Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 177
@mariamsalim93116 ай бұрын
Namjuwa sana yote anayosema ni kweli Allah ambarik amzidishie ampe umri mrefu azidi kusaidia watu
@user-gb3lq2kl3m5 ай бұрын
Mashallaa kiukweli Bopar ni mtu wa aina yake Sana,ukichunguza mwanzo mwisho yupo ktk misingi ya dini na maelekezo ya wazazi🙏Mungu akutunze Sana mzee wetu funzo ni kubwa Sana.
@bongo396 ай бұрын
Mashaallah nimependa hadithi ya huyu sheikh inshaallah na sie pie allah atufanyie wepesi huo mie binafsi uwezo wangu sio mzuri ila napenda sana kufanya kama huyu sheikh najitahid nafanya kwa uwezo wangu alionijaalia allah alhamdulilah allah kareem
Mashallh huyu baba anaimani sana NA licha ya pesa alizonazo hajiskii Ata kidogo m mungu akuzidishie kheri
@user-nc6dk7eo7t5 ай бұрын
Kupitia sheikh huyu nimejifunza mengi kwamba pia hakuna kukata tamaa ktk maisha na vile vile kuwa na subra na kumtegemea Allah (s.w )tutafika in shaa Allah m/mungu amjaalie umri mrefu wenye manufaaa allahuma aamin thumma aaaamin 🤲
@suleimanh18266 ай бұрын
Hii stori inahamasisha sana. Vijana wa leo tujifunze kwamba maisha hayana njia ya mkato. Ahsante Alfatah TV
@sleifikhajjir2625 ай бұрын
Mashallah kiukweli mbona najifunza hapa siwezi kata tamaa kwamwe nitamtegemea allah napia sadaka ni kitu muhimu sana katika amaisha yetu
@mohammedally59354 ай бұрын
Alhamdullilah Tumepata funzo kubwa sana ukitowa Nafasi inafurahi ukitowa 100 kesho unataka kutowa 150 kwa tafsiri nyepesi towa utakavyotowa unakuwa na Amani Allah tujalie tuwe miongoni katika kufanya kheri🤲🏼🤲🏼
@yusuphhabibu14745 ай бұрын
Mashallah lait matajiri wote wengeiga mfano wa sheikh huyu au mfanyabiasha huyu uislam ungekua juu Zaid
@nailaomar48106 ай бұрын
Mashaallah tabarakaallah Allah akuzidishie kheri na barka ameen na mama ako kipenzi mungu amjaze kheri inshaallah
@user-zc8ke6fo4p5 ай бұрын
Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah, machozi lazima yakububujike kwa maneno na vitendo vya kheir anavyovifanya kaka etu Bopar, nataman na mm niwe kama Bopar, mm kwangu huyu Bopar ni kiigizo chema na In Shaa Allah ipo siku na mm nitakua km ww Bopar Amiin
@user-nc6dk7eo7t5 ай бұрын
Wallahy jazzallahu ghaira kwa ukumbusho hakika lipo la kujifunza kupitia haya jazzallahu ghaira jazzallahu ghaira kwel Inna Allaha maaswabirina
@fatmaalbeity90976 ай бұрын
Hakuna kitu kama kumtanguliza mwenyezi mungu katika maisha yako na kuwa na kinaa na kuwati wazazi dua yamzazi inafungua barka kubwa na kutokuwa na kiburi ! Huyu bwana qualification zote hizi anazo ..mashaallah tabarakallah Allah ihfadhkum Allah ibarik
@princesaha32625 ай бұрын
Naam
@nassorhaji69306 ай бұрын
Allah azidi kukupa nguvu za kuwasadia wanyonge juhudi zako hazitaki tochi kila mtu anaziona Madhallah
@AllySully5 ай бұрын
Mpemba safi kabisa sheikh said bopar mwenyez mungu akulipe kila kheir fii Dunia Wal akheir.
