MFAHAMU MUUZA SUPU ALIYEIBUKA KUWA BILIONEA

  Рет қаралды 34,542

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Күн бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 177
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 6 ай бұрын
Namjuwa sana yote anayosema ni kweli Allah ambarik amzidishie ampe umri mrefu azidi kusaidia watu
@user-gb3lq2kl3m
@user-gb3lq2kl3m 5 ай бұрын
Mashallaa kiukweli Bopar ni mtu wa aina yake Sana,ukichunguza mwanzo mwisho yupo ktk misingi ya dini na maelekezo ya wazazi🙏Mungu akutunze Sana mzee wetu funzo ni kubwa Sana.
@bongo39
@bongo39 6 ай бұрын
Mashaallah nimependa hadithi ya huyu sheikh inshaallah na sie pie allah atufanyie wepesi huo mie binafsi uwezo wangu sio mzuri ila napenda sana kufanya kama huyu sheikh najitahid nafanya kwa uwezo wangu alionijaalia allah alhamdulilah allah kareem
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 5 ай бұрын
Mwalimu alikua anamdomo mwema kakutabiria mazuri mashallh
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 5 ай бұрын
Mashallh huyu baba anaimani sana NA licha ya pesa alizonazo hajiskii Ata kidogo m mungu akuzidishie kheri
@user-nc6dk7eo7t
@user-nc6dk7eo7t 5 ай бұрын
Kupitia sheikh huyu nimejifunza mengi kwamba pia hakuna kukata tamaa ktk maisha na vile vile kuwa na subra na kumtegemea Allah (s.w )tutafika in shaa Allah m/mungu amjaalie umri mrefu wenye manufaaa allahuma aamin thumma aaaamin 🤲
@suleimanh1826
@suleimanh1826 6 ай бұрын
Hii stori inahamasisha sana. Vijana wa leo tujifunze kwamba maisha hayana njia ya mkato. Ahsante Alfatah TV
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 5 ай бұрын
Mashallah kiukweli mbona najifunza hapa siwezi kata tamaa kwamwe nitamtegemea allah napia sadaka ni kitu muhimu sana katika amaisha yetu
@mohammedally5935
@mohammedally5935 4 ай бұрын
Alhamdullilah Tumepata funzo kubwa sana ukitowa Nafasi inafurahi ukitowa 100 kesho unataka kutowa 150 kwa tafsiri nyepesi towa utakavyotowa unakuwa na Amani Allah tujalie tuwe miongoni katika kufanya kheri🤲🏼🤲🏼
@yusuphhabibu1474
@yusuphhabibu1474 5 ай бұрын
Mashallah lait matajiri wote wengeiga mfano wa sheikh huyu au mfanyabiasha huyu uislam ungekua juu Zaid
@nailaomar4810
@nailaomar4810 6 ай бұрын
Mashaallah tabarakaallah Allah akuzidishie kheri na barka ameen na mama ako kipenzi mungu amjaze kheri inshaallah
@user-zc8ke6fo4p
@user-zc8ke6fo4p 5 ай бұрын
Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah, machozi lazima yakububujike kwa maneno na vitendo vya kheir anavyovifanya kaka etu Bopar, nataman na mm niwe kama Bopar, mm kwangu huyu Bopar ni kiigizo chema na In Shaa Allah ipo siku na mm nitakua km ww Bopar Amiin
@user-nc6dk7eo7t
@user-nc6dk7eo7t 5 ай бұрын
Wallahy jazzallahu ghaira kwa ukumbusho hakika lipo la kujifunza kupitia haya jazzallahu ghaira jazzallahu ghaira kwel Inna Allaha maaswabirina
@fatmaalbeity9097
@fatmaalbeity9097 6 ай бұрын
Hakuna kitu kama kumtanguliza mwenyezi mungu katika maisha yako na kuwa na kinaa na kuwati wazazi dua yamzazi inafungua barka kubwa na kutokuwa na kiburi ! Huyu bwana qualification zote hizi anazo ..mashaallah tabarakallah Allah ihfadhkum Allah ibarik
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Naam
@nassorhaji6930
@nassorhaji6930 6 ай бұрын
Allah azidi kukupa nguvu za kuwasadia wanyonge juhudi zako hazitaki tochi kila mtu anaziona Madhallah
@AllySully
@AllySully 5 ай бұрын
Mpemba safi kabisa sheikh said bopar mwenyez mungu akulipe kila kheir fii Dunia Wal akheir.
