi sana antie ake .
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@bellazara6448
@bellazara6448 2 жыл бұрын
Nampenda Aunty intvr nzuri kabisa
@asmamimy8096
@asmamimy8096 2 жыл бұрын
Nimempenda Anty bure kujiamini raha sana
@macbethcharlesmadrisha3304
@macbethcharlesmadrisha3304 2 жыл бұрын
ant nakupenda sana jaman napenda nikuone anakwaana jaman
@macbethcharlesmadrisha3304
@macbethcharlesmadrisha3304 2 жыл бұрын
nakupenda sana
@rosejoely4518
@rosejoely4518 2 жыл бұрын
Nakupenda bule 😍😍😍😍😍😍❤❤❤
@bellazara6448
@bellazara6448 2 жыл бұрын
Injoy nawatoto ndo maisha dada yngu
@nancywanjiku1554
@nancywanjiku1554 2 жыл бұрын
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakupenda bure
@leaherasto929
@leaherasto929 2 жыл бұрын
Ant napenda rangi yake
@sharifasalum532
@sharifasalum532 2 жыл бұрын
Anti safi sana
@najimahgomez3334
@najimahgomez3334 2 жыл бұрын
Wema,,,,,,,,, je nnnnnn shoga
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Tutukane tu unty wazee tuko hivo kweli
@elizabethmuia9839
@elizabethmuia9839 2 жыл бұрын
Aunt you are very clever 👍👍👍👍🙏
@Gregoiresidehustle
@Gregoiresidehustle 2 жыл бұрын
I would love to see a sit down between you na harmonize
@hidayachanga4774
@hidayachanga4774 2 жыл бұрын
Aunt nakupenda Sana
@macdee_tv7622
@macdee_tv7622 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri...big fan from kenya
@yemgaboytz7113
@yemgaboytz7113 2 жыл бұрын
Nic
@hanifamallya1589
@hanifamallya1589 2 жыл бұрын
Napendaga anavyoongea sana yaan hapa nafeeel guuud
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 2 жыл бұрын
So humble
@meky9404
@meky9404 2 жыл бұрын
tuletee na watu wa football .. kina haji ..feisal .. mkude ... kasejaaa
@tausijarufu
@tausijarufu 2 жыл бұрын
Wow majibu hayana mbamba 🤗🙌
@salmatanz948
@salmatanz948 2 жыл бұрын
Mimi nimekwama hapo kwa mzee usiku ukifika ati utampeleka wap😂😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@sheilacruz6458
@sheilacruz6458 2 жыл бұрын
Tulete Harmonize but nice interview
@johannahakim8470
@johannahakim8470 2 жыл бұрын
Aunt umezeeka siyamii kama macho yangu, nikitizama pics zako na iyo interview naona niwatu wa 2 tafauti,umezeeka nashingo limeisha jikunja Ila nakupendaga sana,,🇧🇮
@nancyg8664
@nancyg8664 2 жыл бұрын
Amezeeka miaka 30 naa!?
@tiffahkidoti8954
@tiffahkidoti8954 Жыл бұрын
Sio mzee Ila kila mtu atapitia huko.
@happinessshayo2483
@happinessshayo2483 2 жыл бұрын
Salama... Unajua sikuzote... Aunt Ezekiel weuwe ni mdada pouwa Sana...trust me haujazeekaaa... Nimeipenda ulivyoongea... U speak vizur munooo hahahahahah umri it's a number... We ishiiituuu maishayako bhana...
@mariamkadio8402
@mariamkadio8402 2 жыл бұрын
Mm nampenda sana huyu anti na shemsa ford.
@karimabdoul7619
@karimabdoul7619 2 жыл бұрын
Mwanamke anye furahia alicho nacho ni wa thamani sana. Kusa asije kufanya ujinga hapo.! Aunty yupo vizuri sana 😍🔥🔥
@mimmyjijimmy5235
@mimmyjijimmy5235 2 жыл бұрын
Muite Halima Mdee
@happyalicko8571
@happyalicko8571 Жыл бұрын
😂😂
@najimahgomez3334
@najimahgomez3334 2 жыл бұрын
Daaa mrembo kikojozi huyo kaongea ukweri wasanii wa tz mna maisha ya mtumba kama ulaya mazishi bongo
@trizhkk7081
@trizhkk7081 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣nimekumbuka movie binti kikojozi🤣🤣🤣🤣
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 2 жыл бұрын
Jack Pemba 😂🤣
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 2 жыл бұрын
Nikiwa mkubwa nataman kuwa kama Aunt 🤣🤣🤣🤣
@marytemba883
@marytemba883 Жыл бұрын
Salama big up unajua sana 😘😘😘
@esthermasolwa1340
@esthermasolwa1340 2 жыл бұрын
Aaah salama ulivyo nakupendaga tu nahicho kisauti ulichokiigiza apo nimependa
@binthkhamis8042
@binthkhamis8042 2 жыл бұрын
Nice.interview...
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 2 жыл бұрын
Aunt umeongea ukweli sana sana
@trizhkk7081
@trizhkk7081 Жыл бұрын
Fanya na maza house..Jina limepotea ila mwanadada muigizaji
@ashaibrahim6244
@ashaibrahim6244 2 жыл бұрын
Huwa nampenda Aunt Ezekiel lkn nimempenda zaidi anavyoflow kwenye interview yake na Salama
@ashaibrahim6244
@ashaibrahim6244 2 жыл бұрын
Yaani unanikosha sana kwa kuongea kwa uwazi na kujiamini sana. Kwa maelezo tu unamwona kabisa ni mama bora love you. 😘 💕
@ibba8082
@ibba8082 2 жыл бұрын
Vitanda vya Mwimbili Sasa
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Aunty Nakupenda sana😍😍😍
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 90 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 24 МЛН
We should all be feminists | Chimamanda Ngozi Adichie | TEDxEuston
30:16
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 30 М.
SNAKE BOY | ep 35 | SEASON TWO
30:48
CLAM VEVO
Рет қаралды 67 М.
BSS 2022 SE13EP03 SALAMA JABIR FULL SHOW
1:32:37
BongoStarSearch
Рет қаралды 27 М.
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 90 МЛН