@princesaha32625 ай бұрын
Aamin
@user-gb3lq2kl3m5 ай бұрын
Mashallaa Sheikh Said Bopar ww ni mfano wakuigwa,kiukweli mwanzo mwisho wa maelezo yako imeonesha wazi jinsi gani upo karbu na Mila na desturi za dini na kitu kikubwa ni kufuata Wazazi,🙏Tunakupenda Sana kwaajili ya Allah
@abufirdaushashim85855 ай бұрын
Mashallaah tabarakallaah ... sheikh Bopar ni mfano wakuigwa na hawa matajiri wetu wakiislam... Nikweli mia fil mia matajiri wengi wakiislam hawataki kumpa Allaah haki yake (zakatul maal) wala hawataki kufanya biashara na Allaah... mali zao nyingi wanazipoteza kwenye kusponsor timu za mipira au waimbaji ama wanasiasa... lakini wanaona ubakhili kutoa kwaajili ya Allaah. Lau matajiri wote wangeungana katika kutoa sadaqa au zakat bila shaka umaskini haungekuwepo hapa duniani maisha ya mayatima, wajane na mafukara yangebadilika pakubwa..
@user-wp8yk6ow8h6 ай бұрын
❤❤❤maasha Allah mwenyezimungu akuzidishie kheir nasie tuombee dua ili tufanikiwe kama ulivyo fanikiwa wewe na insha Allah uwe miingoni wa waja watakao ingia peponi na mtume swala na salam ziwe juu yake ndani ya firdaus Amin Amin insha Allah
@hajikhatibhaji71625 ай бұрын
Allah akuhifadhi mzee wetu, akuongezee katika machumo yako na aikuze mali yako zaidi ili uweze kuwasaidia watu wengi zaidi
@princesaha32625 ай бұрын
Aamin
@Nassor23776 ай бұрын
Maashallah Allah amzidishie kila akitakacho na Allah ampe mwisho mwema yeye na sisi ...kuna funzo kubwa hapo kwa maelezo na vitendo vya Sheikhe Bopar ...Allah akulipe kheri pamoja na uongozi wa Al Fatah kwajumla.
@hamadibujafar22285 ай бұрын
Mashallah Allah akuzidishie shekhe Bopar hakika kuna kitu cha kujifunza kwa unayoyapita
@chikujuma186 ай бұрын
Mashallah inshallah shukuran mwenyezi mungu akujazie Kila la kheri akuzidishie unapotoa akuongeze inshallah
@Bigmo27065 ай бұрын
Mashallah asante sana bopar umenifunza kitu kikubwa leo Allah akuongoze na akupe pepo iliojuu inshallah
@zulekha30286 ай бұрын
Allaah akupe kheri za dunia na akhera utaporejea inshllh
@princesaha32625 ай бұрын
Aamin
@ahmedsalim94635 ай бұрын
Alhamdu lillah masha All’wa Shekh Said Nasser All’wa akulinde na hasad na akupe umri mrefu amiin
@user-rv2gb2gi7q6 ай бұрын
Sheikhe said mwenyezimungu amjalie mwisho mwema
@princesaha32625 ай бұрын
Aaamin
@saidseif16055 ай бұрын
Masha Allah Tabaraka Allah Jazaka Allah Kheir
@user-fe9jc5di9f5 ай бұрын
Yaa Allah mjaalie umri mrefu wenye kheri na barka mja wako huyu na umlipe Pepo yajuu bila ya hisabu pamoja na kipenzi chetu Muhammad yeye nafamilia yake inshallah
@RahmaRashid-lc6nw6 ай бұрын
Mashallah Tabaraqallah neema kubwa kumuona mtu aliyejaliwa kipato bado ameshikamana na dini na mwingi wa kutoa
@halimsaidi95674 ай бұрын
Sheikh kaanza mbali sana mashallah
@halimsaidi95674 ай бұрын
Mashallah
@abdillahiomar59615 ай бұрын