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Aamin
@user-gb3lq2kl3m
@user-gb3lq2kl3m 5 ай бұрын
Mashallaa Sheikh Said Bopar ww ni mfano wakuigwa,kiukweli mwanzo mwisho wa maelezo yako imeonesha wazi jinsi gani upo karbu na Mila na desturi za dini na kitu kikubwa ni kufuata Wazazi,🙏Tunakupenda Sana kwaajili ya Allah
@abufirdaushashim8585
@abufirdaushashim8585 5 ай бұрын
Mashallaah tabarakallaah ... sheikh Bopar ni mfano wakuigwa na hawa matajiri wetu wakiislam... Nikweli mia fil mia matajiri wengi wakiislam hawataki kumpa Allaah haki yake (zakatul maal) wala hawataki kufanya biashara na Allaah... mali zao nyingi wanazipoteza kwenye kusponsor timu za mipira au waimbaji ama wanasiasa... lakini wanaona ubakhili kutoa kwaajili ya Allaah. Lau matajiri wote wangeungana katika kutoa sadaqa au zakat bila shaka umaskini haungekuwepo hapa duniani maisha ya mayatima, wajane na mafukara yangebadilika pakubwa..
@user-wp8yk6ow8h
@user-wp8yk6ow8h 6 ай бұрын
❤❤❤maasha Allah mwenyezimungu akuzidishie kheir nasie tuombee dua ili tufanikiwe kama ulivyo fanikiwa wewe na insha Allah uwe miingoni wa waja watakao ingia peponi na mtume swala na salam ziwe juu yake ndani ya firdaus Amin Amin insha Allah
@hajikhatibhaji7162
@hajikhatibhaji7162 5 ай бұрын
Allah akuhifadhi mzee wetu, akuongezee katika machumo yako na aikuze mali yako zaidi ili uweze kuwasaidia watu wengi zaidi
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Aamin
@Nassor2377
@Nassor2377 6 ай бұрын
Maashallah Allah amzidishie kila akitakacho na Allah ampe mwisho mwema yeye na sisi ...kuna funzo kubwa hapo kwa maelezo na vitendo vya Sheikhe Bopar ...Allah akulipe kheri pamoja na uongozi wa Al Fatah kwajumla.
@hamadibujafar2228
@hamadibujafar2228 5 ай бұрын
Mashallah Allah akuzidishie shekhe Bopar hakika kuna kitu cha kujifunza kwa unayoyapita
@chikujuma18
@chikujuma18 6 ай бұрын
Mashallah inshallah shukuran mwenyezi mungu akujazie Kila la kheri akuzidishie unapotoa akuongeze inshallah
@Bigmo2706
@Bigmo2706 5 ай бұрын
Mashallah asante sana bopar umenifunza kitu kikubwa leo Allah akuongoze na akupe pepo iliojuu inshallah
@zulekha3028
@zulekha3028 6 ай бұрын
Allaah akupe kheri za dunia na akhera utaporejea inshllh
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Aamin
@ahmedsalim9463
@ahmedsalim9463 5 ай бұрын
Alhamdu lillah masha All’wa Shekh Said Nasser All’wa akulinde na hasad na akupe umri mrefu amiin
@user-rv2gb2gi7q
@user-rv2gb2gi7q 6 ай бұрын
Sheikhe said mwenyezimungu amjalie mwisho mwema
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Aaamin
@saidseif1605
@saidseif1605 5 ай бұрын
Masha Allah Tabaraka Allah Jazaka Allah Kheir
@user-fe9jc5di9f
@user-fe9jc5di9f 5 ай бұрын
Yaa Allah mjaalie umri mrefu wenye kheri na barka mja wako huyu na umlipe Pepo yajuu bila ya hisabu pamoja na kipenzi chetu Muhammad yeye nafamilia yake inshallah
@RahmaRashid-lc6nw
@RahmaRashid-lc6nw 6 ай бұрын
Mashallah Tabaraqallah neema kubwa kumuona mtu aliyejaliwa kipato bado ameshikamana na dini na mwingi wa kutoa
@halimsaidi9567
@halimsaidi9567 4 ай бұрын
Sheikh kaanza mbali sana mashallah
@halimsaidi9567
@halimsaidi9567 4 ай бұрын
Mashallah
@abdillahiomar5961
@abdillahiomar5961 5 ай бұрын
Mashallah.Allah awalipe nyote kwa kazi yenu nzuri.Allah awape jannatul firdaus na ibada zenu ziwe maqbuul
@user-qd2tp2mb5l
@user-qd2tp2mb5l 3 ай бұрын
Mashaa'Allah nimeipenda story yako Allah akuhifadhi ili uwe mfano kwa vizazi na vizazi Innshaa'Allah ❤
@MouhammedSeif
@MouhammedSeif 5 ай бұрын
Matajiri wa zanzibar niwakarimu sana mungu kawajalia imani kubwa
@AnwarAli-vs9mp
@AnwarAli-vs9mp 5 ай бұрын
ASALAM ALIEKUM naomba nmba ya shkh said nasor bobar minhisanikum mie nipo MOMBASA kenya
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 6 ай бұрын
mashallah tabarakah allah utu unashinda kitu hata maswahaba walitoa mali zao zote kwa sababu ya dini na hata mtume s a w alikua akilala njaa sababu ya waliomzukuka zama tulizo nazo ni wachache sana wenye kuiga mafunzo mema ulimwengu mzima matajiri wakubwa ni waislam lakin aradhiwa ajihfaharishe kwa anasa za dunia ili apate umarufu mwisho wa siku umauti haubishi mlango wala kukupa tarifaa hilo wamelisahau kwa anasa za usoni wanachezea ballion kwa upuuzi na kuna wahitaji asili mia sabini na tano ukijua utakapo na uwendapo na mwishon kifo huezi kufanya makosa na uwezo unao
@user-pt5nq8up8z
@user-pt5nq8up8z 5 ай бұрын
Masha allah mwenyezi mungu akuzidishie badala insha allah
@twahasuleiman-lo9vl
@twahasuleiman-lo9vl 6 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah Wallah najisikia... Machoz yananitoka... MashaAllah Allah amjalie Bopar ampe Maisha Mazuri...
@waheedaw1953
@waheedaw1953 6 ай бұрын
MashaAllah tabaraka Rahman Allah akuzidishiye zaidi ya hayo Na mwisho mwema NAKUTAKIYA AFYA DAIMAN INSHAALLAH
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Aamin
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 6 ай бұрын
"Kitu kikubwa kilichonisaidia ni uaminifu" Nimekuelewa sanna mzee.
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 6 ай бұрын
YAANI HUYU BABA KWAKWELI ZANZIBAR...TUMUOMBEE TAJIR PEKEE ZANZIBAR..ASIE KUWA NA MAKUU
@SaidSaid-rm8wq
@SaidSaid-rm8wq 6 ай бұрын
Mashallah Yaa Rabbi mpe huyu bopar umri mrefu na afya bora aendelee kuwasaidia maskini na wasiojiweza na pia azidi kuwahamasisha waislam wengine wafuate nyayo zake .kwa kusaidia wanyonge Mungu akuzidishie Sana na sana.
@Mohammed-ot7nf
@Mohammed-ot7nf 5 ай бұрын
Gd bless u akupe afya umri akuondoshe Kila BAYA mbele yako
@sheikhaswalehsalim3392
@sheikhaswalehsalim3392 6 ай бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akupe umri mrefu na ukizidishie neema.ameen Ameen Ameen Ameen yarab 🤲 🤲 🤲 🤲 🤲
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Aamin
@mody-guyngido2792
@mody-guyngido2792 5 ай бұрын
Clip hii inamazingatio Sana na imefungua watu wengi masikio na macho,hakika kutoa ni moyo na ni neema Kubwa sana Allah Akikujaalia moyo wakutoa, Allah Atupe Mioyo ya kutoa bila yakuhofia umasikini Allahumma Amin, Allah Akuzidishie Neema na Afya yenye Baraka Bopar Allahumma Amin.