Mashallah.Allah awalipe nyote kwa kazi yenu nzuri.Allah awape jannatul firdaus na ibada zenu ziwe maqbuul
@user-qd2tp2mb5l3 ай бұрын
Mashaa'Allah nimeipenda story yako Allah akuhifadhi ili uwe mfano kwa vizazi na vizazi Innshaa'Allah ❤
@MouhammedSeif5 ай бұрын
Matajiri wa zanzibar niwakarimu sana mungu kawajalia imani kubwa
@AnwarAli-vs9mp5 ай бұрын
ASALAM ALIEKUM naomba nmba ya shkh said nasor bobar minhisanikum mie nipo MOMBASA kenya
@husseinbakromar58656 ай бұрын
mashallah tabarakah allah utu unashinda kitu hata maswahaba walitoa mali zao zote kwa sababu ya dini na hata mtume s a w alikua akilala njaa sababu ya waliomzukuka zama tulizo nazo ni wachache sana wenye kuiga mafunzo mema ulimwengu mzima matajiri wakubwa ni waislam lakin aradhiwa ajihfaharishe kwa anasa za dunia ili apate umarufu mwisho wa siku umauti haubishi mlango wala kukupa tarifaa hilo wamelisahau kwa anasa za usoni wanachezea ballion kwa upuuzi na kuna wahitaji asili mia sabini na tano ukijua utakapo na uwendapo na mwishon kifo huezi kufanya makosa na uwezo unao
@user-pt5nq8up8z5 ай бұрын
Masha allah mwenyezi mungu akuzidishie badala insha allah
@twahasuleiman-lo9vl6 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah Wallah najisikia... Machoz yananitoka... MashaAllah Allah amjalie Bopar ampe Maisha Mazuri...
@waheedaw19536 ай бұрын
MashaAllah tabaraka Rahman Allah akuzidishiye zaidi ya hayo Na mwisho mwema NAKUTAKIYA AFYA DAIMAN INSHAALLAH
@princesaha32625 ай бұрын
Aamin
@user-yy6vy4xu2s6 ай бұрын
"Kitu kikubwa kilichonisaidia ni uaminifu" Nimekuelewa sanna mzee.
@fakihdarusi43856 ай бұрын
YAANI HUYU BABA KWAKWELI ZANZIBAR...TUMUOMBEE TAJIR PEKEE ZANZIBAR..ASIE KUWA NA MAKUU
@SaidSaid-rm8wq6 ай бұрын
Mashallah Yaa Rabbi mpe huyu bopar umri mrefu na afya bora aendelee kuwasaidia maskini na wasiojiweza na pia azidi kuwahamasisha waislam wengine wafuate nyayo zake .kwa kusaidia wanyonge Mungu akuzidishie Sana na sana.
@Mohammed-ot7nf5 ай бұрын
Gd bless u akupe afya umri akuondoshe Kila BAYA mbele yako
@sheikhaswalehsalim33926 ай бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akupe umri mrefu na ukizidishie neema.ameen Ameen Ameen Ameen yarab 🤲 🤲 🤲 🤲 🤲
@princesaha32625 ай бұрын
Aamin
@mody-guyngido27925 ай бұрын
Clip hii inamazingatio Sana na imefungua watu wengi masikio na macho,hakika kutoa ni moyo na ni neema Kubwa sana Allah Akikujaalia moyo wakutoa, Allah Atupe Mioyo ya kutoa bila yakuhofia umasikini Allahumma Amin, Allah Akuzidishie Neema na Afya yenye Baraka Bopar Allahumma Amin.
@AwadhiSiraji-gw8lo5 ай бұрын
Yule mwalimu kauliyake yakheri ishaallah
@fathiarabi83405 ай бұрын
MashaAllah TabarakAllah ✨
@user-er5oz3lk8q5 ай бұрын
Maashallah allah akubarik. Usomesha somo kubwa. Alhamdulillah.
@zenjibar646 ай бұрын
Vijana wa. siku hizi. hawataki kujituma , wanasubiri watu watoke majasho wao waje kukuibia .