@AwadhiSiraji-gw8lo
@AwadhiSiraji-gw8lo 5 ай бұрын
Yule mwalimu kauliyake yakheri ishaallah
@fathiarabi8340
@fathiarabi8340 5 ай бұрын
MashaAllah TabarakAllah ✨
@user-er5oz3lk8q
@user-er5oz3lk8q 5 ай бұрын
Maashallah allah akubarik. Usomesha somo kubwa. Alhamdulillah.
@zenjibar64
@zenjibar64 6 ай бұрын
Vijana wa. siku hizi. hawataki kujituma , wanasubiri watu watoke majasho wao waje kukuibia .
@user-hb9uv1ry7o
@user-hb9uv1ry7o 5 ай бұрын
ما شاء الله يا شيخي ومعلمي ، أسأل الله تعالى أن يزيدك ويبارك لك في مالك لتكون مع الذين ينفقون أموالهم فى سبيل الله، وأن يحفظك من جميع البلاء والبلوى الخارج من الأرض والنازل من السماء وحفظك الله من كل شر وجزاك أحسن الجزاء
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
آمين
@SAUMUALI-zf1cz
@SAUMUALI-zf1cz 5 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri duniani na akhera😊
@abdallamohamedabdalla
@abdallamohamedabdalla 5 ай бұрын
Ma sha Allah TabarakallAh ❤
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 6 ай бұрын
Mashallah ALLAH akuhifadhi n Dini yko N akuzidishie Umri Mrefu
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Aamin
@user-tr9qx4wb4s
@user-tr9qx4wb4s 6 ай бұрын
Mara nyengine sheikh said tufikirie namna yakuwapelekea wataalamu WA fani ndogo ndogo wawafunze jamiii. Kama vile subunit, viatu vya plastic na ufundi mbali mbali. Ahsante
@zuberimbwila3264
@zuberimbwila3264 5 ай бұрын
Mashaallah leo nimejifunza kitu kikubwa katika maisha yangu allah atujalie sote tuliopata nafasi ya kumsikiliza shekhe
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 6 ай бұрын
MASHA ALLAH INAMAFUNZO MENGI NIMEIPENDA HONGERA SANA BROTHER ❤❤❤
@rajabrajab9747
@rajabrajab9747 6 ай бұрын
Mashaalla Allaha akuzidishe kheri Duniani Hadi Akhera
@bushraaljadidi7747
@bushraaljadidi7747 5 ай бұрын
Maa shaa Allah.Allah akupe kila lakheri🤲 usiwasahau watu wa mkowani pia
@AmirGau-it5ty
@AmirGau-it5ty 5 ай бұрын
Mashaallahu shekhe sayidi bopari ALLAHU akulipe kula ya kheri
@allykassim1120
@allykassim1120 5 ай бұрын
mungu akuzidishie na akulinde shekhe
@user-rk9qj9ob1p
@user-rk9qj9ob1p 5 ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah mashallah Allah walipe kheir ktk hayo munayofanya
@user-tr9qx4wb4s
@user-tr9qx4wb4s 6 ай бұрын
Allah akupe maisha marefu Ndugu yetu. Hakika wewe ni hazina katika umma WA kiislam. Allah akupe wepesi. Naomba safari hii biidhnilah ufike kijiji cha mjini wingwi Pemba ameen
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 6 ай бұрын
Tabaaraka rahman Allah akubarik
@mwanamnyika4085
@mwanamnyika4085 6 ай бұрын
Mashaallah tajili wa kujielewa ,tuna mbunge moja hapo ninapo kaa ataki wanainchi waunganishe umeme kwwnye ngunzo ambayo Iko kwenye eneo lake kwa kweri sijui akifa ataenda nao uwo umeme subhaanallah
@user-zl3we4si9q
@user-zl3we4si9q 6 ай бұрын
Mashaa Allah tabarak wataala
@hamiduhamidu5974
@hamiduhamidu5974 5 ай бұрын
Mashaallah boss Bopa mimi nishuhuda wa ayanenayo kuna kijana aliwai kuvamia biashara yake uturuki lakini alimaliza kwa hekima
@is-mailh.makame5420
@is-mailh.makame5420 5 ай бұрын
mashallah mzeee nakuelewa na nakuheshimu sana HIGH IQ upo nayo ya
@user-sg1ip7mk9y
@user-sg1ip7mk9y 5 ай бұрын
Asalam alaykum MashaAllah Allah atubarik Sheikh Rashid mm nataka kumuona Bopar lnshaAllah.