@user-hb9uv1ry7o5 ай бұрын
ما شاء الله يا شيخي ومعلمي ، أسأل الله تعالى أن يزيدك ويبارك لك في مالك لتكون مع الذين ينفقون أموالهم فى سبيل الله، وأن يحفظك من جميع البلاء والبلوى الخارج من الأرض والنازل من السماء وحفظك الله من كل شر وجزاك أحسن الجزاء
@princesaha32625 ай бұрын
آمين
@SAUMUALI-zf1cz5 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri duniani na akhera😊
@abdallamohamedabdalla5 ай бұрын
Ma sha Allah TabarakallAh ❤
@fatumahamadi13796 ай бұрын
Mashallah ALLAH akuhifadhi n Dini yko N akuzidishie Umri Mrefu
@princesaha32625 ай бұрын
Aamin
@user-tr9qx4wb4s6 ай бұрын
Mara nyengine sheikh said tufikirie namna yakuwapelekea wataalamu WA fani ndogo ndogo wawafunze jamiii. Kama vile subunit, viatu vya plastic na ufundi mbali mbali. Ahsante
@zuberimbwila32645 ай бұрын
Mashaallah leo nimejifunza kitu kikubwa katika maisha yangu allah atujalie sote tuliopata nafasi ya kumsikiliza shekhe
@omarmohammed51576 ай бұрын
MASHA ALLAH INAMAFUNZO MENGI NIMEIPENDA HONGERA SANA BROTHER ❤❤❤
@rajabrajab97476 ай бұрын
Mashaalla Allaha akuzidishe kheri Duniani Hadi Akhera
@bushraaljadidi77475 ай бұрын
Maa shaa Allah.Allah akupe kila lakheri🤲 usiwasahau watu wa mkowani pia
@AmirGau-it5ty5 ай бұрын
Mashaallahu shekhe sayidi bopari ALLAHU akulipe kula ya kheri
@allykassim11205 ай бұрын
mungu akuzidishie na akulinde shekhe
@user-rk9qj9ob1p5 ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah mashallah Allah walipe kheir ktk hayo munayofanya
@user-tr9qx4wb4s6 ай бұрын
Allah akupe maisha marefu Ndugu yetu. Hakika wewe ni hazina katika umma WA kiislam. Allah akupe wepesi. Naomba safari hii biidhnilah ufike kijiji cha mjini wingwi Pemba ameen
@Onlyforfun1992tube6 ай бұрын
Tabaaraka rahman Allah akubarik
@mwanamnyika40856 ай бұрын
Mashaallah tajili wa kujielewa ,tuna mbunge moja hapo ninapo kaa ataki wanainchi waunganishe umeme kwwnye ngunzo ambayo Iko kwenye eneo lake kwa kweri sijui akifa ataenda nao uwo umeme subhaanallah
@user-zl3we4si9q6 ай бұрын
Mashaa Allah tabarak wataala
@hamiduhamidu59745 ай бұрын
Mashaallah boss Bopa mimi nishuhuda wa ayanenayo kuna kijana aliwai kuvamia biashara yake uturuki lakini alimaliza kwa hekima
@is-mailh.makame54205 ай бұрын
mashallah mzeee nakuelewa na nakuheshimu sana HIGH IQ upo nayo ya
@user-sg1ip7mk9y5 ай бұрын
Asalam alaykum MashaAllah Allah atubarik Sheikh Rashid mm nataka kumuona Bopar lnshaAllah.
@mbarakkhamisali5 ай бұрын
Uyu mzee ni mtu MashaAllah
@zakiaqasim53126 ай бұрын
Maasha Allah maasha Allah tabarrak rahman amiin hakika tumejifunza mengi kutoka historia yake na vipi As wazazi tuwe na vizazi vyetu in sha Allah azidi kukufanyia barkah ktk maisha yenu shukran
@suleimanrashid39186 ай бұрын
Kiukweli katoka moyoni huyu sheikh said kwangu mm nimejifunza kwako mambo mengi katika utoaji wake kila nikaswali huomba mungu anijalie mali na imani na moyo kama wanakumbula kuna siku nilipata pesa kiasi nikaenda hadi dukani kwake pale mombasa nimuone anipe ushaur wakufanya biashara na nilitaka ninunue pampas pale dukani nianze biashara ila wale wauzaji wakaniambia hayupo na siwez kumuona hapo nikaanza biashara ya mkaa kuchukua kutoka tanga ijapo sijafanikiwa ila saiv nafanya kaz nikijipanga iko siku in shaa Allah nami nami nitakua mtoaji kama yeye Allah amjalie umri mrefu wenye mwisho mwema na kruu yote ya al fatah kwa juhudi zenu.
@FatmaMohamed-jw2lc6 ай бұрын
Allah amlipe kheri mama yako mtoto mwema hutengenezwa tangu mapema na Allah hujaaliya kawa mwema
@fatmam19976 ай бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie akulipe kila zuri unalolifanya
@aliyabdullah16336 ай бұрын
Allah akuzidishie zaidi na zaidi kwa akulipe kheri inshaallah na ujira mkubwa inshaallah
@TheFire_Gamer6 ай бұрын
Mashaallah
@mody-guyngido27925 ай бұрын
Barakallahu fiikum
@user-on6pl8ut8g4 ай бұрын
Mashallah Allah awafanyie wepesu
@suleimanadim65226 ай бұрын
ALLAH ATUZIDISHIE KHER NA BARQA MASHALLAH
@ukhtysalama41846 ай бұрын
MashaAllah Allah akulinde na kila baya, akulipe malipo mema duniani na kesho Akhera.mungu ajaalie ufike na kijiji cha kiwani ya mchanga mdogo, wete pemba InshaAllah.
@AliAbdulla-xq8vr6 ай бұрын
Ni kweli shehe said ametoka kwenye hali ngumu sana anayosema ni ya kweli
@princesaha32625 ай бұрын
Mkoani eee???
@allybobsaith5 ай бұрын
Sipendi kua high napenda kua low mashallah tabraka allah🎉🎉🎉🫂🫂🫂nice say
@nadhifamohammed77495 ай бұрын
Hapa kwenye isabu kweli nilifika ofini kwako nimeshuhudia
@faroukfarouk4775 ай бұрын
Allah akuzidishie
@zabibuissa12525 ай бұрын
Allahumma thummaa Amin Nasi tuwe kama. Shehe
@NabilHassan-ny6jj5 ай бұрын
INSHALLAH MUNGU AKUBARIKI BOPAR
@fatmasaid97656 ай бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie neema na baraka uzidi kusaidia jamii
@user-yp7nr4ub9l5 ай бұрын
Good job mashaallah
@husseynomar95236 ай бұрын
MashaAllahu sheikh Allah atubarik kwa sote Amiin
@OmarOmar-bh1iu5 ай бұрын
بارك الله فيكم واحسن اليكم.
@user-jj8vq5qr9f5 ай бұрын
Sheh mm naomba unisaidie namba za huyu baba kw uwezo wa Allah atakulipa hery inshaallh naomba 🙏
@user-op3vj9nf5b6 ай бұрын
MASHAALLAH ALLAH akuzidishie kila la kher
@stonetown5785 ай бұрын
Masha'Allah TabarakaAllah, Allah azidi kukufanyia wepesi katika shughuli zako.
@mariamsalim93116 ай бұрын
I am proud of you my brother
@princesaha32625 ай бұрын
True
@AnwarAli-vs9mp5 ай бұрын
MASHALLAH TABARAKALLAH allah izidak nasi twakuomba utusaidie tupo msa kenya
@user-bw7ve8ce3q5 ай бұрын
Mashaa Allah sheikh said kwa kunipa mafunzo, Alhamdhulilah
@YusuphKenyatta5 ай бұрын
Mashallah kipindi kizuri lakini kwa nini mwandishi ajamuuliza mbinu za utunzaji pesa mpaka kufikia hapo jinsi ya kuishi kutokana na kipato swali muhimu sana linaweza okoa kizazi na kiza
@user-in4en3pu2b5 ай бұрын
Mashallah
@yuleboy80595 ай бұрын
Mwenyezi mungu atakulipa juu ya kheri yko MashAllah
@oshaooshao33015 ай бұрын
Maasha ALLAH, Great Job done by the Bopar and may Allah bless him in the Dunia and Akhera, Amiin Amiin Amiin