@mbarakkhamisali
@mbarakkhamisali 5 ай бұрын
Uyu mzee ni mtu MashaAllah
@zakiaqasim5312
@zakiaqasim5312 6 ай бұрын
Maasha Allah maasha Allah tabarrak rahman amiin hakika tumejifunza mengi kutoka historia yake na vipi As wazazi tuwe na vizazi vyetu in sha Allah azidi kukufanyia barkah ktk maisha yenu shukran
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 6 ай бұрын
Kiukweli katoka moyoni huyu sheikh said kwangu mm nimejifunza kwako mambo mengi katika utoaji wake kila nikaswali huomba mungu anijalie mali na imani na moyo kama wanakumbula kuna siku nilipata pesa kiasi nikaenda hadi dukani kwake pale mombasa nimuone anipe ushaur wakufanya biashara na nilitaka ninunue pampas pale dukani nianze biashara ila wale wauzaji wakaniambia hayupo na siwez kumuona hapo nikaanza biashara ya mkaa kuchukua kutoka tanga ijapo sijafanikiwa ila saiv nafanya kaz nikijipanga iko siku in shaa Allah nami nami nitakua mtoaji kama yeye Allah amjalie umri mrefu wenye mwisho mwema na kruu yote ya al fatah kwa juhudi zenu.
@FatmaMohamed-jw2lc
@FatmaMohamed-jw2lc 6 ай бұрын
Allah amlipe kheri mama yako mtoto mwema hutengenezwa tangu mapema na Allah hujaaliya kawa mwema
@fatmam1997
@fatmam1997 6 ай бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie akulipe kila zuri unalolifanya
@aliyabdullah1633
@aliyabdullah1633 6 ай бұрын
Allah akuzidishie zaidi na zaidi kwa akulipe kheri inshaallah na ujira mkubwa inshaallah
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 6 ай бұрын
Mashaallah
@mody-guyngido2792
@mody-guyngido2792 5 ай бұрын
Barakallahu fiikum
@user-on6pl8ut8g
@user-on6pl8ut8g 4 ай бұрын
Mashallah Allah awafanyie wepesu
@suleimanadim6522
@suleimanadim6522 6 ай бұрын
ALLAH ATUZIDISHIE KHER NA BARQA MASHALLAH
@ukhtysalama4184
@ukhtysalama4184 6 ай бұрын
MashaAllah Allah akulinde na kila baya, akulipe malipo mema duniani na kesho Akhera.mungu ajaalie ufike na kijiji cha kiwani ya mchanga mdogo, wete pemba InshaAllah.
@AliAbdulla-xq8vr
@AliAbdulla-xq8vr 6 ай бұрын
Ni kweli shehe said ametoka kwenye hali ngumu sana anayosema ni ya kweli
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
Mkoani eee???
@allybobsaith
@allybobsaith 5 ай бұрын
Sipendi kua high napenda kua low mashallah tabraka allah🎉🎉🎉🫂🫂🫂nice say
@nadhifamohammed7749
@nadhifamohammed7749 5 ай бұрын
Hapa kwenye isabu kweli nilifika ofini kwako nimeshuhudia
@faroukfarouk477
@faroukfarouk477 5 ай бұрын
Allah akuzidishie
@zabibuissa1252
@zabibuissa1252 5 ай бұрын
Allahumma thummaa Amin Nasi tuwe kama. Shehe
@NabilHassan-ny6jj
@NabilHassan-ny6jj 5 ай бұрын
INSHALLAH MUNGU AKUBARIKI BOPAR
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 6 ай бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie neema na baraka uzidi kusaidia jamii
@user-yp7nr4ub9l
@user-yp7nr4ub9l 5 ай бұрын
Good job mashaallah
@husseynomar9523
@husseynomar9523 6 ай бұрын
MashaAllahu sheikh Allah atubarik kwa sote Amiin
@OmarOmar-bh1iu
@OmarOmar-bh1iu 5 ай бұрын
بارك الله فيكم واحسن اليكم.
@user-jj8vq5qr9f
@user-jj8vq5qr9f 5 ай бұрын
Sheh mm naomba unisaidie namba za huyu baba kw uwezo wa Allah atakulipa hery inshaallh naomba 🙏
@user-op3vj9nf5b
@user-op3vj9nf5b 6 ай бұрын
MASHAALLAH ALLAH akuzidishie kila la kher
@stonetown578
@stonetown578 5 ай бұрын
Masha'Allah TabarakaAllah, Allah azidi kukufanyia wepesi katika shughuli zako.
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 6 ай бұрын
I am proud of you my brother
@princesaha3262
@princesaha3262 5 ай бұрын
True
@AnwarAli-vs9mp
@AnwarAli-vs9mp 5 ай бұрын
MASHALLAH TABARAKALLAH allah izidak nasi twakuomba utusaidie tupo msa kenya
@user-bw7ve8ce3q
@user-bw7ve8ce3q 5 ай бұрын
Mashaa Allah sheikh said kwa kunipa mafunzo, Alhamdhulilah
@YusuphKenyatta
@YusuphKenyatta 5 ай бұрын
Mashallah kipindi kizuri lakini kwa nini mwandishi ajamuuliza mbinu za utunzaji pesa mpaka kufikia hapo jinsi ya kuishi kutokana na kipato swali muhimu sana linaweza okoa kizazi na kiza
@user-in4en3pu2b
@user-in4en3pu2b 5 ай бұрын
Mashallah
@yuleboy8059
@yuleboy8059 5 ай бұрын
Mwenyezi mungu atakulipa juu ya kheri yko MashAllah
@oshaooshao3301
@oshaooshao3301 5 ай бұрын
Maasha ALLAH, Great Job done by the Bopar and may Allah bless him in the Dunia and Akhera, Amiin Amiin Amiin
@aishahadi2739
@aishahadi2739 4 ай бұрын
Allah bariq
@twayehadi6921
@twayehadi6921 5 ай бұрын
Mashallah mfano wa kuigwa
@rahmahaji3564
@rahmahaji3564 5 ай бұрын
Mashallah Allah ampe Kila la kher maalim boper
(SIRI) PEMBA ILITUKUZWA NA MITUME WA ALLAH (SEMA NASI)
30:26
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 58 М.
SAID BOPAR AWAELEZA KWA VITENDO MATAJIRI WENGINE
15:22
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 7 М.
At the end of the video, deadpool did this #harleyquinn #deadpool3 #wolverin #shorts
00:15
Anastasyia Prichinina. Actress. Cosplayer.
Рет қаралды 16 МЛН
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,3 МЛН
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 45 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН
MUUZA SAMAKI ANUSURIKA KUUWAWA ZANZIBAR
8:07
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 66 М.
MFAHAMU DADA ALITEKA HISIA ZA WATU WENGI
37:12
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 14 М.
SIMANZI NA MAJOZNI KHUTBA YA BABU DUNI
15:30
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 29 М.
MWANAMKE MAKINI HUMDAKA MWANAUME HIVI
19:55
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 14 М.
MAISHA NA HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM
45:49
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 86 М.
How did Turkey change Somalia's fate?
23:42
TVNET X
Рет қаралды 269 М.
Ufahamu Sahihi Wa Kutoa Sadaqa | Khutba ya Ijumaa
33:08
Sheikh Yusuf Abdi
Рет қаралды 18 М.
IFAHAMU MIKASA INAYOWAKUMBA WANAZUONI ZANZIBAR {(SHEIKH DEDES) (SEMA NASI)}
41:11
Exclusive:Huyu ndio Sheikh Walid Alhad Kipenzi cha wengi
26:00
At the end of the video, deadpool did this #harleyquinn #deadpool3 #wolverin #shorts
00:15
Anastasyia Prichinina. Actress. Cosplayer.
Рет қаралды 16 МЛН